chat.whatsapp.com/KX2HMBj3Z5v8LjwVGi15zY JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
@halimamfaume1925
4 ай бұрын
Fungu akufanyie wepesi Lulu katika safari yako na akujaalie upate kazi sehemu nzuri na mshahara mzuri❤
@RizikiOmari-w9m
4 ай бұрын
Njo upambane lulu mm nmesafiri na umri mdogo sana na nina mlea mamangu...ilkuw vigumu kuwa mbali na mama lkn sasa hv karbun narud ..dua tu
@SaidHaarith
4 ай бұрын
Lulu hujambo nimweli mdogo wangu binafsi nimeeacha watoto watatu tena wadogo najua watapata shida lakini hazitodumu shida hizo snasasa naukata mwaka njoo mama mungu stamlinda chukuwa nomba yangu nikutafutie sehemu ilokuwa nzuri
@joyce55727
4 ай бұрын
Lulu mdogo wangu km kweli umeamua kuja oman njoo my km kuna sehem ya kumuacha mama muache ila ukifika oman jitahidi kumtafutia mama mfanyakazi wa kumuangalia ata km atakua anashi na fab au popote pale kbs utaomba adi lin
@SuzyMuhando-yf8do
4 ай бұрын
Nikweli my dear lakini nimesikia kama anapumu my nahizi kazi za omani kweli sijui
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Kama ushauri watu wametoa na yeye anakanusha mwacheni aende kwani ao kaka zake SI wamezaliwa pia Kwa uyo mama yeye nani asimuache naona kasha mchoka na yeye maana uyo mama so wakumuacha na mtu Baki sasa wanaosema waliwaacha watoto wadogo kwenda uko tofautisha ugonjwa na kumuacha mtoto
@Mpakauseme
4 ай бұрын
Yupo sawa huyo msichana ni kweli umri haurudi nyuma, mambo yakusema subili Mungu atakupa na mwishowe wengi wameishia kwenye umasikini
@zainab8251
4 ай бұрын
Mimi nakushauli azia oman 🇴🇲 kwa kazi za ndani
@saidalhinai1131
4 ай бұрын
Kweli maamuzi ya Lulu ni mazuri kuliko kuomba utasaidiwa mpaka watu watachoka
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Umenielewa😄sijui mnanielewaaa
@nasraswakala
4 ай бұрын
Nimekupenda sana na maamuzi yako manshaa Allah ❤❤❤
@HidayaKarim-wy9yc
4 ай бұрын
Tatizo la watu awachelewi kuchoka akifanya kazi itakua vizuri
@saeaaa8571
4 ай бұрын
Ni kweli but kwa changamoto za mama ake n ngum kukaa n mtu mwingine,
@ashashaban6484
4 ай бұрын
MUNGU AKUTANGULIE MDOGO WANGU ALLAH MKUBWA INSHALLAH ATAKUFUNGULIA KILA LA KHER INSHALLAH
@Aminahlamranl420-hw2ie
4 ай бұрын
Polen sana Lulu mdogo wang unajielewa Sanaa. Kufanya kaz muhim hata me nimeacha family nimekuja kutafuta. Lkn namuhurumia sana mama anakaa na nan??
