Sauti ya wanyonge 😢 🇹🇿 need to wake up and reclaim your freedom
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Hakuna mnyonge fala weweee
@sylvesterlombe6366
Ай бұрын
In Zambia opposition party leaders are arrested quite frequently but they are never beaten
@madarakamarumbo6102
Ай бұрын
Namuomba Mungu siku ya kiyama nishuudie adhabu kali kwa hawa watesi. Duniana wana silaha kwa Mungu ni madhalili. Laana ya Mungu iwe juu yao watesi wa watu
@elias-op3mx
Ай бұрын
Mungu awalaani wote wanyang,anyi wao nafamilia zao wazazi wao nafamilia zao kiujumla
@fredimtaze9982
Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿yaani ccm wana kaa madarakani kwa kukingiwa kifua na mapolice tu🫵🫵
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Falaaaas wewe
@paulsamwel1281
Ай бұрын
Maelezo ya Lisu na huyu ni vitu viwili tofautiiiii kabisaa!! Ila kwa kuwa mnamakasiriko hamuwezi kugundua hilo😂
@ShabanJuma9319
Ай бұрын
Maelezo tofauti sabb walipo kamatwa kila.mmja alipelekwa sehem yake watakiwa ujue hilo
@chezariboy
Ай бұрын
Yanafanana to fauti ni gari gari walizotenganishwa na lisu pia wakati wamateso hawakuteswa kwa dakika inayofanana pia magari yalitofautishwa lazima yatofautiane kidogo,,, ila alieamuru wafanyiwe mazambi ya kuteswa ni huyohuyo awadhi i... Ipo siku MUNGU ATAINGILIA NA KUAMUA JAMBO KAMA KIPNDI CHA WATAWALA WALIOONDOLEWA NA MUNGU MKUU.
@George-jz3jg
Ай бұрын
Mjinga tu wewe
@MohdIkra-d7s
Ай бұрын
Hemu nambie tofauti zao tano kila moja imwambie sogea uko kwamaana isijirejee rejee
@MohdIkra-d7s
Ай бұрын
Najua upo na pirika za kimaisha lakini tunataka kujua kutoka kwako tofauti hizo muda huu haraka haraka
@AnociathaChuwa-cb5nk
Ай бұрын
Naichukia ccm kwa moyo wangu wote EE MUNGU uwaadhibu viongozi waovu na wabaya
@hassanjalikazi6754
Ай бұрын
Poleni sana
@matrida-w3o
Ай бұрын
Poleni wanaChadema Arobaini ya wanaccm imefika
@othmanali5362
Ай бұрын
Poleni
@marthamungure1777
Ай бұрын
Hawa CCM si watu wazuri kabisa😢
@verdianabanabi2205
Ай бұрын
Kabisa unasema ukweli.
@DeusNkunga
Ай бұрын
Kama ni kweli, basi kamishina Awadhi inabidi aadhibiwe.
@George-jz3jg
Ай бұрын
Kwa serikali hii hawezi kuadhibiwa ila atapandishwa cheo kama kingai
@FridaRemtula
Ай бұрын
soo painful,,, why all this???
@PeterDaudi-z2z
18 күн бұрын
Polis awatumii busala uonevu huu Hadi lini
@jumanyassy8062
Ай бұрын
Viongozi🎉🎉🎉 maua yenu hayo
@JumaMaganda
27 күн бұрын
Piga kazi
@matrida-w3o
Ай бұрын
EEmungu mponye Sugu
@johnkaliwanje434
Ай бұрын
huyu awadhi haji ashitakiwe
@ChundwaTobias
19 күн бұрын
Acha watutese lakini mwisho wao unakaribia
@JosephLymo-j8x
Ай бұрын
Hii serikali nachama inabidi ijitasmini wasimuhribie mama hiki kinachoendelea sio sahii najeshi la polisi lazima mjiamini
@mohayussuf2057
Ай бұрын
So sad tz
@sturmiusbs
Ай бұрын
Beastly
@JotoKali
Ай бұрын
😭😭😭🙆🙆🙆Mungu tusaidie!!!!!!
