Wewe ni msanii ambaye unajielewa sana na mwenye nyimbo nzuri kuliko wote hapa Tanzania. Big respect
@user-lm4ox8zp3o
6 ай бұрын
Mimi natoka kenya but napenda nyimbo zake
@thebestsadiki3002
11 ай бұрын
Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunamkubali sana Nasso
@anthonygenge4366
Жыл бұрын
nakukubali sana Homeboy, tuendelee kuiwakilisha Bunda yetu
@hamidaalhabsi8568
18 күн бұрын
Kwa kweli unamfanya kazi nzuri sana nyimbo zako hazina matusi matusi hongera bro
@JoyceJunior-xb5ib
Күн бұрын
Nampenda xana becti naxo xana nataman ata ningekua kalibu nae unaweza cana nakupenda sana nyimbo zako nidhaisia xana
@HalimaOmar-zp9ip
10 ай бұрын
❤️❤️❤️ nkpndaaaaa best nas
@LhopaWokolo
4 ай бұрын
Mimi natoka Congo province kalemie na mpenda sana Best nasso n'a nyimbo zake
@mohamedmwinjuma
Жыл бұрын
Best nasso hakuna asiye mjua Tanzania iih best nasso nimsanii mkubwa Sana
@edwardnelison7485
Жыл бұрын
Toka enz za tuma,,mamu ,narudi kijijin,,maisha ni utata dahh best nasso apewe maua yake mziki wake mzuri na hauna mambo ya kiki
@user-zu5pe3pk8f
3 ай бұрын
Nakupendaka sana KAKA MUNGU akuzogeze mbele zaidi
@JudithChepkorir-vl1lu
4 ай бұрын
Good job nasso lady judii from Kenya i really love your songs
@CapitalBInvestee-lr9vl
4 ай бұрын
Kenya we love you bro.❤
@NestoryKabuche
Жыл бұрын
💪💪💪 nakubali ngoma zako kaka
@isackmachiyanshoka6754
10 ай бұрын
Naso yuko vzr sana ananikumbusha mbali mno❤
@YusuphRashidi-tl2wd
4 ай бұрын
Nyimbo zake nyingi nazikubali zikovizuri
@rogerslwitiko3915
Жыл бұрын
Nyimbo zangu bora kutoka kwa Best Naso ni Mamu wa Dar, Narudi Kijijini,Umedata,Khadija,Edgar na Maisha ni Utata
@cixworldwide6745
Жыл бұрын
BIGGEST RESPECT BRO ❤
@user-tm6tc7ss7i
10 ай бұрын
Brother yupo vizuri Sana hapa Tz
@monikamasasi7582
Жыл бұрын
Nampenda sana huyu kaka jamani nyimbo zake zinanikosha
@jameschipande1090
Жыл бұрын
Yaani wimbo wa Ediga apewe award
@lilchampion1960
Жыл бұрын
Ediga n ngoma kubwa sanaa
@nassormusimbi109
Жыл бұрын
Top 4 naisubiri kwa hamu sana kaka, nakukubali
@AmeldaKavishe-ry9ow
Жыл бұрын
Nilikua nakibanda chmchicha naipenda
@anthonygenge4366
Жыл бұрын
Nimemkmbuka sana Chief Maker na kibao chake cha "kiunooo"😊😊 umemuacha wap kaka?....
@GraceBboy
Жыл бұрын
Très cool vraiment mon idole
@user-zu5pe3pk8f
3 ай бұрын
Tuna taka upige colabo na msani wetu NELSON NTARE J
@sosomokobiasharamgaya3020
Жыл бұрын
#maisha ni utata itaishi daima
@user-zf4nz3bt4s
Жыл бұрын
Besti naso nimkali toka zamani na kama kanyimbo ka wanawake niwabaya ulirusha na ka mwanao
@taucgodfrey9785
Жыл бұрын
Best naso Yuko vzr sana
@eliuskamchapejrkamchapejr6834
10 ай бұрын
MSANII WANGU PENDWA HAPA NCHINI
@nikkimbishiunju2402
Жыл бұрын
Maswali ya KISENGE,eti msanii wa Zamani....Sipendi huo ufala Sasa huyu ana uzamani gani?