@Muswlih
4 ай бұрын
Sad kz ndani pia zipo njee ni mbali Nan atamsaidia mm yko wew kz bongo hap hap zipo
@AminaAlly-q5f
4 ай бұрын
Daah kipenzi karibu sana oman upambane
@MwanaHamis-y4e
4 ай бұрын
Mungu atakufanyia wepesi mdogo angu Mungu yupo pamoja nawe
@SafiyaJ-yw2vt
4 ай бұрын
Maashallah binti ana akili mungu amfungulie kila la kheri😊😊😊😊
@munirasallim6450
4 ай бұрын
Ni kweli unachosema lkn mmko n mgonjwa hakuna.mtu anaweza kukaa na mama wa mtu
@janemusumba820
4 ай бұрын
Lulu usimwache mamako akuna mtu anaweza ishi na yy kama si ww
@shamsahaji6202
4 ай бұрын
Nikisoma comment kila mtu njoo omani njoo omani...hawa si ndio kila siku wanapiga kelele waarabu wabaya??lol watanzania bana,.lulu uamuzi ni wako nnachokuombea ni Allah akusaidie huko unakotaka kwenda inshaallah kwa nia yako mungu atakufungulia inshaallah..nakuombea pia atakaekaa na mamako awe mtu mwema ingawa si rahisi kwa dunia ya leo...😢Inataka moyo sana kumuacha mama yako.
@kadijahajali3918
4 ай бұрын
Mimi nipo oman nimemuwacha mama dada yupo amechoka kwa sababu mimi nipo nikipata natuma nyumbani kaka zangu ni warofi ajabu yarabi najenga sijamaliza lakini nipo kutafuta mama amefariki
@shanimbaruku2071
4 ай бұрын
Pole mwaya😢
@rosemarytikiti1514
4 ай бұрын
Pole
@mirnababy5012
4 ай бұрын
Njoo mwaya upambane mm nilitoka mtoto mdogo kabisaa kuna kampun ipo inatangazwa na grobar tv nzur sana kaxi za usafi kyomba sio kuzur kweli
@chikujuma18
4 ай бұрын
Njoo Oman tupambane ndugu yangu maisha ni kokote na ridhiki ya mtu ipo mikononi mwake inshallah
@neemasalema1546
4 ай бұрын
Mwangalie kwanza Mama yako Lulu
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Huyu mtt anatamaa nilivyo msikiliza htk kidogo anataka kikubwa halafu hana shukurani na kidogo anacho pewa
@MaryamShabani-n2u
4 ай бұрын
Mm nakuombea kher mungu akutangulie ila jmn uyu mama mtafutie siku akiondoka mwanawe mfanya kazi mtu mzima ndio ataishi nae vizuli
@shekhanahdy3241
4 ай бұрын
Mkitaka kumsaidia msaidieni rangi ya mamake isiwashuulishe hee
@MialiiMohamed-m9l
4 ай бұрын
Apo nikweli lulu watu watachoka kukusaidia madhali MUNGU amekujalia uzima na afya yafaa kufanya kazi coz kila kitu mungu ndie anae panga
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Wewe lulu ss unatamaa ss hvyo kwani huwezi kuomba msaada ukafunguliwa kibiyashara kwani hao wanao fanya kazi dar sio watu
@simplyfay5308
4 ай бұрын
Mama Lulu anampenda sana mwanae jamani 😍
@kamarhelo
4 ай бұрын
Alafu mashalla ni wazuri
@simplyfay5308
4 ай бұрын
@@kamarhelo sana Mashallah 😍
@asiyaamoury8556
4 ай бұрын
Lulu ndugu yangu huku kunachangamoto unaweza ukaja nyuma mama akazidiwa utakuwa na waswas huwezi kukaa huku mbona umejitahidi sana mbona unataka ushindwe kati nduguyani mama nikitu muhimu kuliko uwamuzi unaotoka kwenye fikira zako kaa na mama sawa
@Mpakauseme
4 ай бұрын
Mungu yupo
@margaretnyamwilahila292
4 ай бұрын
Mama mkorogo au macho yangu
@shamsahaji6202
4 ай бұрын
Mgonjwa ana magonjwa mengi na hali ya maisha na kaanza kuumwa zamani si mkorogo dada .
