Amina mchugaji ❤❤ Mimi huwa nakukubali sana, I wish siku moja nikuonee, naishi US New York Buffalo
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Ubarikiwe
@mtumishiraymond2001
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Asante, nawe pia
@adorymongish2972
Жыл бұрын
Hili limo kanisani mwetu, tunaitaji ubatizo wa roho mtakatifu, kwa kuwalea wengine ipasavyo, tuwe na hekima ya kimbingu jinsi ya kuwaona wote sawa
@jacksonwaitoro7920
Жыл бұрын
Nashukuru leo nimemwona iringa hapa na nimemsalimu Yeye ni mwalimu wangu wa saikolojia asante Mungu ambaliki kwa kazi yake
@upendomaduhu1310
Жыл бұрын
Pr naomba uniombee nilipata ajari 2021 mwezi wa tisa nilivunjika miguu yote mapaja yote na mikono yote mguu wa kushoto nilivunjika mara 3 mguu wa kulia x2 ,mkono wa kushoto x 1 na mkono wa kulia x2 lkn kwa neema ya Mungu hakuna kiuongo changu kilichotoka lkn baada ya hapo nilipogwa tukio ambalo lilinifanya niyumbe kiimani niombee mchungaji saivi najiandaa kwenda India kwa matibabu maalum lkn vikwazo nivingi naimani kwa maombi yako na yangu Mungu atatenda jambo
@florencekawira2212
Жыл бұрын
Amina pastor, tuombee sisi tuko Turkey, tumetokewa na earthquake mbili kubwa, nchi nzima tunaomboleza
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Poleni saana. Mungu awe faraja yenu. Tuna waombea walio jeruhiwa
@gideonregnald2743
Жыл бұрын
Bwana awatie nguvu,
@exaverymasola9912
Жыл бұрын
Poleni Santa,BWanna awape faraja
@swahiliandculture6599
Жыл бұрын
Poleni sana Yesu awafunike na kuwatetea
@damah8431
Жыл бұрын
Hello @flonce vipi mama,? So far how is the situation Turkey??
@raelsarange638
Жыл бұрын
Napenda saana mahubiri Yako yamenitoa mbali, I need to share my dream with you pastor so that you guide me to protocol kamili kindly
@Joy-mm1ut
Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa kila siku
@mamalaozphilemonmtawali.8467
Жыл бұрын
hubiri zuri sana ubarikiwe pastor.
@joycechengula7491
4 ай бұрын
MUNGU akubariki sana padri masomo ni mazuri sana yanatukuza kiroho🙏🙏
@gervaswilliam4781
Жыл бұрын
mtumishi uniombee maana nahis loho za mapepo zinanifuatilia Sana yesu uniokoe
@mussacharles5311
5 ай бұрын
Nabarikiwa sana kupitia wewe mchungaji mmbaga.
@ryoaishodo309
Жыл бұрын
Amina mchungaji niko japan Naomba uniombee leo nitaanza kazi night shift kwahivyo miguu yangu isiniume nifanye kazi kwa jina la yesu mimi ni mshindi wachawe na makafara ya mbuzi majini yao wateketezwe kwa jina la yesu Amen
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mungu akutendee muujiza
@ZakayoYohana
10 күн бұрын
Mtumishi Mimi nipo tanzaniA dar ila natamani Mimi nakwaya yetu tuje tupige injili mtumishi tunafikaje huko
@user-nu4fr5kf5t
8 ай бұрын
Pastor mungu ni mwema
@perisbosibori8524
Жыл бұрын
AMEN! Thank you LORD because all GLORY is yours. Be blessed Pastor Mmbaga for this uplifting message.
@danielmjema4316
Жыл бұрын
Amen
@godlovebuyambo3856
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na BWANA kutokana na mahubiri TV
@michellejoshua6404
Жыл бұрын
Ameen postor barikiwa sana
@baby16mariki48
Жыл бұрын
Amina mtumishi, umenifurahisha sana Leo, Mungu akubariki sana.
@lucknesschiragwile954
Жыл бұрын
Amina,Baba nifundishe kushukuru katika kila jambo
@kulwamigo9127
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na neno la Mungu kupitia kinywa Cha mtumishi wake D. Mbaga🙏
@estherkimori
Жыл бұрын
Barikiwa sana,tunakuombea uzidi kutufunulia yanayojili mbele na yanayoendelea.
@Annajoseph3979
Жыл бұрын
AMEN and may God bless you. Thanks because you have improved on sound quality.
@lidiaawino4740
Жыл бұрын
Naomba Mungu anisaidie nabambana na uzito huu nashindwa kuvumilia ninapodharauliwa nakutusiwa najikuta nimejibu Niko uarabuni naomba msaada wa Roho mtakatifi
@theresiapaulla741
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho Pastor Mungu azidi kukutumia
@jeanneriziki638
Жыл бұрын
Kumupokeya yesu kuna faida Barikiwa sana mchungaji
@adorymongish2972
Жыл бұрын
Kwetu kenya amejitokeza anaye jiita yesu alifanyiwa mahojiano i say unabii umetimia
@eustina0
Жыл бұрын
Barikiwa sana pr Mungu azidi kukutia nguvu nakusikiza nikiwa saudi pr utukumbuke kwa maombi 🙏🙏🙏🙏
@lidiaawino4740
Жыл бұрын
Kumbe nikidharauliwa nafaa kushukuru kushukuru Mungu akubariki Pastor zidi kutufunza nabarikiwa sana
@dayanahjapheth421
Жыл бұрын
Nakupenda poster, kila ninaposikiliza mafundisho yako napona.. Baba wa mbinguni akutunze😥🙏
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@johnmnand
Жыл бұрын
Amina pastor mungu akubariki sanaa maana unabariki wengi
@jeremiahlugembe4939
Жыл бұрын
Mungu akutumie zaidi ya unavyofkri
@raelsarange638
Жыл бұрын
I'm ever blessed AK hadi watoto wamegundua Siri glory be to God 🙏🙏 AMEN
@mundesmokesen9314
Жыл бұрын
Amina Sana mchungaji wa bwana
@danielmwita1989
Жыл бұрын
Amina pr ubarikiwe sana kwa ii KAZI
@nakundwamallya2295
Жыл бұрын
Najifunza kila siku mambo mapya Mungu akubariki sana Pr.
