Safi sana! WE WIN TOGETHER,WE LOSE TOGETHER!!! WHAT A STATEMENT! Underated comment!! Hiyo Yanga!
@hussenmissembe7584
Ай бұрын
Karibu sana mwamba wa lusaka
@AMINIELIHAALI-xv1rd
Ай бұрын
Hii ya baleke kali
@user-fg8hg9fe1w
Ай бұрын
Hii sifa Sasa balleke tena😂😂
@user-bt6ep3yb2h
Ай бұрын
Walimwita aende dubai ili kumshawishi asaini simba mwamba kawatolea nje.
@marcobulili4341
Ай бұрын
Usajiri wa chama na Bakeke binafsi sijafurahi kabisa!
@chiefnumborecords4819
Ай бұрын
Ndiyo baba viunbe Wa ajabu ni marehemu Hayati John Pombe magufuli marehemu Steven Kanumba marehemu Ruge Mutahaba ,eng Hersi said ,Haji Sande Manara Diamondi platinum hao watu daaaah ni waajabu sana
@marcobulili4341
Ай бұрын
Simba hawana kombe au ubingwa uliowapeleka shirikisho. Waishukuru yanga!
@errydeo8865
Ай бұрын
Yanga HATUJENGI TIMU,TUNABORESHA! USAJILI WA YANGA NI WA CAFCL! PRAYERS WITH QUALITY N EXPERIENCE!!? bongo mpira hamjaujua!
@albertmlay8342
Ай бұрын
Mume wa mwenyewe unaongea hivyo ila hamtaamini SIMBA itawafunga ngao ya Jamii NBC mtafungwa na SIMBA nyie YANGA
@JosephMallya-qh6cf
Ай бұрын
Baleke wa nn bwana😢
@R10_Rajab
Ай бұрын
Beleke ni bonge la Mshambuliaji ndugu
@user-yk2mr1uu5i
Ай бұрын
Wazeeee wa makombo
@matiankomola2391
Ай бұрын
Ni matamu sana, Hayo ni madini! Wacha yaliwe!
@errydeo8865
Ай бұрын
Mtangazaji JIONGEZE KWA HIYO MAN CITY,ARSENAL, LIVER POOL BARCA ,MADRID WAKIENDA PRESEASON USA ,ASIA UARABUNI INA MAANA,HUKO NDO KUNA FACILITIES NZURI!? PRESEASON ni ya kibiashara Zaidi kama hujui! Hizi timu zikienda nchi fulani PRESEASON ni kujitangaza ,kutafuta mashabiki ,wafuasi na wapenzi wapya pia kutoa fursa mashabiki wa nchi hizo kuona wachezaji wapya na wazamani na vitu kama hivyo ! Ts not abt facilities! Wabongo fanyieni research na Wewe kama mwandishi uwe na uwezo wa kukosoa na kuelimisha watu!
@japhetisraelsmafie997
Ай бұрын
Kumbe ndo maana mnaitwa mwiko nyumani,,vyura bhana,mnalete aibu ,mnasubiri simba wachezaji wakichoka mnaona mmefaidi.. Hivi huyu nyumbu abajulikana kama nani anae ongea
Пікірлер: 19