Huyo jaji na muuwashi, wote wakamatwe kwa sababu kuna mchezo mchafu umefanyika hapo kati. Poleni wanawake, umoja ni nguvu.
@njuka3515
4 ай бұрын
Asanteni sana majirani kwa ushirikiano wenu
@njuka3515
4 ай бұрын
Asante sana Milad ayo na dada Gea kwa kupaza sauti
@user-br4tl7jv9j
4 ай бұрын
Hii yote inatokana ma mama wa marehem kukosa pesa lait angekuwa na pesa uyo muuaj asingeachiwa
@estersilver9872
4 ай бұрын
Sote tushirikiane kuwalinda watoto tusitegemee sana Sheria
@hamisaally968
4 ай бұрын
Sasa kama uyu uyo ni dada akee alimuachia
@ZainabSimith-ey6vm
4 ай бұрын
Agekuwa kauliwa tembo au swala pasingekalika haki hakuna
@menalikechildren8836
4 ай бұрын
😂
@sheryphamwenevalley6124
4 ай бұрын
Hata angekamatwa na vipande vya nyama pia unafungwa miaka 22 🇹🇿 hakuna haki kabisa ndani wamewajaza wasio na hatia, wenye hatia wapo nje😭
@abrahamumusa2229
4 ай бұрын
Duu dunia imeisha kabisa
@fathiyahmuzney7367
4 ай бұрын
@@sheryphamwenevalley6124kwel kabisa
@marcynhumbi3534
4 ай бұрын
Kabisa
@azzaalhabsi1505
4 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu.kweli mahakama haijatenda haki.mtu ameuwa na ushahidi upo.bado anaachiliwa huru kwa kuongopea amepewa kifungo cha nje.tangu lini muuwaji akahukumiwa kifungo cha nje? Jamanii tunaomba haki itendeke ilivyo alie uwawa ni binadamu sio mbuzi.
@michaelmurorashid8055
4 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
4 ай бұрын
na muwaji kakiri mwenyew kama kaua
@richarddavidmk
4 ай бұрын
Siwa fichi Tanzzania hatuna mahakama , hakuna sehemu hatari kama mahakama kwa Sasa Mimi nilifanyiwa uhuni na jaji.HII NCHI IONGOZWE NA JESHI WANASIASA WAME FELI
@bensonphilip9673
4 ай бұрын
Japo yamesha tokea ila mama angukua anafwatilia mtoto anaishije angeweza kuepusha hili
Rushwa, rushwa, rushwa, rushwa, msifumbe macho wanawake. Mtoto apewe haki yake.
@nuruurio8319
4 ай бұрын
Na takukuru ipo au hiyo taasisi ishafungiwaga na hatujui??
@joycemkeka3769
4 ай бұрын
Iyo rushwa kila maali jamani tutapona kweli mungu atusaidie
@Neema935
4 ай бұрын
Ni kweli, mungu atusaidiye.
@user-yb1ut1yo8u
4 ай бұрын
Hapo pesa ime tembea..pole sana mama.
@nuruurio8319
4 ай бұрын
Ni kweli kabisa yani ndo maana watu wanachukua sheria mkononi maana maakama haina haki ukipeleka mtu akitoa ela unashangaa unazungusha zungushwa mwisho wa siku kesi imeisha
@Ayuminchasi
4 ай бұрын
Kaenda kwa waganga huyo
@user-jx4rx6jy6y
4 ай бұрын
Hakika selikali msaidien huyu mama jaman sie maskini tunaonewa sana 😭😭😭
@azzaalhabsi1505
4 ай бұрын
Mama etu samia suruh popote ulipo na viongozi wengine tunawaomba sana sikilizini kilio cha huyu mama.kwani hajatendewa haki kabisaa. Mama samia nchi yetu jamani nchi yetu tanzania inaelekea wapi? Rushwa imekithiri inatumaliza wanyonge jamaniiii😭😭
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
Sub'haana Allah Serikali nawaomba ingilieni kati Suala hili ili haki ipatikane
@AnitherSalum-ly6fd
4 ай бұрын
Huu mkasa niliusikiaga yan nimeshangaa mpka leo mtu ety hajahukumiwa 😢😢 hamjamtendea hak uyo mtoto 😢😢
@nuruurio8319
4 ай бұрын
Ndo serikali yetu hii af ukijichukulia sheria mkononi polisi wanalalamika wakampge tukio sahv sheria zetu ziwe matukio akikufanyia kitu polisi unaachia wenye ela
@MashaMbwana
4 ай бұрын
Aliekamatwa na vipande vya nyama pori miaka 22 alieuwa mtoto wa binaadam mwaka moja tena kifungo cha nje 😢😢😢😢
@momylaviel
4 ай бұрын
Asanten sana majirani kwa ushirikiianooo
@hizamawa6046
4 ай бұрын
Utakuta kuna watu bado wana Imani na mahakama 😢😢😢
@gililwise
4 ай бұрын
. bora mngemmaliza ninyi.maana mahakama Tz haipo.
