Hili jamaa ukiliiga unafilisika au unakufa kabisa Tumor tu mauwa yake🎉🎉
@tanzcanmediatv4473
9 ай бұрын
Iga ifilisike uishiwe hadi boxer.harmonize fanya kwa level yako mazee utafilisika
@user-qi7px6nb8r
9 ай бұрын
Jamaa level nyingine jamaa hakuna wa kumfananisha na msanii yoyote hapa africa
@hajjiomary2383
9 ай бұрын
Awataki wanakwambia anaiga miziki kiba mkali or anavuta unga shida kibao
@joanbwahama-rx3tc
9 ай бұрын
Sio Africa sema Tanzania
@RenifridaRamadhani-ml4ge
9 ай бұрын
Wew acha uongo sem Tz lkn sio Africa
@ChaiboMomade-gd3bk
9 ай бұрын
Simba 🔥🔥 ni nomaaa
@NasibSam
9 ай бұрын
Diamond platnumz is undisputed champion here in Africa
@vinny.morales
9 ай бұрын
This is a true definition of a Super Star🎉
@user-sw8np1pq6w
9 ай бұрын
Ivi ndivo msanii mkubwa anatakiwa aishi
@PaulNzima-pd8il
9 ай бұрын
Mfalme ni Moja East Africa.... SIMBA La MASIMBA 🦁🦁🦁🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇿🇦🇿🇼🇧🇫🇿🇲🇧🇮🇮🇪
@bakarimganga554
9 ай бұрын
Weee Zhombii....😂🤣🤣🤣
@geoufo2858
9 ай бұрын
Hii Inaitwaa iga ufulie on spot
@bjzee1981
9 ай бұрын
Hawa wasanii wasikutishe ndugu. Ukweli wao hutokea baada yakufulia. Nakumbuka prezo wa Kenya alie kua aki enda show zake na helicopter. Kumbe jamaa alikua akikopa hela zaku kodi huku akiumia. Manyumba ya kifahari nairobi alikua ana kodisha sio yake. Baada yaku chapa ndio akaja hadharani kutu umbua tuliio kua tuki mshobokea
@kabwelerywamwatumu5078
9 ай бұрын
😂😂😂
@danieljs4285
9 ай бұрын
@@bjzee1981 aah tuache uongo bhana mond ana pesa wanaofake ni hao wengine
@issackathman850
9 ай бұрын
@@bjzee1981tafuta hela ww
@Jimmy12692
9 ай бұрын
@@bjzee1981😂😂😂 Hakuna msanii aliefikia hii lifestyle ya Mondi hapa Africa mashariki ukweli useme jamaa ni superstar kweli kweli😂😂
@yanickmustafa7221
9 ай бұрын
Diamond platnumz 🙌🤴🦁
@allyfatma7359
9 ай бұрын
Haya.mpangieni maisha mliosaidia kutafuta pesa.
@barakarajabu9751
2 ай бұрын
Ebanaee acha mond aitwe mfalme wa Tz ni halali kbx because ameshakua mxanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa upande wa pili kaeni hivyo hivy mkimuiga chibu mta lala njaaa platinum hakamatiki c.kwa pesa,kimuziki au kwa kuwekez Salute xan chibu popote ulipo aman xan kwako pamoja na familia yako kwa ujumla
@user-fx5gu6xs5o
8 ай бұрын
Diamond is another level❤❤❤❤
@upendoluva2066
9 ай бұрын
Hongera zari umekunza watoto,baimond kanza buti upo vizuri baba.❤❤🎉
@TajiriHalisi-ez1tf
9 ай бұрын
Simßaaaaahhhh🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@muddymiusic1624
9 ай бұрын
Simbaa🔥
@aminatanzanya7475
9 ай бұрын
Mtangzj mbona husem akiw mpenzi wake Zuchu 🤣🤣
@aaa64sa13
9 ай бұрын
Zuchu na Boss wake wanaekekea kazini.