@prospermsemwa1433
Ай бұрын
Najua mungu hato Acha hiki cham ndio ukombozi wa tz
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Hakuna mkombozi yoyote njaaa za matumbo yao
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Macho Kama tumbili katibu mkuu gani huyoooo
@TM-zs3rm
Ай бұрын
Ndo serikali ijayo. Subiri
@FridaRemtula
Ай бұрын
tunawahiza wenye mamlaka wafute vyama vya upinzani,, shame sana
@verdianabanabi2205
Ай бұрын
Inaonekana wewe hujielewi kabisaaaaa!!!
@CharlesMafwimbo
Ай бұрын
Totally unfair
@nyagwisnyagwis9306
Ай бұрын
Wasubiria kiberiti 100/= na chumvi 200/= toka ccm kwenye kampeni hawataelewa hili
@gaagwasaugustino2584
Ай бұрын
Uchafu huu wa kudhulumu haki na kunyanyasa viongozi wa Chadema na wanachama wa Chadema inaonekana ndiyo utakaofanyika uchaguzi ujao! Wananchi tujipange kwa maombi na kwa harakati za kupigania haki Katika Taifa letu!
@user-lt1bi5nr1x
Ай бұрын
Hakuna msaada wowote kila siku ni yaleyale na hawa watu hawawajibishwi kivyovyote
@bishopmosesmagadula7572
Ай бұрын
KWA MANENO HAYO NI WAZI KUWA MAMA SAMIA AMEAMUA KUWAUWA WAPINZANI ILI AKOSE MPINZANI KWENYE UCHAGUZI MKUU UJAO UCHAGUZI HUO UTAKUWA NA WAPIGA KURA WACHACHE SANA HATUA KUWA HURU KULIKO KUWA NA CHAGUZI NI BORA ZISIWEPO CHAGUZI MAANA HAZINA MAANA..
@MunirDaniford
Ай бұрын
Uyu ndo lissu waliosema ataenda ccm??
@Bilioneabichwa331
Ай бұрын
Shost nahodha ndo nani?
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
Kila siku wanalia tangu kipindi ya magu hawa ni WAPINZANI au WASANII 😢😢😢😢
@thomaskiponda6079
Ай бұрын
Chama PEKEE TANZANIA Chenye MISIMAMO mikali
@AndrewMoses-c7c
Ай бұрын
Hatukuwachukia makabulu wa Africa kusini kwa sababu ya rangi yao au tu kwa maneno yao bali kwa vitendo vyao. Yalikua maneno ya mwl J.K Nyerere. Kwa vitendo vya chama tawala "CCM" hawana tofauti na makabulu sema hawa ni weusi. Ni makabulu tu.
@mohammedkhimji7505
Ай бұрын
udhalilishaji ni mbinu cha mwisho kutumika kwenye utawala...... ndipo dhulma huanza...
@frankkuga6364
Ай бұрын
Wito wangu kwa vijana, wajiepushe na uchochezi na chuki inayopandikizwa ndani Yao.
@allymohamedclaud7626
Ай бұрын
Hapo IGP angefanya jambo sababu haya mambo wala mh.Rais hajui chochote
@eliasmedutieki7578
Ай бұрын
Hii sio ya kuachilia ni lazima wapelekwe mahakamani na tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya hili
@verdianabanabi2205
Ай бұрын
Kabisa.
@othmanali5362
Ай бұрын
Aibu kubwa kwa serikali iliyopo .
@eliasmedutieki7578
Ай бұрын
Mi nadhani madam Rais anatakiwa atoke na kukemea hayo mambo na wote waliohusika wachukuliwe hatua kali
@verdianabanabi2205
Ай бұрын
Kakaa kimya anasubiri kura 2025 za ndiyo.
@barakasimpasa
Ай бұрын
Uko kukosa hekima awa ni viongozi wana hadhi zao waheshimiwe ata Kama wapo upande mwingine
@mohayussuf2057
Ай бұрын
Hii ni aibu Kwa polisi Tanzania
@AnociathaChuwa-cb5nk
Ай бұрын
LINI TUTAKUWA NA DEMOKRASIA YA KWELI!!!!!
