Kweli magu rais wa mwanzo wa tanzania . Sio nyerere wala hao wengine waliopita .na bora aongoze mpaka mwisho wa uhai wake mana akioongoza yeye tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa uzuri au ya pili au ya tatu .
@rainerydallu3638
5 жыл бұрын
Nyerere ana heshima yake, tunamfananisha na hawa wengine watatu
@محمدعلي-م4ص3ش
5 жыл бұрын
Hongera Rais wetu mungu akubari sana na akupe umri mrefu
@zefamange7281
5 жыл бұрын
HUYU RAISI MAGUFURI KWANN HATUKUMPA URAISI MWAKA 2000? SAIZ NCHI INGEKUA KAMA ULAYA
@kinjeketilengwale1141
5 жыл бұрын
Zefa Mange kila kitu kina wakati wake,amekuja kipindi Trump moja ya marais bora duniani,tungemchagua miaka ya 2000 ilikua ni kipindi cha shoga Obama na mchawi H.Clinton walikua hawapendi watu wenye misimamo kama ya JPM wangemuua kama walivyoua wengine Ghadaf kwa mfano,huu ndio wakati wake JPM ni zawadi kutoka mbinguni
@zefamange7281
5 жыл бұрын
@@kinjeketilengwale1141 nimekuelewa sana mtu wangu 👏👏👏
@kinjeketilengwale1141
5 жыл бұрын
Zefa Mange pamoja sana ktk ujenzi wa taifa letu pendwa na kuunga mkono juhudi za mpendwa wetu JPM
@zefamange7281
5 жыл бұрын
@@kinjeketilengwale1141 poa sana mtu wanguuu
@shomarymussa6970
5 жыл бұрын
Tanzania oyee magufuli safi
@athumanhusen4558
4 жыл бұрын
Naombamrni kazi tpa ndugu zangu pliiz
@gregorychogelo2013
5 жыл бұрын
Nchi inakwebda vizuri sana. Hongera sana Rais wetu, JPM.
@ernestsinje8693
5 жыл бұрын
safi sana HAPA KAZI TU porojo tusubiri uchaguzi
@salummuhija4435
5 жыл бұрын
Magufuli mbele kwa mbele Tanzania naiona inakwenda kuwa kama Bustani ya Eden
@jonamnyone8014
5 жыл бұрын
Hakika Magufuli ni chaguo sahihi. Kwa speed hii Tz lazima tutachomoza tuu
@renatusmisigaro6332
5 жыл бұрын
Safi sana!!
@davidcurtis8556
5 жыл бұрын
Dah! Too much sasa jamani kila upande ukiangalia tu ni miundo mbinu miundo mbinu tuuuuu!!! Mabarabara mpaka njia nane upanuzi wa bandari mradi wa umeme rufiji mara ndege mpya kila kukicha aaa sasa jamani tumechoka ndio maana tumeamua kumpinga tu raisi maana hatuna sera tena za kuwaambia wananchi, hahahaaaa sio mimi ila ni kama vile nukuu tu za wanaomaanisha hivyo kwenye mabano.
@anuaryally6177
5 жыл бұрын
Rais magufuri jembe namba moja duniani
@tanzaniakwanza1699
5 жыл бұрын
Aha! Kuna tpa online!
@yusuphaman3449
3 жыл бұрын
Watanzania mpewe nini
@anuaryally6177
4 жыл бұрын
Magufuri chapa kazi waache waliozoea kubebwa na wabebwe uko ughaibuni pumbavu zao
@harithwhite589
5 жыл бұрын
Mpigaduri
@oxtinho159
5 жыл бұрын
Tutaota Mama
@allananam6631
5 жыл бұрын
With a depth of less than 10 meters can not accommodate panamax
@zefamange7281
5 жыл бұрын
Unao uzoefu wa mambo ya bandari na meli? Au unabishia uchadema?
@rainerydallu3638
5 жыл бұрын
mtaalamu anaeleza hivyo wewe unabisha 😁😁😂😂😂😂
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Wewe huelewi kitu,unafikiri meta 10 za barabarani!.
@kinjeketilengwale1141
5 жыл бұрын
AA AA takataka kina cha mama yake ni meta ngapi?
@allananam6631
5 жыл бұрын
@@zefamange7281 Chedema juu, Tundu Lissu juu, Lema juu na Zigo juu, na kigogo juu zaidi.
Пікірлер: 38