Namkubali harmonize 100%,Ni msanii mwenye anajituma kwelikweli,may God bless you Konde Boy
@SaimonNelson-ev8tc
6 ай бұрын
Konde.mungu.ambariki
@SaimonNelson-ev8tc
6 ай бұрын
Konde forever🖒🖒🖒😀😀😀😀
@mohammedkidody5618
11 ай бұрын
Hongera sana konde ww ni mfano wa kuigwa kwa upambanaji wako❤❤❤
@jumakauli
10 ай бұрын
Sijambo. Hamjambo? HONGERA kwa kupiga hatua hii kubwa ya maendeleo. Ni vizuri jenga pia viwanda. Vilevile jenga shule au chuo cha sanaa ili watanzania wanifunze muziki na sanaa zingine zenye soko kubwa hivi sasa hapa nchini na kimataifa. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki na kukulinda.
@niyonzimasaleh1333
10 ай бұрын
Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Namkubali Konde 100% Kuliko wasani wengine Africa machariki
@bahatadof5543
11 ай бұрын
Umetisha,kwa kweli hawakuwezikama wimbo wako unavyosema
@dn.n4983
11 ай бұрын
Hongera be bless😊 harmonuze
@ManichManich-yj4sl
11 ай бұрын
Harmonize ni tajiri anaebisha bisha kwa hoja😂🥰💸
@user-lp7uq9ql2p
11 ай бұрын
Ya kwanza Sio prado ni land cruiser 200, inayofuata ni land cruiser 300, inakuja Audi a, ya mwisho range lwb, he really leave expensive life
@zubedahumphries4478
11 ай бұрын
Waaaoooo magnificent. Konde congratulation sir Mjengo fab. Ubarikiwe.❤❤❤
@jeremiahmagau8623
11 ай бұрын
Kapanga 😂
@user-qt5wb4ep3n
6 ай бұрын
Iko chonjo Mzee mijigari kama zote na jinyumba lenyewe masha Allah pongeza sana lkn namuomba konde boy Kazi ya compound yeke yamemeya kwenye mawe compound nzima na mid Niko na ufundi nao Nipe naki ningarishe jicompound lako LA ki fahari utapenda mwenyewe mzee😊😊😊😊❤❤🎉🎉🎉
@user-xh7wy2mi2j
11 ай бұрын
Mimi ni mu Burundi lakini kwa kweli namkubali san huu rajabu kuliko wengine wa sani kutoka tz hata sijui kwanini. Lakini pia ana utuu fulani hivi sio mjivuni
@hadija846
11 ай бұрын
Nami nampenda sana kwa upambanaji wake na ustaarabu wake hata kama watanzania baadhi yao hawapendi lakini mimi kuna mengi sana ninayojifunza kutoka kwa Rajabu Harmonize 😍
@mwassfrank2930
11 ай бұрын
Kondeboy nimpabanaji kweli ni wengi tunajifunza kwake
Koma tena koma ishia huko huko rundi kwenu kawapende warundi wenzio kwan nyie hamna wasanii au ndo unataka utukize ubinafsi et hana majivuno unamjua vzr huyo wewe
@asharamadhani9801
11 ай бұрын
Hapo kwenye utu✅
@NAKOLOMOEVERLYNE-ln2fk
9 күн бұрын
Hongera Konde boy ,,we are proud of you as Africans 🥰🥰
@MumoKitei-hn6ry
2 ай бұрын
Namkubalia sana konde bwoy , he is my favorite
@hadija846
11 ай бұрын
YAOYAO JESHII 🙏🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 ❤️ ❤️ ❤️ ❤️❤️💖💖💖💖💖😍💯
@SauloGerald
2 ай бұрын
Huyu mwamba ni shida, nakukubali CONDE BOY
@user-fg3yh3mo9y
9 ай бұрын
Mimi ni mu congo alahmu dulilay namu ogopa hamonize nimwamba apewe sifa uyo ni tajiri sana wandugu zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯
@user-fg3yh3mo9y
9 ай бұрын
Kama wewe nimwana jechi bonye za alama yakengele hapa?
@SalimKombo-xo4pq
9 күн бұрын
Kula bata mwangu konde boy. Tunakupenda sana.❤
@anthonymanuana4572
4 ай бұрын
We ndo mwisho djeshii. Saluti
@zerbonofficiel6192
11 ай бұрын
boss konde we ni number moja
@rerisamba
11 ай бұрын
Mimi pesa za wenyewe shikamoo yani sitamani kabisa
@user-kf6kw2yz2e
5 ай бұрын
Vraiment félicitations mon Cher Harmonize, ma première Star tanzanienne. That is God's plan.
