Asante Sana mchungaji kwa ma somo Haya,kila ninapo fata somo lako napata nguvu mpya.ubarikiwe.
@yobike9680
9 ай бұрын
pastor ni secilliah naitanji kukili mungu kama mwokozi wa maisha yangu .naitanji kupatishwa niko kenya
@Joycependopendo-dv2tb
8 ай бұрын
Amen nimebarikiwa sana na mfundisho mungu wa mbinguni akubariki
@prosperjohn6
Жыл бұрын
Mwalimu huu napenda sana nisiseme uongo, wewe ni mwalimu wangu na pamoja na kwamba niko pentecostal but I really appreciate his preacher
@yobike9680
9 ай бұрын
pastor ni secilliah kutoka kenya .naamini kabisaa maisha yangu was hii niko katika giza totoro but naamini mungu ataingilia kati
@khadijajulius2611
7 ай бұрын
haleluya Mchungaji Mungu akupe maisha marefu
@hekimamwashambi6143
Жыл бұрын
Amen pr.mungu azidi kukubariki nabarikiwa sana na mafundisho mungu azidi kukutumia kwa kazi yake .nafatitilia toka mombasa kenya
@marthanjeri4980
6 ай бұрын
Barikuwa sana mchungaji Mungu na akutumie zaidi
@magirifaith9435
Жыл бұрын
Katikati ya changa moto kuna mungu!!!..am blessed 🙌
@kulwamigo9127
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho Yako Mch. Dm. Mungu akubariki sana🙏
@slamafamily5720
9 ай бұрын
Amen Amen barikiwa sana pastor
@jacintasyombua7512
Жыл бұрын
Ijili yako inanitia nguvu Sana mbarikiwa sana pastor 🙏🙏
@rachelsanga7472
10 ай бұрын
Nimebarikiwa sanasana na mhubiri
@magretmwaisemba3180
10 ай бұрын
Maubiri Yako yameniweka imara Mungu akulinde
@omankadara6418
10 ай бұрын
Ubarikiwe sana pasita kwa mafundisho manzur
@inguj2144
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU, hivi vitangazo ulivyosema tusi skip vinaurefu sana ni nyimbo zima za watu
@user-wl5ge9wm8c
9 ай бұрын
Amina jamaan Mungu akubarik naelewa sana 😢
@DanielSteven-kq8rl
9 ай бұрын
Amina barikiwa paster
@user-wg2gd2nl6c
5 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@ceciliaonyango5367
Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu azidi kukupa maisha marefu
@robertayuka1806
Жыл бұрын
Nimebalikiwa Sana pastor, God bless you
@zeliageorge3311
Жыл бұрын
Tunakuombea ktk utumishi, Mungu wetu azidi kukutumia.
@denisomeginyangeri7514
10 ай бұрын
Amen❤
@janvierkalumba4132
Жыл бұрын
Asanteni pasta kwa kazi
@daddypmalima2919
Жыл бұрын
Kiukweli ubarikiwe sana Mchungaji neno hili nikiwa bagamoyo nalipata na kubarikiwa sanaaa
@tajimtera2518
Жыл бұрын
Mahubiri Yako mazuri sana Mtumishi. Mungu aendelee kukupa Afya njema tuzidi kupata mafundisho yako
@raheljose9524
Жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor 🙏
@kisizikitindi2054
Жыл бұрын
Barikiwa sana pr Kwa somo zuri sana 🙏🙏
@ruthmoraa4452
Жыл бұрын
Napata hili Somo nikiwa nchini kenya, nabarikiwa sana mchungaji
@memoapiyo4518
9 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@barakasospeter
Жыл бұрын
Mh waumini shikeni hio zawad mlio pewa na Mungu hio nibahati mlio pewa kama Isirael na mmependwa sana
@user-kq9je6zf3v
5 ай бұрын
utukufu Kwa mungu 🙏🙏🙏🙏
@hadijaraphael8382
7 ай бұрын
Amina mchungàji
@mkiawachui6449
Жыл бұрын
From Kenya following and learning alot from this channel
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen. Share to others
@zawadimaliseli5023
9 ай бұрын
@philistinahwambugha3251😊
@aronmbwambo3879
Жыл бұрын
Nabarikiwa sn na somo hili. Bwana atusaidie.
@martintingo5691
Жыл бұрын
Mafundisho yako ndio yanipa furaha na Amani kila siku nilalapo na nipoamka hapa Qatar ,,kwa kweli nimeona mibaraka ya Mwenyezi Mungu tangu nilipoanza kusikiliza haya mahubiri....Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha marefu ili uzidi kutuleta karibu na Mwenyezi Mungu kupitia Yesu kristo.