@magejuliani5293
4 ай бұрын
Mtoto upumzike kwa amani! Kiukweli Mtoto atendewe haki jamani!
@user-pq9qc1sz7b
4 ай бұрын
Msikubali andamaneni mpaka kwa huyo hakimu.na mumpe kichapo ikiwezekana
@user-fs4bu4cu6k
4 ай бұрын
Uyu ni muuaji kabissa ongereni wamama kwa kujitokeza pole mdogo wangu usimpe Tena mtt mtu meingine polle sana
@user-fs7xc2bb5d
4 ай бұрын
Yaani huyo atauliwa na wananch anae uwa kwa upanga auwawe kwa upanga mkimuonq muuweni serikal ya hovyo
@sharifamahamudu182
4 ай бұрын
Tanzania akuna Kai ata robo
@njuka3515
4 ай бұрын
Next time mtu akiuua wananchi na sisi tuue hakuna kusubiri
@nuruurio8319
4 ай бұрын
Yaaan hii serekali ya sahv ni kuendana nae titi for tati ukipigwa tukio unapiga tukio mtamalizana huko mbele kwa mbele
@AminaRamadhani-gx8yr
4 ай бұрын
Yani maswala yamauji wengi wanahukumiwa alafu muuwaju anakua uriani kama kawaida au walawitiji waponje wengi baada yaukumu, niomana wanchi wanachukua sheria mkononi alafuwanaonekana wamekosea wakati mahakama zetu azitendi haki,,
@fathiyahmuzney7367
4 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu unauchungu wa mwanao kuuawa bado haki haijatendeka
@user-sx1xi4yb2z
4 ай бұрын
Polen jamni,,,hasa mama mtoto,umeniliza mno mzazi mwenzangu,,uchungu sana,,,
@user-fc4vl8zi4r
4 ай бұрын
Inauma sana
@khamisjuma8501
4 ай бұрын
Pole Dada
@user-pq9qc1sz7b
4 ай бұрын
Huyo ni wakunyongwa tu.ushahidi upo wazi.nashangaa kifungo cha nje.sijawahi kuskia.huyo ni hakim.au muuza katanga.kavamia fani
@Professor-9
4 ай бұрын
So sad
@UmmyZakiah
4 ай бұрын
Auliwe na yy mbwa huyo serikali yetu haitendi haki kabisa
@user-xo5lq7mw3n
4 ай бұрын
Hii serika ni mtihan sijawahi kuona mtu anauwa then anauulizwa tukupe adhabu gani? Alhamdu' lillah Hii Dunia Sio mbaya watu ndo wabaya,
@wilfriedanaganze9246
4 ай бұрын
Mshenziii mkubwa atafutwe kabisaa. Justice for our little baby 👶 😢
@martinikalunga
4 ай бұрын
Huyo hakimu anawatoto kweli? Au kala rushwa? Kesi ya mauaji kumbe kifungo ni miezi 12 nje? Au anataka mauaji yaendelee? Nchi hii inakokwenda siko mauaji yataendelea sanaaaa na kifungo itakuwa wiki 1 nje. Huu ni wendawazimu sana. Hongereni sana majirani wema.
@Carolina-sm5zt
4 ай бұрын
Mungu aturehemu kwa makosa yetu
@SaudaOmary-pi9si
3 ай бұрын
Ee mungu baba nipe umri mrefu niwalee wanangu mwenyew😭😭😭😭inauma sana
@user-br4tl7jv9j
4 ай бұрын
Me ndio maana sipend mazoea ya ndugu na wanangu😢yan uniulie mwanang tugawane majengo ya serikal🙌🙌🙌🙌
@nurdinmfamau3493
4 ай бұрын
Ubaya Hauna Ndugu. Ubaya Hata Mama Anaweza Kumuuwa Mwanawe. Hilo Lakukataa Ndugu...
@twiseghekisilu8845
4 ай бұрын
Huyu nae hajitambui@@nurdinmfamau3493
@zuenajohn8325
4 ай бұрын
Mungu mungu jmn kwanini hii dunia?. Tunaomba utusaidie Mungu ututete.
