Ila Hawa wananchi wenye hasira Kali ni wa kitambo na hawzeeki nguvu wanayo na wap kila sehem kama sahv wapo Arusha ila iba dar uone wanavyokuja kama jet 😂😂
@tuikezeezra1315
18 күн бұрын
Du ila Arusha kuna vijana wa Ovyoo😂😂😂😂😂😂
@PaulinaLunyonga
20 күн бұрын
Goooood kazi nzuriiiii
@Matiasmsetdaudy
17 күн бұрын
Dah, hongeren kwa kuwadhibiti
@vero57
20 күн бұрын
Last week, wamechomwa lakini hawasikii uwiii , jamani jamani vijana acheni tamaaa mbaya, ee mungu tusaidie.
@gladnessfinda7534
20 күн бұрын
Sijui Arusha nn shida vijana wamepotea jmn!! Asbh pia wameuliwa wawili kwa mawe na fimbo kwa uwizi kuku. Vijana wadogo sana! Mungu tusaidie
@alutoolifestyle9319
19 күн бұрын
We Gladness,vipi kuhusu sisi ambao tumetoka tupo kwenye mikoa mengine na tutaibiwa?mm hapa nilisafiri wamevunja nondo dirishani,wamefanikiwa kuniibia pikipiki,mtungi wa gesi na tv,walitokea mlangoni,wakachukua mafuta Lita 3 wakamimina kwenye gril na wakawafungia vijana wangu kwa nje. Yaan huwezi kuelewa maumivu ya kuibiwa mpaka uibiwe nakuambia
@petermbise
16 күн бұрын
Asante mpaka waishe
@petermbise
16 күн бұрын
@@alutoolifestyle9319pole sana kwa kilichojitokeza kwako siyo kwako wapo kila mahali hapa Arusha ila kilio cha watu kimefika wataisha.
@maureenlilykiwia1515
19 күн бұрын
Uwii mimi jamani naumia nilikwapuliwa pochi na hawa binadamu nililia kama mtoto mdogo ada ya mwanangu iliondoka nililia nilipaaza sauti jamani unajua mimi ni mjane kweli napata wapi hela nyingine jamani kha Mungu awarehemu
@nurupeter7671
20 күн бұрын
awataki kazi wauwawe💪 tulioibiwa tunamachungu sanaa😭
@kiliopanyota3486
19 күн бұрын
nakubal damu ang
@stefanomasolwa8979
19 күн бұрын
Hiyo iwe fundisho kabisaa wanafahamu kuchoma weziyo visu na Kuiba leo nao wamepatikana acha niseme tu Asante Mungu
@victoriapatrick9840
19 күн бұрын
Kama ujawahi kuibiwa na kupigwa na vibaka uwezi kuelewa hasira za za waja 🚶♀️
@omaryrazalo4302
20 күн бұрын
😮 wiz sio nzuri achen wiz mtakufa
@LaurencePima-dq3uj
18 күн бұрын
Saiv ni kuchoma tu hakuna haja ya kusomeana kesi
@janemushi850
18 күн бұрын
Safi sana ushirikiano kama huu ndo unatakiwa
@petermbise
16 күн бұрын
Nimefurahi sana kwakweli kazi hii iendelee mpaka wapotee kabisa pumbavu.
@mnisi3694
19 күн бұрын
Natamani na hii kitu wangekuwa wanafanya morogoro maana waizi sana huwa nawa mind kukwapua simu za watu
@Saimon_tz1
20 күн бұрын
wajuba video nzima ninayo apa nime ipost share kila mahali iwe funzo
@ramalacha1692
20 күн бұрын
pia pipkiki zinazo chomwa moto ziwe zinaoneshwa namba zao za usajili maana zingine zimeibiwa
@jizzotheking9238
20 күн бұрын
Hakuna kitu kinanipa furaha kama kusikia mwez kauliwa, yaan nafarijika saana Mungu anisamehe
@user-hd5bg8qw1b
19 күн бұрын
NA M'BAKAJI ,MTEKAJI WOTE PIA WAULIWE TU.
