Mungu azidi kukupa maisha marefu #VIVAROMA uzidi tusemeaa WATANZANIA
@sopeman1769
Жыл бұрын
Nabariki wimbo huu uwe wimbo wa taifa #ovar
@muhsinirasuli2473
Жыл бұрын
Asante kaka nyimbo tamu sana Mungu akuweke Inshaallah ❤
@AMOURMUSIC255
Жыл бұрын
Umsiubeze sana Mziki wa Tanzania,Comments Nyingi Mnaubeza Sana Kuwa Haupigwi America.Mziki wa Tanzania Bado Tunaupigania Uskike Africa Baada Ya Africa Ndo tutaenda World Wide. Hata Hivo Tumejitahidi Kuna baadhi Ya Nyimbo Kwenda world Wide.Big Up kwa mavokali Mapopo,Steve Mweusi Aaaaa.
@blackblue9729
Жыл бұрын
Kuusu msanii wa Tanzania kupigwa kwenye Radio 📻 za nje bado saana tena saaana
@benhamza5649
Жыл бұрын
Nlikua kwa Abercrombie and Fitch leo in Dallas TX, Nigerian music is killing it
@Mina.15
Жыл бұрын
I been in US for 🇺🇸 20 years my parents for 35 years I never heard bongo musics play in the radios. Nigerians music playing everyday here.
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Fact
@rickmatty4210
Жыл бұрын
Bongo ipi hiyo
@geomangi6123
Жыл бұрын
you right even ayra starr is just coming artist but all radio stations in us plays their music , ruger same ana many more but bongo no bin in us for 6 years.
@danjesfooh5761
Жыл бұрын
Mina nna shida nawwe sana mamy
@Mina.15
Жыл бұрын
@MakotienoSEMO TV California Diego
@Igauf3
Жыл бұрын
Yes indeed in USA entertainment industry is the money making machine. East African music doesn’t cross over so much due to mindset of targeting that demographic. It has to be hybrid type music. When artists are in the lab need to see the big picture (Africa). Once the music is in the USA, you’re main consumer is African diaspora not Tanzanian in particular, they are already on your side per se…That said, with the numbers of people and the geographical location, you can’t have them in a central location. So, you have to consider the inclusiveness of other countries nuances. Off course you don’t want to water down the identity of the music originality, however when it is done tastefully as the Nigerian and SA have accomplished with their genres. We can become mainstream. Finally, with the eyeballs # it is a matter of time, it is a marathon thing, it will increase over time or maybe no one has discovered it yet, algorithms et al. One thing for sure the earning potential is infinity with these platforms.
@mahegajohn8873
Жыл бұрын
Kaka dahh, we noma kwamba kwanni began lipo karibu na kwapa unamaana gan viva Roma mkatoriki, see bwna wewe nipo njiani kaka by tembo
@user-qs5zq8rc6t
Жыл бұрын
Nawaza tu hivi siku 1 mara paaap Roma kateuliwa kuwa waziri🎉
@ericknyoni7318
Жыл бұрын
Hataweza kufnya powa hakiwa waziri kwny mfumo mbov huu ndy maan alikataa kugombea 2020 japo aliombwa na weng agombee
@geraldsanzala8119
Жыл бұрын
Wakilamba sukari Hawa hawanaga jipy
@startz24
Жыл бұрын
Ila mimi naweza kusema kuwa maDJ wa uk awapigi ngoma za bongo sababu sound mastering bado sana unakuta ngoma kari sana ila sound
@mejamiela7436
Жыл бұрын
Roma anasauti nzur afu mzr kujieleza
@jrkessy3011
Жыл бұрын
#VIVAROMA Big up
