inanishangaza sana lulu kama hizi watu wanazipita kama vile hawaoni lakini mambo mengine wanaya like.dah! Mungu atusaidie.
@pascalnicolaus6986
2 жыл бұрын
Amina
@pascalnicolaus6986
2 жыл бұрын
Ni zaid ya lulu
@bethpowl2444
4 жыл бұрын
yaani mchungaji kama umeniona vile yaliyonikuta makubwa maono yameharibiwa kabisa mpaka najiuliza why me? lkn Mungu ni mwaminifu nimejifunza kitu,barikiwa sana
@angelicagulake3361
4 жыл бұрын
Huyu mchungaji ni blessing sana hebu Mungu aendelee kumtumia he is a gold bwana asifiwe juu yake
@pauljohn5367
4 жыл бұрын
Hakika Mungu yupo ndani yako Pr Mbaga nakupenda sana Mungu azidi kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho
@pauljohn5367
4 жыл бұрын
Nimekuwa mtu wa ku feli kwa kila jambo kwasababu ya domo langu Mungu nisaidie kufunga hili domo langu
@zubaidavicent1551
4 жыл бұрын
Yaan mtumishi unayoyasema ni amin na kweli
@elizabethsamwel5924
4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana mahubiri yako pr. Umenifundisha kunyamaza
@gabriellyadam9415
4 жыл бұрын
Baba ninanufaikaga sana na masomo haya.ubarikiwe sana Pastor David.nimejifunza kua mkimya wa maono yangu.nitafunga mdomo wangu sawa na hilo neno ulilosema la matay.9:30.Haleluya.
@elizabethtondo5178
4 жыл бұрын
Amen
@patriciasanga9848
4 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Bwana wa Majeshi
@joemax77
4 жыл бұрын
Baba wa mbinguni azidi kukutumia, pastor
@samwelmsafiri8962
4 жыл бұрын
Nabarikiwa sans
@richardnyakundi5895
4 жыл бұрын
Asante pastor, nazidi kujifunza sana kutokana na mafundisho yako. Yamenijenga imani sana.
@bernardomondi2632
3 жыл бұрын
AMEEN Mtumishi wa Mungu hapo kweli nimeona hayo Barikiwa sana
@elizabethtondo5178
4 жыл бұрын
Pastor namshukuru Mungu has uwepo wako ,somo hili limenigusa nimekuwa nikiweka mambo yangu wazi nimekuwa nikikutana na matatizo ila kupitia somo hili nimejifunza
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
Ulinigusa na umenigusa tena,hili somo lina ujumbe muhimu SANA ktk maisha yetu sote hasa Mimi,lirudie mara nyingi kwa kadri uwezavyo mchungaji wangu (thanks much).
@esternaftari4553
4 жыл бұрын
Haya mchungaj natamani kuelew sana somo hili
@mossesjoseph2202
2 жыл бұрын
Litukuzwe jina la Mungu aliye ndani yako.
@beatricemageka7972
4 жыл бұрын
Asante pastor kwa somo nzuri,nimejifunza kunyamazia jonzi na Mungu anisaidie kwa kufunga mdomo wangu ifikapo kwa ndoto ya mipango yake kwa maisha yangu,Amina
@gideonmajura2013
4 жыл бұрын
Asante kwa Sehemu ya pili. UBARIKIWE
@pascalnicolaus6986
2 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa zawadi hii! Hakika natamani ningeyasikia haya miaka mingi iliyopita.Hata hivyo nakushukuru kuliko nisingesikia kabisa.
@rachelmanema9044
4 жыл бұрын
Pastor ni km umeniona Mimi kabisa unakuta mtu ananichukia bila sababu ila nikicgunguza sana ngundua kuna vingi hatuendani Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia utufungue zaidi
@nippermshana9260
4 жыл бұрын
Amen pastor
@naominasimiyu551
4 жыл бұрын
It's true pastor, God bless your life.
