Waachenii wafanye saanaa ya mitaaaaa na watu wana enjoy..mbonaa waleee wenginee wavaaaa uchiii mashogaa ...video za uchiii hampigii vitaa uzuriii wanajikubalii na wako very strong nigas keep fighting for your life...never mind over what people talk about you Midudu ya chuga
@fatihiyadossa375
4 ай бұрын
Kwel kabisa
@millanolotu2839
4 ай бұрын
Makonda endelea na juhudi zako....kuna kitu hapo.HATA DHAHABU HUPATIKANA KWENYE MATOPE NA VUMBI. NI LAZIMA UCHEKECHE UDONGO AU TOPE UPATE DHAHABU SAFI❤❤❤😊
@dominicrevocatus4177
4 ай бұрын
Hawa madogo wangekuwa organised mapema,wange hit kama misondo misondo,huwa ukiwakuta maeneo wanacheza music wanapendeza....wapate mtu Mdudu is real,In Sha'Allah
@KassimHanga-xr7rb
4 ай бұрын
Mavazi yao sio shida Sana kuliko wale tunaowaita wasanii ambao wanaimba uchi na wanaume wanavaa bangili cheni shanga na vipini ambapo sio Mila za Tanzania
@user-od2mc4mj4e
4 ай бұрын
Sure
@ALEXLOTAN
4 ай бұрын
❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@samwa9496
4 ай бұрын
Mmoja mvuta bhangi mwingine kala unga hapo
@itanzaniaAS
4 ай бұрын
Kabisa
@millanolotu2839
4 ай бұрын
Hata wasanii wengi wa Marekani wakubwa wa Rap walianza hivi hivi na Kila mtu aliwapinga ila sasa ni ma bilionea na kila mtu anawapenda.Makonda ni Mwona mbali❤❤❤❤
@funnuelmwalukasa4506
4 ай бұрын
Yaani ni hasara na aibu mtoto una mzaa unalea Kwa tabu na kusomesha anakuja kuwa kama kidudu roho inauma Kwa kweli maisha kama mtoto hajui kanisa au msikiti ni shida
@elliyawilliam2521
4 ай бұрын
Skiliza kwanza sio una ongea hovyo wame sema hayo mavazi ni kama yuni fom zao za kazi lkn kwenye mazingira halisi hawa vai hivyo yaan kwaki fupi hiyo ni km sanaa
@josephjulio6112
4 ай бұрын
Wako kazini hao
@JennipherNassary-gq1to
4 ай бұрын
Watu wanatafuta hela
@Maxpaul-oi8pw
4 ай бұрын
Ulitaka wavae gauni kama waigizaji wa dar au iyo ndo chuga baba ainaga kuremba
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Na yule anayekuwa shiga au msagaji , acha kuongeaz na mihemuko
@letthedeadburythedead2148
4 ай бұрын
Maisha yakizidi ugumu mtu huwa either mchawi au chizi. Bora yao hawakuchagua uchawi
@florahmushi748
4 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka mpk basi
@itanzaniaAS
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@levinalyimo6240
4 ай бұрын
Yaaan mdogo wangu makonda hapo Arusha kazi unayo Ila tunakuombea Sana mungu
@joojombi2341
4 ай бұрын
Inshallah Makonda atawaweka sawa vizuri
@thomaskiponda6079
4 ай бұрын
VIJANA WAZURI SANA NIMEWAPENDA STYL YAO ONE KAMVUTO❤❤❤❤❤❤❤
@MrTop-wj7no
4 ай бұрын
😂😂😂 subiri aanze kazi mtasema vizuri hizo bange zitawatoka
@jamaliddiin9357
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@denisrukangula2227
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EddahBure-te7ft
4 ай бұрын
Na watasem wanaponunulia😅
@isackcastory7186
4 ай бұрын
Nawahurumia hao 😂😂😂😂
@frankkiduma9446
4 ай бұрын
@@EddahBure-te7ftu7
@loner_wolf
4 ай бұрын
Hiyo sanaa tu , kwani hamfurahi watazamaji ? Acheni basi kuwasema wadudu .....mbona wachambaji mnawashangilia na mnaona ni ajira , mbona uchawa mnaushabikia na mnaona ni ajira ....acheni watu wajitafute basi😅😅😅
@alfredymakuru8333
4 ай бұрын
Fact
@saimonjohnsumley9198
3 ай бұрын