@AbukariLukasi
Ай бұрын
Mungu awenae kwakaz nzuli anaeyifanya
@albertngetich4632
11 ай бұрын
Namkubali Sana Harmonize Fan Kutoka Kenya
@TatuChristine
10 ай бұрын
Namupenda sana kweli harmoniez
@CelestinKasereka-cv7qv
Ай бұрын
Mimi waga na penda kitu chamaana kwamsani yeyote wa Tanzania mimi siyo shabiki wa upuzi apa ni adjuni samuel kutoka congo
@ousmanihunter5801
10 ай бұрын
Kijsna acha afurahie maisha katoka mbali sana
@ellykisengya6622
5 ай бұрын
Jina langue Elly Na toka Congo hasa niya yangu Na tamani Siku moya nimuone Konde sasa sina namna yeyote sijuwi ni fanyeje
@JosephatWesonga-ef7gq
10 ай бұрын
Dah, congratulations konde boy❤
@user-my4fn4bf1i
6 ай бұрын
Nampenda harmonizer me shabiki ake❤
@CarleyKenyan
3 ай бұрын
Konde geng forever ❤️🔥
@JafariAthuman
3 ай бұрын
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana❤❤😂😂😂
@piano01774
4 ай бұрын
@Big-up xana the best Tanzanian artist.
@user-pg2um6qp5m
6 ай бұрын
Nakubali sana Kaz za harmonizi haswa Jr hapa💻⌨️💽
@democritenzoisaba9117
8 ай бұрын
Mbengo Tv we appreciate your video good job.
@charleswambua7186
11 ай бұрын
Truly talent is priceless. God is amazing.
@MachibyaMassanja
6 ай бұрын
Hongerehamonise
@MachibyaMassanja
6 ай бұрын
pambana.hamonise
@michaelaloyce2072
7 ай бұрын
Maisha ya sinema, Hawa wasanii wakiumwa ndo wanakubali ni maskini na kuomba kuchangiwa😂😂
@JafariAthuman
3 ай бұрын
Nakubali kaka umepambn na Bado unaendelea kupambna kimziki pamoja sana
@user-xl8bs8be3s
9 ай бұрын
Mimi moja wapi kutoka nsimbiji ,nankubali sana uyu dogo
@Robissonyhaonga-ot3sk
7 ай бұрын
Harmonaz na mkubali %150 Mungu akulinde booradha
@AmeldaKavishe-ry9ow
11 ай бұрын
Sasa magari yete ya Nini ajenge magesti mashule ya praiveti afunge na kuku awape watu ajira kampuni Mambo yabiashara watu wapate ajira ata kwa ndungu zake upamde wa Mama wa baba awape ajira familia magati mawili yanatosha makali
@nifahaji7752
11 ай бұрын
Iyo nyumba kapanga mwenye nyumba yake ndio mwenye nyumba ya diamond
@ruthwaitherasshhb9382
11 ай бұрын
@@nifahaji7752kwa hivio wataka kusema hiyo si nyumba ya amejenga mwenyewe
@sultanmswahilitv4864
11 ай бұрын
Wacha wivu
@nifahaji7752
11 ай бұрын
@@sultanmswahilitv4864 sasa utaki nipe namba yako
@isaacchris-6032
11 ай бұрын
Harmoniz never give up as your song says
@user-fk7oc6vl6y
4 ай бұрын
Hâta mimi namkubali🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@karirekinyana9759
9 ай бұрын
Danmark tunampenda sana Harmonize ❤❤❤❤❤❤ Mungu amubaliki
@JayMack-ek1zp
Ай бұрын
Vraiment c'est trop génial pour Harmonize
@user-gl3lh1tv8z
4 ай бұрын
Hongela sana kwamjengo hawakuwezi
@hitimanafrancois8081
8 ай бұрын
Rwanda 🇷🇼❤❤❤❤ harmonize
@yahayaolomi1057
7 ай бұрын
Mie siwezi kuiga nyumba ya kupanga na magari ya kukodi
@user-et2uv9ts6h
4 ай бұрын
Jamaa nomaa
@hassanmutta921
11 ай бұрын
Naweza kaishi na sehemu inayopazidi kwa uezo wa mwenyezi mungu
@AhmedShaban-e9c
9 күн бұрын
Me niko zanzibar lakn namkubali sana hamoniz
@user-zj6xj7oe7m
5 ай бұрын
thanks my.bro
@user-ly9rz5mq7x
4 ай бұрын
Kati maisha yangu Mimi schadrack ngongo Nina mkubali konde boy Yakama ni tajiri n'a anaweza kwa kila kitu chochote kusiana na pesa mziki na vinginevyo kiukweli wewe baba yupo katika maisha yangu Mkali wangu.
