JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
@dawsonkaaya4210
7 сағат бұрын
Huu mkutano ungepewa jina la 4R alichokuwa ni maono ya Mh.Rais.niseme tukubaliane na maazimio yake .Watanzania tunusurike na tunacho kuona mbele.Asante kwa walio fuatilia Mkutano huu.❤
@emanuelurio-ok8yl
Сағат бұрын
Nafuatilia sana hayo mazungumzo.
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Mlidanganywa kabisa kwa sababu mlikuwepo huko nyuma kwake yeye kuanza kusema amewaruhusu amekuwa na kiburi kana kwamba hamkuwepo huko nyuma.
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Wengine wako nasimu hao wako tu bora liende labda ni CCM. HAWA ONI LO LOTE LA MAANA.
@boneyme9433
2 сағат бұрын
Lisu ha jui Tanzania ya UZALENDO
@mtangag774
7 сағат бұрын
Mkutano mzuri
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Kwani hili limama mzanzibari hana uchungu wa watanganyika na wanainchi wake yeye anatamani sana watanganyika waishe kabisa.
@WillisonMkumbo
7 сағат бұрын
Mkutano mzr kwa lipi!,mambo ya kihuni hayo,jana rais aliwakumbusha kuwa kumbukeni mlikotoka huko nyuma na sasa hivi mko wapi,mmepewa uhuru mnatukana watu,nyie kawaida yenu ni kunyimwa uhuru,hamna lolote jipya
@Ushauri235
7 сағат бұрын
Uhuni umetoka wapi hapo akili yako haichaji
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Hata sisi wanainchi tunaitaji KATIBA sasa hivi. Kwa sababu tumeisha kuwa watumwa wa huyu Mzanzibari
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Polisi na Samia ni wauwaji wakubwa. Huyu mzanzibari ni muuwaji mkubwa hili limama halijali watanganyika na polisi wote ni wachawa.
@maase2023
2 сағат бұрын
Hawa wapinzani wamshachoka kwa kweli ! Umri umeshawaacha warudi nuumbani watulie maana mpk unaonea huruma dah
@egdldm4981
6 сағат бұрын
Tuanze mchakato wa katiba mpya.
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Na sasa hivi kweli mmekaa hapo na mko wasomi wazuri kwa nini hamgusi pia muungano ambayo haupo ila ni kiini macho ya Tanganyika inayong'ang'ania muungano kwa unafiki mtupu. Hakuna muungano inakuaje Zanzibar iko na serikali yao na kila kitu? Kwahiyo hakuna muungano ikiwa na maana maraisi wa Inchi nyingine?
@emanuelurio-ok8yl
Сағат бұрын
Swala la divide and rule liko wazi
@PauloAlfayo-qi1gn
3 сағат бұрын
Ni uonefu wa upande mmoja
@egdldm4981
7 сағат бұрын
Tupate Katiba mpya kwanza ndipo tufanye uchaguzi.
@boneyme9433
2 сағат бұрын
Samahani LISU ana penda kweli nchi yetu bila MATUSI?
@benedictmrisho1800
6 сағат бұрын
Nyote mliokaa hapo mnajua kabisa rules za fair play. Hata watoto wadogo wanajua huwezi kuwa refa na mchezaji. Watanzania tunawashangaa sana. Wanasiasa nchi hii msipoteze mda wenu buree. Achaneni ni siasa za refa mchezaji.
@AlouiseNgenDanDumwe
5 сағат бұрын
Hakuna rais hapo watu wanatekwa anakaa kimya agetekwa mtoto wako au mtoto wasamia ungekaa kimya acheni utoto.
@benedictmrisho1800
6 сағат бұрын
Msipoteze muda igeni teams za mpira wa miguu refa hawezi kuwa meneja ya team inayoshondana hapo.kugawana mafungu tu.
@christinenyagiro6662
6 сағат бұрын
Kwani Katiba inasema nini? Katiba ndiyo inakubali maandamano huru, VYAMA vinaruhusiwa na Katiba kwahiyo yeye Samia ni zaidi ya Katiba? Samia acha kutuchanganya na uhuni huo. Ni wewe na Magufuli mlikubaliana kuchukuwa uhuru wa vyama mpaka mkatupora uhuru wa kongea mpaka mkatupira wanainchi kutoa mawazo. Sasa Samia anjifanya ndiye amewarusu! Nadhani hajitambuhi. Yeye kuwa raisi siyo kuwa atunyime kuwa huru kukutana? Hayo ni maajabu kweli mbona hata chama kimoja tulikuwa tunaongea hata vyama vya wafanyakazi walikuwa na nguvu sana. Magufuli na Samia walikuja kuuwa uhuru vyama vya wafanya kazi. Mlimalizwa.
@SadockChessa
6 сағат бұрын
Tarehe 23/9/202 maandamano yasifanyike viongozi wakidini na serikari na wanaccm wakae pamoja Rais wetu samia awepo kwakuwa ni amirijeshi vurugu ikiwepo eleweni hakuna adui baba mama watoto tutauuana sisi kwa sisi wanajeshi pamoja jeshi la polisi ni watoto wa vyama vyote vilivyopo Tz kwanini kuuana?
@novatidamian7236
49 минут бұрын
Hili jamaa lenye mandevu mchanganyiko linaoga kiasi gani???!!!! Unaogopa maandamano? Ama una ulichopewa ukasemee serikari!!!???
@egdldm4981
6 сағат бұрын
Mr Selasini, kwa nini muiombe Serikali wakati sisi ndio tunaoiweka Serikali madarakani?
Пікірлер: 27