Nataman sana kukuona Baba unisheke Mkono nikiu yangu ya mda mrefu nataman uniongoze sala ya toba nitembee katka misingi ya Mungu unayopita ww ni kiu yangu Baba
@MarthaSamweli-f3p
29 күн бұрын
BWANA AKUPE haja ya Moyo wako
@MwicheGoma
13 күн бұрын
Amen
@WilsonKasian
Ай бұрын
Mungu amekupa neema kubwa mch misholi maana wito wako ni wa kipekee sana nakuombea mungu aendelee kukutumia kwa ishara na miujiza
@safieltemuofficial5375
2 ай бұрын
Ninaikubali sana injili ya huyu mtumishi wa Kristo hii ndiyo injili niliyoisikia miaka ya 80 hd leo ninampenda Yesu barikiwa mtumishi wa Mungu
@DanielMlelwa-p6w
Ай бұрын
Baba yangu wa ubatizo Nakupendaa Sana BWANA MUNGU WETU AWE NAWEEE❤❤❤
@apostlepetermponzi8690
3 ай бұрын
Mchungaji Abiud Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu NAKUOMBEA huduma yako izidi UBARIKIWE sana Baba yangu
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@ImaniTinda-h6x
2 ай бұрын
@@mch.abiudmisholi mchungaji niombee mm dhambi Zinanisonga nampenda yesu lkn dhambi Bado zinanizonga , nikfanya dhambi Huwa naumia sana lkn kuacha siwez
@mutashobyamutashobya
2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu aliye hai unanikumbusha injili ishiyo goshiwa ya baba yetu mzee Moses Kulola....peace be with him
@jamesloshilunye414
3 ай бұрын
Injili ya kristo ni tamu sana ikihubiriwa na walio pewa na Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@MwicheGoma
13 күн бұрын
Amen
@dariabirungi7643
Ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana na akutunze,maana lipo jambo liliona nilakawaida sana kumbe mbele za Mungu ni chukizo kubwa,Eeeh Mungu anirehemu na kunisaidia nitembee katika njia kamilifu siku zote, Mungu akubariki na aendelee kukutumia kwa viwango vikubwa.
@ElisafiMndeme-jd5wb
Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, sema iliyokweli usimwogope yeyote
@festofrank-z3m
Ай бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi wa mungu sana wew ni mtumishi wa kweli kabisa.
@jamesloshilunye414
3 ай бұрын
Wana heri kondoo uwalishao kwani wanalelewa na mchungaji wa kweli Mungu akutie nguvu mchungaji 🙏🏿🙏🏿
@christiankyando9768
2 ай бұрын
AMINA
@felistervenance8863
3 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu aliyefanya uzaliwe katika nchi hii;;; Wewe ni wa thamani sana pamoja na mama Mungu wa mbinguni awatunze na kuwalinda kila siku...
@jonathandulle
3 ай бұрын
Umenena vyema Sana felister ,Mungu awalinde Sana watumishi wetu hawa
@FranciWami
19 күн бұрын
Amina pastor Mungu Akubariki saana .
@joycejosephat
20 күн бұрын
Inahudhunisha saaaana,Eeh mwenyezi Mungu uturehemu
@ThomasNgovi-g1p
2 ай бұрын
Niwa chache mapasta wenye injili yakweli walio Baki mungu akubariki sana .
@IssacNtacho
2 ай бұрын
Nakupenda sana mchungaji tangu utotowangu nilikuwa nikipenda nyimbo zako ,,nasasa nishakuwa mtu mzima
@neemakawogo5479
2 ай бұрын
Ni zamu yangu kurudishwa nimegundua dhambi yang ambayo nilichukulia vyepes Mungu asante
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Neema ya Mungu ikuwezeshe.
@thomaskasubi3126
Ай бұрын
@@mch.abiudmisholibaba Yesu akutunze kwaajili ya kizazi chetu
@chrizostomangelo8140
Ай бұрын
Dar nimeelewa sana baba Mungu akutunze zaidi
@jamesdimosso2601
2 ай бұрын
Mungu akutunze sana mtumishi, huduma yako ni yenye hekima ya Mungu.
