Hongeren wasafi FM Kwa Kaz nzuri, hongera boss diamond Mnafanya Kaz nzur ya kutupa hbr moto moto! Naunga mkono na kupendekeza mchungaji Richard hananja! Apewe kipindi awe anafundisha kuhusu maisha ya ushindi Kwa vijana,uchumi, mahusiano, ndoa nk Mungu awabarik wasafi Kaz zenu safi! Naomba MUNGU siku Moja aniwezeshe nifike studio yenu nami niseme neno na vijana WA TANZANIA! Nawapenda MUNGU awabarik by mwalimu fredrick
@btylove1870
Жыл бұрын
I love you Mchungaji Mungu azidi kukubariki🙏 kiongozi wa dini ya kikristo anasema ukweli Africa nzima.🤍🤍
@walterp.makundi5640
Жыл бұрын
Huyu mchungaji is an asset. Karibu Sana Singapore mtumishi!!
@valentinetesha8536
Жыл бұрын
huyu mchungaji ni GENIUS hananja namkubali sana asee jamaa ana akili za kimungu na za mtaani
@valentinetesha8536
Жыл бұрын
nime muelewa mchungaji maana kweli YESU hakuwapa utajiri watumishi wake kweli kabisa mchungaji hakuna miujiza ya haraka haraka
@justinendizeye714
Жыл бұрын
You are a very good Philisofe 💪🙏👌
@justinendizeye714
Жыл бұрын
Yani baba wewe injili unayielewa vizuri 🙏🙏🙏
@JP-lx1le
Жыл бұрын
Nampenda Sana huyu mzee
@gabrieljoseph4603
11 ай бұрын
Wasafi matangazo ni mengi sana punguzeni matangazo
@pausenurasa4653
Жыл бұрын
I real enjoy this
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Huyu mchungaji hanaja apewe kipindi wasafi apo yupo good Sanaa anajua nomaa sanaaaa
@bonphacearon2428
Жыл бұрын
Jmn pamoja na yoooote mpen ananja kipindi..nmexhamaliza clip zote youtube, mzee yupo vzr
@santuwillah7297
Жыл бұрын
majizo kashamchukua
@deodatusmdaku2226
Жыл бұрын
Uyo mzee mpeni kipindi ana ushawishi sn
@ombeniruvubika5392
Жыл бұрын
Apewe kipindi hapo please Napenda maongezi yahuyo mzee
@farajashaban1073
Жыл бұрын
Wachungaji wasema kweli Tanzania wako wawili wanaokusanya waumini wa dini na madhehebu yote wa kwanza Pastor Mgogo na Pastor Hananja
@jeannettenyabitanga9999
Жыл бұрын
Kabisa
@lazaromwambene4516
10 ай бұрын
I swear ananja ❤
@khadijakimana8809
Жыл бұрын
It's a bonus to give him a Kipindi 💯👌
@katokyaruz
Жыл бұрын
kipindi cha leo si mchezo..ilaa chamsingi mchungaji hananja apewe kipindi wasafiii jamanii
@tengeru
Жыл бұрын
Wameshamchukua Efm
@rukasifanderi-jg4li
Жыл бұрын
Mchungaji huna bay
@denisngoinde3693
Жыл бұрын
Hananja we ni mwalimu haswaaaaaa
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
KILA NIKIMSIKILIZA HUYU BABA KUNA KITU NAJIFUNZA..BARIKIWA MKUU..Tutengeneze Kipindi apewe..DADA SUMA ISSAC punguza Kutetemeka jiamini mbona uko vizuri tu
@salomewandya7257
Жыл бұрын
I'm watching from Dubai Hananja😍😍🔥🔥
@MR_NONAME_TZ
Жыл бұрын
🙏💯💥💥👍🙏🙏
@AllyDetty83
Жыл бұрын
Iyi yaleo babukubwa. Tumejifunza meeengi
@godfreykarata3710
Жыл бұрын
Nampenda sana uyu mchungaji anaongea ukweli
@justiceshelukindo
Жыл бұрын
Huyu mchungaji ni tishio Hana usanii
@aisharamadhani1948
Жыл бұрын
Hatimaye nimemuwahi mchungaji bado akiwa live,,,,,
@mrlongrichlongrichagent1929
Жыл бұрын
Apewe kipindi aisee mch.hananja na mwalim kweli kweli
@azizamohamed7692
Жыл бұрын
Bb levo kashapiga pande Hananja apewe kipindi safi Sana nakupenda Richard bilionea
@mialanomangobo9356
Жыл бұрын
Kumbe wazo lile upande wa pili kuwa alika na kuweka kipindi ya injiliHananja ,Masanja na yule mama imeibiwa to wasafi
@yasintadavid1296
Жыл бұрын
Hananjaa 🙏
@mauruskimbe5478
Жыл бұрын
Baba levo Safi kwakazi yako
@Isidora9828
Жыл бұрын
Bbbb
@barricknattan2250
Жыл бұрын
Mastermind.god is able
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
Muna mkatisha sana munae muhoj!
