Movie hii fupi imeigizwa na wahusika tofauti tofauti, mhusika mkuu akiwa faso the rapper ambae ndio mwandishi wa nyimbo iliyotumika. Mwandishi wa hadithi hii fupi ni msanii One Nukta, ambae aliandika kazi hii kama kazi yake ya darasani ambayo anapaswa kuiwasilisha kwa mwalimu wa somo lake la filamu katika kipengele cha uandishi na kufanya directing. Katika kazi hii hakutakiwa kutokea kama muigizaji kwasababu anapaswa kuwa mwongozaji mkuu na mshika kamera nyuma ya igizo. Hivyo igizo hili fupi ni kazi ya darasani.
Негізгі бет Labda Short Movie (Not Based On True Story)
Пікірлер: 1