Kumbe mwamba ameenda Shule kabisa. Kuwa wakili na mwanasheria sio mchezo maana yake amesoma sheria na ni mkakamavu Sana. Big up KOMBA
@bakarithegeoinformatician7406
Жыл бұрын
KWELI WABONGO TUNAKAZI, HATA BEGANI HUONI ANA NINI? HAKUNA MWENYE NYOTA ASIYEKUWA NA ELIMU JESHI LOLOTE LILE
@bernadMwendwa
Жыл бұрын
@@bakarithegeoinformatician7406 h
@yahyasirlim4928
Жыл бұрын
Good motivation.
@raymondkavumo2921
Жыл бұрын
Ssio Kila Askari mwenye nyota amesoma, wapo walioanza na vyeo vya chini na wakapanda mpaka wakawa na Nyota hasa kwa Police
@kotadapotar5094
Жыл бұрын
Nakukubari Afande kama wenzetu wazungu wanafanya kazi Ata tatu kwa siku mda ukilusu mungu Atakubariki kwa juhudi yako 🙏🇹🇿🇬🇷⚓
@amourworldbeats
Жыл бұрын
Mungu Tubariki Vijana Wote Wenye Ndoto.Siku Moja tuje Tutimize Ndoto Zetu Tufurahishe Familia Zetu.Ameen
@paul_ibrahenglishclass4555
Жыл бұрын
Big up sana Afande....Salute kwako. Mwenyezi MUNGU akuwekee mikono ndoto yako itimie. Big up once again
@ibrahimshilinde6129
Жыл бұрын
Hongera sana afande una wito na football shikilia ndoto yako itakufikisha mbali ktk ulimwengu wa football.
@abdisalim7900
Жыл бұрын
Makamanda km huyu ni vigumu kupokea rushwa kwa sbb anajishuhulisha na kazi mbadsla,Hongera sn kamanda
@ommylax7231
Жыл бұрын
Fact
@masoudmasasi1801
Жыл бұрын
yes mechi zake anazochezesha za ligi unaona kabisa anafanya kazi yake vizuri na kama ikitokea basi ni makosa ya kibinadamu..
@josephevaristi8923
Жыл бұрын
Kupokea rushwa haihusiani na hayo bro,,ni suala la maadili ya mtu binafsi
@Michael-ig6oi
Жыл бұрын
Safi sana hii ndiyo Tanzania yangu ninayo ipenda ,kumpa nafasi mtu kwa kile avipendavyo imenipendeza sana
@Vivan47
Жыл бұрын
Safi sana afande dah you have good skills thanks you I excited upo na lengo nzuri Sana muungu ata saidia
@LucreshiaTanzanitelady
Жыл бұрын
He is a very good man, his heart is so much better than his color❤ I really appreciate and love em but he doesn't know how much I love him😢, congratulations dearest brother. You always be in my heart coz you touched my lifestyle❤.
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Fact fact
@BeatriceMashaka-qu8co
Жыл бұрын
Mwalimu wa mume wangu mungu akubariki sana
@user-mb2dy1cp7v
Жыл бұрын
Duuuh! Aisee Afande komba! Yani umehamasisha sanaa kwa kweli Wewe ni mfano wa kuigwa kwa Askari police wengne. Viongozi pamoja na watu wote
@nassorseif404
Жыл бұрын
Hongera sana afande kwa kuihamasisha jamii mungu akujalie ufike mbali
@charleskuyeko4400
Жыл бұрын
Hongera sana Afande. Unatuwakilisha vyema
@judithtitomalyeta4000
Жыл бұрын
Afande upo vizuri ssna wangepatikana hata wengine rushwa na uonezi ungepungua na heshima ya jeshi police ingeonekana wengi wao wamejibweteka hongera saaana mtaani wangu
@ommylax7231
Жыл бұрын
Uyu kama anaonekana ni rafiki wa raia na rushwa hapo haihusikii, anaonekana ni mwelewa sana
@panchovalentino3576
Жыл бұрын
Bonge Moja la Refariii 👏🏆💪💥⚽✔️🔝
@josephlorri431
Жыл бұрын
Kiongozi ajaye TFF..uko vizuri sana afande.
@edwardasumwisye3010
Жыл бұрын
Ubarikiwe Kaka
@jkomedikaduli
Жыл бұрын
Hongera kwake mungu ni mwema
@simonsadala2386
Жыл бұрын
Ww nimekuona usoni hauna hata chembe chembe za Rushwa kama mapuruanja wenzako
@timothmwakakusyu4563
Жыл бұрын
Be blessed a lot Sir, proceed to work hard
@athumanmsuya2688
Жыл бұрын
Good,unatuwakilisha vema watumishi.
