Nilichogundua Mwijaku mkewake anampenda na anamsupport sanaaa ndio maana huyu mwamba atafika mbaliii
@laurentraphael5470
7 ай бұрын
You are right.
@rehemamcharo8693
7 ай бұрын
Mwijiku ww ndyo mwanaume heshima yamwamaume kuonesha heshima jwajamii na kwenye famili
@user-qq6mv6vh3e
7 ай бұрын
Uhakika nipo upande wako
@veronicamhanga2548
7 ай бұрын
Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
@JosephLukumaiLukumai
7 ай бұрын
Alafu huyu mke anamuheshimu sana
@mrsinia3064
7 ай бұрын
Hongera sana mwijaku, ukiambiwa uchawa wenye faida basi ndio huu saf kbs
@patricknamangoa6468
7 ай бұрын
Congratulations Mwemba a.k.a Mwijaku. What's been done by you should completely be imitated by every smart Tanzanian youth! May God keep blessing you!
@user-gc8jc1sh4z
7 ай бұрын
❤❤Hongera sana DC mwijaku kwa mjengo mkubwa mungu yupo pamoja na nyinyii❤❤❤❤
@TheBastarrrd
7 ай бұрын
Hawa machawa tusiwachukulie poa🔥 hongera sana mwijaku
@edwinalexander1170
7 ай бұрын
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
@user-qq6mv6vh3e
7 ай бұрын
Kuna mda anaongea yupo serious
@femidayahaya4882
7 ай бұрын
MashaAllah hongera sana Mwanamke mwenzangu kwa Kua mke bora kwa mumeo hadi mmefika malengo. Kila la kheti kwenye ndoa yenu.
@user-mt3id9lt2n
7 ай бұрын
Dah masikini wengi tumejaa makasiriko tumuombe mungu atupe ridhiki nzuri nasi tufikie ndoto zetu
@rosemuhandoofficial5676
7 ай бұрын
Kaka hongeraaaaaaaa❤❤❤❤ yaani hiyo ndo Fungal kalomo
Daaahhh hongera sana bro mwijaku Mungu awabariki sana
@menalikechildren8836
7 ай бұрын
wanawake njoon uku muna mengi sana yakujifunza kwa mke wa mwijaku
@janetnyanchera1252
7 ай бұрын
Congratulations Mwijaku's absolutely amazing guys God Is Faithful always 🙌🙏❤
@fransiscongonyani-
7 ай бұрын
Hongera sanaaaa boss🎉🎉🎉🎉 piah shemej nawe ni kichwa Kwa kumshaur Mwamba kufanya makubwa🎉🎉🎉🌹🌹🌹
@mswakisaid2320
7 ай бұрын
Hahahaaa Mwijakuu asante kaka kazi nzuri. Inawezekana Mwaka huu kuwa wa kwangu.
