Naiona Yanga SC yangu mbali sana Siku za usoni. Mungu ibariki Yanga na Mungu Ibariki Tanzania.👍👏👏👏
@user-hy3en6vk5f
Ай бұрын
Wananchi tujivunie sana kwa mafanikio ya Chama letu lkn tusisahau kulipia ada ya kadi ya uanachama tuongeze mapato na tushawishi wengine kujisajili💚💛💚🙏
@sylvestercameo6263
Ай бұрын
Ujumbe murua kabisa, yaonesha Ni dhahiri wewe ni mwananchi unayejitambua na unayetambua wajibu wako.
@naliakafatuma9870
Ай бұрын
MUNGU Ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@Shebe_traLove
Ай бұрын
Hakika allah ni mwema kunifanya kuwa mwanchi hakika najivunia viongozi wng kazi kazi inshallah tuta fika kwenye malengo yetu
@Fadhira-tr6pd
Ай бұрын
Me nimtu wa kwanza kuona hii ebu nipeni maua yan
@ObakengTV2
Ай бұрын
Дуже Добре ,Дякую Йанга🔰🔰💛💚🔰🔰
@joshuamwambene2874
Ай бұрын
Hata Shekhan umri unamruhusu na nidhamu wanajali pia ...Mzize jifunze kufunga magoli
@zaifatdee8040
Ай бұрын
Yanga Africa 🎉🎉🎉🎉🎉
@ALiBAba-zz2td
Ай бұрын
Yanga raha
@SurprisedAgilityPuppy-od7lj
Ай бұрын
Safi sana nakoshwa na mipango hiyo MUNGU afanye wepesi Kwa viongozi wa timu yetu
@joshuamwambene2874
Ай бұрын
Hata kula wanataka umalize kuku watatu na tikiti Zima muulize Roney au Drogba siyo kapapatio
@ALiBAba-zz2td
Ай бұрын
wa kwanza
@hanifamziray277
Ай бұрын
Yanga rahaaaa
@augustinomkongwa5444
Ай бұрын
Hii kitu ni amazing
@joshuamwambene2874
Ай бұрын
Ndiyo tunasema sajilini vijana wanaangalia sana umri mfano jitu kama li Mzize watalichukua
@sylvestercameo6263
Ай бұрын
Kuweni macho vijana wetu wasijeishia kupigana vita Ukraine!
@IssaLikopa
Ай бұрын
Tuji tahidi kulipia card zetu natuhamasihane
@samwelsanga4249
Ай бұрын
Hii kitu inaniumiza sana....wananchi hatufanyi fair kabisa kussuport na kuijenga timu
@abuuammar8900
Ай бұрын
Hongera GSM
@directorjoxnvany6295
Ай бұрын
Daima mbele nyuma kwa makolo😂
@scopy0428
Ай бұрын
Young Africans The Club Abave All in East Africa and Central
@nabiljumaothman5912
Ай бұрын
Yanga to the world
@user-xs7ry1ce3t
Ай бұрын
Wakwanza 😂
@Johnsonchristopher-uc5er
Ай бұрын
Jamaa wametuacha mbali Sana mpira ni ajira kubwa Sana kwa wenzetu Sisi tumechelewa Sana ,lakini bado tuna nafasi tuzipambanie hizi fursa
@omarymtotela3751
Ай бұрын
Kazi kazi
@Pratnumzsimba
Ай бұрын
Sisi hao😂😂😂
@fatmafatu1128
Ай бұрын
Nimemuona Putin au macho yangu😊😊
@JohnBusiga-wk5gu
Ай бұрын
Tunapataj nafasi sas
@danielbenard9053
Ай бұрын
Safi sana jamani
@GeradinaJohn-xh8pw
Ай бұрын
Ase mi naona mashine za kusaka vipaji zimeekwa apo uwanjani😅😅😅😅 oooo I'm kidding 😂😂😂😂
@user-yk7ff9ks6q
Ай бұрын
Jiandaeni
@daudimichael7338
Ай бұрын
Mpira ni sayansi ya wazi, siyo uchawi wa kulala makaburini😂
@aishabakari8040
Ай бұрын
Wa pili haya nipeniiii😂😂
@muadhjunior3470
Ай бұрын
Mashaallah upo Kila mahali
@user-ce2xg9wt4s
Ай бұрын
Mpira ni sayansi sio siasa
@BenPeter-vp2cy
Ай бұрын
Nafurai Tim yetu haina mbambamba kama upande wapili🫡🇹🇿💚💛
@osmundmtavangu
Ай бұрын
Wenzetu wako mbali sana
@ramadhaniamour4834
Ай бұрын
Kuna dogo wangu anaupiga mwingi anapataje nafasi hapo
@ArnoldRwegasira-hp9gt
Ай бұрын
Ivyo vifaa waviache
@Carolina-sm5zt
Ай бұрын
Daima mbele Nyuma mwiko
@MichaelNgowi-nc3vn
Ай бұрын
Ivi nyinyi viongozi wetu wa yanga Chama mna mtaka wanini????
@SubiraMohammed-ks6qg
Ай бұрын
Daaah asante kwa kunisaidia kuuliza labda kama sio chama uyo wanaemsema
@DicksonNasibu-tv7vr
Ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@dengahmediatz1230
Ай бұрын
Tushafanya sana sisi
@zakiakondo2849
Ай бұрын
Labda na mji mpwapwa Acha wivu dada 😂
@lamama.
Ай бұрын
"Tushafanya sana sis"i kwani we ni nan? ulifanaya na nani?
@user-in4kg3kj8x
Ай бұрын
Waamchukue mzize
@thegreat6626
Ай бұрын
hao warusi walichofuata Tanzania ni kusaka urafiki tu baada ya west kuwatenga, kwa soka hamna kitu hao walichotuzidi sisi ni nguvu za kijeshi tu soka hamna kitu
Пікірлер: 51