@georgeigogo9259
Жыл бұрын
ndo maana milad is the best
@daudminzi-pb3je
Жыл бұрын
Safi sana mchungaji
@abdulahmanmahalufu9524
Жыл бұрын
Daaaah mchungaji atari sn
@salummohamed9179
Жыл бұрын
BabAlevo hakika leo umeuliza Kitu cha Maana wa uyo mzee
@happykipeya8516
Жыл бұрын
Ameeeen
@mwanjumajongette8187
Жыл бұрын
Nice
@rose_Winchester86
Жыл бұрын
Nampenda sana huyu mchungaji anaongea ukweli
@thomasaugust225
Жыл бұрын
huyu mchungaj ukimsikiliza hautachoka anaongea ualisia kabisaah MUNGU anamfunua ampendae kwa wakati sahihii...
@alliymohamedalliy6524
Жыл бұрын
Matangazo yenu hayana mpamgilio. Muna mpunguzia muelekeo wa mazungumzo "muhojiwa..
@fadhilymamen1127
Жыл бұрын
Baba levo nimchanganuaji Yan anakuelewesha au anarahisha ili nielew zaid nataman siku Nifikehapo Wasafi Fm
@kamanzicrouch3881
Жыл бұрын
kipindi kitamu ila watangazaji hawana uzowefu mnakatisha sana baba mchungaji mtaharifu mapema kama kuna tangazo linapita ili asubiri
@mateombega7040
Жыл бұрын
Anaenda kumfunika masanja apo, Niko palee nimekaaa😂😂🥺🥺😂
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Huyu mchungaji hata mimi nilikuwa simuelewi lakini sasa namuelewa sana
@aloycemathew3926
Жыл бұрын
Mchukuen mapemaaa
@ndossi90
Жыл бұрын
Raisi wa Mateja 😂😂 Ukifa uozi mchungaji
@zuhuramuhanga5400
Жыл бұрын
Soseji za nyama ya mbwa
@jimmymnuano7165
Жыл бұрын
Maanayake mimi huwa nikizikia bei za vitu Tanzania huwa zinani kumbusha Uturuki yaani mtungi wa gesi milioni mbili kodi ya nyumba milioni 20 duuuuu si mchezo
@christobellndovie7060
Жыл бұрын
Mpe i kipindi huyu mchungaji
@jacklinelyimo7407
Жыл бұрын
Huyo ni Sebe anayeongea maana ni muda mrefu sijamuona ila ksb niko nje ya Tz,nilimuonaga Swebe Efm
@dorothyannan8184
Жыл бұрын
Mchungaji nakusikiliza kuroka Uingereza
@anthonymsigwa3767
Жыл бұрын
hahah uyuy mchungaji namkubari sanaaa hahaha
@charleskibiro9159
Жыл бұрын
Nyinyi mnatumia mchunganji kuuza sausage. Huo pia ni utapeli. Hamna haja na neno la mchunganji haja yenu ni pesa kwa kuuza saussge. Mnamkata kimatharau. Mnauthi.
@ladymzana4511
Жыл бұрын
Huyu mchungaji hua anachekesha sana, nimekuwa nasikiliza clip zake nyingi KZitem, 😅😅😅 eti Zumaridi alimfufua mtu aliyekufa akapiga chafya, jibu lake eti alikuwa amezimia alijiunga na bando la gongo
@sofiamsuya2254
Жыл бұрын
Jamaa hajawahi kuacha bangi hakika
@eliudkatuumwanthi3611
Жыл бұрын
Mchungaji 😂naomba tukutane
@samsonjoseph7320
Жыл бұрын
Kipindi kizuri ila jamaa wa miwani Apo kwa kichwa anaharibu kidogo
Пікірлер: 73