@shamsahaji6202
4 ай бұрын
Adam huyo ni mamako mlango wako wapepo huo simama km mwanamme Adam eeeh
@erinestangowi7785
4 ай бұрын
Maisha ya mbali alafu unamgonjwa kwenda mbali sio sababu ila likitoa ndo ukute waiguru uwiiiiiii😢😢😢😢
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Huyo fabi ni ndugu yk na huyo mama akizidiwa mtt wa kiume atamshughulikia mwanamke huyo anahitaji kushughulikiwa na mwanamke mwenziwe sio mwanaume ww una tamaa ya kwenda nje nasio kutafuta maisha kwani hpo huwezi dar huwezi kutafuta ukisaidiwa mtaji
@aziza9093
4 ай бұрын
Uko sahh lulu ndamwny mm nime mocha mama yangu
@erinestangowi7785
4 ай бұрын
Erinesta ngowi fabi wew😂😂😂
@SalamaNauthar
4 ай бұрын
Mama Samia watu kama hawa huwaoni?!' huyu binti ana akili sana mama Samia tunakuomba mama mshike mkono huyu binti atasaidia taifa letu
@shanishaban
4 ай бұрын
Fabian kwenye kutafuta usiangalie watu wanasemaje mm nimeacha watoto wa miaka miwili mapacha mama mgonjwa aswaaa lkn nimefunga moyo nimekuja kutafuta tena nyumba za familia yani za urithi zipo lkn cha kwako ni cha kwako hakina masimango nitajitahidi kumtafutia kz inshaa allah
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Lkn ww ulimuachia mama yko Kwa mtu Baki tatizo sio kuacha wtt au mama sehem uliyo acha rabda Kwa ndugu wa karibu ss yy ndo yupo peke yk mtt wa kike au vp
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Ht mm nipo Omani na nna mapacha wanaishi na mama wa kufikia lkn roho hainipi ntk kurudi na muda bdo na tn miaka 2 pia
@shanishaban
4 ай бұрын
@@KhadijaMasoud-m6u wangu nimewaacha kwetu na wako vzr
@erinestangowi7785
4 ай бұрын
Kama mama lulu yuko mzim kweli unaweza kwenda mbali piga moyo konde iko siku utafanikiwa tatizo mama ni mngonjwa sawa fabi yuko fabi hataagalia mambo mangapi wafanyakazi hawataweza kukaa na huyo tambua kabisa utamuogezea matatizo mengine chamsingi usaidiwe msingi wabiashara😢
@gracegrasedavidkssi
4 ай бұрын
Lulu usiende Dubai nenda Oman
@MizeKombeSuleiman-id1rp
4 ай бұрын
Mama samia angemuona uyu bint amsaidie
@MonaMis-m3t
4 ай бұрын
We usije huku muangalie mama yako
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Hao wanao mtiya ujinga wao hawasamini wazazi wao mmoja nae anasema kamuacha mama yk mgonjwa lkn je huyo luu anamuachia nani sio ndugu anae muachia
@MizeKombeSuleiman-id1rp
4 ай бұрын
Viongozi jamani wa tz munashindwa kumsaidia uyu dada atimize ndoto zake jamani mm naona kiongozi apa lkn watu munampuuza uyu bint
@johnbwirabukiza1878
4 ай бұрын
Mwacaende hata anapoenda huko makazi nitobotu aende atajionea mwenyewe sangeomba hata mtaji bamchangie
@MohdMchezo
4 ай бұрын
Assalamu aalaikum kaka FABI nipo chini ya miguu yako mnasihi LULU juu ya samani ya MAMA TUPIGANE KWA HALI YEYOTE KUTOKANA NA ELIMU YAKE APATE NAFASI YA KAZI HAPA HAPA NYUMBANI. KULIKO KWENDA MBALI NA MAMA MWAMBIE MTAZAMO WAKE AUANGALIE KWA JICHO JENGINE TAFADHALI
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Hv huyu ana akili huyu luu tn ndo kasoma mama yk unamuachia mtu baki afazali awe mzima km hali hiyo duu unakosa fazila za mama yk km unamkimbia mtt na mama ni vitu viwili tofauti engekuwa mzima afazali ss hv kumuachia mtu mgonjwa unaaminisha ataweza kuvumiliya mpk muda wote huyo mtu utakae muachia na huyo mgonjwa
@salmaebrahim2058
4 ай бұрын
Kaka Fabian mm pia naomba nambaya Lulu pia nakuomba san kaka
@salmaebrahim2058
4 ай бұрын
Fanya biashara hapo nyumbani hili utuze mama yako ivyo omba msaada upate mzingi ufanye biashara sawa mdogo wangu
@mistareagle2398
4 ай бұрын
Kwanini mnamtenga mama, tunataka tumskie, not for us ila kwa sababu yake uwa Ana enjoy kuojiwa pia, sio kwamba tutamchukulia serious lakini kwa hafya yake TU muhoji ivo ivo
@firdaus7428
4 ай бұрын
Mama yangu alianza hivi kutokana na mawazo mengi , mwisho wake akapata mental health issues lazima awe na mtu karibu yake,hongera mdogo wangu kumlea mama ako.
