WAKATI TUKIWA TUNAANDAA TAMTHILIA MPYA, KWA SASA NITAKUA NAWAPA SHORT CLIP KUWACHANGAMSHA KIDOGO MASHABIKI ZANGU MSIBOEKE
@kshayofurniture2941
5 ай бұрын
Huna bays
@ibranoahngidange5909
5 ай бұрын
Kazi nzuri sana kaka
@ibranoahngidange5909
5 ай бұрын
Yani haichoshi hatari sana
@SuzanaMtipa
5 ай бұрын
😂mtu wa maana Sana ww
@CollisBill-mu3zp
5 ай бұрын
Attention
@zomasamweli
5 ай бұрын
Tunakupenda sana kicheche ila kumbuka na madili ya nchi🇹🇿 yetu nijukumu letu watanzania kuyalinda ukiwemo na ww kicheche hivyo katka kazi zako zingatia na maadili hayo ndo, maoni yangu kwako kicheche
@MwakaJunior
5 ай бұрын
Perfect🎉🎉🎉
@mahsharhassan.5295
5 ай бұрын
well spoken
@ErickMwendwa-c3d
4 ай бұрын
Duu maadili 0 basata where are you
@BADILIJUSTUS-fs3oo
4 ай бұрын
The truth
@jaycredo3724
4 ай бұрын
Hapa Umepitiliza Sana Mzee
@BrunoMafinge
5 ай бұрын
Ala kicheche na idyoi comédie zako leo, milikya Misha miss comedy zako kama ya leo. Thanks your groupe kicheche comedian.
@khamzalockymaster6008
5 ай бұрын
Umeshawasili mjini vyema saaana💫💫 nakuamini kicheche from Burundi hapa 💯💯 Nipeni like zenu wadau team kicheche oyeeeeeeeee
@dangmoney9825
5 ай бұрын
Na mimi napenda nyama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@kicheche
@Professor.Irene95
5 ай бұрын
Wakwanza kutoka dubai kazi kazi ❤❤❤ tu akupenda kicheche kazi nzuli🎉🎉🎉❤❤❤
@BijouxMunezero-q8e
5 ай бұрын
Kazi zuri kicheche kwakweli nukukubar kabisa
@kichecheBurund
5 ай бұрын
Like father liké son aita kwisha bila sja cheza ndani yaiyi Season nyipya ❤❤❤ sijuwi unasemaje brother kicheche ❤❤❤❤❤
@MichaelElias-jz7io
5 ай бұрын
Nalombalike zangu much love from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@KasimuIbadi-z6r
5 ай бұрын
Oyooooo Leo ni Leo tunaanza na kichupa kipya🎉🎉
@SelemaneIssa-vr7po
5 ай бұрын
Namkubali kicheche leo m wakwanza naomba like zangu
@salmasalam3268
5 ай бұрын
Waombe like mnaboa 😮😮
@SashaOscar
5 ай бұрын
Tena sana
@RizikiZiki
5 ай бұрын
Iyi kali ya mwaka 😂😂😂😂
@abdulwahidmsellem1998
5 ай бұрын
Kitu kinachokera ni kila mtu anaomba like
@3malis
5 ай бұрын
Usimpe tuuu😂😂😂
@Safarikenga-tf3si
5 ай бұрын
Ata mm inanikera badala ya kuwapongeza na kuwasuport n kuomba tu likes
@abdulwahidmsellem1998
5 ай бұрын
@@3malis 😂😁😂
@PAULMAKONDA-TV
5 ай бұрын
Oyaaaa kwa mala ya kwanza nimewahiiiii like kwangu
@pawasacomedy
5 ай бұрын
Love from Rwanda 🇷🇼 ❤️ uyundo kicheche sasa hap ndotunahataka
@FrederickTeteema
5 ай бұрын
Kumbe Mwajuma alinyoa kweli .....😂😁 Napenda..
@DadyMaombi
5 ай бұрын
Kicheche wewe noma sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@CitizenSaido36
5 ай бұрын
Umenifuraisha sana heti case ya otimbi unampelekea natimbiliyo😂😂😂😂❤mbwa kicheche
@AdijaRumonge
5 ай бұрын
Kecheche simamisha iyo movie Haina mafunzo yoyote kwajamii asa watoto
@princemichael3023
5 ай бұрын
Sasa nani amekwambia tunataka mafunzo
@kevingasper5838
5 ай бұрын
Mafunzo yanapatikana shuleni mbwa wew😂
@celestinmutula
5 ай бұрын
Kwani ww unatafutiyaka mafunzo kwenye comedi ??? Una shangaza San? Akuna mafunzo kwenye comedi APA mwendo kucheka tuh😂😂😂
@hassanimbonde8088
5 ай бұрын
Lenyewe funzo usiangalie utaota
@chongwestephano3342
5 ай бұрын
😂@@kevingasper5838
@GeorgeJaphet-np5hx
5 ай бұрын
KAMA unamkubari kicheche nikuone😂🎉🎉🎉
@mcjakababakenya4912
4 ай бұрын
King of washerati mbwa wewe😂😂😂😂😂😂
@Alidainvite
5 ай бұрын
Mimi hapa babaaaa
@Jaydannychawaboy.