Yaani Huwa wema sana, Mbona Kuna jamii ya rastafarian? Waheshimiwe
@nwntz
4 ай бұрын
Huyo dogo black, anajielewa sana. Big up sana kujiamini ni mtaj
@user-qb7hx9pe9p
4 ай бұрын
Ana akili mnoo
@EddahBure-te7ft
4 ай бұрын
😂😂😂kwa kweli wasingefanya ivyo ningewaona wanyonge kama watu wa Tanga tyu 😅😅
@tegemeakyangenyenka6111
4 ай бұрын
Inaonekana hawa ni wasanii,ila Hawana watu wakuwashika,inaonekana want vipaji
@izoohjack6687
4 ай бұрын
Uone mtoto wako yuko hivi Mungu tunusuru Wana wa Arusha 😢
@gilliardgodfriend5745
4 ай бұрын
We ulitaka wote wawe wanyenyekevu dini zingehubiti nini?😅😅 ishi yako achana na watu wasokusu
@mwanaidimussa
4 ай бұрын
@@gilliardgodfriend5745 inasikitishaaa
@isacksamuel5503
4 ай бұрын
wanaigiza bna not serious, wenyewe wamesema wapo kazini
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Mbona haongelei mashoga na wasagaji , majaa wako kazini au we unaupenda usagaji na ushoga mbona hapo mhamsemi? Bara wa kwangu awe mdudu kuliko msenge 😢😢😢😢😢
@levinalyimo6240
4 ай бұрын
Hao bangi tupu makonda mungu atakufanyiie wepesi
@husseinkonz5192
4 ай бұрын
😅Bang nying hao ngoja tuone kama wao wamepinda kuliko serikali
@DavalsonMarlony
4 ай бұрын
utaelewa t uyo makonda atakonda
@seciliamchalo5627
4 ай бұрын
@@DavalsonMarlonyhumjui vzr makonda wewe subir aanze kazi watatamani ahame
@DavalsonMarlony
4 ай бұрын
@@seciliamchalo5627 iyo ni chuga syo darsalade
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@DavalsonMarlonyje hawa wako vibaya kwa jsmii na serikali je na mashoga na wasagaji ambayo serikali imewafumbia macho kana kwamba wako sawa? 😢😢😢😢😢
@agnesjohn9382
4 ай бұрын
@@seciliamchalo5627😂😂 wanamjua vizuri huyo jamaa damu ya Magufuli hiyo watanyooka tu
@user-tc5vt1om5t
4 ай бұрын
😮😮😮😮😮waache bangee
@user-rf4yq9yj7u
4 ай бұрын
Bange bange bange inaua na inachanganya akili jamani 😢
@agnesjohn9382
4 ай бұрын
😂😂😂
@user-bt3wt6nt4z
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ts6fh4si3m
4 ай бұрын
Mimi ni mwarusha but kwa hawa watoto bangi umewaharibu natamani sana washughulikiwe
@ataamansi8941
4 ай бұрын
Kweli kabisa yaani natamani wapelekwe urusi, kwanza ukiwatizama tu,niwezi hawana adabu heshima,utu wavuta ugoro, bangi,gundi.Jamani wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani moja kwa moja, hawana faida hata kwa waliowazaa**halafu waandishi ndio wanawatia kiburi mara kwa mara huwarekodi ujinga wao,mnawapa kiki, (kuna mengi ya kuripoti mafuriko yameharibu miundombinu,yameuwa yameacha watu katika umaskini, hiyo hamuipi kipao mbele,hawa wajinga mnawapaisha wavutaji wa bhangi look🤔🙄☹️😯
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Je hawa wanatafu risk kama sio waizi je hawa na mashoga na wasagaji ni wapi wakuwaonea kinyaaa
@ireneshao7950
4 ай бұрын
Washughulikiwe Kwa kosa lipi
@elliyawilliam2521
4 ай бұрын
Punguza pombe naww azikufai ushakuwa mlevi mna acha kemea mashoga mna kuja pigia kelele watu wanao tafuta rizki zao halal
@user-ts6fh4si3m
4 ай бұрын
Dogo acha kuropoka mm ni mtu wa arusha na hao madogo nilisha kutana nao ngalelo, so nawajuwa vizuri sana siongei kama wewe kenge maji wewe kwanza we unawajuwa zaidi yangu au unaongea tu kwa taarifa yako mm ni mzawa na nakutana nao sana hivyo najuwa ninachokiongea, kenge wewe.
