Maneno mazuri sana kwa wasanii wetu wa kizazi kipya Ahsante Rais wetu mstaafu J.Kikwete
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
Wapenzi wangu msijichoshe sanaa story ya Diamond inaanzia dkk ya 14🎉
@user-pk1yl7zt8p
Ай бұрын
We naye Kama mb zaky ww zinakukopa ustuchoshe
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
@@user-pk1yl7zt8p tuliza kinembe kenge ww
@Ibrasleen
Ай бұрын
😂😂😂
@MarcellySumaye-bv5lh
Ай бұрын
Nimefuata huko huko
@Rizikialiamechannel763
Ай бұрын
Asante sna 😂😂😂
@rashidsimba3680
Ай бұрын
Interview Bora sana ,na maneno mazuri sana Kutoka kwa Mzee wetu JK, kama una D mbili huwezi kumuelewa
@yohanamaiga3031
Ай бұрын
Ushauri mzuri sana kutoka Rais mstaafu Kikwete umetupa maneno mazuri ya kufikia mafanikio na mafanikio ambayo ni endelevu.
@kaundasutikaunda7769
Ай бұрын
Mzee Kikwete umetoa ushauri Mkubwa sana kwa hawa wanamuziki vijana. Mungu azikidi kukulinda Mzee wetu tunakupenda sana.
@ramamwanga7551
Ай бұрын
Nimependa management
@JumaSaidi-xq7ui
Ай бұрын
Raisi wetu kipenz mungu akupemaisha malefu❤
@LawiLazaro-h3e
Ай бұрын
Much respect to him.
@MALCOM_TV602
28 күн бұрын
Takes notes harmonize ✍️
@mfalmekaitaba2425
Ай бұрын
Mzee leo kawa #Kungwi sijui anamsema #Harmonize!!!!
@MALCOM_TV602
28 күн бұрын
Harmonize ajifunze hapa✍️
@MasudiJuma-rs4gj
Ай бұрын
mko vizuri watangazaji
@JellyRuba2022
Ай бұрын
Filbert Bay nilimjua kwenye ngoma ya Kala Jeremia/Nay wa mitego na moo music
@LaurentBahebe
Ай бұрын
Big brain with Big Idea
@user-pb3ub3gl4q
Ай бұрын
Nice furniture
@abelhilonga1095
Ай бұрын
Kweli kuanzia dakika ya 10 mondi anaongelewa
@iamobadia3295
Ай бұрын
Mzee kamkataa kitenge kitaalamu
@SadikiMapesa-fj2ks
Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
@jedidahbintidaudi8241
26 күн бұрын
Mh, panga basi siku moja uongee na vijana kuhusu kesho yao..naona umetoa madini mazuri na huenda unayo mengine mengi baba..unalionaje hilo baba yetu?
@iamobadia3295
Ай бұрын
Duh hapa kamgusa harmonize kabisa 😅
@user-rb8uf6oq7w
Ай бұрын
Muheshimiwa mbona mabibi wamesisitizwa hapa kijembe kinamuhusu mmakonde mwenzangu, I huo ndiyo ugonjwa wa sisi wamakonde, tuvumilieni tu tutabadilika baadae kidogo.
MZEE KAONGEA POINT,,ILA WATU WASITEGEMEE DAI KUSHUKA,,,AMETOKA KIPINDI AMBACHO MTANDAO NDO UNATEKA SOKO KIDUNIA...NAYY AKAFANIKIWA KULITEKA...MAMBO HUKWAMA ILA KWA MIZIZI ALIYOTENGENEZA UYO MCHIZI..NI MUNGU APENDE KAMA AMBAVYO NYNY MNAZEEKA NAZO.
@JosephKessy-jq2om
Ай бұрын
Ila harmonize 😂😂😂😂
@MakoyeBq
Ай бұрын
Kuna kitu kikubwa sana kuhusu uwekezaji ameongea
@user-ql2hc7zt6b
Ай бұрын
Mond
@AthumaniChalamila
Ай бұрын
😅😅
@kyangwesignermohamed7867
Ай бұрын
Ukiona Rais mstaafu anahojiwa hukusu mambo makubwa aliyofanya anahojiw kuhusu Musik na michezo ...... 😂😂😂😂
@EllyvadiazTz
Ай бұрын
Ni rais ambaee ntamkumbukaa maishaa yanguu yotee mcheshii sanaa natamani katibaa ibadilishwee arudii tenaa maisha marefuu kwakee
Пікірлер: 48