Uyu mzee Bado yupo kumbe ndo mwenye Simba yake uyooo
@suleimansuwed1846
2 жыл бұрын
Nisuala lakuzingatiya ingawanimchangowao dhaifu kwasasa lakiniinastahiki japosikuyasimba day unastahikikuaga kupewanafasi
@fadhilisheckimweri2512
2 жыл бұрын
Jigajiga fc,makolo
@jurdanforwardersltd1460
2 жыл бұрын
ssc ni taasisi ya watu na si kampuni ya mtu binafsi, mzee wetu anashindwa kuelewa unaweza kua miongoni mwa walioanzisha taasisi lakini wakaja nufaika wengine.si lazima wote mnufaika na taasisi.kilomoni waliochangia ssc ni wengi.
Hiyo banner nyuma inaoza pesa ya kubadilisha hamna .... sasa pumzika mzee
@michaelmayemba8435
2 жыл бұрын
Point ni moja tu tumetelekezwa , hayo ni mawimbi tu
@clarencelazaro9600
Жыл бұрын
Huyu mzee anamazo ya mwaka 47 hajui mpira sio km shamba la ukoo
@joachimkalungwana8654
2 жыл бұрын
Sio kila wakati ushindi acheni mawazo hayo
@samwelhiinyamhangahiileosi1060
2 жыл бұрын
Hiki kizee kina usumbufuxn
@AbdallaOthman-ny8hp
9 ай бұрын
tusubiri simba tuzalishe juis au sabun y mo uwanjan tu
@highvoltages4169
2 жыл бұрын
Mtangazaji ukimuhoji mkubwa msalimie *shikamoo* lakini unaposema heshima yako hio ni salamu kwa mtu ambae mpo rika moja lkn hauna uhakika kama ni mdogo kwako au mkubwa kwako ndo unatumia *heshima yako*
@kirundumweteni2072
2 жыл бұрын
Shikamoo ni mazoea tu.lakini ni neno la kiarabu linalomaanisha nipo chin ya miguu yako bwana. kwa asiyejua ataona shikamoo big dili. lakini anayeitkia husema Marhabaa
@udugukassim5178
2 жыл бұрын
Angalia tafsiri ya shikamoo KATIKA kiswahili
@edinamgulila8827
2 жыл бұрын
Watu siku hiz wamezoea tu mzee heshima yako ...ndo nn sasa
@queenraphaher7736
2 жыл бұрын
Kwani ukiwa kiongozi Timu haijawahi kufungwa? Hakuna timu isio fungwa
@queenraphaher7736
2 жыл бұрын
Kila kiongozi anamuhula wake,ukimaliza tulia,shauri,sio kuabudiwa, Mungu ndio Kila kitu, Mimi yanga
Umecheza Simba umelipwa kama ana madai ya malipo yake aende kwa uongozi alipwe stahiki zake.
@jumamohamed3774
2 жыл бұрын
Tatizo kubwa masilahi ndiyo na wengi walitegemea Mambo yao binafsi yamalizwe na ssc Sasa kukoseka Mambo hayo ndio zogo miaka mitano tulipotembeza bakuli wao siwalikuwa viongozi walifanya nn hao Ni ssc yanga tuelewe hivyo
@joachimkalungwana8654
2 жыл бұрын
Mlizoea kula pesa kiujanja usituaminishe imani za kishirikina
@jumaali9243
2 жыл бұрын
Ni kweli Mzee kilomoni nakuunga mkono viongozi waliopo wanajazba maamuzi Yao kurupuka ,hawapo pamoja maamuzi ya viongozi wachache
@salmamsabaha8434
2 жыл бұрын
Mzee pumzika
@adamchambo12
2 жыл бұрын
Mzee umepotea na wakati kaa pembeni huna chako tena,nyakati za kuishi mjini kwakutegemea Simba na yanga zimeshapita Mzee umajiabisha
@joachimkalungwana8654
2 жыл бұрын
Kweli wewe Mkule tv hovyooo
@matataoneproduction5355
2 жыл бұрын
Kumbe ushaamua kukaa pembeni sasa unaongea nini? Mzee acha njaa bwana maana tunajua kuna mtu anaowajaza upepo nyie wazee
@rehemamejja8342
2 жыл бұрын
Semaaaa.