@barakamnazareti5745
Жыл бұрын
Ata ukifa utaishi kwenye mioyo yetu wachache tunao elewa content ya mashairi yako hujawahi tukana kaka
@sharonchebet2168
Жыл бұрын
Love the guy
@PatrickEdward-sh5gy
Жыл бұрын
ww roma toka umeanza kujitambua akuna kitu cha serikali ambacho ukifaam una fatilia kwakina sana na ndomana unaweza toa tungo kma hiii👍✌👑👑
@musakogan
Жыл бұрын
❤❤❤wewe kamanda respect❤❤❤
@ayayaizanzibar
Жыл бұрын
Another level
@mohamedmatola5949
Жыл бұрын
Ila Roma fundi kwa kuwa piga madongo unachana kama anko Magu kiukweli saluti babu tena saluti
@adrophkudera163
Жыл бұрын
Big step bro
@dennischarles8524
Жыл бұрын
Ana leadership vision
@avitusjovin
Жыл бұрын
Asee romaa big up sana kaka yan yimbo hii mala ya 25 nailudia mungu akubalik
@kayalaonlinetv
Жыл бұрын
Bless up
@kadopetro
Жыл бұрын
Nakukubari baba
@delphinusdonatus3563
Жыл бұрын
Much love from Canada
@pascalcharles9807
Жыл бұрын
Huyu mwamba anajua sana
@gadafimmari
Жыл бұрын
❤
@eunari5743
Жыл бұрын
Love you Broo
@yusuphmhingile9481
Жыл бұрын
🎉🎉🎉❤❤
@AmosSniper
Жыл бұрын
Mwamba hyu, eshima buku kwako Roma (bunge lilisima kukujadili)
@AbdallahSalumu-dz3yw
Жыл бұрын
😂😂nikweri bro marekani km bongo 2
@mgishaavith639
Жыл бұрын
🌹
@hashimumchalo7613
Жыл бұрын
Mm ni nouma
@josebonga372
Жыл бұрын
👏👏👏👏👏😀
@innocentmosha9805
Жыл бұрын
Yah
@muniramunira9941
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@shineflavourtz8936
Жыл бұрын
Kaka kaka nakubar sana harakat zako uko vizur sana
@stephenemganga3604
Жыл бұрын
Hao wachache aliowasikia wanalia angekua ni nandy au rafiki zake ungewataja ila kwavle ni mond unaagoma kutaja..bongo hawapendani
@geraldsanzala8119
Жыл бұрын
Sisemi hujifanya kazi nzuri ROMA, ila nikweli kwamba Fid Q hawezi sikiliza Muzik wenu kwakua uandishi wenu wengi wenu ni mwepesi sana na namna mnavyojaribu kuweka uwe too direct ndicho nadhani hakiwezi kuutuliza ubongo wa Fid Q kukaa asikilize. Fid Q yeye hupendelea mafumbo na falsafa flan ambazo wasikilizaji huwa ni walewale wanaopendelea aina zile za uandishi kwani hupendelea kusugua akili Ili kung'amua maudhui na ujumbe husika. Mfano Roma anaposema nipeni maua yangu nadhani anamaanisha watu wampe anacho stahili kabla hajafa labda heshma, pongezi na labda kwakua amekua msemaji wetu kwenye Mengi yatokeayo katika taifa la majambazi wasio na aibu Wala Soni. Nataka kusema Fid Q anapenda kunitofautisha Kwa kufanya coding (kama sijakosea kiingilishi) kuficha na kukuacha ujitaftie ujumbe na fundi wa maujanja Kwa kutumia ubongo wako. Lakini Hawa wenzetu hu attack direct na sometimes content huwa ni nyepesi saana. So ni maoni Yako Roma kuhusu fid lakini hata ningekupa Mimi fid hapa nyumbani ningewasikiliza wachache akiwemo Salu tee( marehemu) na wachache Toka R na DSM kadhaa
@AMOURMUSIC255
Жыл бұрын
Uandishi mwepesi Au Mgumu Haimaanishi Msanii Ndo Mzuri,Msanii Mzuri Ni yule Anayeweza Kuwapa Mashabiki Wanachohitaji,Anateka Mashabiki Wengi.Msikilizaji Wa Mziki Yeye Hajui Uandishi Mgumu au Laini Yeye Anapenda anachopenda kuskia. Na Ndo Maana Watu wanaimba Utumbo na Wanatoboa.