Hyo taili watazkata kulingana na miguu yaoz😂😂😂 dawa ya wadudu ni dawa ya lungu tu
@ATHANASLUKEHA-ui7pq
4 ай бұрын
Mkuu wa mkoa una kazi ya ziada,kwanza kuwasaidia vijana wa arusha ambao ni maarufu hadi mochwari!!
@scorasticaclement6308
4 ай бұрын
😂😂😂
@aishaalbalushaishabalush8291
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@emmiradorjunior3153
4 ай бұрын
😅😅😅😅
@amanisilas3523
4 ай бұрын
Hawa wadudu wa arusha wanafanya kazi gan
@user-rc1dp6ux3k
4 ай бұрын
Tuwaelekeze vijana wetu waache ujinga wa kujiita wadudu hii itaaribu maadili ya wengi
@beatriceurio8130
4 ай бұрын
Mheshimiwa Hawa ndugu ni maombi tuu Mungu atusaidie na watoto wetu
@starjay3052
4 ай бұрын
bola wadudu kuliko awo wasanii weni mashoga wavaa eleni na vipini puani awo wabishi kinoma alafu wanaonekana watu wa kazi
@PriceousJohnson-dn6jp
4 ай бұрын
😂😂😂😂sawa bana chuga by home moja na mbili
@rosehaule6765
4 ай бұрын
😂😂nimeelewa kwnn mama kampeleka makonda chugaa🎉🎉
@mariamfritsi4943
4 ай бұрын
Mhhh sina hata la kusema nimetoa macho tuu.tunaambiwa kuishi kwingi ni kuona mengi. 08.04.24.
@asteriashios1852
4 ай бұрын
Wadudu wa arusha bangi tosha wa moshwari yaani makonda atawabadilikia hamtoamini hii hali itaisha bora muache huo uwadudu mkafanye kazi
@jomba6514
4 ай бұрын
Maombi tu kwa mwenyezi mungu wadudu wapae
@user-bt3wt6nt4z
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@saimonjohnsumley9198
3 ай бұрын
Wanainogesha chuga
@jumannemanguo8488
4 ай бұрын
😊😊 ATWN kizazi sana nakubali wadudu
@user-hi8le2vb7z
4 ай бұрын
HIO SIO TALENT, NI UHUNI,,AFU AYO NDO MNAPENDA KWELI KUWAPA EA TYM..
@SafariMsafi-um1pz
4 ай бұрын
Bora wadudu kuliko hao wasanii mashoga na waimba singeli wenu
@merumount5988
4 ай бұрын
Acha kusifia uhuni@@SafariMsafi-um1pzhawa vijana wanahitaji kusaidiwa akili yao imeharibika wanajitoa ufahamu lkn ndio sehem ya matukio ya uhalifu..tuache mizaha watz na kuhamisha attention, uhalifu ni uhalifu tu awe kibaka, msagaji, shoga.. yeyote anafanya matukio ya uhalifu anapswa kushughulikiwa..na nyinyi Ayo Tv Acha kusifia ujinga..hoji kwa kuwasaidia waache uhuni wafanye kazi..mtu mwenye akili na maadili utavaaje km hawa?
@goodluckymjema792
4 ай бұрын
Sasa apo uhuni Uko wapi
@goodluckymjema792
4 ай бұрын
Au kuongea kwake ndio uhuni
@damianlupogo8686
4 ай бұрын
We ndo ungekua mfano ku ignore, kila mtu na interest zake!
@Kabwela776
4 ай бұрын
Ze kabwela suti viraka nation featuring Ze chuga waduduz kakaz and dadaz 😎😎😎🤣🤣🤣
@vincentauxerbius7554
4 ай бұрын
Washaanza kujisogeza kwa makonda nafikili hawamjui watayatimba😂😂😂😅😅
@khalifasultan2677
4 ай бұрын
HIZO SIFA NA HUYU MILLARD AYO KUWAHOJI KAWAPONZA, MIDOMO IWASAIDIE KULA HIYO MADOGO!!
@user-fw8wm2xd8x
4 ай бұрын
Et wadudu ni watu walionyimwa elimu na kupotea mungu aturehem sna jamii hi ccm inawapa bendera kipnd cha kampen na sh 5000
@omaryally3489
4 ай бұрын
Waandish ndio mnawapa cfa hao vjana...saaana walibu Sana bangi tup!!
