Leo #MariaSpaces tunajadili: Utekaji na ukatili - Wajibu wa serikali ni nini? Fedha au Haki?
Mjadala unaendelea kuhusu utekaji tukiangazia wajibu wa serikali baada ya viongozi kuonekana wakitaka kumchangia mtu aliyetekwa! Haki tunapataje au ni suala la fedha tu?
Негізгі бет Leo
Пікірлер