@MauaHaji-ur4ln
4 ай бұрын
Huyo siwakuishi nae km nimimi daaah agefurahiya shoo mungu wangu inauma sana
@auntmakochela4202
4 ай бұрын
Mtu alikutwa na vipande 12 vya nyama ya swala na akahukumiwa miaka 22 😢😢😢 uyu mama kaua binadamu tena mtoto mdogo kakatisha ndoto zake anaachwa huru hizi sheria ni hovyo kabisa😭😭😭
@hadijauledi6995
4 ай бұрын
Yaani hii kitu jamani siyo kweli tanzania nchi yangu mama samia kipenzi raisi wangu sasa yule mama alikutwa na nyama ya swala alihukumiwa mia 20,jela sasa huyu dada kauwa kafungwa kifungo cha nje mmmmm majaji ila niwaombe radhi tendeni haki jamani 😭😭😭😭😭
@ramlamchonga7669
4 ай бұрын
Tupo pamoja jamani aki ipatikane uyo sio wa kuishi na watu😢😢
@abedysteven4930
4 ай бұрын
Xaxa kama hapo serekali mnataka ushahid gan kwa mtuhumiwa kama huyu anauwa mtoto kwa mateso af anapewa kifungo Cha nje kvp xaxa? Inaumiza sana!! Kama serekali ikishindwa kumnyonga bas familia jiongeze mfanye kama m2 aliepotea kwa mazingira ya kutatanixha af mpoteze
@lilmojr7
4 ай бұрын
Huyo alietoa hiyo hukumu akamatwe yeye afunguliwe mashtaka ya rushwa na uzembe na ikibidi aondolewe madaraka yake hafai
@najatrashidi6647
4 ай бұрын
pole dada na mtihani yote hayo inasabanaishwa na umasikini
@user-df1wz5xu2i
4 ай бұрын
Jamani hiii nchi hiiii mnyonge wanamnyonga kweli duuuuh
@catherinefaney948
4 ай бұрын
Eee Mungu endelea kuonekana katika hili.Mama Samia tunaomba ulisimamie mama,wazazi kunaumia.
@JackobKyaro-zi7uj
4 ай бұрын
Askari wanafuatilia hadi kujua alipozikwa mtini ila mahakamani wanatoa kifungo cha nje au aliyehukumu ndo kamtuma akaue mbona hivyo jamani mahakama hiyo ifuatiliwe kuna mambo mengi huyo hakimu anayafanya .
@user-bo5qp9gz8m
4 ай бұрын
Inaumiza sana pole dada ila serikali ya Mama samia ni sikivu tunaomba isaidie kwa hili tukio 😭😭
@mr.yahzadochuno7914
4 ай бұрын
Judge afukuzwe tu kazi
@SelinaPaschal-vq2iy
4 ай бұрын
Yani hukum kama kaiba kuku ndio maana visasi haviishi siwezi kumuona muuaji wa mwanangu ana furahi ndio maana watu wanachukua hatua mkononi hii sio haki
@tinnahagustinolyelu4247
4 ай бұрын
Eti jamani Nani mwenye moyo huo mm mwenyewe siwezi teena mtoto kamuuwa kikatili jamani hapana
@ashurajengela3926
4 ай бұрын
Kabisa aiseee yani ngekua mm mama wa mtt namuua aiseee siwezi kuvumilia kumuona muuaji wa mwanangu anaishi tu na uku kaniulia mtt kwa makusudi 😢😢
@sharifamahamudu182
4 ай бұрын
Kabisa visasi aviishi uyo mwizi wa kuku anachomwa moto
@KhadijaJuma-pb6fw
4 ай бұрын
Tna kwnye dini kisasi kipo
@AsdDsa-fi5qk
4 ай бұрын
Nipo Oman mdogo wangu alipigwa na jirani tanga nusu amtoboe jicho nlitoa pesa mpaka nimehakikisha alifingwa miez mitatu nikifiro juu alichezea mchawi pesa tuu Aslam aleykum umat Muhammad
@selemanisalum7685
4 ай бұрын
Mama samia haraka sana na waziri wa sheria na viongozi wote haraka sana huyo hakimu na wote waliofanya mchezo huo wakamatwe huyo kuna kitu walichukuwa kwa mtto huyo uchawin
