Ben wetu tulikumiss haswa Kwa namna unavyotangaza hongera
@berthatz
Жыл бұрын
Mwanantala na Sudi Mungu awalinde sana ana awape nguvu..Nyie ni wazalendo ..Juzi kati tulikuwa tunaulizana hapa America..Wako wapi Wazalendo wetu Ben na Sud??Nimefurahi sana kuwaona tena mkiendeleza kipindi chetu..Tunawafatilia sana toka USA ..
@kizbeka369
Жыл бұрын
Kaka Ben naomba kujibiwa hili swali maana nimeuliza sana kwenye chanel ya TRC mbona sikuoni ukitangaza pale lakini sijibiwi
@sisiniwazalendo6558
Жыл бұрын
Ndugu yangu,mimi nipo na naendelea kuwajuza watanzania kuhusu kazi za serikali yatu...Kwasasa nipo SISINIWAZALENDO....NA KWINGINE KWINGI..TUJENGE TAIFA LETU
@kizbeka369
Жыл бұрын
@@sisiniwazalendo6558 nashukuru kwa kupata majibu haya basi kazi iendeleee
Пікірлер: 6