Hongereni sana ndugu zetu ktk BWANA YESU, mimi nabarikiwa sana kuona kundi la BWANA YESU likisonga mbele. I feel proud in JESUS name because of you TAG church. GOD bless you all abundantly By SARAH WAMBURA from EAGT KILOLENI TABORA
@SaramatundaNativo
20 күн бұрын
Barikiwa sana tag kwa uwepo wako wa miaka 85 nchini hakika tumeuona mkono wa bwana Mungu ametutendea makuu❤
@user-un7gl4wk5i
28 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu B Mtoka mbali kwa Kazi kubwa🎉
@AshilatAbas-qe4fh
29 күн бұрын
T.A.G Mungu yupo asee
@user-gg5cy1zt9v
29 күн бұрын
Mungu ainuliwe kwajil ya T,A, G 🙏🙏🙏
@alphaxadndaki7080
Ай бұрын
Safi sana hii. Utukufu kwa Bwana wa majeshi
@JESUS354
Ай бұрын
❤❤❤❤:: TUKIO LA BARAKA NYINGI MNOO HILI.
@lauthandondile
28 күн бұрын
Glory to God
@m.m.tvmbebamaono
Ай бұрын
Yaani kanisa la TAG TUMEKOSA TV YETU KWELI MAANA NY WANAFELI SANA
@sarahmaro215
Ай бұрын
Iko njiani inakuja, usihofu, kill jambo na wakati wake
@japhethbaalinda1756
Ай бұрын
Hongereni sana TAG kikubwa tuzidi kudumisha upendo wa Kristo na umoja.
@bethuelkonyuniofficial7930
Ай бұрын
Glory to the almighty God 🙏
@alphaxadndaki7080
Ай бұрын
Mpiga picha hajamfocus vizuri mheshimiwa waziri mkuu
@MwaminiMuumbaji
12 күн бұрын
Ee YESU NIREHEMU
@martinpatrice9936
Ай бұрын
Waoooh good
@venancemwakibete9763
29 күн бұрын
Mozes kurora kama nani atajwe hapo hongera TAG songa mbele kurola arudishe majengo ya TAG hapo TAG itaanza kumtaja katika historia
@paulomussa9140
Ай бұрын
Mungu awabariki na mkaze mwendo
@juliussimwinga8435
29 күн бұрын
Sifa na utukufu vina yeye milele.
@trophywilson7211
Ай бұрын
hapo Shetani anaaibika Kabisaa
@josephlorri431
Ай бұрын
Kama wapo manabii na mitume wale wanaouza mafuta,maji na udongo hapo shetani anainuliwa
@LukaLazaro-ew7ei
Ай бұрын
hongera sana baba yetu
@gugainukaentertainment85
Ай бұрын
NY tv mnaferi pakubwa Badilikeni
@kalebishedrackmhawi4236
Ай бұрын
Bado wanahitaji elimu ya namna bora ya kupiga picha hasa matukio makubwa
@isacktesha6659
Ай бұрын
Utukufu Kwa Yesu. Mungu mkuu
@bungigemangana4171
Ай бұрын
TAG Mmetisha kwa utukufu kwa Mungu
@gasperjohn7895
29 күн бұрын
Amina...
@SophiaZahoro-i1k
Ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Mungu juu.
@josephnyangusi516
Ай бұрын
Amen
@ester5542
Ай бұрын
Ameeen
@SamMichael-v6t
Ай бұрын
Inapendeza sana
@user-xs3vg6qy6k
Ай бұрын
Haleluya kwa Bwana
@AstiNyagawa
Ай бұрын
Mungu mwema kwetu siku zote.
@PaulShija-o3y
Ай бұрын
Tukio la maana kwelikweli katika Bwana
@AbduliJuma-c1b
Ай бұрын
Jaman MUNGU aendelee kukutunza kanisan letu
@michaelrweyemamu1068
Ай бұрын
Leo ilikuwa siku nzuri sana
@sarahmaro215
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@FanuelOmmyngaa
Ай бұрын
Hakika Bwana Ni mwema
@masweto
Ай бұрын
Saafi kabisa
@bernadoadriano922
Ай бұрын
YESU GUNTOOOOO!!!! TAG GUNTOOOOO!!!
@praygodmanyanga4407
Ай бұрын
hongereni ila Mlichokosea ni kushindwa kumtaja Dr Moses kulola mmekosea sana Hilo ni lazima tuwaambie ukweli hapo mmekosea huo uzuri uko wapi huku mna chuki
@evaristkobelo3936
Ай бұрын
Atatajwa kwenye maazimisho ya Eagt
@NoelKomba-bj4yr
Ай бұрын
Kulola ni miongoni mwa wachungaji wengi wa T.A.G na aliwahi kuwa makamu Askofu mkuu na waliotajwa ni Maaskofu wakuu tu.... Wako wengi usijisikie vibaya
@m.m.tvmbebamaono
Ай бұрын
Rusheni hata drone tuzione
@m.m.tvmbebamaono
Ай бұрын
Mbona moses kulola hatajwi???
@NoelKomba-bj4yr
Ай бұрын
Hajawahi kuwa askofu mkuu wa T.A.G wakitajwa wote ni wengi sana
Пікірлер: 47