@sifaelmnango
Жыл бұрын
Nabarikiwa
@testarguy8609
Жыл бұрын
Hakika MUNGU NI MWEMA SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@dofiwanyonyi9477
Жыл бұрын
M0mp00m0p009
@denisomeginyangeri7514
10 ай бұрын
Kutoka kiseran(kajiando) kila wakati ninaposikiliza mahubiri yako napata amani moyoni mwangu. Mungu akubariki wewe na familia yako.
@user-pq9be8re6i
10 ай бұрын
😂😂 shukurani pastor,mungu azidi kukupea nguvu
@elizabethmwambai480
Жыл бұрын
Ameen ubarikiwe sana kwa somo lako
@aimeirankunda2338
Жыл бұрын
Barikiwa Past karibu kwetu Burundi tukune na tu nunuwe vitabu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Usafiri ndio shida! Ila tukipata mtu ni rahisi
@juliusmjema9574
Жыл бұрын
Kweli mafundisho yako ni ya nuru.Barikiwa mtumishi.
@clintonjeah2860
Жыл бұрын
MUNGU anatubariki sana
@salimalaquimane3077
Жыл бұрын
Asante 🙏🏿
@juliusleonard3331
Жыл бұрын
Mungu Akubariki Mtumishj wa Mungu
@fredyzawadi8703
Жыл бұрын
Mungu akubariki paster
@salomekemunto8217
Жыл бұрын
Amen pst barikiwa sana🙏🙏
@user-hb9iw9db5o
8 ай бұрын
Amen
@johnngugi9552
Жыл бұрын
Amina mungu asindi kuwa na uweza
@faithmtokambali9437
Жыл бұрын
Bwana azidi kukuimarisha Pastor
@emmanuelmwita1449
Жыл бұрын
Amina
@reginamshanga5819
Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana
@raphaelmwashibanda638
Жыл бұрын
Naomba namba ya Mchungaji mbaga
@nellyne5736
Жыл бұрын
Am blessed
@jacklinejerr2447
Жыл бұрын
Napitia hofu saa hii juu ya mtoto wng nikipata mafundisho yk moyo unapoa
@manuecleverlye1984
Жыл бұрын
Jina la bwana libarikiwe
@yohanamalimi6143
Жыл бұрын
Amina sana
@testarguy8609
Жыл бұрын
AMINA 🙏🙏🙏🙏
@gerryndyamukama9058
8 ай бұрын
Pastor kuna swali hapa.kwanini,kupitia Adam kila mtu anahukumiwa kifo automatically (Haijalishi kama unaamini kuhusu adamu au la. Kuna watu wanaamini tumetokea kwenye masokwe mtu) ila Adamu wa pili (YESU KRISTO) neema yake inahitaji kuamini kwanza ndio uokolewe.yani kuna kitu unachangia (imani yako kwake) kwanini wokuvu wa yesu usiwe automatically kama ilivyo adhabu ya adamu.?!
@biraijoyce8248
Жыл бұрын
Thank you pastor mahubiri ya leo yamenichenga mungu akubariki sana
@UserUser-gq1ir
Жыл бұрын
Nabarikiwa nikiwa Beirut
@marymonyangi7512
Жыл бұрын
I'm getting blessed from Kenya
@hawamusumba431
Жыл бұрын
Amen amen
@pascalndima7667
Жыл бұрын
Asant kwa neno mucungaji
@mwingandele9641
Жыл бұрын
Ameni
@floramurusuli453
Жыл бұрын
Naitwa Daniel Chacha nabarikiwa sana kutoka Arusha ameni Mungu awabariki
@rukiambwambo
Жыл бұрын
Mahubiri haya yanafanyikia wapi?Natamani niwepo live.
@prosperjohn6
Жыл бұрын
Pastor naomba number zako
@dorcusamisi2926
9 ай бұрын
Amen hallelujah WOW YESU NI BWANA
@DeoPonera-dp5du
Жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe mno ila najitahidi kutoka ktk urahibu wa masterbation nashinda nikaomba sana lnavkufunga ila nashukulu tangu nilipokuwa nasikiliza ujumbe wa MUNGU kupitia wewe nimepunguza kwa kiasi kikubwa sana na huu mwaka nitaacha kabisa
@froline5209
Жыл бұрын
Nimebarikwa sana pastor kwa mafundisho yako yananipa tumaini kwa moyo Mungu na zidi kukuinua na akutunze.🙏🏻🙏🏻💕💕
@gladyschebet7719
Жыл бұрын
Ll0lpp
@bettyzacharia2281
Жыл бұрын
NaBarikiwa Sana
@pillymgude7501
Жыл бұрын
Napata mafundisho na amani tele moyoni ninaposikia mafundisho yako.
@nisimulietv8942
Жыл бұрын
Pr. Ikiwa jua iliumbwa baadae Dunia iliumvwaje ikiwa hakuna Nuru ya kua??
Пікірлер: 95