@Sahimu-v3c
20 күн бұрын
Asante mtumishi wa mungu umenisaidia nimejifunza
@frolawiliam2549
9 күн бұрын
Baba Mungu aendelee kukupa Afya Njema ili utufundishe nakukubali sana mpendwa wangu
@MsotoMsotopoa-y9x
23 күн бұрын
Amina mungu akutie nguvu uzidi kunyoosha kanisa lake
@VeronicaEdesiusBernard
3 ай бұрын
Ee Bwana Yesu nisaidie peke yangu siwezi
@JosephateOsalo
2 ай бұрын
Preys lord Jesus Christ hakika neno la kiristo ni tamu na ni upanga kwa wale waovu.hakika naendelea kubadilishwa kila kuchapo mungu akutie nguvu mtumishi kwa jina la yesu kiristo
@VuyoVezi-g8t
Ай бұрын
Barikiwe sana mtumishi MUNGU akuongezey zaidi
@BarakaMathew-zv1yy
3 ай бұрын
Mungu akupe mwisho mwema baba wa watu wengi
@verdianamwageni796
2 ай бұрын
Mchungaji wa pekee sana na wengine wahubiri hivyo.ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@ClaireMakotswi
3 күн бұрын
Amen Amen and Ameeen 🤚🏿 preach and speak 🗣️ loudly the man of God
@JoyceMtambo-d1l
2 ай бұрын
Nimepona kwa kweli maana ilikuwa ndiyo tabia yangu kuanika nguo za ndani nje ahsante Yesu kwa ajili ya mtumishi wako huyu hakika nimeponaaaa
@MOSHIMOSHI-d9y
2 ай бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu azid kukupa ufunuo wa wakat tunaoishi na ahadi zilizotia ktk kizaz hiki ame
@THEODORATHEONEST
2 ай бұрын
Amina baba, Mungu anipe moyo wa Toba na zaidi kuhisikia sauti yake na kuifata.
@TrezaPeris
2 ай бұрын
Thank you for preaching the true gospel
@RehemaEmmanuel-z7g
Ай бұрын
Ameeen Baba Mungu akutunze
@LucyLucy-q2e
2 ай бұрын
Mungu anisaindiye niweze kukaa kwa njia zake asanti kwa mafundisho amen
@ChangalaweSamwel
2 ай бұрын
MUNGU akubaliki, akulinde, kiuhalisia mmebakia wachache sana kama wewe (God bless you.
@augenmagabila3081
2 ай бұрын
Haya ndiyo mafundisho yenye uhai na wokovu wetu wa kweli unadhirika hapo. Jina la YESU KRISTO Lihimidiwe. AMINA.
@GroliaKamugisha
2 ай бұрын
Mafundisho ya Yesu kristo yapo kwenye vitabu fine vya injili ok?
@augenmagabila3081
2 ай бұрын
@@GroliaKamugisha NDIYO, MCH, ANAPOSEMA HAIKUANDIKWA, IMEANDIKWA NA ALIYEBUNI HIYO DHAMBI ALISOMA vitabu yaani Biblia inapotaja TAMAA YA MWILI.
Ni kweli watu Wameuvua mwenendo Wa kale Na kuishi kisasa .Ohio yesu tusaidie.barikiwa mtumishi
@FabiolaAntony-up7ih
2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu paza sauti tupone, Asante Mungu kutupa maonyo
@EliyaMarcus
Ай бұрын
Ayo ni kweli my poster
@kichwachafamilia
3 ай бұрын
Mungu nipe kaz tofaut na upakarangi ili nishi katika uwep wako
@faithe4063
3 ай бұрын
Bure uwesi kaa katika uwepo wake?
@EsterNgasa-vq5zx
3 ай бұрын
God bless kwa uamzi mzr mtii MUNGU
@kichwachafamilia
3 ай бұрын
@@EsterNgasa-vq5zx aame
@kichwachafamilia
3 ай бұрын
@@EsterNgasa-vq5zx aam
@kichwachafamilia
3 ай бұрын
@@faithe4063 bless
@kevinMwiva
3 ай бұрын
That's the spirit of Jezebel.God bless you Man of GOD
@rebecapanga5207
Ай бұрын
Mungu atusaidie na kuturehemu hizi ni nyakati za mwisho
@samuelthiga4776
2 ай бұрын
Mafunuo na mafundisho mazuri ambayo Mungu amekupa,utukufu wote kwake.Mungu akuzidishie Neema.From 🇰🇪
@HappinessLucas-n3c
2 ай бұрын
Amen mtumishi hakika Mungu atuhurumie
@ElizabethMafie-m1g
Ай бұрын
Yaaan nakuombea maisha marefu uendelee kutufunulia mambo mengi hatujui
@maernov4257
2 ай бұрын
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
@evadanielgunze977
