Wajumbe "Wapiga Kura" walikua 164, ambapo wajumbe kutoka Zanzibar walikuwa 35 katika wapiga Kura wote. Hivyo maana yake ni kwamba wajumbe kutoka Tanganyika walikuwa 129. Hakuna Kura iliyoharibika Shamsi Vuai Nahodha alipata Kura 16 Khalid Mohammed alipata Kura 19 Jumla ni Kura 35. Kumbuka wajumbe kutoka Zanzibar walikuwa 35 pia. Hussein Mwinyi alipata Kura 129 Hivyo Ukijumlisha 129 + 35 = 164 Je Hussein Mwinyi alipata Kura zote kutoka Tanganyika na kukosa Kura zote kutoka Zanzibar?
Пікірлер: 2