Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua Tanzânia yetu ni nchi ya Amani sana alhaamdulilaah na JESHI lá polisi liko imaaraa sana alhaamdulilaah huyooo jamaaa anaaa magari na sio bilionea huyoooo tapeli tu pesa kishaakula kaonaaa haoooo wahindi niwatapeli na kawaonaa wahindi hawatapata haki zaoooo wakati serikali ya Tanzânia iko imara alhaamdulilaah na kwenye mitandaoni hapo kunaaa watu wanachuki na wahindi wahindi ni binadamu kama wewe piaaa na polisi au mahakama sheriaa haijui rangi wewe kama tapeli utachukuliwa hatuaa saaa mnaanza kuikashif,muhindi kisa katapeliwa huyooooo mnatapeliwa serikali imchukuliee hatuaaa tapeliii haraka sana
@Yonaobedi-z1t
6 ай бұрын
🎉hapa nilicho kipada hawa wanatumiwa na viogozi wetu kuja kujifaya wanafungua makabuni kupitia kodi zetu
@furahaabonga6642
7 ай бұрын
Imani ya watanzania wote wanaamini mafanikio yao yako kwenye dhulma.yani mtanzania ad afanikiwe lazima awe amefanya dhulma,wizi,utapeli,udanganyifu,wizi,ujambazi,umalaya,uchawi.
@kalebphilip3426
6 ай бұрын
Wewe mhind hakuna kesi ya kitapel hapo kwanza umeshalipwa 29m hapo tayar Ni madai
@francisgituti2494
7 ай бұрын
Swali hapo mkataba wao ulikuwa unasemaje ? Je time flame ya kupokea gari zao ulikuwa umeishaisha ama la
@bakarimchila1297
27 күн бұрын
hapa mnatuchanganya. Kwamba jamaa ni Bilionea halafu anadaiwa mili 129. Sasa huo ubilionea uko wapi? Hiyo si ni hela ya kupepesa jicho tu?
@kasimramadhani4690
7 ай бұрын
Wahindi sio wakufanya nao biashara
@edesiuskuyasiwa6352
7 ай бұрын
Weka ndani huyo bilionea anaeshindwa kulipa million 100
@demicratia4071
7 ай бұрын
Nchi yangu Tanzania
@cettyamandus2929
7 ай бұрын
Musimuwche uyo arudishe pesa wako wengi
@mussakimaro5588
7 ай бұрын
Huyu muindi wa buza amkutana na mbongo hili swala tukutane mahakamani
@liverpoolfootballclub9985
4 ай бұрын
Naona makenge wengine wana andika comment za hovyo. Hakuna mtu alichagua asili ya kabila lake. Sioni haja ya kutukana kabila za watu. Kua muhindi au mwarabu au mwafrika. Wote ni viumbe wa mungu.
@kilogreekachananawatuwasio4054
7 ай бұрын
Mumesikia kwamba murio yupo correct 💯💯 musitake kumualibia kamanda muingize siasa katika Aki za kweli na msilete Ubaguzi
@maweni5332
7 ай бұрын
Kwanini uogope kwenda mahakamani? Sisi hatukuamini wewe wala huyo bilionea ..... Muende mahakama ya biashara
@abuuda4754
7 ай бұрын
Mwaarabu unanunua gari mbongo😮... Waarabu wenzio wa dubai hamuna?! Mi mwarabu au muhindi au mzungu anaweza nitapeli ila mbongooo... Duh😮
@chire4574
7 ай бұрын
Kwanza ishakuwa nadai..kosa lenu ni kupokea kias cha fedha
@AllyMaya-yj3xd
7 ай бұрын
Sio kila kitu kujipatia hela kwa udanganyifu ni jinai nzuri tu
@NuruNswebe
7 ай бұрын
Wahindi wasenge sana
@liverpoolfootballclub9985
4 ай бұрын
Usenge wao ni upi. Hebu tueleze mkuu
@ezekiakiwovele7794
7 ай бұрын
Mbona mlikuwa mnalipa kidg kidg
@ZenaMwakalambile
7 ай бұрын
Wewe ukisema unataka hela siokwenda mbali unakosea,lazima sheria zifiatwe sio wewe na mlilo muanze kuchengesha katiba.nendeni mahalamani achaneni na mlilo.