@gladistaemanueliy6336
7 ай бұрын
Mwijaku na worlper funga kazi ya mwaka 2023 nawapenda sana
@emmanuelmwaipopo3039
7 ай бұрын
Uchawa unalipa mwaka huu lazima na Mimi niwe chawa. Hongera sana mwijaku
@ezekieljustine8241
7 ай бұрын
Kazi nidhamu na kujituma❤ respect mwijaku
@GoodluckLameck-nh9tq
7 ай бұрын
Hongera mwijaku umepiga hatua God bless you
@Iamnanapeak
7 ай бұрын
Congratulations 🎉👏 mwinjaku from KENYA 🇰🇪🇰🇪🙏
@Kabwela776
7 ай бұрын
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
@user-qe9pk1sf1f
7 ай бұрын
Tatzo sio shule nijins yakutumia hela unaweza umesoma lakin hunamatumiz yahela
@Kabwela776
7 ай бұрын
@@user-qe9pk1sf1f elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
@thebmcblackmiccatcher3949
7 ай бұрын
Aliyekufunza elimu ni hela na nyumba alisahau kukufunza sababu ya diamond kukuzidi hela pamoja na elimu yako
@user-px8mx1ce4o
7 ай бұрын
big up my DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤❤
@YussufSaid-ok4pu
6 ай бұрын
Mashaallaah Tabarakallaah Allah awahifadhi na husda,Mwijaku mwambie mke wako ajistir nywele zake Allaah awadumishe kwenye ndoa yenu
@sergebaleke695
7 ай бұрын
Hongera sana brother Mwijaku
@FabianTebeka
3 ай бұрын
Brother unafanya mambo vizuri lakini Acha kumsema vibaya diamond kwa kuwa wewe muislamu kwani Mtume Muhammad alisema eli ya mchawi kuliko mnafiki piga kazi achana na mambo ya Dunia my brother respect
@adamizlewaiz9099
7 ай бұрын
Love from Kenya u have mentor many including myself ❤❤
@faizG254
7 ай бұрын
Congratulations to Mwijaku.I respect you bro
@gracekagoma3231
7 ай бұрын
Hongera sana home boy 🎉
@santinosabugo2114
7 ай бұрын
mwijakua kumbe alikuwa anatafuta kitu akili nyingi sana big up
@pendolymo9354
7 ай бұрын
Uku juu weka uzio Kwa sababu y usalama zaid hasa watoto😊
@crispinmsongole8875
7 ай бұрын
Hilo nalo neno
@user-es9xl6sh9f
7 ай бұрын
Daaah hili funzo kubwa ukiona Mwanaume amefanikiwa ujue Kuna mwanamke shujaa nyuma yake Congratulations bro mwijaku
@ChenchiKing
7 ай бұрын
I'm So Proud For This D.C Wa Insta Mungu Awabariki Kweli Kweli🎉🎉🎉
@Carolina-sm5zt
7 ай бұрын
Usimdharau usiye mjua,tukikuona mtandaoni na usemaji wako tunakuchukulia poa, big up Bro
@user-yf7dq8vh5c
7 ай бұрын
❤❤❤ hongereni sana DC mwijaku mwenyezi mungu awabaliki sana
@Ramaamuzic
7 ай бұрын
Aki wacha niweke comment..kwahii story because bibi ya bro mwijaku amenigusia moyo wangu unacho tamani yani mwanamke mwema niyule anae sikizana na mme wake na ningependa kumpongeza bro mwijaku kwakupata jiko jema ...much love kwa wote bro na shem late me say i love this family god bless them....be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
@lilymuro4993
7 ай бұрын
Hongera Kaka Yangu Mwijaku Karibu Japan 🇹🇿🇯🇵 👍
@thekobsmedia9793
7 ай бұрын
Nikaribishe pia😂
@zainabufaidhi4799
7 ай бұрын
MA Shaa Allah hongera Sana Kaka mwijaku umeupiga mwingi sana
@sharifamahamudu182
7 ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@MuhammadHassan-xp6dc
7 ай бұрын
mashalaah ongera sana kk,wale waliokuona wajichetua lazima wajiulize.
@edwardfaraji1133
7 ай бұрын
Hongera sana kaka Mwijaku uchawi unalipa aisee...
