Hatuna faida nihasala kumbwa sana kwenye milandi hii naogea hivyo kwasababu Mimi ni operator wagrade hapa nilipo nimechoka yani unawapa milandi mbila kuweka kiwago cha mishahala yani malipo yanayo lipwa nisawa nahausigerlo huyo nifundi dreva oparetor wote kilio kimoja kweli
@FabianJustine-bq6qv
2 ай бұрын
Tunataka milandi yote wapewa watanzani kwa sababu watalamu wapi pesa ipo tunafeli wapi au upigaji ndiyo inasubua
@FabianJustine-bq6qv
2 ай бұрын
Unakopa uturuki namilandi unawapa waturiki kwahiyo pesa inarundi kwao
@GodfreyErene
2 ай бұрын
Haijalishi tutapitia milima au moto wa aina gani ukweli tutasema Kwa gharama yoyote, uwe mwaminifu hata kufa.
@chalokalunde9429
2 ай бұрын
Takuja nione kwaya hiyo kwa karibu kabisa.
@gowekogoweko5803
2 ай бұрын
AMANI. BILA HAKI HAKI HAKI HAKUNA
@FabianJustine-bq6qv
2 ай бұрын
Nakuogezea namegineyo hata mishahara yawafanyakazi Iko domackis yani mtanzania opareto mitambo baribari analipwa Doral 500 wakati wahindi waturiki wanachukua Doral 6000 hapo nisawa kwa milandi Mimi niliona huyo niutumwa niliacha kazi nakwenda kulima matikiti
@gracekagoma3231
2 ай бұрын
Wewe bishop fake unaleta matatizo nchini unahamasisha uadui kati ya wananchi na viongozi wa siasa😢😢
Пікірлер: 11