@MfizoCrypto
7 ай бұрын
Nipigwa na hawa waagizaji wa China nikarudi kijijini nimekonda sana.
@eastafricaqualitychickenfa9916
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂pole
@jumamussa2689
7 ай бұрын
Huyo jamaa ni taperi Gari kutoka nje ni siku 40 tu.
@azizamvungi1871
7 ай бұрын
Mnamuhonga murio mapolice mkifika kwa mungu mtakuwa mmechoka sana acheni dhuluma jamani kijana wawatu anapambana nyinyi mnamuharibia kikweli mna dhambi
@bensonwissa5777
7 ай бұрын
Huyu jamaa kapangwa hamna kitu hapa
@ireneshao7950
7 ай бұрын
Kwa nilivyo msikia mbona Hela hamku tuma zote km mlivyo kubaliana kwenye mkataba
@issaramadhaniathuman
7 ай бұрын
Atamalizia vp wakati hamna dalili za kuleta magari
@mbwanahasan2971
7 ай бұрын
Ndio maana kuna mahakama polisi kazi yake kukamata na kumpeleka mahakamani sasa kwa vile mahakama zetu zinadhataulika ndio shida msitupigie mikelele sie
@OmaryMkungwa
7 ай бұрын
Ww ponjoro acha malalamiko ushapigwa tulia kwanza nyinyi ni zulma sana nampongeza uyo mwamba kwa kuwanyoosha namshauri pia asirudishe hata mia kama vipi waende mahakamani
@oscarluvanda4589
7 ай бұрын
Nendeni mahakamano ukweli ujulikane
@HannanSomaiyah-wp7ny
7 ай бұрын
Tatizo la Nyumba ukidai haki yako watakuuwa,tatizo na nyinyi mlimuamini mtu kwa mtazamo wake hamumjui,hata sielewi hawa binadamu wanamuoyo gani unamtapeli mtu wakati unajua utaishi nao,hawa matapeli wakipelekwa mbele ya haki wanaona wameonewa ,
@ThadeiAndrea
7 ай бұрын
Wewe sio tajili
@iambaizo
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@JamesJohn-ly3xt
7 ай бұрын
Ayo ndio mashida ya vitu vya mteremko...
@azizamvungi1871
7 ай бұрын
Wewe ndio tapeli
@shamimageta6651
7 ай бұрын
Umeona heee😢😢😢
@halemmmbarak16
7 ай бұрын
Dosti umepigwa
@JacksonBoaz-yu8uk
7 ай бұрын
Unataka gali bila pesa kumalizia ,unapewaje gali wewe? Lipa pesa kwanini mlimlipa kidogo kidogo?
@careenworksgroup
7 ай бұрын
Hauna akili
@knight6757
7 ай бұрын
*BONGOLAND*😂
@NadeemKhan-zo8dc
7 ай бұрын
Huyo jamaa sio bilionea ni dalali namjua vizuri
@stanleymwaselela1849
7 ай бұрын
Tatizo la watu mnachangia hii mada hamjaielewa aliyesikiliza clip zote mbili mlalamikaji na mlalamikiwa unaweza kuelewa vzuri pili watu hawajui kanuni za uagizaji na uuzaji wa magari pia wengi wanachangia kimihemko tu ni bora usikilize na kukaa kimya tu ukawa msikilizaji na wewe ukajifunza kupitia yaliyowapata hawa waarabu
@chire4574
7 ай бұрын
Acha uongo Ww.....Mbon Kama mnapesa Mbona mlikuwa mnalipa kidogo kidogo..