@dommyeliasy
14 күн бұрын
Mimi nilimpa bint wa shule mimba mukanifunga miak 15 ndan na nitukio dogo la kuleta kiumbe cha mungu dunian why mama Alie ondoa kiumbe cha mungu duniani munamfunga nije mwaka mmoja why
@nurasam5475
4 ай бұрын
Mtihan sana jaji kumbe anatoaga chance yakuuliza ADHABU ya kukuona nyie mmmgh hapo ni Mungu tu ndio atalisimamia hili suala zaid ,NINAIMANI na serikali yetu Kila kitu kitasimamiwa na mtoto atapata haki yake,,hii inamaana damu ya mtu haiendi Bure lazimanipate haki yake ALHAMDULILLAH ALLAH HAKIM
@annatemu4488
4 ай бұрын
Mmmh, huyo mbona wananchi watamalizana nae🙌🏻
@RehemaMasunga-ml7kt
4 ай бұрын
Yaani huyo ahukumiwe kabisa ikiwezekana kunyongwa hata kama mtoto hatorudi baada ya hukumu ila hukumu itendeke
@JohnMalengua-jh6ps
4 ай бұрын
Majaji kama hao na viongoxi wengi wa mahakama wakifagaa vifo vya mateso sana jaribu kuchunguza utaona 90% kansa,ajali na mateso mengine bado watoto wao na wajukuu laana haimuachi muhisika hata siku moja hayo machozi ya huyo mama hataenda bure Mungu yupo
@aminamahamudu6402
4 ай бұрын
Anyongweee
@biliavasiana918
4 ай бұрын
Hongeren kwa kupaza sauti inaumiza sana ,hii nchi ukiwa na pesa unashinda kesi 😢
@seiphmbulyanga2580
4 ай бұрын
Pole
@user-ky5wu4gc9g
4 ай бұрын
Jaji mshenziii sana angeuwawa mtoto wake angetoa hukumu kama hiyo? Huyu jaji akamatwe haraka laa sivyo hatutakua na imani na mahakama zote na ikitokea tukio huku mtaan bora tuwe tunamaliza hukuhuku kuliko kufuata sheria
@AmiriHumudi-hn6pt
3 ай бұрын
Msikubali achaneni na serekali hawatendei watu haqqi. Mfateni huko aliko au tumeni watu wasimuuwe lkn wamtie adabu wamkate mkono 1 na mguu mmoja na yeye ajue. Na aone na ajifunze km ukatili si mzuri.
@Official83640
4 ай бұрын
Yaani hii inaumiza sana Gwajima kwenda kote kule bondeni na kushuhudia tukio alipofukiwa mtoto lkn hili swala kalikalia kimya ni uonevu mkubwa ndy maana raia wanajichukulia hatua mikononi mnaua panya road wauaji mnawaacha Serikali yetu ya uonevu sana😢😢
@benancejohn1198
4 ай бұрын
Hiyo hukumu ni batili. Poleni sana familia 😢
@ramlamchonga7669
4 ай бұрын
Mama gabo nimemuona au namfanisha
@beatricejoy5682
4 ай бұрын
Jesus this is so sad 😢 a 2year baby got killed and the killer is free. Nah that charge needs to be questioned cos it’s not normal in any country. I feel sorry for the mother 😢😢😢😢
@anithiajohn9209
4 ай бұрын
Inaumiza sanaa asee 😢😢
@Attumessausy
Ай бұрын
Wakina Mama wenzangu komaen msifumbie macho huyo inatakiwa anyongwe.
@abubakarimsere
4 ай бұрын
Daah!! 😢😢😢
@dommyeliasy
14 күн бұрын
Me naomba jaji Alie amua hiyo kesi na yeye ahukumiwe kunyongwa naomba sana jaji anyongwe kwa nn ampe kifngo ch mwak mmoja huyo mama
@BM_Smart2-6
4 ай бұрын
Ila sijui sheria inasemaje kwa hayo matukio!. Yule aliyekamatwa na nyama ya swala moro alipigwa kifungo cha kutosha, hadi akatetewa na UWT. Huyo aliyeuawa ni binadamu sasa hukumu gani hiyo??
