Mungu nakuomba umponye tundu lisu. Hakuna kunachokushinda. Amina
@furahamwalongo8129
7 жыл бұрын
Very sad, may God rescue him
@xhebahazad6505
7 жыл бұрын
Mi simpend tu Watu wanahangaika kupigana vita ya uchumi yeye n analeta siasa tu tena za maneno Hatuhitaji watu waongeaji sa hivi tunataka vitendo vya ujasili kama utumbuaji hatutaki maneno (ila pole)
@hashimuhehwa4389
7 жыл бұрын
xheba hazad wewe unapenda maendeleo yà kinafiki kama huwezi kuhoji hela za walipa kodi zinavyorumika bila utaratibu unaweza hoji visivyooneka?! Kama hujui nini watu wanapigania vyema ukafunga domo maana nayo ni busara
Пікірлер: 4