Uwezi linganisha yesu na Muhammad iyo nikufuru mbele za mungu. Nivigumu sana kama mutu kuelewa maneno ya mungu bila roho mtakatifu.
@binseif2216
18 күн бұрын
Alhamdulillah wachungaji wengi wamesilimu
@SirikwaMollel-z1m
15 күн бұрын
Hiyo sio shida maan watu wengi wanaingia Kwa waliminat mwishoni ni jahanam
@user-ek7bx6sk6f
18 күн бұрын
LAA ILAHA ILLA ALLAH MUHAMMADAN RASSULULLAH
@ZakiyaAnwar-w1r
18 күн бұрын
MashaAllah Allah awabariki
@YussufAbdalla-xu4pf
18 күн бұрын
Mashaallah
@abduliashiru9394
18 күн бұрын
Alhamdulilaah kua muislamu Allah awaongoze na wengine katika hiii neeema, mashekhe mnajitaidi sana waalimu zetu, Allah awaongoze Duniani na Akhera na waislamu wote kwa ujumla Amiiin.
Ndacha ni mbishi tu ila waelewa ukweli watarudi kwa Allah
@paulmushi2428
18 күн бұрын
Labda majin
@bitsanjE
16 күн бұрын
Hahaha @@paulmushi2428
@FredrickNyangweso
16 күн бұрын
wewe ngoja kama Muhammad wenu huyo siku ya mwisho watakipata
@binseif2216
18 күн бұрын
Wallahy kama me ningekuwa mkristo ningesilimu kabisa kwaupotofu wa maandiko haya ya wachungaji
@andrewdokhoya
17 күн бұрын
Allah mwenyewe hana uwezo. Wa kusaidia wewe pia
@FredrickNyangweso
16 күн бұрын
kusilimu kuwa nyumba ya majini siwezi abadan
@binseif2216
16 күн бұрын
@@FredrickNyangweso Sababu hutaki kuufata ukweli nahakuna andiko ndani ya bible na quran uislamu ni dini ya majini,mmelaririshwa chuki na wachungaji wenu baki huko gizani
@josephlikare2211
13 күн бұрын
@@binseif2216 Quran 72:1-14...........
@Jabir-y7m
18 күн бұрын
Allahu Akbar, Maanshaallah Allah Awalipe kheri ma Sheikh zetu
@FadhiliMagana
18 күн бұрын
Ndacha hatetei ukristo anatetea sadaka na fungu la kumi wanawadhulumu wenzao kwa mambo ambayo hayako katika bibilia fungu la kumi kupewa pastor liko wapi andiko
@dannyosolo2752
16 күн бұрын
Yesu ndiye mwokozi
@Ibrahimsalim-z4r
18 күн бұрын
Yesu Ni Mwema sana
@zeharaz4116
18 күн бұрын
Ndacha ana tapa tapa kama mfa maji wewe usilimu tu wacha ukaidi
@ZakiyaAnwar-w1r
18 күн бұрын
Huyo huku kenya tunamuelewa sana ndacha kwa kupendua maandiko kiboko yao😂😂😂 huku kenya hatuna haja kumuongelea sana yuaitwa ndacha ndachachiwa😂😂😂😂😂
@sophiaesmarcharo9775
17 күн бұрын
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kassimahmed9364
17 күн бұрын
Watching live from qatar
@qiblatainonline
17 күн бұрын
Mashaallah
@binadimseif2668
18 күн бұрын
Kiukweli ndacha wameshindwa kabisa na leo tumeona mashekhe uwezo wawo mkubwa sana wa Elimu
@johariabdalla3319
18 күн бұрын
Mbona hii midahalo,sauti haziko sawa,na sauti iko chiniii,ipandisheni sauti tuweze kusikia vizur
@HemedHamisi
18 күн бұрын
wanacho kitaka hawa wakrixto xio mijada kama hii, malengo yao ni kupotoxha watoto wadogo WA kiixlamu ili waelewe kuwa uixlamu ni uongo.