@@mataypanga5262je bara hao wanakula majani na wanajelewa ya mashoga na wasagaji?
@vickytango5591
4 ай бұрын
Wanatangaza mkoa wao
@hilalisaidseif8483
4 ай бұрын
Aisee bange ni mbaya sana afu serikali kimya tu watoto kiharibika hivyo
@godfreyally-ps3fo
4 ай бұрын
Chuga 🔥🔥
@magrethmichael7344
2 ай бұрын
Wanaitangaza Arusha😂😂
@beatriceurio8130
4 ай бұрын
Cha kushangaza Yesu alikufa kwaajili Yao na hapo ndio ninapouheshimu msalaba
@gabrielmiatus3886
4 ай бұрын
Kutrend mpaka mochwarii😂😂😂
@upendoeliya9329
4 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
@emanuelmargwe7087
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@MATEOJOSEPH-nc8gf
4 ай бұрын
Mbona Bado wadogo Sana makonda wanyoshe hao
@user-ni9zc3gx5t
4 ай бұрын
Yaaani Arusha kuna ujinga ujinga watu wanaangalia sinema wanaletà mtaani, lazima serikali iondoee ujinga ujinga
@sharifamahamudu182
4 ай бұрын
Km niwasanii so mbaya kikubwa wasiwe wezi cz wao wanatafuta ridhiki km akina jot wanavyovaa mawigi na madela wap wamechagua hyo style yao 🎉
@majaliwamaginyula9327
4 ай бұрын
Kweli makonda mama kukupa Kazi
@kenyonyo
4 ай бұрын
Kizazi og ni next level acheni ujinga
@LupigiLugosha
4 ай бұрын
😂 kenyonyo ww ni firee
@user-eh5il7pw2f
4 ай бұрын
Hamna sanaa hapo ni njaa tu
@mosesjohnswilla9926
4 ай бұрын
Waachwe wafanye sanaa
@user-zy6vq6lz7z
4 ай бұрын
Hawa jamaa unaweza kuwatumia kuondoa makundi ya wauzaji wa madawa ya kulevya make wa najua kila kona hawa
@muhidinally3460
3 ай бұрын
Na kweli wasemeni na hao wasanii wanaoimba uchi ilinao waache ukichaa na bangi..!!!
@susananyasani6526
4 ай бұрын
Vijana wa Arusha mnafurahisha lakini mufanye kazi 😂
@magdalenapeter419
4 ай бұрын
Kazi gani zaidi ya hiyo wakati walio viongozi wanapachikana wenyewe? Wasomi wapo kibao mivyeti inachakaa na kutafunwa na panya wao wana kz 1 mzee akistaafu anapachikwa mwanae akichafua atawekwa mjukuu hadi wakiona kizazi cha mstaafu kimekwisha wanaweka rafiki wa mstaafu. Acheni vijana wa wenyewe wajitafutie kwanjia hiyo
@rithaurassa
4 ай бұрын
Shughulikien hao mashoga a chana na hao machalii
@AishaMasali-lw8pc
4 ай бұрын
Naangalia interview huku nasoma comment😂😂😂
@PrinceHendry-hp8vv
4 ай бұрын
Ngoja konda aje apendagi upuuzi mkicheza atawapiga dudu
@noonelike6382
4 ай бұрын
Hahaha
@itanzaniaAS
4 ай бұрын
Wangerushiwa mabomu ya machozi shenzi😂😂
@mataypanga5262
4 ай бұрын
Kwani Karatu kuna ushamba gani.Acheni ukabila kuwatukana Karatu
@denisrukangula2227
4 ай бұрын
Upumbavu Makonda kamoshe huo ujinga
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Ili tumpe mauwa yake na serikali wakomeshe huu uozo wa ushoga usagaji na unga janga la taifa😢😢😢😢😢
@athumaniamiri880
4 ай бұрын
😂😂😂 umenichekesha Arusha kama nchi nyingne sielewi Arusha kukoje
@user-bt3wt6nt4z
4 ай бұрын
@MiriamAbdallahnaweww ulivokazana na huo ushoga SI anaanza na kimoja baada ya kingine? Huyo ni mwamba anayaweza tote!!!!!!😊😊😊😊😊
Hao vijana, mie naona kama wanachafua mazingila ya mji wa Arusha tu,😏🇹🇿🇿🇦
@mashipeter4819
4 ай бұрын