@SalumKapona
Ай бұрын
Nyinyi wakorofi sana na kauri zenu ni mbaya.
@MosesSiwiti
Ай бұрын
Wewe nimbwa
@MilamboMarco
Ай бұрын
Eti batterie low😂😂😂 woga tu
@johnkaliwanje434
Ай бұрын
kiongoz Mbowe huyo hawadhi haji asimame mahakaman ajibu tuhuma zinazomkabili, nakuunga mkono Mbowe na iwe ivyo
@PaulMrimi
Ай бұрын
Kwanini waliruhusu vyama vya upinzani sasa
@hamzamanyerere3202
Ай бұрын
Nazani lisu huu mchezo wewe unataka ushindi ila wenzio hawajazamilia kabisa
@daudimchileg307
Ай бұрын
Nyie CHADEMA tumewachoka kulialia muda wote, mbona ccm hawafanyiwi hivi? Amkeni ombeni msaada hata nje.
@dicksoncyprian9511
Ай бұрын
Sasa wewe unauliza kwanini CCM hawafanyiwi hivi,swali lako la kijinga,Kwani hujui serikali ni CCM
@AshaHhado
Ай бұрын
Unachongea ni upuuzi ni sawa na mama na mtt wa jambo ukiwepo baba inaonekana ana upendo ukitoka mtt anaoneshwa matukio Acha kujifanya hujui
@user-yr5wj5bz4w
Ай бұрын
Ivi huu mwili ndio ulipigwa risasi zile zote nauko imara ivi kweli siasa mchezo mchafu 🤣🤣🤣🤣🤣
@lawskuli9876
Ай бұрын
Kusudi haina pole babaaa!
@mohayussuf2057
Ай бұрын
Police wanatumika na CCM kijinga upuuuzi huu
@MohammedAwadh-gq9si
Ай бұрын
Umepigwa au umeguswaguswa ? Uko na afya njemahivi !
@mohayussuf2057
Ай бұрын
Karne 21 polisi wanatumia kijinga kisiasa
@joachimfrancis9587
Ай бұрын
Acheni usenge na propaganda.Acheni kucheza na akili za watanzania!!!Huna ata alamama ya kipigo wala kovu wewe acha kudanganya watanzania.Mnatia aibu sana
@elias-op3mx
Ай бұрын
Twambie wewe unacho kijua siku hio
@Mzitomatelephone
Ай бұрын
@joakim ,,.,ujitafakari inawezekana haupo sawa
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Wewe. Kiboko yako magufuli tu ndio unae muheshimu. Laiti angelikuwepo. Hapo usingelikuwepo hapo hizo porojo zako feki. Ungeli kiona. Cha moto
@juliusnyerere5393
Ай бұрын
Wacha usaniiiii wewe mtu mwenye kutumia dawa kila anapokuwepo dawa anakuwa nazo Hata kuliko simu wadanganye wasiojua. Sababu ya kupigwa anaijua Magufuli
@erasmusaloyce4398
Ай бұрын
Wewe ni wa hovyo
@hamisidd8124
Ай бұрын
Chadema ni wahuni serkali ichukue hatua Hawa chadema watavuruga amani inatakiwa wapewe onyo Kali ilitakiwa wawe motuary
@JuliasSasi
Ай бұрын
Huna akiri wewe
@mlelwa
Ай бұрын
Duuuuh huu sio ubinadamu kabisa roho gn sijui unayo
@gaagwasaugustino2584
Ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati! Mungu wa HAKI asimame wewe utangulie Mochwari kwanza, na wenye HAKI wabaki wakipigania haki Katika Taifa letu, Ameni.
@donbosconyanda7762
Ай бұрын
Nyinyi ni wajinga bangi zinawasimbua
@user-yw3qh6qj8g
Ай бұрын
Wewe unalaana yakulala na mamayako,huelewi nn hapo? Shoga ww
Пікірлер: 94