@John_B_Best
Жыл бұрын
Roma niatari 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@CharleIlumbu-xz1cx
Жыл бұрын
Asante kaka wewe ndo mkomboz wengi wao Hawaz kusema ukweli
@MirajiSamson-zv9te
Жыл бұрын
Ni kweli babisa
@EdinaLeonard-ob1dl
Жыл бұрын
💐💐💐💐💐🌹🥀🥀🌷🌷🌺🌸
@mchinadizainabushi8905
Жыл бұрын
Niaje
@JeromeMatabishi
Жыл бұрын
Iyo ni kwel kbs
@samchris1914
Жыл бұрын
Viva Roma
@saidasimba9979
Жыл бұрын
Sijui huwa mnataka nin yaani wewe jamaa imeirudisha nyuma sana tz
@anodearsulusi7536
Жыл бұрын
Kwani kaondoka nao?😂😂😂
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
Ameirudishaje jamani kha mbona mnampa mzigo mzito mtoto wa mwenzenu litanzania lote hili kalirudishaaa nyuma hahahaha
@edwardmkwelele
Жыл бұрын
Siyo wasanii wa Tanzania tu wasanii wa nje Marekani ni ngumu kuwin USA hata wa Ulaya wanafanya kazi kuingia soko la mziki la Marekani
@msafirifabian2143
Жыл бұрын
Uko sahihi Nakumbuka Craig David alilalamikia hiyo kule hata ukitokea UK ngumu mnoo kutoboa
@user-qo6ol6zq1h
Жыл бұрын
Roma ni ROMA atabaki ivo ivo imeisha na hakuna atae Kuja kuimba muziki wake alikuwepo ngwea wengi walifyata mikia akafa akaja zizi alifata nyendo zake zizi kaenda rap ya ngwea imekufa
@stevensimbeya2212
Жыл бұрын
Bonge la ngoma
@philipgammy8827
Жыл бұрын
Uko Vizuri
@pastoraile7195
Жыл бұрын
This is thuth story America is not easy
@nancyg8664
Жыл бұрын
Thuth😱
@chrisswaller960
Жыл бұрын
Hakuna kama marekani ,,it's a great place to be for real
@officialfredrickjacobtz2111
Жыл бұрын
Nyimbo gani tena
@HuaxinCementTz
Жыл бұрын
jiunge uwe wakala wa saruji wa Huaxin.kzitem.info/news/bejne/qqWrtHdmiJSHhag
@admaumsengi4230
Жыл бұрын
VivaRoma
@saidasimba9979
Жыл бұрын
Huko mtavuta sana bangee
@rashidyally8715
Жыл бұрын
Huku hawaviti kwani au
@mohammedshamte227
Жыл бұрын
mbona auludi
@Malkey4real.Alleytha_d330
Жыл бұрын
something very important, the witness proves what he says is completely true, he is honest and he is not lying, no Roma yupo sawa kabisa anacho ongea zaidi so perfect , marekani duuuu ...tanzania wajifuze kitu hapo
@josephstephen1079
Жыл бұрын
Hapo kutoka bongo mpaka nigeria umetupiga marekani sio kubwa hivyo
@freddy-zanzibar443
Жыл бұрын
Mbona wewe hurudi Tanzania Kama maisha marekani ni magumu?
@yustoboniface8926
Жыл бұрын
Unatisha kaka
@dengeman4814
Жыл бұрын
Roma ludi kaka
@DOMINICUSHAULE-xr3em
Жыл бұрын
Au mimi sijamuelewa vizuri kwenye suala la views na mpunga kupitia KZitem. Views 1M = na $600,000/= plus mbona ni mpunga mwingi kibongo bongo ni 1.3B plus hiyo. Labda kama sijaelewa nieleweshe
@shariphlilanda4563
Жыл бұрын
Alikosea tu kdgo ila ni laki 6 ya kibongobong cyo ya dollar
@MagaiThomas-fv2jv
Жыл бұрын
Hujaelewa kaka alitaka kuiseka katka dollar ila akaghaili na kuisema ktk Tz shllngs
@juliusjoseph6320
Жыл бұрын
Wasani sikuhizi sio kioo cha jamii ni wavunjaji wa maadili ya jamii wanyanyasaji wa maadili ya kijamii mfano Roma wewe ni kioo gani cha jamii maana jamii yakoo umeiacha Tanzania huoni hapo unawawadanganya tu wasioweza kufikiri tu
@DanielLaurent-pl4rg
Жыл бұрын
Roma na omba uianze tena
@kakaaignas3675
Жыл бұрын
Mbona stamina hayupo au kaogopa
@eddiemohamed9003
Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
NIPENI MAUWA YANGU...Dogo unajua Sana yaani mno
@mabosogregory9757
Жыл бұрын
Kwa ni romaa Zimbabwe
@williamdungumaro6668
Жыл бұрын
Ww bwana unajua bwana
@lucmpangaje8727
Жыл бұрын
Anacho kiongeya Roma ni ukweli. Ngoma za kiafrika hazipigwi apa USA. Nigeria nda wametobowa tu.