@user-qm9sj6ls8s
4 ай бұрын
Hongera Sana Unapambana Mno Usikate Tamaa Utafika Mbali
@BekaBoy-tx5xq
9 ай бұрын
Nakubarri jesh
@barakajoseph2234
10 ай бұрын
Huyu msenge hii mihela ni yakutoka kwa mungu au Freemasons
@user-kf7qq3gx9w
9 ай бұрын
God bless you 🎉🎉
@user-no9ww8in3j
6 ай бұрын
Congratulations my brother
@cornelytv2839
8 ай бұрын
Harmonize congratulations 🎉🎉
@cyrusmutua2274
10 ай бұрын
The chiq is mmwaaah ❤ love you
@user-xx8eo1ot9r
8 ай бұрын
Umetisha brother by abubakar
@bentakahindi
6 ай бұрын
kibo from Kenya truly boy unapambana
@shaibumasudimgomba-wu1ey
9 ай бұрын
yupo siriaz tembo good sana anapambana
@user-jd1jg7xt5c
5 ай бұрын
Kòman u ye afriken m yo🇭🇹🇭🇹🇭🇹
@user-vn4nz2qs1i
6 ай бұрын
My favorite musician konde boy
@JosephatWesonga-ef7gq
10 ай бұрын
Eti wanaogopa maisha magumu bana😂😂😂
@MasiyaObedi
20 күн бұрын
Namukubari harmoniz
@JayMack-ek1zp
Ай бұрын
❤ kondo mungu mukubwa sana
@levisdiamond4797
11 ай бұрын
Ma freemason ndo mnatwambia tunatafuta na jasho yetu na tutafika pole pole
@harrietajiambo229
11 ай бұрын
Nakuunga mkono hawa ni waabudu shetani
@CosmaEmmanuel
2 ай бұрын
Konde hongera mm nakupongeza
@user-bt3yp2sc1k
10 ай бұрын
Nakubali yuwajitaidi qwel
@mukanoheribeath9670
11 ай бұрын
Konde we njo wangu unaweza sana kbs na ubarikiwe sana
@user-ll3pk6jf7s
10 ай бұрын
Hongera sana
@sammiebabu8550
7 ай бұрын
Congratulations 🎊
@MachibyaMassanja
6 ай бұрын
Hongera.hamonise
@yahayaolomi1057
7 ай бұрын
Nyumba ya kupanga unamsifia kweli?mi mwenyewe nimemzidi maana naishi kwangu sijapanga hata kama ni kibanda
@user-un2ub2cg2b
10 ай бұрын
Mimi Omari Shabani Naprshete
@user-nf1di7pn5j
7 ай бұрын
Waooooooow konde uishi mia mia love 💕💕💕
@JohnInfirmier-gg1ex
10 ай бұрын
Ni cela aimbe na mwana mziki wa congo agressivo nyandoro
@user-ir3mz4ue4k
5 ай бұрын
namukubali sana ❤❤
@Christianbround
Ай бұрын
Kweli, love life konde village
@user-kx2vu9ms6t
6 ай бұрын
Ni vzr zd kpambana
@user-wx4gw1kw5z
6 ай бұрын
Namkubali kondeboy
@muhydinaden552
6 ай бұрын
Interesting 🤔
@ZefrinMapya
2 ай бұрын
Namkubareeee Sana 🙋🙋
@user-cc8rf4kt2d
6 ай бұрын
Umetisha konde ❤❤
@bangiricengeshaban9582
10 ай бұрын
😂😂uo ni uongo
@user-vf5zq5rr4d
11 ай бұрын
Oyaa wakukaya ee baba nomaa,
@user-kw8pe9pk4l
7 ай бұрын
Mungu akuzidishie
@JohnKansama
Ай бұрын
Nakupenda san harmonize
@djkrafa
8 күн бұрын
Djkrafa 254 Kenya tembo number1 Africa mzima shapiki.mkubwa wa konde boy
@andersonrwabanda2040
6 ай бұрын
Hongera Sana
@user-lb6wv7yu4y
6 ай бұрын
Asante sana harmonize
@user-yt4nl1be5p
10 ай бұрын
We ni mukali bro
@MascateBuananli
9 ай бұрын
Mimi wewe nakuenda sana,onasema mathathiso rafikiago Alikiba assante napenda sana
@user-dl1wm1ls4p
4 ай бұрын
Jeshi unaweza
@kwandiwageorge2826
10 ай бұрын
Nyumba zakupanga izo nikama janjaro alipanga ghorofa kubwa na uwoya wake kingineee magari mengi hapo angalia hayana plate number wanapgia picha
@Miche7_
11 ай бұрын
Mimi wa kwanza
@MawazoMwamba-fz5hr
8 ай бұрын
Hongera sana kaka
@fidelisokemwa4827
5 ай бұрын
Nyinyi WaTanzania mnatushangasha ni hizi mbwembwe zenu, mara nyumba ya kifahari ya Ryavani, sio ya Mr Pimbi, wala ya DC Mwijaku, na sasa ya Harmonize....hamwiishi na vituko na zarakazii.
Пікірлер: 361