@sharifamahamudu182
4 ай бұрын
Tena nyama yenyewe ata kilo tano aikufika wakamuukumu miaka 22 bila uchunguzi na mzigo ulikuwa so wake
@FadhiliMwaitete-ls2li
4 ай бұрын
Hivi huyu jaji yupo kweli pesa ndiyo Kila kitu ccm ni serikali ya kishetani Amna haki kabisa nchii hii inatufundisha kulipa kisasi tu huyoo mama kauwa Amna uchungu na huyo mtoto angekuwa swara mgesikia mmemfunga au ata kumuwaa aliye uwa swara inamanisha swara na binadamu mwenye samani ni swara pesa hizo zitawatokea mkunduni rushwa Tanzania ndiyo inayo ongoza ccm atuitaki kabisa
@annatemu4488
4 ай бұрын
Baba keegan sasa hivi atakuja hapa chaaap
@Mlokoz_twangalatwz
4 ай бұрын
😢😢😢
@paulabelleghe451
4 ай бұрын
Yesu wangu huyo dada alidhamiria kufanya tukio, haiwezekani ndosababu inafika mahali Raia wanaamua kuchukua Sheria mkononi sababu hakuna haki ya mnyonge ,tunaomba huyo dada awajibishwe maana akiachwa ataendeleza huo ukatili
@demicratia4071
4 ай бұрын
Jamani wauwaji wengine wana ugonjwa wa AKILI NA WAZIRI WA AFYA HALIJUI HILO.NDIO.MAANA HAFUATILII SANA HATA JANA MUDAAA WE MAUWAJIII
@dorahmushi-we6ts
4 ай бұрын
😢😢
@amonpilimo
4 ай бұрын
Alie uwaaa mnyama apefungwa miaka 22 alie uwaa mtoto miezi 12 tena nje hiyoo ndio TZ😂😂😂😂
@user-qk4lx4hg7g
4 ай бұрын
Mmh hapana kwa kweli haki haikutenda haki
@user-pe1qv1sn5p
4 ай бұрын
mama yetu raisi wetu tunakuomba ulisimamie hili swala haki ipatikane haki itendeke tunaomba tunaomba tunaomba mama samia makonda tunaomba hili tujue nivipi mtoto mdogo kakatiliwa uhai.
@mr.yahzadochuno7914
4 ай бұрын
💔💔
@user-lt7yx2ms7h
4 ай бұрын
Hii sio sawa hata mm naunga mkono maandamano hayo imeniuma sana ndio maana Makonda akisema maskini hana hakii watu wanamtolea maneno mabaya haki iko wapi hapo jamani
@vero57
4 ай бұрын
Huko huko Arusha watu wa mshugulikieni pumbafu zake ,
@MagaliKiswili-bj6yz
4 ай бұрын
Inashangaza sana watumishi waserikali awaogpi kuchukua rushwa kiongozi wa nchi yuko wap
@WilliamMatondo-oc2zb
4 ай бұрын
Mungu wa rehema uliye jaaa nguvu na ukweli ww ndie unaejua ukweli wa hya mauaji ya hyo mtoto tunaomba usimamie ukwel wa hili jambo
@sharifanyumayo6314
4 ай бұрын
Huyo mama ni mchawi had kumuweka mtoto ktk ndoo na kwenda kumfukia jmn haraf anapewa miez 12 kifungo Cha nje? Mkimpata muuwen TU
@KamalaOluwa
4 ай бұрын
0:46 0:48
@cesiliamgasa776
4 ай бұрын
Nmemuon mama diba Apo saf wanawake hio sio hakii kbsa😢
@elphinejoshua1914
4 ай бұрын
Inauma xana kbs😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-zi1gp6dc2q
4 ай бұрын
Iyo ndo serikari yaleo samakiwakubwa wanameza wadogo maskin tutakufa sana
@nuliatbaraka6350
4 ай бұрын
Dhulma kubwa kama hii hatari hata kama rushwa hii imetisha sana tumuogope mungu
@maalimwenga452
4 ай бұрын
Sheria haiangalii hizo kelele zenu Sheria ni msumenu
@khadijathani9064
4 ай бұрын
Mturumiwa kaashiwaje
@esterkessy6940
4 ай бұрын
Jamani serikali yetu ni nzuri na ina utawala mzuri viongozi makini tunaomba muingilie hili sakata tatizo sio muuaji tatizo ni huyo hakimu aliyetoa hukumu rushwa wazi wazi
@SalamaNauthar
4 ай бұрын
Umoja ni nguvu
@SuleimanKhdija
4 ай бұрын
Awwawe Uchungu wa mtoto unauma kwakweli 😢😢
@maharagendondo
4 ай бұрын
SEREKALII KILA SIKU YALALAMIKA NA MCHENZO MCHAFU HUYO JAJI VP HAPO KUNA NAMNA
@radhiamhando3733
4 ай бұрын
So sad hukumu itolewe upya😢
@dotnatajoseph2620
4 ай бұрын
Jamaniiiiiiii hii nchi tuna kwenda wapi jamaniiiiiiii 😭 kesi ya mauaji hukumu mwaka mmoja kweli jamaniiiiiiii haki itendeke jamani
Пікірлер: 287