@zuhrazuhra637
4 ай бұрын
Kwani tatizo hili huwa halitibiki jaman, inatia huruma sana
@firdaus7428
4 ай бұрын
@@zuhrazuhra637 ni vigumu sana kutibika ni watu wachache sana hupona,na kila siku zikienda huwa anazidi pia anatakiwa atumie vidonge vya pressure kama atakuwa anayo kubwa.
@zuhrazuhra637
4 ай бұрын
@@firdaus7428 Subukhanalah, mungu tu amsaidie aweze pona hakuna kinachoshindikana kwake
@firdaus7428
4 ай бұрын
@@zuhrazuhra637 Allahumma Amiin
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Ss na yy anataka kuondoka amuachie mtu Baki mama yk
@OmanOman-bx5du
4 ай бұрын
🎉🎉🎉
@salmaebrahim2058
4 ай бұрын
Fabiyani mshauli uyu biti kwani kwenda kufanya Kaz uko nje yy pia ana changamoto kifua pia itakuwaje kama unaweza kuungua usiku ni changamoto kwake ni kweli yy anasema ni mahamuzi yake hila ni bola angeomba watu wamsomeshe na pia afanye biashara kwajili ya kupata pesa ya maitaji yake ya chakula na vitu vingine kwani namuona mbali yy akisoma Shelia ataweza fabi faivyo tunakuomba anakujauku kweli hila uku pia Kuna changamoto zake
@SainabaP-es5me
4 ай бұрын
Kwani una lazima njee kwa nn huombi utafutiwe tanza nia
@aishamrisho6860
4 ай бұрын
Ndo chakushangaza
@elizabethmukeba2528
4 ай бұрын
Wache kwandika comments ya bogo kama hupendi kumsaidia mtu achana naye Lulu ni mpambanaji tena ni mtoto mweye akili na busara
@HawaAhmed-yj8wo
4 ай бұрын
Lulu anataka kwenda nje si vibaya ni shida, sasa mnao comment kazi kwenu, hakuna humu mwenye ofisi hapa hapa nchini yenye kulipa angalau kuanzia laki 2 na nusu amsaidie ili abaki?