@gaselochaula2692
Жыл бұрын
Amina, mtumishi wa MUNGU ubarikiwe
@rastarasim5810
Жыл бұрын
I am hopeful and too blessed 🙏🙏🙏
@shukranjulius9526
Жыл бұрын
Pastor mbaga Dumu kubarikiwa mtu wa Mungu
@rukundojeanmarievianney4776
Жыл бұрын
Be blessed my Pastor
@jacquelinebyaombe9729
Жыл бұрын
Amena Amena Mungu akubariki sana Baba yangu
@UserUser-gq1ir
Жыл бұрын
Asante pastor mungu akubariki, unavyo tujulisha ni nini tunastahili kufanyia katika hizi nyakati za mwisho
@piusmurimikangai8401
Жыл бұрын
Amina
@alicemwaka3762
Жыл бұрын
Ameen mchungaji Mungu akubariki sana
@filorammbaga5710
Жыл бұрын
Pastor David mfumwa akunke lute lwedi.Uniizija mno.
@christinalunyilija
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu aliye hai
@rehemaihonde7258
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchugaji tuko pamoja
@zlpporahgechemba3111
Жыл бұрын
Amen Glory to God
@edibilychaula.3753
Жыл бұрын
Amina pastor 🙏🙏🙏
@alexkalumengumbao5495
Жыл бұрын
Pastor nikweli unachosema Mimi nishanyimwa kuhudumu ,nikahuzunika,nikalalamika lakini kila nikiomba Mungu nitoke kanisa hilo Mungu huniambia baki hapo maana kunamambo ambayo nataka kukufundisha
@margaretwanjiru9096
Жыл бұрын
Glory to God 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@johnkichikiro5083
Жыл бұрын
Mtumishi MUNGU akuzidishie ujasiri wakuendelea kututoa matongo ya kifikra. Huwa natamani Sana nikuone live ukiubiri mbele yangu.
@froline5209
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana nikiwa Saudi barikiwa pastor
@doraamani9477
Жыл бұрын
Amina Mchungaji abarikiwe
@elsonmuyinga
Жыл бұрын
Ahsante na ubarkiwe
@jaajmedia2118
Жыл бұрын
Glory be to God
@florencenshimi9353
Жыл бұрын
Pasta hio ya kunawisha miguu na kunywa maji hayo madogo. Mi najua mtu aliefanyishwa zaidi ya hao tena machafu alitusimulia mpaka tukachoka , afu mtu mwenyewe aliemfanyisha hivo hata darasa la kwanza ajaingia , eti ni mtumishi wa Mungu. Kwakweli Mungu aturehemu !!
@samwelgidion3401
Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@zakayoyohana1736
Жыл бұрын
hata jpm alipenda sana kusifiwa ndio maana hakufikambali
@pastorseniordukeoyugi3627
Жыл бұрын
Amina amina 3
@marthajepkogei5845
Жыл бұрын
Niko na swali pastor?,kama mungu ametusamehe dhambi tukimwomba msamaha,zile dhambi zitafunuliwa siku ya hukumu ni gani kama kristo akisamehe ,ukumbusho pia inawekwa Kwa vitabu vya ukumbusho?
@mbakiutc4333
Жыл бұрын
Soma Zaburi ya 103. Mungu akisamehe anaziweka mbali nasi dhambi zetu kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, wala hazikumbukwi tena. Tunakuwa kama hatujawahi kutenda dhambi. Isaya 1:18 -19 anaziosha dhambi zetu zinakuwa safi kuzidi theluji.
@upendotv2776
Жыл бұрын
Aminaa
@marthajepkogei5845
Жыл бұрын
Amina 🙏
@guzurajonas3334
Жыл бұрын
Na bado zumaridi, asipobadirika, Mungu atamuonesha kuwa Mungu n nan?
@dorcasamina4551
Жыл бұрын
Napenda mahubi yenu sana
@margrethkaserikali1458
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@sophiasamiji932
Жыл бұрын
Barikiwa pasta
@monniekevin9303
Жыл бұрын
Namshukuru Mungu Kwa ajili yako mchungaji🙏🙏
@jimymagere1794
Жыл бұрын
Nakwamini sn jinsi Mungu anavyokutumia kutuelemisha juu ya Ukuu wake. Ila je vitabu vya Enoki na vingine inasadikika vilikataliwa na kuondolewa je ni kweli
@lucykivuva3530
Жыл бұрын
pastor nambarikiwa sana,,nakusikiza nikiwa saudia arabia
@eustina0
Жыл бұрын
Hapo nkweli kuna kanisa moja pr anaweka maji kwa mabesen kila mtu anaweka miguu ndani kuanzia asubuhi hadi jioni eti ni damu ya yesu
Пікірлер: 84