Leo #MariaSpaces tunajadili: Serikali ya Samia imepoteza uwajibikaji na Utu, Tunawajibisha vipi CCM yote?
Tunaona matukio ya ufisadi, utekaji na mauaji kuongezeka chini ya serikali! CCM wanatafuta ridhaa yetu katika uchaguzi ila wamepanga uchafuzi tunawawajibishaje?
Негізгі бет Leo
Пікірлер