Sanaa ya kufinyanga vyungu na bidhaa za udongo ni ujuzi wa kiasili ambao kwa sasa unafifia kwani aghalabu wanaoukumbatia ni watu wazima. Hata hivyo, wanawake hawa wa Kenya wanajishughulisha na sanaa ya kufinyanga vyungu. Kurunzi 24.02.2021
Негізгі бет Wanawake na ufinyanzi wa vyungu
Пікірлер: 3