@FreeGod368
7 ай бұрын
Ivi umemuelewa ukweli amesema kuwa walikuwa walikua walipe yote lakn walilipa aasimilia kadhaa mzigo ukifika bandarin walipe kias kingine af ukifika bandarin wamalizie kias kadhaa mambo yaishe , gari so sik utalipa hela yote unalipa kwa hatua kulingana na gari imefika hatua gani , sasa wao waligoma kuendelea kulipa bada ya kuona ile hatua ya kwanza tu ya mzigo wameleteww document feki, ni kama ww unanunua gar laki 1 af ukalipa selasin af unasubiri kadi iletwe unashangaa ni kadi feki utaendelea??
@NadeemKhan-zo8dc
7 ай бұрын
Kama hujui kitu kaa kmya magari kama hajaletewa atamalizaje malipo
@Josephineexsuper
7 ай бұрын
SI wangelipa at least nusu ya bei? Yani wamemlipa kidogo ndo mana kashindwa kuleta magari@@NadeemKhan-zo8dc
@yohanamorisi9027
7 ай бұрын
@@NadeemKhan-zo8dcunabishana na mtu je unauhakika hata baiskeli amewahi kununua?
@raphaelmwashibanda638
6 ай бұрын
Mwarabu Mhindi kufanya nao biashara unaweza ukalia
@suheilsuheil8780
6 ай бұрын
Mswahili maisha yote ni tapeli
@MbarakSoud
11 күн бұрын
Kweli maneno yako ata ukimpaa dada ako atakulia mkeo@@suheilsuheil8780
@claudiajames2003
7 ай бұрын
We acha upuuzi,kwahiyo mkaamua kuhonga polisi ili wajigeuze mahakama?
@issaramadhaniathuman
7 ай бұрын
Ulikuwepo wakati police wanachukuwa ruswa au Ulipewa ww ukawapa hao police?
@claudiajames2003
7 ай бұрын
@@issaramadhaniathuman swali ni kuwa uliitwa kwenye comment yangu au ndio shobo za kijinga?
@menikojohn2782
7 ай бұрын
Ungekuwa Umeibiwa Wewe Polisi Wakakusaidia Ungesema Ni Rushwa, Au Wewe Huoni Huo Kama Ni Wizi.
@claudiajames2003
7 ай бұрын
@@menikojohn2782 wizi unakuwa proved na mahakama au polisi? Sasa Kuna haja gani ya kuwa na mahakama km polisi wanaweza kusikiliza kesi na kutolea maamuzi?? Fikiria Kwa kina
huwezi kuwarudisha wahindi alijaribu jamaa baada ya uhuru Kwa kutumia Kila manyanyaso ili wahindi wahame lakini j hakufamikiwa alishindwa na Leo hii wahindi wameongezeka Tanzania pia zingatia wahindi wamechangia mambo mengi katika ustawi WA Tanzania mfano hospitali+Kambi ya matibabu ya macho +shule +kujenga visima +michezo +misikiti pia kumbuka Kila inapotokea maafa wahindi wapo mbele kusaidia
@MAGARITanzania
7 ай бұрын
Huyu jamaa hajitambui hao ni watanzania sio wahindi na wana haki sawa na kila mtanzania hapa nchini
@samyspesho1698
7 ай бұрын
Kwann msingeagiza wenyewe
@swahiliforex
7 ай бұрын
Ndio maana hauna hela sababu hauna akili
@hashimuuhehwa4252
7 ай бұрын
Hiki kijamaa ni kipumbavu hiki kihindi sijui kiarabu hela hawakumaliza kulipa! Makubaliano ilikuwa nini ache ubabaishaji
@leonardjackson269
7 ай бұрын
Sasa umalize wakati ushaingia cha kike.
@NadeemKhan-zo8dc
7 ай бұрын
Ww ndyo mpumbavu magari kama hajletewa atamalizaje kulipa ww hujui biashara kaa kmya
@AllyMaya-yj3xd
7 ай бұрын
Wewe ndio mpumbavu hawakubaliza kulipa baada ya bill aliyowapa kuwa magari yamepakiwa kujua ni feki hamna magari na mtu anaongea vya uongo alikuwa anawapiga zote hizo pesa
Пікірлер: 67