@NgadiDarema-qs1ou
19 күн бұрын
Naona majambazi yamerudi tena,, rip jpm😭
@penuelmichael3374
19 күн бұрын
Haosio majambazi ni vibaka jambazi haibi simu jamani! Japo wakiachwa ndo wanaenda kuwa majambazi nikumlizatu
@veritasmlay9242
20 күн бұрын
Kwa leo wezi wanne safi sana maana tumewachoka japo inauma sana jaman maana ni huzuni kwa mzazi
@dianamakyara4210
19 күн бұрын
Hata maeneo ya sakina arusha meet kwa juu tunaibiwa jamani dah🤔
@kassimmambo2279
20 күн бұрын
Arusha watengenezewe sanamu lao
@vibetz9991
20 күн бұрын
Hao ndo wanatubia mboga huku Tandale
@mwansasu
20 күн бұрын
Unaomba like za mauwaji😂
@benlaizer9936
19 күн бұрын
Wakichoma visu wanachomwa moto!! Dah ubaya ubaya!! Wananchi wenye hasira Kali hawazeekagi jamani?
@luganojohn2673
19 күн бұрын
duuhh siku hz hadi kibaka ni jambazi daah... hv kweli jambazi aache kutembeza risasi kadhaa hapo waandishi mnafanya tusiwaamini sasa wekeni kichwa cha habari kulingana na tukio husika arusha vibaka ndio wanaosumbua raia na wanatakiwa kuisha jambazi kitu kingine mzee
@IreneSimon-sn1hy
20 күн бұрын
Naombeni like jamn wa kwanza mie
@boniphacewambura1427
20 күн бұрын
Mzifanyiaga nini hizo like Ujue kuna mambo ya kijinga
@boniphacewambura1427
20 күн бұрын
Ongea point upewe like
@MusaMasota
19 күн бұрын
Hzo znatosha
@dallasmusic6465
19 күн бұрын
Huna akili
@joycemaregesi18
19 күн бұрын
Sasa unaomba like umefanya nn kwenye hii video hapo umeshiriki kuchoma hao wezi au na ww ni miongoni mwa hao wezi kwahyo umenusulika ndo maana unaomba like ujipongeze 😮upuuzi tu
@user-rf9vn7lz1n
20 күн бұрын
Kuibiw jaman kam ujawah kuibiw ujuw uchungu wak ila ambao tulishawah ibiw kam sis uku jaman ni maumiv mno
@latifamubba100
19 күн бұрын
Arusha noma San nizaid ya San nyie watu wa arusha kama wakenya amuogopi
@danielthomas9609
19 күн бұрын
Arusha hatunaga show mbovu
@Carolina-sm5zt
20 күн бұрын
Wezi wanarudisha nyuma sana maendeleo ya watu mtu anajinyima mwingine anawaza kuiba
@MandoliiMoshi
19 күн бұрын
kila cku huwa nawambia machali w a arusha mtachomwa moto wote sababu mnakula bangi mnqjikuta nyinyi n nyinyi akati cc tunakula bangi alafu tunafanya kazi kwenye mikoa ya watu kama iv nko zangu mbeya natafuta pesa asee myie makumathan achen wizi wa kizaman mnaifedheesha arusha yetu makuzi nyie
@gadisonmichael7805
20 күн бұрын
safi sanaaa tena sana hilo ni janga la nchi nzima
@GodfreyOsward
20 күн бұрын
Wizi Mazuri Africa ni kuiba kwa kalamu. Wezi wa kalamu ni hao vijana tuwaua leo. Damu yao bado iko juu yetu. Wameiba hawakua, adhabu ya kifo ni kifo. Mahakama zipo wazi?, mm damu za ovyo mtaani?
@MusaMasota
19 күн бұрын
Watafte pesa jaman dah 😭😭😭😭
@zainabramadhani9838
20 күн бұрын
Kazi zipo Kuna Saida fundi,gereji wanataka kula kiulaini
@GodfreyOsward
20 күн бұрын
Kazi zipo kwa nini hawazioni?. Bahati mbaya hoja hii imeifanya Africa na tz kudumaa. Sema kuna vibarua ndugu. Kama wewe unazo rasilimali bikira unasemaje kazi zipo?. Kwa nini tusiwe na hoja kwamba ukosefu wa umahiri wa kuzindua fursa za kazi ni tatizo. Jamii zote duniani kuna watu Mungu kawapa kipaji cha kubuni fursa na watu wengine wakaja kuajiliwa. Hatutaki kugusha hapo kwa sababu kubwa kipande hicho ni sehemu ya kazi uongozi. Uongozi wa Africa umezembea wana hapo hivyo utumia propaganda kama hivyo ili ujilaumu mwenyewe usidai. Kimsingi ni kazi serikali kubuni, kuhamasisha uwekezaji kwa kuzingatia vipaumbele. Kila mwaka wa fedha nchi hii hatuwezi kujenga kiwanda kimoja kwa ubia Kati ya raia, wbinafsi na serikali?. Nini kiumbele chetu. Vifo kama hivi ni hile methali Mficha ndwele kilio kitamuumbua. Hatufanyi inavyopaswa kupunguza njaa kwa watu wetu. Biashara ya boda nayo wengi hailipi kama mwanzo. Machinga na kodi. Turudi viwandani kwa kufa na kupona. Hao vijana wadokozi na walevi hatapotea.