@michaelmwimule1001
7 ай бұрын
Mwijaku baba kazi ipo. congratulations bro
@devgodfrey
7 ай бұрын
For sure na enjoy sana life la huyu jamaa,I'm so inspired👋
@davidmichael8748
7 ай бұрын
Mwijaku shikamoo skudharau tena nisamehee🙏🙏
@user-jf7vh4zo1d
7 ай бұрын
Am so proud of this 🥰🥰🥰🥰✌️
@biasharaonline693
7 ай бұрын
Congratulations brother and sister you both made it 💪
@ukhutfatumah1154
7 ай бұрын
Yaaaaan leo mwijaku umejua kujiangaisha na hii mitandao hongera sana mwijaku ❤
@CECILIAMAGANGA-sk8md
7 ай бұрын
Nice. Hongeraaaaa sana Broo
@user-pc8fv2vd7q
7 ай бұрын
Mashaallah mjomba wangu laweza Allah akuzidishie barka
@ray45king84
7 ай бұрын
Congratulations... this is inspiring. Sio uchawa but maendeleo
@khamisshee803
7 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-tv7yx8nt5k
7 ай бұрын
Hongera mwijaku🎉🎉🎉❤
@juliaskasiaka
6 ай бұрын
Congratulations Mr mwijaku mungu azidi kukutia nguvu,,,, one day nitakuja kuishi nyumba kama hiyo
@joycekisamo4896
7 ай бұрын
Congratulations to both of them, it's q beautiful and very modern home. Amazing view and finishes.
@Boskarii
7 ай бұрын
Street ICON 🙌🏽
@felistersmejumaa5188
7 ай бұрын
Mashallah kweli wanakuona chizi lkn upo vizuri sana hongera 😘😘😘😘
@Winniequinepretty-wm7rr
7 ай бұрын
I'm so proud of you ❤❤❤❤❤
@mustafatsomba6178
7 ай бұрын
Hapo nimekukubali Mwijaku wewe ni zaidi ya Baba Levo ongera sana bro much ❤from D.R.CONGO. Tunawafatilia sana
@abdulazizamani8103
7 ай бұрын
Masha Allah ❤
@sevystaronedancer1785
7 ай бұрын
Kumbe jamaa ana akili nyingi Duuuh 👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿big up sana chawa namba moja
@ZalfaOthman
6 ай бұрын
Masha allah masha allah mungu awabarik wewe na mkeo maisha ya furaha kwenye nyumba yenu mpya Mungo awaondoshee hasad aamin thuma amin
@TALLUBOY
7 ай бұрын
Ongera sana kaka mwijaku Umeuwa sana lakin kaka Lakin jiandae wasanii kutokukuripa ovyo ovyo Kwa pale utakapo waongelea Maana tayari wamesha stuka Kuwa wanakutajirisha Yabila wao kujua kwaiyo Kaka mwijaku jiandae vzr Kwa hilo broh wangu
@kennyraphael9839
7 ай бұрын
Hongera sana D.C 💯big up bro👍🏾
@user-vh7ts1fc2e
7 ай бұрын
Mungu akusimamie Kaka hongera Sanaa
@floraflora5964
7 ай бұрын
Mashaallah hongera sana ❤❤
@hassanimwiyombo3385
4 ай бұрын
Assalamu aleikum warehematulah wabarakatuh baba hongera kwa mafanikio yako mwenyezi mungu akujaalie majaliwa mengine zaidi ktk dunia na akhera maana yote ndio mapitio yetu Mwijaku mm nahitajia sana kufika clous hasa ktk kipindi chenu cha leo tena kwa haja ya kuwaona live na ni kipindi ambacho hakinipiti naomba nifanyie mchakato nipo manyara
@bakarmsangi963
7 ай бұрын
Mashaallah mungu atuongezee kwa wote amin
@josiacharles2778
7 ай бұрын
Ongera sana M mwijaku, mwanamke anajitambua sana uyo.