@gooleserviceyoutubescandar3450
Жыл бұрын
Mungu Akulinde Kwenye Kazi Zote Amiiin.
@taifaonlinetv.3670
Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@fidelnicole434
Жыл бұрын
Jalali akujalie bro wewe ni kio Cha jamii na kile unacho kifanya kinatai moto sana
@gicibertkasomo5151
Жыл бұрын
Hongera kk utafika mbali bro
@paulajohn7901
Жыл бұрын
Waoh Hongera sana jembe
@FlorianalLeonard-uv8rv
Жыл бұрын
Hongera utafika mbali zaid kaka amina
@beatricepallangyo2821
Жыл бұрын
Hongera sana Kamanda
@guzaecl
Жыл бұрын
My Class Mate & Room mate.. Congratulations
@aloycemwakatala2796
Жыл бұрын
Kwetu sisi lazima tushangae ila wenzetu Ulaya huwezi kupata kazi ya urefa kama huna kazi nyingine.
@kasimramadhani1502
Жыл бұрын
Nakukubali kiongozi na uwe mfano Kwa wengine
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@annastevensteven9515
Жыл бұрын
Mungu akutangulie
@Zorah_
Жыл бұрын
Daah inapendeza sana❤
@OmanOman-ky2oo
Жыл бұрын
Mashallah Allah akuongoze
@nkilatv6307
Жыл бұрын
Asante sana mkuu
@jovinnovatus7905
Жыл бұрын
Afande Komba mtu mtulivu na mwerevu usiye na majivuno keep it up
@masanjamasunga4019
Жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza namsikia refa akiongea
@msombanehemia7503
Жыл бұрын
Kumbe huyu mwamba ni askar pia yupo smart sana kwenye uamuzi dahhh utafika mbali sana kaka hongera sana
@judithtitomalyeta4000
Жыл бұрын
Mtani hongera.sana
@mambotv1233
Жыл бұрын
Hongera sana
@fettymilly7664
Жыл бұрын
Daaah nilikuwa cjui km askar bwana🙆
@jovinmakene1572
Жыл бұрын
Mwamba from DPA😂😂🙌
@nishelchesco6231
Жыл бұрын
Safi sana afande komba
@kyambarungwe6960
Жыл бұрын
Ongera Sana 🙏
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Vizuri sana na hongera sana aisee
@galasa6616
Жыл бұрын
Huyu alitakiwa ahojiwe na MILARD AYO🙏🙌🏿
@jumahassan273
Жыл бұрын
Nakubali
@user-kq2fb7rw9q
Жыл бұрын
Mungu mwema inatia raha sana kwa hatua uliyokuwa nayo
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Safi kamanda natamani sana haijanikuta
@jacobmapunda7248
Жыл бұрын
pongezi kwako afande
@therandomact103
Жыл бұрын
Huyu kamanda akichezesha game kunakuwa na amani 😅
@legendarymmwamba4136
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@charlesmashauri3704
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀
@irenengatia4289
Жыл бұрын
Inspired
@alikarisa
Жыл бұрын
Vibe kwako kaka
@omeganthale3220
Жыл бұрын
Nahisi ni mngoni mwenzang bro
@paulofanuel7671
Жыл бұрын
Mkuu heshima kwako, ninyi ndio watu pekee mnaoona fursa na kuifanya. Wengine wanaishia kubanmbikia watu kesi na kuomba rushwa
@angellomarcel5677
3 ай бұрын
POTIII
@user-nn5sq8ol4g
Жыл бұрын
Mashaallaah
@Michoarbah
Жыл бұрын
Utafika mbali afande
@kandandaleo
Жыл бұрын
Frank Komba 🙌🏽
@davidmnyela2459
Жыл бұрын
😂😂😂
@Startfarming12
Жыл бұрын
afande kama huyu hata rushwa au kubmbikizia kesi mtu kihuni ni ngumu kwakua ana vipato tofautitofauti
@venitarugemalila9290
Жыл бұрын
Natamani uchezeshe polisi vs Simba au polisi vs Yanga,polisi vs mtibwa au timu yeyote usimamie sheria km unavyosimamia sheria za polisi
@azizirubelwa2992
Жыл бұрын
Kashasema haiwezekani
@melchzedekackim8360
Жыл бұрын
Ninyi wa Tz mnapenda rushwa wachache mnaweza lakini Kuna wamuzi wengine wanafanya kushusha Cv za wamuzi Bora
@sajisikakoko7466
Жыл бұрын
Refa pekee kutoka Tanzania anayechezesha mechi za kimataifa
@user-ii7kx1nz4o
Жыл бұрын
Sio iyo.tuu mengine kasahau ni machinga muuza mitumba alishawai niuzia nguo za mwanangu Luta Pack😂😂
@anithasemwano8276
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@shaurimtanda8285
Жыл бұрын
Kausha basi
@josephevaristi8923
Жыл бұрын
Muuza mitumba Tena,,daah huyu jamaa ni Atari😂😂😂
@dethaalbanno8825
Жыл бұрын
Afande komba its pure refalii
@adiliwasanga4521
Жыл бұрын
Polic niwatu wahovyo saana, ila huyu kidogo anaonekana nimtu mwelevu na mtu mwenye busala kidogo
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Sana 2
@anithasemwano8276
Жыл бұрын
Hahaaaa yaani wewe, mmh ubaya
@roberttagaya9098
Жыл бұрын
U hovyo wao ni upi?