@KatanaMlewa
15 күн бұрын
Uongo dini yenu shetan alisilimisha
@babinhoelninho5416
18 күн бұрын
Ndugu wakiristoo elewaa kuwa pastor anaesema yesu ni mungu au mwna wa mungu jua huyoo hupewa hela ndefu sanaa lakini same pastor ambae hana life poa husema yesu ni mtume
@BintalliMbakuha
18 күн бұрын
Kwani vitabu vyotemezani vyanini ,nyinyi wakristo .
@newgreeneaglestudio3089
18 күн бұрын
Ila ndacha Anapotosha hadharani
@faridahalwaily85
18 күн бұрын
Huyuu asemaaaa niniiiiii Afaaahaaamuh asema niniiii?????Allaah Amuongozeee Asemaaaa Muhammad salaa Allaahu Aleihhy wasalaam Anaa shetwanii kitabı ganiii kilichooo Andikwaaaaaa????
@franciscomtambakuluca2830
18 күн бұрын
Ndacha ni Mwalim wa kweli
@BintalliMbakuha
18 күн бұрын
Serious gani sisi waskilizaji hatuione
@BintalliMbakuha
18 күн бұрын
Huyo msomaji wawakristo njaaitamuuwa
@user-ev3pw5me1w
16 күн бұрын
Wala ndacha sio mbishi ni mchekeshaji tu na kubadilisha tafisiri na kupindisha madiko
@nardtheson5056
16 күн бұрын
Ndacha mbona kama kapaniki 😂😂😂
@estakenia
15 күн бұрын
😂😂 Ndacha amekwambia vizuri kuwa Muhammed naye roho yake imo juu yake Yesu.
@BekhaChambaly
18 күн бұрын
Shekh unataka pachangamke 😂😂😂
@BintalliMbakuha
18 күн бұрын
😂😂😂atauwangurue zandacha na msomaji
@partnersah8802
16 күн бұрын
Huwanafuatilia sana mijadala hii ila naona kuna tatizo sehem kati ya Mtume Muhammad na Yesu Kristo. Sijui kwann Quran inapinga vitu alivyosema Yesu. Sasa kama Mitume wote wawili wametoka kwa Mwenyezi Mungu inakuaje sasa maneno yao yatofautiane? Kwann kila mmoja anasema ukimfuata yeye ndo utapata pepo na wanatofautiana sana. Sasa hapo utapataje majibu kwa mdahalo wa hivi? Tuambiane kwanza kwann kunautofauti kati ya Mitume hawa
@lukmanabdi2015
15 күн бұрын
Quran imetimia ndio mn haibadilishwi wal hakun mandiko mpy ila bibilia kila leo inabadilishwa na yesu hayupo
@partnersah8802
15 күн бұрын
@@lukmanabdi2015 unajua kinachobadilishwa ni nn bro?
Ameboeka kenya sana ju amejulikana muongo sasa sadaka yuafuata tanzania na bado huko anachekerenywa😂😂😂ustadh shafii na kinyogoli mazinge ndo kabisa kibooko cha wakristo
@tekashisixtynin9threewithd727
18 күн бұрын
Asa kati ya hao mashehe wa mchongo apo nan mwongo 😂😂😂eti kina m2 naonaga ata elimu yako ndogo anajiita prof sijui wa nn😂😂😂😂
@ZakiyaAnwar-w1r
18 күн бұрын
Hawa mapasta wa mchongo tuwafanye nini jamani😂😂😂wananichosha uisilamu utabaki kuwa ukweli hizo xingine ni mchongo za wachungaji@@tekashisixtynin9threewithd727
@ZakiyaAnwar-w1r
18 күн бұрын
Nyie ndacha unadhani ukiropoka hutalipwa sadaka lazima ndacha apendue maandiko ili afurahishe wakristo na mchango uwe maradufu😂😂😂weee hio kali
Пікірлер: 56