@user-ti5lz4he6x
7 ай бұрын
Hongera Sana tunakitu kikubwa cha kujifunza sisi Vijana hongera Sana brooo
@libetztanzania-kiswahilina2845
7 ай бұрын
Hongera sana MWINJAKU NA MKEO 🎉
@boscomwambapa8584
7 ай бұрын
Pongezi sana kaka mwijaku hongela sana pia kwa shem mkisapotiana mambo hayakwami
@masanja9256
7 ай бұрын
Mwijaku hongera kaka pamoja na shemeji yangu ila wanaowaona mnaelezea mafanikio yenu wanadhani kuwa ukimuona nyani kazeeka hawajui kama karuka mishare mingi, pengne hebu uwe na kipnditu cha kuwaeleza au kutoa magum kidogo ili wajifunze kuvumilia kwenye familia vijana hata mababa wakileo ,
@wankurumasanja4764
7 ай бұрын
Inshallah mr mwijaku..nvzri mjengo wako
@hamisyusuph2519
7 ай бұрын
hongera kwake ila aache kusema kaiheshimisha kigamboni,kigamboni ni next level kuna nyumba hyo ya kwake ni takataka
@dicksonelisa867
6 ай бұрын
Mbona kazi wanavyo.mwijaku kweli ghorofa umejenga ngoma ni kupanda juu naisikiia sauti inatoka kuashiria pumzi imekata baba
@janetsharon2839
7 ай бұрын
Congrats mwijaku🇰🇪
@ilungamukaza
7 ай бұрын
Congratulations 🎊 my brother
@Jibambeshow254k
7 ай бұрын
mashaAllah 😂kweli mjini kazii n maokoto hakuna longolongo nimeamini kazinikazii jamani msiache nikavua nguo tafadhali 🤭 mnisuport channel yngu pia from 🇰🇪, hongera kw mkee w mwijaku pia kachangia pakubwa
@afropanorama4730
7 ай бұрын
uchawa unalipa kumbe,hongera👏👏👏
@Jibambeshow254k
7 ай бұрын
😂😂waonaee mjini maokoto
@user-qq6mv6vh3e
7 ай бұрын
Maokoto yapo
@husseinchokaijr5897
7 ай бұрын
Hongera sanaaaaa
@omanmct135
7 ай бұрын
Mashallllah naic
@leokamil6284
7 ай бұрын
Hongera nakushauri kuzunguka pool weka vizuizi maana utelezi wa maji na mkao wa hilo pool ni hatari sana
@didamugya6039
6 ай бұрын
Nilikuwa naitafuta hii comment
@user-nj6yb6uz6u
6 ай бұрын
Kaka hongera xan One. Day ntakuj kuish nyumb Kama hiyo🎉❤
@user-nj6yb6uz6u
6 ай бұрын
Congratulations to you
@user-de2rg9kk7u
7 ай бұрын
Nimejifunza KITU Kikubwa sanaaa.. NITAJENGA YA KWANGU YA BILLION 100 DOLLARS
@danielmollel5538
7 ай бұрын
unaota au unaropoka
@QueenMishy
7 ай бұрын
Ameen
@NataliaKenny-vb6os
7 ай бұрын
Mwaya utajenga maana mdomo unaumba❤
@pascalmgina
7 ай бұрын
Umetunyoosha
@diamondplatnumz.148kviews5
7 ай бұрын
Amina
@silvestermwakyosi194
7 ай бұрын
Hongera sana mwijaku
@chusseboywcb2808
7 ай бұрын
Mjini ni hakili 🙏🙏🙏🙏mwanamke imala wanawake hawa sio wamitandao🙏🙏🙏
@user-xs4ow5ce4b
7 ай бұрын
Congratulations 🎉🎉
@congratulationmayunga3833
7 ай бұрын
Hongera saaana DC Mwijaku umeupiga mwiiingi
@hanifaalhanif6392
7 ай бұрын
MashaAllah Allah azidi kukubarikieni
@suzandavid2096
7 ай бұрын
Una utani mwingi lakini unafanya mambo ya maana. Hongera sana bro
@user-ir6xj4xm6c
7 ай бұрын
Du hongera sana DC umejitahidi sana nyumba nzuri sana
@mwanahawasalehe
7 ай бұрын
Hongera sana my brother umeweza na umeweza Tena ❤❤❤ karbu kigambon
@AbdulNassir-jk1jf
7 ай бұрын
Nyumba Yako au ya mkeo😅
@Abuusalma995
7 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah inshaAllah me na mke wang one day yes pia
Пікірлер: 567