Moja Kati ya hazina ya hip hop Kwa uandishi Bora,,,mtanengwa nakusalute mwana sijui Kwa nn hawakupei platform hiphop yko Inamafunzo🔥🔥🔥🔥
@dominickntajinya1550
3 жыл бұрын
Makini sana,!!! %usiache KUTABASAMU%
@michaelmchodo3307
3 жыл бұрын
Jifunzeni na kwa Zaiid pia...2wendeni na wakti
@emmanuelmanjira5051
3 жыл бұрын
Ongeraaa sanaa maalim good song saiv ad Lord eyes anaimba jaman
@jagramimports7333
3 жыл бұрын
Kuko na mambo mengi ya kujifunza kupitia sanaa kuntu ya uwandishi na namna ya kuiwasilisha kwa jamii na serikali toka kwa huyu Ndg: Nash Mc. Hongera kwa utumizi mzuri wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, vina mwanzo, kati, na mwisho.
Kinywa chamtu mzima kina nuka lakini maneno yake yana ponya Naskubali maalim Nashiiiiiii
@nassorohassan4322
3 жыл бұрын
Maalim nash nakuelewa sana
@dirahuru8233
3 жыл бұрын
BG up mzee track imesimama kiharakati
@dazz3127
3 жыл бұрын
Nasikiliza tasnia kutoka Stuttgart. Hii imeiva. Keep it up Brother.
@patrickmgaza9927
3 жыл бұрын
Shida media zetu wanaendekeza viduku, michiriku Pini kama hizi hawapigi media nyingi wanaaribu tasnia
@siogopikassim4338
3 жыл бұрын
Media yenye akili haiwezi ikamuhoji chikumbaraga, Tasnia imekaa poa Maalim sina wasi na kazi zako
@nyenzee6636
3 жыл бұрын
Nia kwenye tasnia mzuzu chata✊
@abdulhamidmachano404
3 жыл бұрын
Nash Mc 🎤🎤🎤.... Maalim
@oldgaragegangsterstz3021
3 жыл бұрын
verse ni nzuri beat kali. Gangamala mzee
@Monajamwenyewe
3 жыл бұрын
Ta-ta-ta-ta-ta Tasnia!! Noma sana Mutalemwa. Inanibambia huku Nairobi!!
@manissa9514
3 жыл бұрын
Hip Hop #Tasnia yoo wataelewa tu
@manfredbaraka67
3 жыл бұрын
Ujawai harb DC
@hamzahassan2079
3 жыл бұрын
Nash mc Jamaa nimaharimu Tumeipokea daawa tasnia
@twahachanjale6163
3 жыл бұрын
Maalim Nashri salout Sana Brother from Johannesburg
@abdulrahmanchengodee4162
3 жыл бұрын
Burudani na ujumbe mzito ndani yake 🔥👏🏼💪🙏🏽
@aidangeorge9842
3 жыл бұрын
Bongo fleva bongo movie bongo zimeganda #Tasnia
@trickyjosia9192
3 жыл бұрын
Big up maalim Nash waelimishe watt wasiamini kwenye kiki
@jacksonsabana2150
3 жыл бұрын
Maalim dc kama dc hii ni bonge la ujumbe kaka
@dizla_mgz
3 жыл бұрын
Pole Lil Tz..😃
@lazaromuganyizi330
3 жыл бұрын
Chakula cha ubongo #MaalimNash
@jamerude3753
3 жыл бұрын
Ngoma kali sana mzee umeshusha Madini yote
@dambwelahiphop
3 жыл бұрын
Elimu sana hiii. Kama muongoza njia nikipofu tulio macho tuendeleee kupaza Sauti ili wote tusije zama shimoni
@mukakathejoker6504
8 ай бұрын
Nasikiliza madini yanayotemwa na mutalemwa
@alfaniboblice9028
3 жыл бұрын
Bado nipo na Tasnia
@saidihinda8012
3 жыл бұрын
KALIIII
@muunganomapunda8440
3 жыл бұрын
Nimeyakubali madini yalotemwa na Mutalemwa🙌
@dowgguerrila9503
3 жыл бұрын
Heshima sana mkongwe Nash Mc umeongea ukweli mtupu kwenye hili Pini Heshima sana toka Malindi Beach Kenya
@LugomboMaKaNTa
3 жыл бұрын
Yaani unafanya nikafungue folders ZANGU kwenye PC nisikilize tena ALBUM 😀😀🔥🔥👆🏿👆🏿✊🏿💪🏿
@jafarmsigwa6239
3 жыл бұрын
mchochezi
@joycekoka5294
3 жыл бұрын
Kazi nzuriii nash mc endelea kutupa madini 🔥🔥🔥👊💪
@gabumaiko8613
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@col.mayungamayunga2039
3 жыл бұрын
Kilichotokea
@AMPH_NKURUNZINZA
3 жыл бұрын
MAARIFA na MAONYO 💥💥💥💥🔭🔭🔭🔭
@kayitareksteven1543
3 жыл бұрын
Salute times billion bro
@nickkuntalukule2742
3 жыл бұрын
Kali sana, wanachuo desa lingine la kufanyia tafiti hili
@bizzleadam9895
3 жыл бұрын
Real xana hii H.I.P H.O.P Xema bhxx tuu hawatak kuelewa kakaa....na Mmebaki wachache kwny Real Hip Hop
@gboystoner
3 жыл бұрын
TANSIA..✍🏾
@nguyamtwartz5413
3 жыл бұрын
Maalim 👽👽👽
@neko9869
3 жыл бұрын
Heshima kwako zuzu #Hip Hop 💪🏿✌🏿👊🏿
@mwenenumedia7556
3 жыл бұрын
Saruut
@Therealrashyy
3 жыл бұрын
Na hii watajifanya hawaioni. Big up DC wa kahawa
@jumamohamedi9878
3 жыл бұрын
Maugado hapa Mwanzo mwisho aminia Nash Salute
@amrizoman9391
3 жыл бұрын
Ngoma kali #sapoti harakat usisapoti mauti
@richardmahamba1803
3 жыл бұрын
Ta ta ta da maaalim nash
@greymuclass8217
2 жыл бұрын
Upotoshaji toka Chigugu hadi Kamachumu!!! Am proud of you #Mutalemwa.