@CharlesWeston-tc2mt
19 күн бұрын
Dah yaani wanaenda kuiba mitaa ya shivaz, R.I.P
@rumdeesonsoa1811
19 күн бұрын
Katikati ya jiji kabisa
@MandoliiMoshi
19 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811shivazi kwa wajanja wakina marina wachaga walioiba miaka iyo tena mamilion ya pesa ase mmeinhia cha kike wazee
@MandoliiMoshi
19 күн бұрын
mnaennda kuiba shivazi mrina mtaa wa wachaga wezi walioshindika kimataifa asee wachaga n wezi ila wanaiba mamilion ya pesa
@hidayahshabani3379
19 күн бұрын
Safi sana wanatutesa tatu mzuka
@benjagaspar5304
20 күн бұрын
Kaz nzur
@user-xg4zr4ew7d
18 күн бұрын
Arusha vjanawamezd wizi wachawachomwe
@user-rf9vn7lz1n
20 күн бұрын
Bora tyu ukiwamud bora kulik kuwaach wakiend jela wanarud mtaan ten daah bora kuchom moto
@Alexismadimo
19 күн бұрын
Vijana wafanye kaz ila wanawake wauze k Nchi ngumu sana Madada poa wanatetewa hawana kaz ila wez wanachomwa wakatafute kaz
Iwe funzo kwa wavivu hawataki kujituma wataka Short cut kwa life
@rosinamtauka9933
20 күн бұрын
siku hizi huwezi pitisha siku bila kusikia tukio baya Arusha
@linnusaloyce6559
20 күн бұрын
Dawa kiberiti tu wizi utaisha au kupoa
@dallasmusic6465
19 күн бұрын
Arusha safeeee na kazi iendeleeeee
@karolinamasawe8978
18 күн бұрын
Jamani mnavyofanya siyo vizuri
@anaabsaid3544
5 күн бұрын
Vijana wa Arusha ni wa ovyo bangi tu sasa mwizi kumuuwa ndiyo sheria ya wapi ni sheria ya arusha au vipi? Na wenyeji pia na wa ovyo kuuwa ndiyo maana yake nini?
@user-qg3nu1kv2n
19 күн бұрын
Hakuna kabaya WANANCHIIIIII
@ruqaiamohammed345
20 күн бұрын
Mshahara wa dhambi ni mauti saf sanaaaa 😂
@GodfreyOsward
20 күн бұрын
Mahuti ni ile ya umilele. Tukizoea kumwaga ndamu ovyo. Kuna siku damu itatugeuka. Kuu mtu ni kitu rahisi ila ubinadamu wetu tuliumbwa kuogopa kufanya hivyo. Huo woga ukiondoka kwa raia madhara ni makubwa. Tunapata picha ipi kusikia mtoto kafa na kutolewa viungo?. Bila shaka ni zao la jamii iliyozea kutoa uhai. Kwa nini tusiongozane kuanzisha viwanda , biashara, mashamba, migodi, na huduma. Ili kupunguza njaa. Tunaweza kufanya kwa kufa na kupona?. Ubinafsi wetu tuudhibiti kiasi gani? . Hili ni zao la maisha ya dhuluma tunayoishi?. Hatuna moja mbele ya haki ni upendo. Tz tunapendana kiasi gani? . Vibaka ni zao letu wote. Kwenye uhai wa jamii hakuna kuchelewa, jibu ni fursa za kipato kwa kila mmoja wetu.