@bernardkinanda-ep3zq
Жыл бұрын
hello
@realzeflin6433
Жыл бұрын
Aminikwamba mwamba kapiga mulemule🔥🔥
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
🇹🇿👍👊
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Usichelewe kutuletea nyingn
@dostovan5142
Жыл бұрын
Is Roma still relevant??
@lodrickmwambene133
Жыл бұрын
Yeah why not relevant
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
Kama hazilii ,mbona vice President kataja ngoma zake pendwa (playlist)😜😜😜 Kazisikia wapi? Za Bongo?
@mgazamhina840
Жыл бұрын
Ule ni mchongo ndugu
@leadflavour_tz
Жыл бұрын
Mchongo ule 😅 list imewasilishwa kisiasa 😂
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
@@mgazamhina840 umeona
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
@@leadflavour_tz noma saana
@msafirifabian2143
Жыл бұрын
Hahahaha noma sana
@user-ux5tp5fb2u
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@guccij6236
Жыл бұрын
Roma kichwa kina akili nyingi sanaa
@sharifukilongo2565
Жыл бұрын
Wee, utakuwa unakaa kijijini
@user-kp6lz7zs1w
2 ай бұрын
Ludi Roma
@westonyjob1747
Жыл бұрын
Kaka tuchart
@SamRay1-pf7te
Жыл бұрын
Roma a true nigga
@Doremi_pro
Жыл бұрын
Io laki sita ni dolaa au izi zetu izii
@blockchain1203
Жыл бұрын
Wewee ni Hizi Zetu ni Kama Dola 250 hivi..i.Haahaaa
@MirajiSamson-zv9te
Жыл бұрын
Rudi nyumbn roma nimekums
@ezrayavanijosias
Жыл бұрын
😂😂 kwani hata akija mtaonana??
@meedyshow8807
Жыл бұрын
Icho kinembo apo juu mbona kama cha wale janaa zetu
@ChoroTesla
Жыл бұрын
achabujinga ile ni logo mpya ya clouds.
@Ibrah287
5 ай бұрын
😅😅😅😅 @@ChoroTesla
@ChoroTesla
5 ай бұрын
@@Ibrah287 wabongo tuna tabu sana
@magneticofficialtz
Жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/wGl91ICLjHmLinY Mm je nalia huko 😂😂😂😂
@johnkredo
Жыл бұрын
huyu msanii namkubali sana ila Inamaana gani kutaja imani za watu kwenye nyimbo [nipeni maua yangu] kwanini usiimbe kwa usanii wako tu
@saidasimba9979
Жыл бұрын
Sikuelewagi unataka nini wewe nyie ndio mnaifanya tz haiendi
@shareefashareef19
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅 lipa kodi utamuelewa mbona hasa yy ndio rais au ili mambo yasiende
@fredymushy9674
Жыл бұрын
Wewe uwezi kumwelewa ..kwasabu una ubongo wa kuku
@mluziwajini4734
Жыл бұрын
we mwenyewe kichwa ya Suzuki injiri ya Isuzu
@saidasimba9979
Жыл бұрын
@@fredymushy9674 ukiona mtu anasema harafu akuna kinachobadirika ujue anapiga makelele yasiyo na msingi na haonesh muelekeo kesho yupo huku kesho kutwa yupo huku anabwata tu..
@MOTHERFLOWERS385
Жыл бұрын
@@mluziwajini4734 NIPENI MAUWA YANGU😂😂😂
@imatisatv9239
Жыл бұрын
Roma yeye kafanya nini zaidi ya kukimbia nchi , itakuwa anaosha vyombo restaurant huko😂😂
@ibrackibrahim6909
Жыл бұрын
Peleka mama Yako akalambwe huko kenge 😁😁😂😁😁😁😁😁🤣😁
@imatisatv9239
Жыл бұрын
@@ibrackibrahim6909 wewe ni shoga
@amanidaniel7907
Жыл бұрын
Na wewe umefanya nini?
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
We mwenyewe yangekukuta kama yalomkuta ungetamani kukimbia afu mbaya zaidi hata nauli ya kukimbia yawezekana ungekosa
Пікірлер: 147