Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@mutalemwa-woerle
7 ай бұрын
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@rajimuashirafa8265
7 ай бұрын
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@OnlyRuky
7 ай бұрын
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@rerisamba
7 ай бұрын
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@mawazoaliselemani
7 ай бұрын
Mama yake mzuri Masha Allah,
@alibinali_
7 ай бұрын
Masha'Allah Mama
@user-wb2xo2lv7n
7 ай бұрын
Mama unabusara sana kweli ❤
@nzeyimanamwavita1904
7 ай бұрын
ManshaaAllah Mama
@omanmct135
7 ай бұрын
Mashallllah
@ritapiusnicolaus7068
7 ай бұрын
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
Mama mashallah ❤❤
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@beatricepallangyo2821
7 ай бұрын
Hongera sana Mama!!!!
@aminathaabubakarmasoud565
7 ай бұрын
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@starjay3052
7 ай бұрын
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@renatusjeremiah
7 ай бұрын
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc
7 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa3920
7 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga1094
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
@user-kz7ys5qw2h
7 ай бұрын
Mmmmmh cna hakika
@omanoman2044
7 ай бұрын
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
@user-me5ec4xp2j
7 ай бұрын
Yupo vizuri Kama my mom alivo
@mawalasparepart6868
7 ай бұрын
Mama mwijaku mlembo sana
@nsiamasawe4578
7 ай бұрын
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@ibrahimomari2458
7 ай бұрын
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
@MichaelJames-tp6co
7 ай бұрын
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@bakariomari8758
7 ай бұрын
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@mwanahamisinyenzi-vo6mj
7 ай бұрын
Nimekupenda bureee
@happyminja-kb1ow
7 ай бұрын
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@kilimanjaro77international26
6 ай бұрын
Banda la njiwa
@kilimanjaro77international26
6 ай бұрын
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@RehemaMasunga-ml7kt
7 ай бұрын
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile5746
7 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
7 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud565
7 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@ShekiyaoHussein-ki4ty
7 ай бұрын
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@user-mb4si9nm3c
7 ай бұрын
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@venusmakbel4679
7 ай бұрын
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mathewungani9724
7 ай бұрын
Huu ni Ushamba
@omanmct135
7 ай бұрын
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@angelsblackboard8008
7 ай бұрын
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan8358
7 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari8758
7 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel3809
7 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial5676
7 ай бұрын
Kwa kweli@@bakariomari8758
@mawalasparepart6868
7 ай бұрын
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu1128
7 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@user-uc8ei8kn3l
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@KALULUALLI
7 ай бұрын
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel29
7 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@ramadhanimtetu3656
7 ай бұрын
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd
7 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu1128
7 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian955
7 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu1128
7 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,
Пікірлер: 77