2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana Baba kwa kuihubiri injili ya kweli. Ulindwe siku zote, na mataifa yapate kusikia mafundisho haya wapate kumrudia Muumba wao kwa toba ya kweli. Amina 🙏
@JöelWasolu
3 ай бұрын
Asante sana baba mchungaji umeni jenga sana kwa injili ilio hai uwinuliwe mtumishi wa Bwana Mungu
@martinmligo302
2 ай бұрын
Mungu turehemu watoto wako...Amina.🙏🏻
@MwicheGoma
13 күн бұрын
May God bless you man of God
@hoseamahungo
Ай бұрын
safi sana ubarikiwe sana pastor
@michaelwanyanga
2 ай бұрын
Abiud Misholi, you are one among the chosen one. Be blessed and continue with the real gospel of Jesus Christ. I'm blessed for you❤❤❤
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Praise to God
@AnethMushi-c3e
Ай бұрын
Wengine wanafuliwa na watoto zao
@Mwakyambikifuraha
3 ай бұрын
Mchungaji mungu Akupe maisha marefu wewe unamahubili ya yesu huo ni wokovu wa kweli
@eunicesemere5555
2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi umehibiri mambo makuu na ukweli dhahiri sio wachungaji wengi wanao hubiri ijili hii ni neema kubwa iko ndani yako tusaidie tujue kweli ituweke huru much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
@jakoboamon9402
2 ай бұрын
Baba abiud Mungu akulinde kilcho ndn yako ni msaada Kwa kanisa LA leo
@Dorriekamu
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa mahubiri mazurii
@henrychfestobrown
2 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Neno la Mungu ni Hakika Ndio na Kweli na Taa Mwangaza katika Maisha yetu. Neno la Leo na Mungu atu Rehemu.🙏
@tumainichanya3268
2 ай бұрын
Mch Abiud nakupenda Hadi mwanzo ,kuanzia nyimbo zako hadi mafundisho yako hujawahi tetea uovu
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@DativaMbowe
2 ай бұрын
@@mch.abiudmisholi niliwai kupata muhijiza kupitia wimbo wako wa tenda muhijiza mimba ilikuwa imepitilizza baada ya siku mbili Nika jifunguaa baada yakupitiliza wiki 3😢😢😢nakumbuka ilikuwa 210
@DativaMbowe
2 ай бұрын
@@mch.abiudmisholiwiki mbili
@Meshack777-c3m
Ай бұрын
Asante baba tunapona wengi sanaaaa
@geofreymwasaka2602
2 ай бұрын
Mungu akutunze pastor Abiud naomba siku moja Mungu nami anikumbuke
@byaruremakabemba7509
25 күн бұрын
Mungu atusame saaaaana Mungu anisamehe
@PaulMakona
23 күн бұрын
Uko sahihi mtumishi mungu Akutie nguvu sana
@obedimunguachiza8434
2 ай бұрын
Asante Mungu kwa kuzidi kufunulia watumishi wako siri za kuzimu, big up man of God. Hakika sisi wanaume tunaenda må salons naamini kwa injili hii tumepona. Nimepona kweli.
@farajamsyani3304
Ай бұрын
Mungu nirehem
@ElishaBenson
2 ай бұрын
Amina baba unge kuwa baba yangu ninge kuwa mbali zaidi ya hapa nilipo
@reginapeter1467
Ай бұрын
Amen Mungu atusaidie
@RehemaElias-el3jg
2 ай бұрын
Ubarikiwe kaka user kutoka Kenya naona sana comment zako kila sehem mungu ajibu haja yako
@agripinagasper-ts1yx
2 ай бұрын
Ahsante MUNGU akubariki Sana mch. Nimekusikia nimekuelewa nitaacha Baba
@gggghhhbh5755
2 ай бұрын
Funzo lilo bora na ni ukweli kabisa mungu akubariki pasta Abuiid
@MaryLoko-y2o
2 ай бұрын
Ukweli usemwe tuweze kuhurithi ufalme wa MUNGU, barikiwa sana mtumishi🇰🇪
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@RehemaElias-el3jg
2 ай бұрын
Eee mungu zidi kutufunulia zaidi ili tupone na tuwe imara
@PaulNdonga-ns1vd
2 ай бұрын
CONGRATULATIONS CONGRATULATIONS FOR PREACHING THE TRUE GOSPEL HII DIO INJILI KWA SASA ×××× ...SIO KUHUBILI PESA NA UTWALIZI ... ONGEZEA NA TOMBA NA UTAKATIFU ALAFU UWAABIE YESU ANARUDI IVI KALIBUNI .
