MO hajasema atatwaa ubingwa msimu huu. Hiyo ni long term plan ya Simba ktk miaka mitatu ijayo.
@anithawidambe7543
4 сағат бұрын
MO TIMU BORA NI ILE YENYE WACHEZAJI BORA NDY ITAITWA TIMU BORA SAJILI BORA NDY ZENYE WACHEZAJI BORA.
@erickprotace9463
Сағат бұрын
Kwa taarifa Simba analibeba. Wachezaji wanaongezwa. Ndo utaanza kuchambua wachezaji wapy kuwa wameleta kombe. Timu hiyo hiyo hakuna kuongeza zaidi. Tunamleta KIZUMBI, FEI TOTO, na Ngoma unayesema ni mzoefu anatemwa Kuna kifaa kinakuja na hakijawah kucheza clab bingwa na kombe linabebwa
@erickprotace9463
Сағат бұрын
Uchambuzi umekalia kuangalia wachezaji wa miaka mingi ambao wamewah kucheza michuano. Mbona na sfaxean nao Wana wachezaji ambao sio wazoefu na umewataja kama wako bora.
Пікірлер: 8