@MsafiriRashidi-sd8lc
9 ай бұрын
Hahahahahhaa unju na ww ni wazamani
@spiderelexander9977
Жыл бұрын
Ediga na kibanda cha mchicha nilikuwa nakunywa pombe enzi hizo zikipigwa hizo ngoma machozi yalikuwa yananitoka
@user-ob5nq6im3j
Жыл бұрын
Nakupend san kaka
@BeynesMahega-si4tf
11 ай бұрын
sitakuchoka best naso bro
@halimasefu3386
6 күн бұрын
Naso nakukubar sana hao wanii wadaa wao nikwaoo hapa dar wao wenyewe niwakuja2
@gyavirakaijage1370
Жыл бұрын
Top 4 story tunaisbilia
@neematuyambaze4268
8 ай бұрын
Namupenda❤❤❤
@faridadumasalhathoseni
4 ай бұрын
Yani huyu kaka nyimbo zake siachi kuzipenda kiufupi ziko kwenye damu yangu
@Aishamo-cd7ck
4 ай бұрын
Napenda mziki yake kwakwel❤❤
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Unaudogooo gani kama hapo mdogo Wala huwi mkubwaaa tena onyooooo sura imeshaaa komaaaa hiyoo
@limymasele21
Жыл бұрын
Kwani amezaliwa kuanzia miaka ya 2004 au?
@pierresalumu843
4 ай бұрын
best nassor namupongeza
@majaliwajohnson2900
Жыл бұрын
Mzee unaga mbaya na mtu.
@evabbyjasmin9789
Жыл бұрын
Unaakili xana kaka umejib vzr xana
@giftladis
Жыл бұрын
best Nassor ni msani wa popote hata huku Drc tunamkubal mnoo🙏
@AmosiTv
Жыл бұрын
Nice best naso😮
@FarhatMohd-dr9lu
Жыл бұрын
Love you best naso
@OSWARD95
11 ай бұрын
Much love
@Jackielfamily
10 ай бұрын
Uko vizuri kaka
@heliudjulias7748
Жыл бұрын
Besti is best naso jamaa mkari wakati wote anajua anacho kifanya no skendo ngoma kari zina iti tauni hadi wilaya zote tanzania
@angelakivuyo2482
3 ай бұрын
Hakika uwa unanibariki mno
@elishakimariyo4983
11 ай бұрын
Jaman naso mwacheni2 buroo wangu hanaga mambo meusi
@gyavirakaijage1370
Жыл бұрын
Msanii wangu Bora mda woooteee
@MoiseLubataEtienne
3 ай бұрын
kweli wewe ni nabii ,zuchu âme hiti kabisa
@simonmihona-hh1cz
4 ай бұрын
Hâta huku DRC tuna mukubali musanii huyu. Nasso ni bingwa
@user-uh9hp9qp9d
Жыл бұрын
Huyu na nay ndoo nawaelewa
@saimonmizingo7485
Жыл бұрын
Wa kwetu tunamuelewa sisi kuliko hao mnaowajua nyiny
@Sacreesacram-it4ju
10 ай бұрын
Fréchet Brown
@YusuphRashidi-tl2wd
4 ай бұрын
Besti naso kwangu nizote
@bboytv5861
10 ай бұрын
uko vizur sana
@BertinMercikabanziko-lf2hv
Жыл бұрын
Cool
@neemamzande8547
Жыл бұрын
Eti NGoja nikuekue ukuwe mara ngapi ss kma ulipotoka unapajua usiku kucha unacheza napo ss wataka ukue mara ngapi muowe uyo unaeishi nae acha izo broo ndoa ni jambo muhimu xna
@issamatola2031
Жыл бұрын
huyo hana kila kitu mnamsifia bure tu
@jumanassoro1552
Жыл бұрын
Urembo huu kwa wakiume mmm inatisha sio kwa mishanga iyo mabega mikono inaonesha viashiria tata sio kwa kubwagika ivyo
@mpundempunde1722
Жыл бұрын
Acha ushamba Kum* wewe Sawa kazivaa ila kakuzidi kila kitu hata Muungano ukoo wenu hamuwezi kumfikia acha wivu wa kijinga
Пікірлер: 91