@veronicahkhaikwa4929
2 ай бұрын
Wow amen
@dominicmuoki
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kwa kuubiri true Gospel of Jesus Christ keep it up...waambie ukweli ndio wakaweze kuwekwa huru❤
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@JescaMgunga
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu alikutumia naminikapona 17:06
@OmbenOmary
2 ай бұрын
Barikiwa Dana Mtumishi was MUNGU songs mbele usiogope
@verroallex9144
2 ай бұрын
Somo kubwa na muhimu sana. Bwana Yesu azidi kukutumia kwaajili ya kanisa lake 🙏
@DorcassKingu
2 күн бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@SinaidaKiswaga
2 ай бұрын
Ubarikiwe pastor nakuombea siku Moja uwe mchungaji wa waadventista wasabato
@LindaJohn-fy1in
3 ай бұрын
Ee mungu nirehemu sikuyajua haya yote nilijua nikosawa kiroho kumbe kuanika nguo za ndan ni dhambi asante mungu kwaajili ya mtumish wako abiudi umenitoa kwenye kusuka na surual hadi hapa ni neema wachungaji semeni yote ili tupone
@JofreyMsigwa
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@dastankalinga442
2 ай бұрын
Barikiwa kwa kujali
@dastankalinga442
2 ай бұрын
Waebrania 2:3 (KJV) sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
@RachelRachel-zx6dx
2 ай бұрын
Ameeni kwauponyaji
@ireneauxley8802
2 ай бұрын
Amina
@isaacjosephjoseph2733
2 ай бұрын
Natamani sana hushiliki chakula hiki Cha uzima nikizuri mno mimi nakitafuta sikipati dunia imejaa manabii wauongo tupu hakuna NENO tena.
@EvelynMwaipungu
2 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki sana mtumishi Abiud
@jothammakenzi934
2 ай бұрын
Amen Amen Amen Servant of God. May the Lord our God Protect you. Thanks for this powerful encouragement word of God
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameen
@HermanPatrick-m8r
28 күн бұрын
Hili Neno litufae kwakuliishi Mungu tutamuona
@byaruremakabemba7509
25 күн бұрын
Mungu akubariki
@JENIPHAIBRAHIM
2 ай бұрын
Mungu akutumie zaidi kutuambia ukwel baba
@nursechunga4470
2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, ni kweli baba siku izi mambo yamebadilika sana🙌
@RoseMayige-gn9qb
3 ай бұрын
Ahsante Yesu kwa maonyo yako kupitia Mtumishi wako. Ila huku Ulaya watu wanahitaji haya mahubiri, maana watu wamepotoka sana! Kuonyesha miili yao kwa watoto wao ilishakua ni sehemu ya maisha ya @ siku licha ya kuvaa nusu uchi huko mitaani! Nguo zao za ndani zinatupwa tupwa hovyo hadi watoto wanazichezea!! Mungu aturehemu kwakweli!
@msanginaza905
2 ай бұрын
Mchungaji yuko sahihi kabisaaaaaaaaaaaaaaa kabisa dhambi hiiii itapeleka wengi jehanamu mnooooooooo
@loveandrew9694
3 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa unyenyevu ili uendelee kukemea dhambi na habari za Yesu kurudi....maana tumebaki na wahubiri wachache sana.
@AidaRaphael
2 ай бұрын
❤ Asante YESU kwa ujasri uliompa mtumishi wa wako, YESU Tuponye.❤
@ReubenSimwanza
2 ай бұрын
Pastor Abiudi thank you preaching very good gospel.
@PhilipMgala
2 ай бұрын
This is a Powerful messege .May God bless you Pastor, Amen.Philip Mgala from Malawi.Chitipa
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ameeen, God bless you
@janetmagiri7511
Ай бұрын
Nimewahi kuona mwanza miaka 2011 mbaba mmoja alisafishwa uso saluni akaonga mikungu ya ndixi na fedha
@barakajohn
2 ай бұрын
Barikiwa sana Bishop nami nilikuwa napenda kunyoa kwenye berbar shop hizo lakini niliacha hiyo nimeipenda nzuri, maana nikaona kabisa utukufu wa Mungu unaondoka.
@mch.abiudmisholi
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@mesamale
2 ай бұрын
@@mch.abiudmisholi Baba Nina jambo naomba nikufuate inbox
@Inkubutembo7779
3 ай бұрын
Mchungaji, waambie wanawake wafunike vichwa vyao wanapoenda mbele za Bwana. Ni maagizo ya Mungu hayo.
@PrityKinitha
2 ай бұрын
Na pia vifua 😨😨
@janengaga2928
2 ай бұрын
Amina
@OmanUsers-n5f
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ndio ni kweli kbc
@EneaIbrahim-z4j
2 ай бұрын
Ni kweli tupu katika kitabu Cha wakorintho kinaagiza hivo
@yohanamasweko915
Ай бұрын
Barikiwa sana baba
@anchilankobelelwa9735
2 ай бұрын
MUNGU Akubariki sana Mchungaji kutii sauti ya MUNGU hata Mimi nimekua Sikuona nguo ya ndani ya mama au ya Baba nimejifunza kutoka kwako Mtoto awezi kuomba nguo yangu ya ndani MUNGU Akubariki sana tena sana
@yusufumwanawadaudi74
2 ай бұрын
Mch, barikiwa sana. Pia naomba video ya wimbo wa Tawala Maisha yangu
Пікірлер: 544