@jumannekatumba44
2 жыл бұрын
Heshima Yako ndio Nini wewe mtangazaji ni hovyo kabisa
@genardmkude9598
2 жыл бұрын
Unasaidia nini
@joachimkalungwana8654
2 жыл бұрын
Mwandishi mbona kama umetumwa
@sashahauke2032
2 жыл бұрын
Msipende lawama hivi kama tungekua tumeweka hela zetu ingekuaje ?hapo hela hujaweka maneno meeeeengi acheni jamani hatuwezi shinda kila siku na kuteleza siyo kuanguka
@joachimkalungwana8654
2 жыл бұрын
Kwenye mafanikio hukupata kumwuliza.Acha imani hiyo umeshapitwa na wakati.Mtangazaji hujitambui
@abdallahshariff6555
2 жыл бұрын
nikweli hao waandishi wameona kipindi hichi ndio kipindi cha wao kutumiwa ilikuwafata hao wazee kutuchanganya,mlijenga au ni club na wanachama ndio walijenga?watuwache
@saadibraahim8561
2 жыл бұрын
Hakuna timu inashinda kila msimu
@regnaldmakene5947
2 жыл бұрын
Mzee umepitwa na wakati, mpira wenu wa zamani ulikuwa wa kichawi, siku ni sayansi ya mpira.
@shuhudajacob1178
2 жыл бұрын
GSM napendekeza huyu mzee tumununue anakitu ndani yake (bench la ufundi)
@jumakhalid5554
2 жыл бұрын
Semakweli
@abdulrazaqallyshemmela2769
2 жыл бұрын
Sijapaya kuona watu ajinga kama nyie mliemfiuata mzee kilomoni nyumbani kwake mnataguta nini kama sio unjinga
@genardmkude9598
2 жыл бұрын
Ulaya hakuna ujinga kama wako
@abdallahshariff6555
2 жыл бұрын
Kilomoni ilpita enzi yenu na Simba sio yenu,hawana simba na Simba ni ni wanachama,mtuwachie Simba yetu,wazee mtuwacheeeee imepita enzi yenu
@baheronganzi9240
9 ай бұрын
Ww ujitambui ujui thamani yawazee
@kassammwishehe4482
2 жыл бұрын
Mzee kilomoni kumjua nafsi bona Mzee bwamchawi akua ivyo Simba apo zamani ulikua Tim ya walabu na matajili wewe umeingiajee?? Na unasema umenunua uwanja ulitoa pesa yako au mlishilikiana na walabuu na matajili wa kihindi??? Mzee kumjua nafsi mpilla WA zamani imepitwa na wakati
@abdallashekuwe687
2 жыл бұрын
Mzee anaongea na machungu ni kama anailani timu
@bakarimkunyulia6687
2 жыл бұрын
Mkure tv
@abdisalim1157
2 жыл бұрын
Umrri unapokuwa kubwa km wa kwako inapasa busara kutawala ili usiiaibishe familia yk bure.Ww bakia msikitin kumwomba Mungu akusamehe,mpira au uongozi kwa ss ni vitu mbali2 na ww
@salehematimbwa4684
2 жыл бұрын
Acha uongo mpila siku hizi ni hela siyo maneno kaapembenj mzee mwenzangu
@zoharimohammed2942
2 жыл бұрын
Naaaaam
@allyhussein3043
2 жыл бұрын
Wakati simba inafanyavizuli mbona wazee haoo hamkuwahiji
@robertphilip385
2 жыл бұрын
Hamia yanga kama manara
@taseleli9181
2 жыл бұрын
Kwa kweli wanafiki wote tupa kulee hakuna mwenye Simba yake hapa.
Пікірлер: 60