Naaam mwalim umenifanya niwaze sana leo!! Mwanzo nilikua nawaza nitakua mtu mkuu nikajua nimemaliza kumbe nimegundua ili niwe mtu mkuu natakiwa kuchagua na watu ambao nitaambatana nao natakiwa kuamua kuendeleza kipaji changu!! Kweli ili tukutane at the top tunatakiwa kufanya maamuzi kwenye safari yetu!! Asante mwalim mungu akubaliki❤🙏
@lovenesslubilo1218
4 ай бұрын
Hasante Sana 🙏 mie ni mfanya kazi wa bar😢 lakin najiona mtu mkubwa Sana pamoja na kwamba nipo hapa hata familia yangu haitambui kazi ninayoifanya hapa dar imekuwa siri yangu nikiamin sikumoja nitakuwa mfanyabiashara mkubwa Sana ✊ ... Ila nawaza nitaanzaje anzaje kufanya biashara na ukiangalia kazin boss ananiamin Sana na kunitegemea sana kati ya wafanya kazi wake ... Hivyo inaniwia ugumu NAONDOKAJE HAPA ......
@abelmbilinyi1262
4 ай бұрын
Hamua ktk mipango yako maisha ya boss wako ni yake na ww unahitajika kuwa boss
@tukaesanatu2754
4 ай бұрын
Asante Joel mafundisho yako yananisaidia sana. ubarikiwe sana ,,,nikifika mbali ndiyo nitakutafuta niongee na wewe sio sasa ila baadae. napenda kukufatilia sana KZitem. ubarikiwe sana na mungu aendelee kukupigania
@AdrianoMwenda
4 ай бұрын
Asante sana Mr Nanauka ujumbe huu ni muhimu sana kwangu na kwa yeyote yule anayetamani kubadili hatima ya maisha yake.
@sissionenekiroway3301
4 күн бұрын
Since I come across this intelligent man all I can say is am not so late to meet you
@user-fr1ed6es3f
4 ай бұрын
Asante sana mwalimu,bado naomba utufudishe kuhusu Nurcissist tafadhali
@dolamussa8749
4 ай бұрын
Mwalimu upo sahihi ila tusipokuona unapoteza watu wako Mana mtu anakusikiliza bila kukuona wengine hatuelew kwakusikia bila yskumuona mwalimu wetu
@DORICAMATHAYO
3 ай бұрын
kwakweli tangu nianze kukufutilia speech zako zinagusa sana maisha yangu
@mahambagislain9618
4 ай бұрын
Mungu akubariki Ta ngu nime anza ku fata mafunzo kutaka kwako nime barikiwa ki akili ✍️🇨🇩
@user-gu2ee4wu4p
4 ай бұрын
Asante sana kaka Joel kwa somo zuri Mungu akubariki
@joelnanauka
4 ай бұрын
Ameen Ameen
@ImaniMandoto
4 ай бұрын
Nashukuru sana mwalim Joel Kwa masomo haya hakika yana nisaidia sana.
@JojoLomalisa
4 ай бұрын
Amen amen be blessed Kaka Nanauka hakika nakupenda Sana ,umezidi kuwa mentor wa maisha yangu jaman barikiwa Sana sanaaaaaaa. Nahitaji kuwa at the top and I will be 🙏🙏🙏💪💪💪💪💪💪
@EinothNguyaine
4 ай бұрын
Asante sana pastor Nanauka for sure since nimeanza kukufatilia katika masomo yako mbali mbali kuna hatua Mungu amenipa and one day nikikutana na wewe na kupata nafasi ya kuzungumza na wewe utaamini haya ninayoyasema. Shukrani sana naamini ipo siku nitakutana na wewe sijui ni lini wala sijui ni wapi ninachoamini nitaonana na wewe! God bless you 🙏
@ponsianaprotas8990
4 ай бұрын
Asante sana Joel Nanauka. Nitafanya jambo fulani ambalo nilishainza lakini, sikufanya kwa ubora, kiwango cha juu na kwa ufanisi. Baada ya kukusikiliza, naamini Mungu atanisaidia na nitafanya maajabu. Pamoja na kuwa umri umekwenda mbele, lakini naamini kama siku zangu hazijafika, nitafanya kitu. Ubarikiwe.
@amanisalumu4682
4 ай бұрын
Asante sana Mkufunzi. Somo fupi lakini lenge kubeba misingi Mikubwa sana kwenye hatima ya mtu binafsi 🙏.
@bursaclinic23
4 ай бұрын
Asante sana coach barikiwa sana nimeona kuna nguvu kubwa kwenye watu unaoambatana nao unaweza jiona upo sahihi kumbe ndo unadidimiza ndoto zako, naanza mabadiliko kuanzia sasa asante sana kwa sopo zuri, pili, eneo la vipaumbele inabidi niweke mkazo sana ili niweze kupiga hatua kubwa zaidi ya kuifikia hatma yangu, asante sana sana coach umenipa mzigo mkubwa ndan yangu wa kufanya kitu kabla huu haujaisha niweke alama kubwa kwenye maisha yangu. ' barikiwa sana coach
@Ishiutakavyo
4 ай бұрын
You have changed me a lot. Even with my team. I think you have a real knowledge on how you can change someone mind to re think again. Thank you a lot brother
@kabibiscovia9141
4 ай бұрын
asante saan joel , mimi nina uhakika nitafikia pale ninapotakiwa kufika kwan naona mungu akizid kuniinua kikubwa naomba mungu anipe watu wakuambatana nao ili niweze kufikia jambo langu
@user-qw1ft2ss7u
4 ай бұрын
Mungu akubariki nanauka wewe ni mtu muhimu sana kwa nyakati hizi
@user-nr2mp8yb1o
4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki broo joel nanauka
@InviolataNduye
4 ай бұрын
Shukrani sana kwa chakula cha ubongo
@LeilaMjaka
4 ай бұрын
Kwanye iyo koz nataka nanamba ninayo napiga lkn aipokelewi nikitaka nipate muongozo ili Nami nijiunge.Shukra kwa masomo yako yaninijenga mno.
