Wewe naye huna hakili na hilo likipara lako kwa simba ipi hii au simba wa kesho
@user-pw5jt5mj6k
Күн бұрын
Unajua Brother
@suleimanmwenyemvua995
Күн бұрын
Hiyo ni story haipo tena...tusiamini katika ujinga huo😊😂😂
@NorasHennry
Күн бұрын
Aaaa ndugu ujalazimiswa kumsikiliza atamm shabikiwa yanga ila simlaumu
@tonyelshabbaz
17 сағат бұрын
Yanga kakutana na Simba juzi tu kwenye michuano ya mtoano nini kilitokea? 😅 Achana na mifano ya 90s huko Simba hana ubora kwa sasa kimfunga Yanga hata ligi ya bata ikianzishwa unaleta historia 😅
@DoreenMlay-e8g
Күн бұрын
wee akuna k2 simba ya saivi ashakua nyau saivi
@abdunnurahmedsilim7456
Күн бұрын
Anayehojiwa is both very intelligent and very objective lakini Mwenye kuhoji is bogus and subjective....ni kama ana UKOLO FULANI HIVI.....
@albertbaraka5194
Күн бұрын
Bahazi ya maswali zao ni za ki shabiki na wako very unprofessional
@mitanakadorho2356
19 сағат бұрын
Ni kweli mnaisifu Simba ki mataifa, wana nini kuonyesha wawo ni wakubwa? Ukubwa wa timu ni makombe siyo cheche za sifa, wana nini ki mataifa? Tuache kusifu hewa bila kombe lolote
@peterkandaya565
15 сағат бұрын
Haya basi tuanzeni kuisifia UTO yenye makombe 20 ya Klabu bingwa😂😂😂😂😂
Пікірлер: 12