Ahh mwamba tuntu katika ubora wake...Much respect my bosss
@beatricekamamaa209
10 ай бұрын
Nitasema ndio kweke YESU. NA Kila goti litapigwa kwakeYesu🙏❤❤❤ Utukufu kwa Mungu juuu mbingu.🙌
@daffagunda-rm3hj
10 ай бұрын
Huyu dada vocal bado uwezo wake.mdogo sana,sijauelewa huu.bado kwakweli.kati ya nyimbo za hii miamba.ukilinganisha na nyimbo zao nyingine.
@Nipherlamu
10 ай бұрын
Like am the first to comment waah....likes kwangu🎉❤
@gospelmedia4452
10 ай бұрын
Kijitonyama serene mmetoa wapi tena mbona mnaharibu kwaya yenu nzuri kwa miziki ya kidunia jamani.. serene haliwapendezi hata kidogo tunawaamini sana achaneni na hayo mapigo ya kidunia
@Livingstone.Chengo
10 ай бұрын
Hahaha. Ile nyimbo yao ya "hakuna ya Mungu kama wewe" iko mapigo gani?
@amosmutasa3454
7 ай бұрын
@@Livingstone.Chengo nahisi kaanza kuwasikiliza sahivi huyu sisi tunao wajua kitambo acha tubarikiwe na masong ya namna hii
@lwimikomwakibete6693
10 ай бұрын
I like your transformation kijïto, becouse this is related with current songs, God bless you.
Пікірлер: 12