Mdathir kazin kwake Kuna kazi aombe Dua na apambane Kweli Kweli d abuya daadaadaa
@MonicaNathanael
2 ай бұрын
Tuko live wananchiiii💛💚💚💛
@JolotaErastoJuma
2 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA UBAYA UBWELA 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@MalikiMohamedy
2 ай бұрын
Omari mketto nipo sãopaul Brasil nawapata vitória sana hapo wasafi
@alisalmin512
2 ай бұрын
Naomba majina ya hawa wachambuzi ndio niwafuatilie
@dragon_tz
2 ай бұрын
HIVI KUNAUWEZEKANO MKIWA MNACHAMBUA MDA HUO HUO MNAKUA MNATUPITISHIA YA HIGHLIGHTS JAPO HATA KWA UCHACHE2.. 🙏 OTHER WAYS NAWAPENDA SANA NA NAWAFATILIA KUTOKA DUBAI🇦🇪
@jimmymnuano7165
2 ай бұрын
Mimi nilivyo muelewa Mr. Gamond hakutaka kuwanyima usingizi wachezaji pamoja na mashabiki wa Simba mpaka siku ya kuwafumuwa na kuvalishwa Sanda lakini ikabidi hivyo ila wajuwe Sanda wamesha zivaa bila ya kuambiwa wakae wakijuwa hivyo wasubili kuzikwa tu
@VictorKahangwa
2 ай бұрын
Mashabiki walikufuru kusema even Jesus Christ can't save Kaizer Chiefs !!
@JELSONMAUKI
2 ай бұрын
Kabisa yani 😅😅😅😅
@AlfredRutaguza
2 ай бұрын
Huyu michambuzi wa kipemba tunajua amechukia yanga kupata kombe maana yeye ni kolo
@nadhifamustapha7557
2 ай бұрын
JAMAN JOB,KIBABAGE Na YAO YAO KAZI ZAO PIA NI MOTO SANA
@BoniphaceJacobo
2 ай бұрын
Mbona kwenye tv hampo live kwenye kisimbuzi Cha Azam
@LucyMbwambo-w4d
2 ай бұрын
Wasafi iringa mjini tunawapata kwa shida kwa upande wa kutumia redio,tunaomba mboreshe zaidi mfumo wa matangazo yenu
@JELSONMAUKI
2 ай бұрын
Hapo wanamuongelea Mzize 😅😅😅😅😅😅
@johannmaloda6027
2 ай бұрын
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na Yanga ktk club bingwa Africa ndo kuleta hujuma...itakuwa Kaizer chiefs😂😂.. Makolo huwa hawakubali wanatafuta sababu kusema Kaizer chiefs wameshuka...vp kuhusu mamelod aliyefungwa na n bingwa ligi hiyo???
@AzhadSaid-j1t
2 ай бұрын
Xav mtupu
@aboumanasse90
2 ай бұрын
Naomba kuuliza swali, haji manara hana slogan nyingine ya uwamasishaji tofauti na kuingumzia simba, mbona Ali kamwe anafanya uwasishaji bila kuizungumzia simba na Ahmed anafanya hivyo bila kuizungumzia yanga, mda wote aliokaa nje hajajifunza vitu vipya?!
@jareengeorge5478
2 ай бұрын
Mnachekesha sana.kaizer chifu Ile mnazani ndio hii.kwenye ligi huko kwao inashika nafasi ya 10.acheni upumbavu huo.mnapiga bomu muchwari mnasema mmeua.fyuuuuuuuu
@salmamlokela1987
2 ай бұрын
Utakufa mapema kwa roho mbayaa😅
@fettiemaganza1484
2 ай бұрын
@@salmamlokela1987mwache afe tu maana Sanda tayari anayo
@johannmaloda6027
2 ай бұрын
Mamelod anayeongoza ligi ya South Africa alifungwa na yanga ktk club bingwa Africa wewe unaongea nn, makolo akili km zimejaa kamasi mpira hamjui.....😂😂
Пікірлер: 31