@zainabumartin9520
4 ай бұрын
Namimi nataka no mba ya lulu nataka kiwanja
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Jamani eleweni neno maamuzi binafsi 😂😂 nacheka kama mazuri
@salmanassor8732
4 ай бұрын
😂😂 uyo ndo lulu mweny maamuzi yake
@AminaLibisa
4 ай бұрын
😄😄mwana sheria a,k,a mbunge mtarajiwa apo mbeleni
@WARONGATV
4 ай бұрын
@@salmanassor8732bado mjasema yan adi mseme🤣
@WARONGATV
4 ай бұрын
@@AminaLibisaendelea kudanga maguful mwemyew alikataliwa na bado akawa rais wenu 🌚ngoja aje awanyooshe
@WARONGATV
4 ай бұрын
@@AminaLibisaendelea kudanga maguful mwemyew alikataliwa na bado akawa rais wenu 🌚ngoja aje awanyooshe
@FatimaAli-of4gh
4 ай бұрын
Lakini nje anakotaka lulu asitegemee kazi aliyosomea yy kama anaenda akiambiwa aoshe vyombo akubaliane navyo kubeba box sawa kulea wazee sawa sisi tupo huku tunaosha vyoo sio kusoma unakotaka ukaenda kupata kile sio kweli
@zainabumartin9520
4 ай бұрын
Mimi namushauli aendetyu omn
@kadijahajali3918
4 ай бұрын
Fabi thamahani nitumie namba ya lulu mimi yamenikuta hayo mashaka sina mtu wa kunisaidia ndiyo hivyo kaka yangu awewahi kunifukuza kwake baradhani amesema tunamuekeya kele ndiyo hivyo nimewafanyia kazi mika 4 sina kitu nilichokipata
@janemusumba820
4 ай бұрын
Mbona fabi usitafute watoto wa hu'u Mam pia uwasikilize juu huyu lulu anataka kukuwachia Mamake na ujuwi family yawo lolote ikitokea wataulaumu ww
@shamsahaji6202
4 ай бұрын
Hao watt hawana haja ya kutafutwa wakt wanajua mama yao yupo hai na ni mgonjwa..ila subiria tu lulu akipta nafasi watajitokeza wenyewe ili wakae na mama yao ili wapate kumbinya hela ndugu tao kwa kisingizio mama anahitaj hiki na kile kwa kweli msiba.
@saimonntani6831
4 ай бұрын
Huyu binti hajieelewi hukonje anakotaka kwenda ,hajuwi mazingira yake.hukonje watu wananyanyasika bora hiyo ombaomba anapata kuliko manyanyaso atakksyoyapata huuko nje.
@زيتونتنزانيا
4 ай бұрын
Mimi naona aombe asaidiwe ujenzi ajitokeze mtu amsaidie hata vyumba 2 HATAKAMA nima samia amsaidie kisha yeyə apate biashara afanye awekaribu namama yake jamani mtu Bakı kulea mtu wadizaini hii nikidogo
@WARONGATV
4 ай бұрын
Nyi ndo hamjielew kama mnaweza mchangien ujenzi ili asiondoke sio kumsimanga apo anakodi? Mmempa ama mnaocomment ujinga wenu tu ap tafuten hela msadie sio kuleta makasiriko
@AsdDsa-fi5qk
4 ай бұрын
Nyinyi wasenge
@MawaddaKhamis-zh3kc
4 ай бұрын
Ona hili bumunda lililo via 😮
@zainab8251
4 ай бұрын
Kwani Tanzania 🇹🇿 watu hawateseki ? Kikubwa mwenye shida ni lulu cio wewe cha msingi nikuweshimu maamuzi yake mimi nipo 🇴🇲 ninatengemewa na mamaangu na watoto wangu bila yakufanya maamuzi magumu unacikiliza maneno ya watu kuteseka
@AsdDsa-fi5qk
4 ай бұрын
Njoo oman
@salamalsawaqi1206
4 ай бұрын
Kama mgonjwa haruhusiwi kufanya kazi nje
@NoorLheyNoorLhey
4 ай бұрын
ilakama nikufanyakazi bora omanilakini dubai na Saudi arabica hawakovizuri kiubinadam
@hyy4114
4 ай бұрын
Hata Qatar nako watu wake siyo kama wa oman bora aende Oman
@KhadijaMasoud-m6u
4 ай бұрын
Kote ni mitihani tu ukipata pazuri ni bahati tu uombe mungu bc lkn ht Omani Nako Kwa wengine shida mm binaps nishaona
@hyy4114
4 ай бұрын
@@KhadijaMasoud-m6u oman kwasababu mm nimefanya oman na napamic watu wa Qatar kdg tu umerudishwa Ofisn na Ofisin ni tabu sikia tu Asbh kujitegemea kitu cha kula bora oman na mnalala wengi hapo Ofisn na mpk uje upate kz ni mtihan mzito
@lunangabenjamin3121
4 ай бұрын
Binti mwenyewe mrembo akili zake nzuri ndio apewe kazi ajitafutiye mwenyewe.inapendeza sasa mrembo lulu wewe unajuwa tatizo la mama kisha unampa nafasi yakuchangiya ndo nilielawa maana ya tatizo lako.ilinifanya nicheke.