@user-wi6uk1vz1h
9 ай бұрын
@@aaa64sa13tant pis pour toi tu cherches à te réconforter
@user-wi6uk1vz1h
9 ай бұрын
Et vous avez trop mal les détracteurs
@user-fj3yf1my6e
9 ай бұрын
Simba ndo simna tuu
@raphaelkayange9889
7 ай бұрын
Hongera simba
@user-th5xz1fg5t
9 ай бұрын
amebakiza t kuwa mtumixh wa kanixa
@deonatusyokta3579
9 ай бұрын
Huyu muha kajipata walahi😂
@milazoomilazoo4494
9 ай бұрын
Hala ndioo tunaposemaga daimondi hafananishwi na huyo mavi hamo kupigapiga kelele tuuuu mpuuuzi huyoo
@elinamilyatuu7337
9 ай бұрын
Super star,Super kabisa ile gumzo ya kitaa
@easternyerembe7271
9 ай бұрын
Magari yote ninayo hayo na zaidi cjionyeshi tu😊
@alliymohamedalliy6524
9 ай бұрын
🤦♂️ 😂😂😂😇🚮
@asahdhamza1034
9 ай бұрын
😂
@abdulrahmanhassan8502
9 ай бұрын
Labda toys
@suleimankhamis8298
9 ай бұрын
life is too short vuruga baba unaishi mara moja tu
Simbalamasimba Dangote wee zombiiii haujuiii ayayaaa ayaaaa wataelewa tu
@alimkumbukwa8363
9 ай бұрын
E nomaa
@stevenlyando1801
9 ай бұрын
Maji namafuta uwa vinajitenga vyenyewe,huyu mwamba ndio nembo ya mziki wa nchi hii halafu kuna kunguni zinajifananisha na jamaa,ukitaka kufirisika nunua hizi ndinga kama wewe unamsuli kweli kama hujafunga gang🤣🤣🤣🤣🤣
@magomakabanja480
9 ай бұрын
😮 Napambana na Hali yangu Sitaki Kumuiga Huyu Simba la Masimba Dangoteee Nisije Weka Uhai Wangu Poni Wazazi na Mke Wangu na Watoto wangu Wakabaki Wanataabika Hongera Sana Mondiiiii Kwa Mafanikio yako ila Usisahau Kama Kuna Kufa 😂😂😂😂😂😂
@davidwalalason7630
9 ай бұрын
This dude knows how to position himself frfr
@MajaxAlp
9 ай бұрын
Kuna wa Kaz na mud wa mapenz
@vickystephano224
9 ай бұрын
Hela Hz jamaniiii
@seiftaji7838
9 ай бұрын
Konde hana pesa bali ana visent vya machungwa ila anatuna sana
@martinfrancis9808
9 ай бұрын
MAISHA ALIYOFIKIKIA DIAMOND HATA AKIACHA MZIKI HAFILISIKI TENA ANA PESA NYINGI
@flm1530
9 ай бұрын
Nan kakudangany hela za shetani zinadumu?
@user-zu1wd4hj2v
9 ай бұрын
Acheni shobo kwasa babu diamond platnumz ni musani mudogo Sana Africa na kama unabisha mufatiliye davido au burna boy njo utajifunza mengi 😊
@StephanoMashavu-mw2ij
9 ай бұрын
Mm nkajua utamtaja wamfatilie harmonize au kiba kmbe Burnaby hapo nmekuelewa
@dayana5513story
9 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@paizinhosaide-cv9pm
9 ай бұрын
❤❤❤
@sulleymernmannarah7930
9 ай бұрын
Konde hua anasema yko na Hela
@rajabuhamisi3230
9 ай бұрын
Msije mkaniambia mr nice alikuwa mkubwa kuliko Simba
@happymwaseba5878
9 ай бұрын
Nimeamua nicheke hapana dai hajui kitu alafu Hana ela Wala hajui kuimba nyie aibu naona Mimi sisi tuna maneno
@tariqdasulley
9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@ndukulusudikucho_
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kelementbushishi3687
9 ай бұрын
🦁🦁🦁🙌🙌🙌🙌
@kristofuraha3369
9 ай бұрын
Wapi wakazi?!🤣
@user-xv8tb2fl5x
9 ай бұрын
Acheni kuiga mtafirisika
@issackathman850
9 ай бұрын
haha ndo hvo ka uwezo wako wa marage afu unataka nyama mhhhh
@SabadopedridoSabadopedrio
7 ай бұрын
Ae
@user-qi7px6nb8r
9 ай бұрын
Simba la masimba
@benjagaspar5304
9 ай бұрын
licha ya mzik kuna kitu chakujifunya
@asahdhamza1034
9 ай бұрын
Chibdee chibdee
@kilimaone3632
9 ай бұрын
Hii benz kanunua serikalini bei nyasi tu
@TheBastarrrd
9 ай бұрын
Hata nyasi wewe unamiliki?