@adiliwasanga4521
Жыл бұрын
@@roberttagaya9098 katati si umesikia walizamamisha watu 5 watu wanalalamika mnatuua jamani wanasema mfe tuu, vilevile usangu hali nihio hio wanasema mmeingia hifadhini, kwetu uyo juzi kati wamemchukua kijana mwenzetu tunaendakumuangalia sentro wanasema amefaliki alikuwa anaumwa wakati wamemchukua mzima,, sasa hapa unaona kwamba polic wengi wamekuwa wahovyo,
@josephevaristi8923
Жыл бұрын
Bro mbona comment yako ni Kali xana 😂😂😂
@irenengatia4289
Жыл бұрын
🔥🔥 afande nimekupenda, umeoa?
@rasependopendo8096
Жыл бұрын
Bravoooo
@youngdady7901
Жыл бұрын
Unakitu utafika mbali
@edwardasumwisye3010
Жыл бұрын
Yani Jemedari Saidi angekuwa na maujuzi kama huyu Mwamba tungekoma
@josephevaristi8923
Жыл бұрын
Duuh,,,lazima mngenyooka😂😂😂
@amosmahona433
Жыл бұрын
Kanifundisha ccp moshi 2012,then sheria DPA....
@christopherjoseph8330
Жыл бұрын
Jamaa anajielewa.
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
Mwandishi hauwezi kuuliza maswali! Maswali mengi hujamuuliza.
@@Ummu-Nauthar98 kila MTU awe na Chanel yake si fujo iyo! Tumegawana majukumu . mtu bila kukubali kukosolewa huwezi jengeka. Ila ni kwa mazuri sio mabaya lazima siku nyingine atajipanga vizuri.
@aminielimushi8709
Жыл бұрын
Huyu Hana njaa,,,jembe kweli kweli,,kongole🇮🇱
@benancejohn1198
Жыл бұрын
🙄🤔
@anithasemwano8276
Жыл бұрын
Pambana ,pambana mwanangu umesahau ufugaji na kilimo wateja wa Sungura ndo hawa,biashara ya nguo je?
@felixchigalika
Жыл бұрын
Mwamba ana * mbili ni balaa
@shabanigenya4708
Жыл бұрын
Mwamba saana huyooo
@bakariselemani775
Жыл бұрын
Hii ndiyo maana ya multipurpose mtu mmoja kazi tatu.Afande amepeniinspire
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Huyu mwamba ana IQ kubwa sana sio poa
@jumandaba503
Жыл бұрын
Jambo afande
@mzalendohuru...4967
Жыл бұрын
Multpurpose
@bakarimohammed2796
Жыл бұрын
MWAMBA Ndio Huyu SASA
@neemaisrael688
Жыл бұрын
MWAMBA HUYU HAPA.
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
Muulize amewahi kuchezesha mechi ya kimataifa
@beatricepallangyo2821
Жыл бұрын
Hajamwuliza lkn anachezesha, hence ni refa wa FIFA
@sulaymanwaziri4455
Жыл бұрын
Sikiliza vizuri kuanzia dakika ya 5 utapata jibu la swali lako
@sulaymanwaziri4455
Жыл бұрын
Kisha kasikilize kuanzia dakika ya 11 hapo hapo hutakua na swali tena
@masoudmasasi1801
Жыл бұрын
@@sulaymanwaziri4455 yah mkuu mbona kaelezea mechi alizochezesha za kimataifa na akasema hivi karibuni ataenda afrika kusini kuchezesha mechi
@hassansaul7098
Жыл бұрын
Afocon
@isihakaliyuma1848
Жыл бұрын
Mmh! jeshi hilihili au
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
Unabisha au unakataaa😂😂😂.Umeishia la 3D??
@kingnathantz
Жыл бұрын
Mtoto wa maajabu Kingnathan akijifunza kuendesha gari akiwa na mwaka mmoja 1 kzitem.infoiGs-UwrkPOw?feature=share
Пікірлер: 121