Hawa hawatumii bangi. Wanatafuta na ndo maana wanajieleza kuwa tukiwa nyumbani tuko tofauti. Tunatakiwa tuwasapoti. Je wangekuwa vibaka
@PaulinaOtaigo-cr3sq
4 ай бұрын
Wanawafundisha Nini jamii
@mashipeter4819
4 ай бұрын
@@PaulinaOtaigo-cr3sq nahisi wanafundisha. Maana kama wangekuwa wavuta bangi au vibaka wasingekaribishwa kwenye maharusi kufanya komedi zao
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@PaulinaOtaigo-cr3sq na hao mashoga na wasagaji wanafundisha nini jamii ? Hawa kosa lao ni lipi
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@mashipeter4819inaelekea hawa ndio wanasapoti mashoga na wasagaji, kama hajaona kazi ya hawa jamaaa
@ataamansi8941
4 ай бұрын
q sipendi ujinga, kama huu, hivi miaka mitano hadi kumi, watu wa hovywo kama hawa wadudu wakiachwa waendeleze huu ukichaa wao wataharibu vijana wengi wanaokuwa,wakomeshwe hawana chochote cha maana cha kufundisha wengi, bangi ugoro vimewatawala,hawa UCK ikikutana nao umeisha, wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani kimya kimya
@richarddavidmk
4 ай бұрын
Mimi nachoo ona tupambane uhalifu maana wapo walarushwa wamevaamasuti , Tusipeleke usukumah uparenih😂😂😂
@HamisMghuna-fj3vz
4 ай бұрын
Jamaaa hio sendeu ime overload overlap jamaa,huo mjisedeu c kawaida, umezidi,
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Nampa pole makonda Mungu amsaidie Kwa kweli maana Arusha mmmh 😢😢
@emmanuelmlowe-ew7gx
4 ай бұрын
Sasa unampa pole ya nn vitoto havina chochote mbona?
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Sio ao tu Arusha kunakazi kubwa ya kuweka vizur uo mji
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@AminaLibisahao wanajielewa nimewasikiliza na kama mmewasikiliza mmewaelewa je hao masenge na masagaji serikali imewaacha kwa vile wao wako sawa,?
@AminaLibisa
4 ай бұрын
@@MiriamAbdallah sawa japo sijakuelewa vizur ila tuache inyeshe tuone panapo vuja
@Officialjidaa-sn9cs
4 ай бұрын
Wako sawa bwana
@agnesjohn9382
4 ай бұрын
😂😂😂
@jaypili7837
4 ай бұрын
Kila mtu anaji ya kutafuta life so km hawa vunji sheria sio baya wanavyo tafuta ugali mbona kuna machawa siku hizi wanaenda hadi Ikuluu
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Umeenda mbali tujiulize serikali mbona inavumbia macho ushoga usagaji na uzaji wa madawa ya kulevya unadhani wao wanafanya mema kwenye hili taifa 😢😢😢😢😢😢
@user-pz5qs4ki7s
4 ай бұрын
Ofic rasimi. Kwani hapakuwahi kua na ofic ya mkuu wa mkoa!!? Ama ndy ukunguni wenyewe
@abdulhamis9825
4 ай бұрын
Natoa Ahad Hawa Watanyooka Tu Hawana Lolote Geni Kwa Paul Makonda Tena Natoa Angalizo Kwa Wala SKANKA na CHA ARUSHA weken Akiba Mzgo Unaenda Kuwa Adimu
@seciliamchalo5627
4 ай бұрын
😂😂😂
@solomonpeter8843
4 ай бұрын
Aiseee mkuu inalazimika kuonana na hawa wadudu kama hujawaona basi hujafika AR 😂 utakuwa upo karatu
@sunaybrajabu238
4 ай бұрын
Najivunia Arusha Lakin sipendi hii style
@elliyawilliam2521
4 ай бұрын
Sio lazima uipende
@user-bt3wt6nt4z
4 ай бұрын
@@elliyawilliam2521ndiyo ni mbayaaaaaaa 😂😂😂😂
@geofreykazaula7940
4 ай бұрын
Du Wadudu noma sana.