@zadockmedia2793
4 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏
@jackneymasamson8335
4 жыл бұрын
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen Hallelujah Glory be to God
@graceclinton5303
3 жыл бұрын
Mmm jamani jamani nimejifunza kitu
@salumadam2862
4 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@butondodavid2105
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akupe maisha marefu
@yusuph1547
4 жыл бұрын
Nataman nijue kusikiliza sauti ya Mungu,sijui bado,masomo haya yanachoma sana maana kila kitu kilichoongea kina ukwel
@aimeirankunda2338
3 жыл бұрын
Mungu akuzindishiye mafuta mutumishiwa Mugu
@aliladavid9766
4 жыл бұрын
UBARIKIWE KWA SOMO ZURI SANA PR.
@msafiribenjamin104
4 жыл бұрын
Jambo mchungaji, kwa kweli mafundisho yako yanazidi kunijenga kabisa katika Imani.mimi ni msabado niko DRC lakini napenda unisaidie katika Jambo fulani kwani lina nisumbua sana. Kwa hali alisi ambayo inchi yangu iko na pitiya katika kipindi iki inanifanya mimi kutaka kutimiza malengo yangu, mimi nakuaka na ndoto yakutaka niwe mfanya siasa lakini sasa mambo ambayo niko naota inatafautiana na malengo yangu.mara ya 1: nilipata ndoto mimi ninaenda kuomba msaada wa pesa kwenye mtu mkubwa katika serekali ili nikajenge kanisa, baadae nikaona nimesimamia ujenzi wa kanisa kubwa mpaka ujenzi ulivyo kamilika kisha nikaona naanza kupima vyombo ndani ya kanisa iyo ( vipaza sauti pamoja na vyombo vya muziki ). 2: siku nyingine nikaona niko katika mkutano mkubwa niko na towa neno la Mungu. Mpaka sasa pasta niko najiuliza maana ya ndoto izo na siyapata jibu hata kidogo. Niko nakuomba mchungaji unieleweshe kwa undani zaidi kuusu ndoto izo.lakini ndoto zipo nyingi ambazo zinatofautiana lakini nikichunguza vizuri zina malengo tu moja.ninapenda nifaamu Mungu anamalengo gani na mimi ?, Asante kwa usikilivu mwema.
@albertinemacimu1247
4 жыл бұрын
+255755932283
@albertinemacimu1247
4 жыл бұрын
Ndugu yangu msafiri mpaka hapo nimehamua kukuachia hiyo namba kwa sababu umeheleweshwa vizuri sana katika somo kama unaneno hadi hapo tafuta hiyo namba ili kufikisha ujumbe kama huo ulioandika na mengine ulionayo Mungu akubariki
@esthermatheka97
4 жыл бұрын
Blessing my life.mungu in fundishe kunyamaza
@pauloropian8116
4 жыл бұрын
Hallelujah, Glory be to God.
@pauloropian8116
4 жыл бұрын
Amen God bless you.
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
Mimi nimemwambia MKE wangu pastor nikifikiri ni mtu sahihi nafanyaje mchungaji nisaidie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
@rhinakiza
4 жыл бұрын
Amina Asante pastor kwa Mashauri
@justinemajula1882
4 жыл бұрын
Good
@asooraaasooraa4816
4 жыл бұрын
Amina sana
@halimasaidi4054
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@albertinemacimu1247
4 жыл бұрын
Amina
@jele9julius714
4 жыл бұрын
Amen
@shaniachanceline2751
4 жыл бұрын
Ameeeeen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💓😍🥰
@goryowaibe3149
4 жыл бұрын
Ahsante mtumishi kwa mafundisho yako
@josephwillson4575
3 жыл бұрын
asante sana baba
@halimasaidi4054
4 жыл бұрын
Nimejifunza kitu mchungaji
@mussamagali9353
4 жыл бұрын
Kama unamuelew muchugaji goga like
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
SAWA mchungaji wangu Sasa tunafanyaje?p0.piqsels.com/preview/33/215/657/pastor-preaching-bible.jpg
Пікірлер: 54