@Jabali_Media
3 жыл бұрын
Nashindwa nisemeje zaidi ya BIG UP...
@ernestmlonganyundo1139
3 жыл бұрын
Maalim Nash zuzu. Hivi vitu tunavipenda sana kutoka kwako
@davidmsubi2639
3 жыл бұрын
Ta.ta..ta..tata..Tasnia Yoooo🔥🔥🔥
@sharifumitema4473
3 жыл бұрын
ngoma kali zuzu
@melkilulandala4083
2 жыл бұрын
Narudi hapa tena na tena..Tasnia Yoooh!!!!!
@alhaji6094
3 жыл бұрын
Katika Mziki tena haswa hapa kwetu nyumbani wale wanaojua nn wanafanya ndio hawapewi nafasi mbele ya Media ila kiukweli Maalim anafanya vizuri sana katika kazi zake.
@nokkotz164
3 жыл бұрын
TASNIA ya Mutalemwa Imeogopa Kuitwa Wachochezi
@josephdonald6199
3 жыл бұрын
Jumbe chanya sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@hamisskitumboy3073
3 жыл бұрын
Mpalestina Chizi ! Temeke Unaenda Kama Mbunge !
@mbalahdejr3137
3 жыл бұрын
Chugugu nkalapa nkalapa ndani huko Dah miss sana
@kiezeraalfred4493
3 жыл бұрын
Mutalemwa aka Chizi. Hujawahi kosea broo
@daudminja8118
2 жыл бұрын
Amani Sana mr nash izotisheti tunazipataje man
@greysonkomba8938
3 жыл бұрын
Maalim Nash Mutalemwa, big up sana
@nguyamtwartz5413
3 жыл бұрын
Mutalemwa... aka shaaban robat💣💥💥💥
@yojoruta3379
3 жыл бұрын
mzee wa Naandika
@yojoruta3379
3 жыл бұрын
father of contents
@lusungumsovela4558
3 жыл бұрын
Usipime humo ndani mzee.... Umeshikisha adabu
@rasvegas8991
3 жыл бұрын
Napenda mziki wake lakn si dhani kama alishakula Matunda yake
@sinandugukissailoh9892
3 жыл бұрын
respect mzaziiiii.....pini imeenda shuleee
@laigwanantantooleshama5164
3 жыл бұрын
Sinaga ubishi katika tunzi zako Maalim, This is Hip Hop
@givengiven63
3 жыл бұрын
Haya ndio mambo MZEE wangu
@saidiomary8886
3 жыл бұрын
Noma sana🔥🔥🔥🔥🔥⭐⭐🌟🌟🌟
@ayshasalim6740
3 жыл бұрын
Temeke na maaalim
@hammybrown6313
3 жыл бұрын
Muziki kama huu huishi sana, Much blessed man.
@ahmadkorongo6263
3 жыл бұрын
Zuzu Kama zuzu💥💥💥
@chrissteveoyange8722
3 жыл бұрын
Kazi nzuri ujumbe umefika kila mahali Tozonia. #Tasnia
@Justinbizzy
3 жыл бұрын
Tasnia ngoma Khali Sana brother
@eliatoshamapande7873
2 жыл бұрын
Huyu mwamba anawezaaa walaaah...ilikuaje nikamjua sura alaf ckujua kazi zake??? Ozaaaaaa
@craajinyangasa4973
3 жыл бұрын
I salute kwa tasnia iko vizuri sana
@mukakathejoker6504
3 жыл бұрын
Nashiri mutalemwa
@alkaullahmediaTz
3 жыл бұрын
MaalimNash madina... big up sana.. nakukubali kamanda
@selemanimkupe9595
3 жыл бұрын
Maaana sahihi ya Mwalimu 💪💪💪💪
@mahamuduramadhani6375
3 жыл бұрын
Aminia xana ka mkubwa
@nextpagemzimu5953
3 жыл бұрын
ZUZU🔥🔥🔥
@beberurafiki1273
2 жыл бұрын
Penzi si penzi, ni mambo tu ya kishenzi.
@twahampewa9752
3 жыл бұрын
Food of thoughts braza unatoa elimu
@alhadkatundu2142
3 жыл бұрын
Nash uchebe🙌🙌🙌
@blandinanolasko8239
3 жыл бұрын
Kaka ujawahi zingua unajua Sana Kaka daaah,,,ongea na mwanao na mitihani mixed tabia daah sijawah maliza siku kaka bila kusikiliza mdundo wako Kaka🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Пікірлер: 326