@joelnanauka
4 ай бұрын
Naomba namba yako
@AthanasioDungumaro-rj4bc
4 ай бұрын
Your a good teacher in my life i learn something about the power of making decision.
@GenzeSezali-bu4tb
4 ай бұрын
Mimi nifundi mzuli wakuchonga mbao napia mimihuhuyu nifundi mzuli wa umeme wamajumbani , Kipindi nikiwa katika kufanya kazi yaufundi Selemala natamani niwe mfanya biashala mkubwa wakuuza vifaa vya ujenzi ila pesa niliyonayo nindogo kiasi inanikatisha tamaa kuwaza kuanzisha biashala naomba ushauli. Nikiwa nafanya kazi za umeme napata mawazo ya niwe na duka lakuuza vifaa vyaumeme ila mtaji nimdogo inanikatisha tamaa unanishauli nifanye Nini mwalimu. Inje yafani natamani niwe niwe mfanya biashala was duka la vyakula nishauli mwalimu. Natafikilia pia kufanya biashala ya uwakala was kufanya kamisheni mwalimu napaswa nifanye Nini maana tazama ninameki sana lakini pesa haizai inateketea talatibu nisaidie mawazo?
@alhajrahassan89
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana Joel nanauka hakika unatuelimisha sana
@janetmbwana553
4 ай бұрын
Àsante sana coach 🙏🙏🙏 barikiwa kila iitwapo leo
@user-nu9hc6kr9y
4 ай бұрын
Ni kweli Mr Joel ni kama Mimi Nina malengo ya kuongeza ujuz wangu katika taalama yangu ya kuwapunguzisha watu wenye changamoto ya uzito mkubwa, unene kupitiliza na kitambi Kwa sababu nilianza kuwasaidia watu wenye changamoto ya kisukari nikajikuta napata wazo maana wenye waliopona waliambia kuwa wanapungua uzito Baada ya kutumia
@JamalPaulo-jt1ju
4 ай бұрын
Kweli ninapo kusikia najikuta napata maarifa mapya . Maishani mwangu natamaani pya nakuhitaji uendelee kunifundisha.NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUKUMBUKE SIKU AKIKUITA AKUPE MWISHO MZULI NAWEWE UWE MIONGONI MWA WAMALAIKA WAKATAKAE KUA NA FURAHA MILELE NA MILELE . Kwasababu umeokoa watu wengi sana ,WAMETAMBUA MISINGI na MIKAKATI AMBAYO WANAWEZA KUFANYA ILI WAFANIKIWE . Nanauka : endelea kua na moyo wa dhahabu ili mwanga wako utuonyeshe njia ya kufanikiwa na kuongeza maarifa . p6
@petermunuo1657
4 ай бұрын
Ahsante sana kaka Joel Nanauka mungu akubariki sana
@felixrobert9734
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel
@hamisally974
4 ай бұрын
good morning team Joel
@maalimkhan
4 ай бұрын
Asante sana. Tupo pamoja Kila hatua... 🙏
@mboneasadiki-ug4gs
3 ай бұрын
Thanks xan kk Joel
@ENOCKDANIEL-jo3ed
4 ай бұрын
Asante sana kwa somo zuri Coach joel
@user-oe2vl4zm6m
4 ай бұрын
Joel wewe ni baba wa taifa alama yako itaishi kwenye mioyo yetu vizaz na vizaz this year lazima nikutane nawewe
@jamesshirima33
4 ай бұрын
Asante sana kaka ubarikiwe
@johnjames-pw1dp
4 ай бұрын
Thanks Bro kwa ushauri mzuri Much respect 🙏🙏
@KalabaKlb
4 ай бұрын
Asante sana mwalimu, mwenye enzi bwana MUNGU akubariki, ila iyo namba uwaga awapokei.
@pikanaauntzuu1466
4 ай бұрын
Asante sana professor Joel ❤❤
@Udindigwa
4 ай бұрын
Amina Baba
@julianalaly2095
4 ай бұрын
Sawa sawa, asante kaka..
@jabilmusa7569
4 ай бұрын
Hakika tunahitaji kujinoa zaidi kwenye skills fulani
@yusufuheri6524
4 ай бұрын
Asante mwalimu wangu
@user-li3zn9qk4d
4 ай бұрын
Ahsante sana kaka from Burundi
@user-xk7mr6mt8j
4 ай бұрын
Good education brother
@194summer
4 күн бұрын
Nimeamua kufanya malamuz kuhusilan na elimu yang
@aliceSamson-de6br
4 ай бұрын
Kaka nakufatilia mda sasa lakin nashindwa kufanya maamuzi mim nimeajiriw kwenye kampuni Fulani lakin mpaka Sasa nadai mishahara miez tisa na hakuna dalili lakin nina frame mahali nataman nikajiajiri lkn sina mtaji maan akiba yote imeisha naomba ushauri wako tafadhali
@blues4life633
4 ай бұрын
Na je ukiwa nazo vision zaid ya 1 utajuaje ipi ndio mahususi kwako?
Пікірлер: 53