@aediayumgo8546
4 ай бұрын
Tatizo Arusha bangi imeota kila sehemu wanavuta Wanakunywa wanafanya mboga nimeishi huko landanai lemshuku Zaire Wana Apollo wanajihudumia Tu😲😲😲
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
Jamani hawa ni watu wajielewa mbona hamuongelei mashoga na wasagaji au ndio kwenda na wakati wao wako sawa?
@christaoman8890
4 ай бұрын
Wadudu lakin wanafanya kz au kukaba watu mtaani wakati wa usiku duuh
@januarysungura8119
4 ай бұрын
AFADHALI WADUDU KULIKO WASANII WAVAA HELENI WANAUME NA MASHOGA ,WANAOA NA KUZALILISHA WANAWAKE KILA LEO KWA KUWAFANYISHA BIASHARA ZA MIILI YAO,SASA KAMA KAJALA NA PAULA WAKO SAHIHI BASI HAWA NI WA MUHIMU SANA
@richnuch1873
4 ай бұрын
Kwenye 1 na 2
@maalimwenga452
4 ай бұрын
Niambieni mkoa ambao mmeona kunguru akifugika kama siyo Chuga peke yakeee.
@habibnjowele7751
4 ай бұрын
Kwani Kuna Nini Cha ajabu hapo Arusha mbona unajikweza WAKATI ni watu kama WENGINE TU! Acheni kuover rate
@lorelore2930
4 ай бұрын
Wizi tu hao
@MzalendoTaifa
4 ай бұрын
Hapa hakuna Cha Sanaa wala Nini yaani Arusha imeharibika waizi wamejaa Kila Kona. Mhe makonda nyoosha hawa wapuuzi
@jersonmpeka4984
4 ай бұрын
Sijaona point yeyote kwenye Aya maojiano mmenimalizia bando langu
@user-rf4yq9yj7u
4 ай бұрын
Yaani huyu ambae ana mshangao kichwani kashiba bange jamani 😮
@betyjoseph6812
4 ай бұрын
Kashiba?
@aishaalbalushaishabalush8291
4 ай бұрын
watoto wadogo wamelishwa sumu ya kisiasa mavi au siasa taka kwa masirahi ya wapinzani wasio na uzalendo au na namaadili au wasio kua na hadhi ya uongozi ndio wanaowagawa watanzania hadi watoto wadogo kama hawa eti loma alifichwa yaani ujinga tu mzazi nawewe unangalia mwanao anatumika na wanasiasa wakipinzani kueneza chuki si ujinga tu huu jamani
@unknownbutterfly6310
4 ай бұрын
Wametrend kila mahali, mpaka mochwari😂😂😂
@fatmaalnabhani3609
4 ай бұрын
Aahh jamani hivi si maisha ya kawaida hii ni bangi isiokuwa na kipimo😮😮
@betyjoseph6812
4 ай бұрын
Halafu Kuna mtu anawatetea,, Kila comment anajibu kwa kulinganisha na mashoga... Eti wao ni bora
@aquaculturetv
4 ай бұрын
Hii imeenda
@wizzyjabary7777
4 ай бұрын
Waduduuuu😂😂😂😂
@elicatustryphone7949
Ай бұрын
mbona kuna mdudu mmoja hv apo kama shoga
@hawajohn749
4 ай бұрын
Arusha noma😮
@vickytango5591
4 ай бұрын
Kwani karatani c ipo A. R
@zenadaudzena2849
4 ай бұрын
Zamani nlikua naupenda sn mkoa wa arusha ila kwa sasa hapana 😂
@wizzyjabary7777
4 ай бұрын
Wame trend mpaka motwariii😂😂😂
@muzafarsharif9465
4 ай бұрын
Dangote mmoja Tu aliwatoa jasho la meno😂
@frankkessy1260
4 ай бұрын
dangote alikuwa mwanga
@MiriamAbdallah
4 ай бұрын
@@frankkessy1260😂😂😂😂😂 ila Kuna hawa wadudu wastaarabu wako kwenye sanaa yao ya tofauti na wengine hawa wako hadharani
@davidmalisa8043
4 ай бұрын
Machoko tu hao hawana mpya
@BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
3 ай бұрын
hamna kitu mnafanya nn mchane muende studio mana tunajua hapo rapu ndi asili nyie mnafanya harakati zp
@Ali-nl2du
4 ай бұрын
'Wadudu' ni creative street artists, vivutio vya watalii wa nje na ndani. Hawa vijana wanahitaji promotion sio elimination.
Пікірлер: 374