@kilimaone3632
9 ай бұрын
Ndio
@agapemunyi2095
9 ай бұрын
Usipomuamini unaemdharau kuwa atafanya kitu fulan half akafanya lazim utafute neno la kujipoza na pressure, ungesema hta kapewa bure 😂😂
@issackathman850
9 ай бұрын
nunua nww sasa
@kilimaone3632
9 ай бұрын
@@issackathman850 tayar ninayo
@afterx3172
9 ай бұрын
Sasa hao wengine si chawa na dancer na wao wapo kwnye msafara, ni ile tu kutafuta tension no more
@edwardtrigga5701
9 ай бұрын
Na point Yako ni nini?!
@gideonemmanyi9593
9 ай бұрын
makalio tu
@TheBastarrrd
9 ай бұрын
Ya mama ako
@mwinyiabdallah4383
9 ай бұрын
Duh utakufa Kwa chuki
@vannyapple3401
9 ай бұрын
Juma2 Kuna watu wanamawe cyo pumbavu huyu
@TheBastarrrd
9 ай бұрын
Pumbavu mama yako
@ezekielmichael9431
9 ай бұрын
Tatizo wasanii wa bongo mapicha picha mengi mno kwa sas kama huyo diamond anatuonyeshe ana maisha ya kitajili, ikitokea tu....! Amepata changamoto yoyote ya ki afya utaona tunaanza kuoombwa michango
@geoufo2858
9 ай бұрын
Ata bakressa akiumwaa miaka kumi ataomba mchango pia acha ushamba
@shahakaisi1920
9 ай бұрын
unachosema kwa mtazamo wako ni sawa,ila haujaangalia madaraja anaweza akakwama na kuhitaji msaada lkn huo msaada sio kwa levo yako.
@sabihaibrahim143
9 ай бұрын
@@geoufo2858muongo wewe
@hassanfigo6175
9 ай бұрын
Bro wewe waangalia sana bongo movie ndio maana. Lakini sio mondi kwa level hizo hapo hakuna mchango WCB tu wakitoa michango yao inatosha sio lazma nyote muusishwe
@sabihaibrahim143
9 ай бұрын
@@shahakaisi1920ni hizo hizi mia mia zetu
@user-jq9rj4dm5u
9 ай бұрын
We zombie 😂😂😂😂
@DigonzaKeimbe-uq1bx
9 ай бұрын
🏂🏂🏂🏂
@amanikingu2267
9 ай бұрын
Hivi kwa nn magari yote Simba ni yanarangi nyeusi
@masturasudi7394
9 ай бұрын
Mmeanza
@jacobsanga6118
9 ай бұрын
Roz Roz kwan ni nyeusiii au macho yngu
@gabrielmpanda9709
9 ай бұрын
Gari yenye rangi nyeusi uonyesha Utawala,Ufalme,Uongozi na Kuheshimika na ndo maana unaweza kuona baadhi Gari nyingi zitumiwazo na Viongozi na watu mashuhuri Duniani ni za Rangi Nyeusi Lakini pia nasikia ukikuta zinauzwa Gari za aina moja na kuna nyeusi na za Rangi zinginezo basi yenye Rangi Nyeusi bei itakuwaa juu zaidi kidogo kuliko zenye Rangi nyingine
@shanatatrigger6537
9 ай бұрын
Jibu ni hili kama hujui kaulize ila gari lenye rangi nyeusi ni bei kuliko rangi zinginezo
Пікірлер: 108