@Nashoora8
4 ай бұрын
mama anataka afunguliwe akaunt🤣🤣🤣
@HadiaAme-x5f
4 ай бұрын
Sssa wewe lulu unafikiri mama yako unamuachia nani atamlea au una mtu wa kumuachia ?km unaye basi nenda km huna muache mama afe
@OmanOman-vb4uj
4 ай бұрын
Usicheke kipenz Chang 😢😢😢@@Nashoora8
@IshaNassor
4 ай бұрын
Nikweri fabi muache ruru akapambane
@aishaarusha894
4 ай бұрын
Atafute pasport
@زيتونتنزانيا
4 ай бұрын
Tatizo sio mama tatizo. Lulu mtu wakumwachia awe sahihi na mwenye upendo watu wahi saşa miyoyo imebadilika
@aminamareta9297
4 ай бұрын
Kama seemu yakukhaa mama hipo basi uje omani upambane
@رقيهالخصيبي
4 ай бұрын
Sasa kwa hili nimekuelewa kama anakaa na mke wa Adam hapo sawa umakini unahitajika kwa sababu mtu akitaka kupajuwa anaweza akapajuwa anapoishi endapo watakutana muda wa kurudi nyumban anaweza akafuatiliwa na kujuwa anaishi wapi
@omanoman2044
4 ай бұрын
Saw kulea mam ake hatukatai je atakuw wakuomba omba mpaka lin bora aje afanye kaz usiangalie coment hizo nne angalia zinazo sema aje apambane mwenyew
@dorcaskidoti249
4 ай бұрын
Zile fununu za yule bonge kusaidia watu anawalala kumbe za kweli ? ??? Ukimkataa msaada unakatika utazani pesa anatoa yeye looooh Analaaana sio bureeee tamaa itamuagamiza tu🥺😥
@hyy4114
4 ай бұрын
Bonge yupi tenaa
@dorcaskidoti249
4 ай бұрын
@@hyy4114 ohoooo hujamsikia Lulu aliekuwa anamsaidia zamn kaacha sbb alimtka kimahusion yupo kaka flani limenenepeana balaa na alikijengea watu anawadhurumu sana 🙌
@hyy4114
4 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 unanipa ubuyu nusu nusu nawe si unipe jibu vzr yaan sijaelewa kwa kwel
@WARONGATV
4 ай бұрын
@@hyy4114zahiri maximum tv
@WARONGATV
4 ай бұрын
@@hyy4114ndo aliemtaka lulu kimapenzi lulu akamgomea akagoma kumsaidia na akamtapeli hela zake za misaada na kuzuia misaada yake (vitu alivokuwa akipewa kiufupi sio wote wanasaidia) yule ni tapeli wa TAIFA HANA MSAADA WOWOTE ADI WENYE UKIMWI ANAWAVALIA KONDOMU MZIMA KWEL YULE😂ili apite
@SainabaP-es5me
4 ай бұрын
Kama unaitaji kazi zandani Qatari mm napeleka watu huko
@hyy4114
4 ай бұрын
Qatar wanatakiwa wazoefu huku ndo wataweza kwasababu mm Nipo Qatar ni kigumu sana achen aende oman huku hapana
Пікірлер: 125