5 ай бұрын
Mwenye mitulinga huyo mbwa mitulinga ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Debadebrossmkr
5 ай бұрын
Aise hizi ngoma kali kweli 😂😂
@LucasBurton-yj3jl
5 ай бұрын
Tunaagiza lamba lamba tunaletewa like father like son 😂😂😂😂😂
@judithpendo9985
5 ай бұрын
😂😂😂kicheche Niko apa wa kwanza like zangu ♥️♥️💞💞
@MickJoseph-wm3xu
5 ай бұрын
Leo wakwanza ni mimi nipeni like zangu tim kicheche
@philipogabriel6056
5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 unatuchukuliaje washabiki wako au ndoo tayari ushaona unatumudu?? m nakufatilia sana sema huwa siyo mpenzi wa comment ila kwa hii movie umenikwaza
@mbagoboy1
5 ай бұрын
Wakwanza mbw 😅😅😅mimi
@Orgenemizzyy
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mbwa kicheche babaaaaaa, letaaa kazii
@JanethiMwakasege
5 ай бұрын
Tomboy wetu hatujamuona ...mwekeni awatie makofi kicheche na baba ake😂
@JovitaBuberwa-zh1gl
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 kicheche mwehu weeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@clementkomba
5 ай бұрын
Sema kicheche izo cripsi sio good kwa maadili ya nchi yetu fanya video amabzo zipo good ud
@seifhamoud2718
5 ай бұрын
Kicheche hana akili hata kidogo😅😅😂
@AdoMufalm
Ай бұрын
Bien sana kakangu kwa mtandao andikatu ado mfalme upate wimbo mpya ❤😂 asante sana
@fadhilingari4427
5 ай бұрын
Kumbe queen na zuena mlinyoa kweli 🤣🤣🤣,, I thought ni filters 🤭🤭,, Queen wachekesha na kipara🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈
@liliy-u3n
5 ай бұрын
😂😂😂 eeeh adi nilimwona live alinyoa kweli
@RajabuMohamed-gz1ms
5 ай бұрын
Popo mbili zavuka mto 😂😂😂😂😂😂
@georgegayo3568
5 ай бұрын
Wa kwanza from Zanzibariiii
@Layzer_photographer
5 ай бұрын
kiukwely bora hii baba kicheche manake ile ya uchawi mpka huyo mama nilikuwa namwota daah kubabake 😂
@priscakimburi-sl9ml
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂hii kali usichelewe sana basi tunasubiria kwa hamu
@Chawamsafi1
5 ай бұрын
ingekuwa sio mtandao unasumbua ningekuwa wakwanza kuangalia naombeni like za kicheche
@delbincewilondja7827
5 ай бұрын
Kicheche vp kuhusu movie yetu ya Pesa na matatizo ? Tunaomba hiyo
@watambulaioci
5 ай бұрын
Hihi itakuwa kali kweli, acha tuendelee kuhisubiri, team kicheche twende na likes.
@Mwanajuma-j5i
5 ай бұрын
Kicheche jamani haa wewe kaka bwana😅😅😅😅😅
@Mr_Lionize
5 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 twaipenda😅😊
@Barnizeboy
5 ай бұрын
Kicheche we ni hatari 😅 Umbwa www😢😢😮😮😮😮
@mreleazar
5 ай бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Mbwaa usherati
@FulgenceMikaOfficial
5 ай бұрын
Yaani!😂😅
@FarajaraphaelGwimo
Ай бұрын
Hahhahah,mpenda futa, nakukubal sana mzee wa sekunde umemaliza
@elinapetro7136
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mtu na baba yake nivichaa kweli😅
@cally-wise
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nyaaamanyamaaa ,tunapenda nyamaaa
@amosnnko7792
2 ай бұрын
😂😂😂😂kicheche wew ni jinga sana😅😅😅😅
@Navaronetvmusic
5 ай бұрын
Fanya kazi apa mwana like father njo miye mwana
@JOHAREHfilms2023
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌 Mzee Mogadishu kashaharibiwaa akili na kicheche aisee sio Kwa ilo cheko lakee,...😂 ila mtu na mwanawe bhanaa😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌👋
@mohammedkidody5618
2 ай бұрын
Kicheche mbwa ww umetisha sana😂😂😂
@mariamcrispo8296
5 ай бұрын
Kazi nyingine bhana
@mahsharhassan.5295
5 ай бұрын
Content kama hii sio nzuri kicheche kwa sababu watoto tunaozaa na kulea wanaangalia na inakuwa picha au mafunzo mabaya kwao .Tafadhali jaribu utengeneze content ambayo haitaharibu maadili na desturi zetu na hata dini
@ziromind7592
5 ай бұрын
Jamani! Watu wamekazania màadili maadili!, sahihi lakini Sio kila muvi lazima uitazama pia ishu ya watoto kuitazama, si kosa la kicheche bali we mzazi / mlezi! Kwanini umwachie mwanao aangalie
@RichardMuteke
5 ай бұрын
😂😂😂😂 yaaani unge ifanya iwe hata refu kidogo kicheche pleas nime ipenda sana❤
@K6A40
5 ай бұрын
Zangu sekunde Tuu Baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@edgernyongesa
5 ай бұрын
Msijifanye hamjasikia kubana makalio wakati wa kusaga.....😅😅😅💔
Пікірлер: 894