Safi sana! WE WIN TOGETHER,WE LOSE TOGETHER!!! WHAT A STATEMENT! Underated comment!! Hiyo Yanga!
@user-sf1ne6tk4u
8 күн бұрын
wawoooo iyo nzuriii kaka
@hussenmissembe7584
8 күн бұрын
Karibu sana mwamba wa lusaka
@AMINIELIHAALI-xv1rd
7 күн бұрын
Hii ya baleke kali
@user-bt6ep3yb2h
8 күн бұрын
Walimwita aende dubai ili kumshawishi asaini simba mwamba kawatolea nje.
@chiefnumborecords4819
8 күн бұрын
Ndiyo baba viunbe Wa ajabu ni marehemu Hayati John Pombe magufuli marehemu Steven Kanumba marehemu Ruge Mutahaba ,eng Hersi said ,Haji Sande Manara Diamondi platinum hao watu daaaah ni waajabu sana
@user-fg8hg9fe1w
7 күн бұрын
Hii sifa Sasa balleke tena😂😂
@marcobulili4341
8 күн бұрын
Usajiri wa chama na Bakeke binafsi sijafurahi kabisa!
@marcobulili4341
7 күн бұрын
Simba hawana kombe au ubingwa uliowapeleka shirikisho. Waishukuru yanga!
@errydeo8865
8 күн бұрын
Yanga HATUJENGI TIMU,TUNABORESHA! USAJILI WA YANGA NI WA CAFCL! PRAYERS WITH QUALITY N EXPERIENCE!!? bongo mpira hamjaujua!
@albertmlay8342
8 күн бұрын
Mume wa mwenyewe unaongea hivyo ila hamtaamini SIMBA itawafunga ngao ya Jamii NBC mtafungwa na SIMBA nyie YANGA
@user-yk2mr1uu5i
8 күн бұрын
Wazeeee wa makombo
@matiankomola2391
8 күн бұрын
Ni matamu sana, Hayo ni madini! Wacha yaliwe!
@JosephMallya-qh6cf
8 күн бұрын
Baleke wa nn bwana😢
@rajabmsinzia1715
8 күн бұрын
Beleke ni bonge la Mshambuliaji ndugu
@japhetisraelsmafie997
8 күн бұрын
Kumbe ndo maana mnaitwa mwiko nyumani,,vyura bhana,mnalete aibu ,mnasubiri simba wachezaji wakichoka mnaona mmefaidi.. Hivi huyu nyumbu abajulikana kama nani anae ongea
@matiankomola2391
8 күн бұрын
wanapochoka huko! ndivyo Wanavyokuwa vifaa kwetu.
@errydeo8865
8 күн бұрын
Mtangazaji JIONGEZE KWA HIYO MAN CITY,ARSENAL, LIVER POOL BARCA ,MADRID WAKIENDA PRESEASON USA ,ASIA UARABUNI INA MAANA,HUKO NDO KUNA FACILITIES NZURI!? PRESEASON ni ya kibiashara Zaidi kama hujui! Hizi timu zikienda nchi fulani PRESEASON ni kujitangaza ,kutafuta mashabiki ,wafuasi na wapenzi wapya pia kutoa fursa mashabiki wa nchi hizo kuona wachezaji wapya na wazamani na vitu kama hivyo ! Ts not abt facilities! Wabongo fanyieni research na Wewe kama mwandishi uwe na uwezo wa kukosoa na kuelimisha watu!
Пікірлер: 19