@user-ol7pp5dw8j
19 күн бұрын
Ayo TV unazingua sana
@HEKIMAKAPANGE
19 күн бұрын
Mhmhm Arusha poleni sanaaaaaa
@ValentinaDeo-y2d
19 күн бұрын
Aaa-hhhh aseeeee
@ValentinaDeo-y2d
19 күн бұрын
Jmniiii vijanaa ta futeniiii pesaaa
@vladimirputn1809
20 күн бұрын
zamwizi zimeongezeka zimefika 54
@anaabsaid3544
5 күн бұрын
Hasira kali ndiyo nini mana yake? Aliyoibiwa atowe ripoti polisi hawo wenye hasira kali wameibiwa nini kama sio bangi tu ya arusha hata wakiongea utawachukia kabisa shame on you arusha
@2pacFreeStyle96
19 күн бұрын
Majambazi au wezi😂
@RukiaMohamed-m9h
18 күн бұрын
Nanikwri,hao,sio,majambaz,nivibaka
@BenneVeddah
19 күн бұрын
Hapa CAG harusini wala time haiundwi
@luluray2115
20 күн бұрын
Saf sana
@JosephMchaki-fy5te
19 күн бұрын
Chuga ujanja ukizid mnakuwa mafala
@RidhiwaniMrisho
19 күн бұрын
Rest in peace
@ZIGYTZ
18 күн бұрын
Hii maisha😢
@wilfredmbussa4930
20 күн бұрын
Hapo hata askari wamewasifu, maana wangewaacha wangeonekana wazembe
@user-lv8nz2fi9t
19 күн бұрын
Saf sanaaa
@yasiniabasi6490
19 күн бұрын
Asaivi chuga tunapiga kinert
@adamhashim3352
20 күн бұрын
Wanakaribishwa mbinguni wakutane na jiko la gesi
@chesterbrand6723
20 күн бұрын
Asee Baba Hassan ameenda dahaaa ....
@newgarden8036
20 күн бұрын
Unamjua??
@chesterbrand6723
20 күн бұрын
@@newgarden8036😢 Yes Papa Jana ameninulia lunch ni kiongozi wa bajaji pale friends Conner kwenye kilo mida ya jion hady usiku ..
@letthedeadburythedead2148
20 күн бұрын
@@chesterbrand6723 ndo yupi hapo
@gwamakamwasongwe8053
19 күн бұрын
Ni vibaka sio majambazi
@chesterbrand6723
20 күн бұрын
Rip Baba Hassan nyambuleti tutakuzika miembeni RIP Baba la Baba baik ni yako....
@josephnjau9544
20 күн бұрын
Unamjua
@chesterbrand6723
20 күн бұрын
@newgarden8036 😢 Yes Papa Jana ameninulia lunch ni kiongozi wa bajaji pale friends Conner kwenye kilo mida ya jion hady usiku ..
@hildandumbalo5827
20 күн бұрын
Arusha mauji yamezidi sheria mkononi mwee
@noelmusa3502
20 күн бұрын
Safi sana kazi nzuri sana wananchi
@williammatata2611
19 күн бұрын
Arusha maisha magumu sana
@florencejohn6427
20 күн бұрын
Maji ya chuga yanaharibu meno ya warembo
@simbarajabu4157
20 күн бұрын
Dawa Yao kuwachoma moto
@r14kgroup68
19 күн бұрын
Kauli ya chalamila naiiona
@yazidijumanne5195
20 күн бұрын
Kama kazi yako dhambi unazani malipo nini
@user-si9bm1cn9z
20 күн бұрын
Safi uwa mbwa hao
@SaleheKijazy
19 күн бұрын
Yani Kama huyu anae ongea ana takiwa afungwe kwa kesi ya mauaji
@kibasamohamedi8029
20 күн бұрын
Safi sana
@MussacharlesSongo
20 күн бұрын
Arusha siyo tanzania aiseee
@aminamahamudumtumba5897
20 күн бұрын
Kweli kabix yaan hatar
@GodfreyOsward
20 күн бұрын
Kote tabu tu.
@MandoliiMoshi
19 күн бұрын
acheni ushamba makuma nyie unaiba cmu unaujanja gani kuiba cmu iba mamilion ya pesa kama ww n mjanja machali wa arusha wanaotamani vitu vidogo vudogo n makuma2 ndomana wanakufa kama nyie niwajanja nendeni bongo moshi Nairobi kama hamjala chuma wote makuma nyie
@MandoliiMoshi
19 күн бұрын
nyie machali mnajikuta wajanja huku mnaiba cmu pochi asa huo n ujanja gan ka c ukuma ndomana machali wa moshi tunafanikiwa sababu tunaiba mamilion ya pesa nyiingi asee acheni wizi wa vitu vidogo vidogo mtachomwa moto wote kumbukeni arusha hakuna folena wahaga tupo doria na chuma kiunoni
@delsonandrea5223
20 күн бұрын
Ttz Arusha vijana wa ovyo Sana wengi waoo
@ikulunimahalipatakatifu7642
20 күн бұрын
MWANAUME KAZI KAZI
@fatmaabdallah7709
20 күн бұрын
Sasa mnapopakia pikipiki bado inatoa moshi si mnahatarisha maisha na hiyo gari ya polisi inaweza kuungua
@noelbryson7840
20 күн бұрын
Kabisa ndugu
@RehemaMbogo
19 күн бұрын
Duh
@mrsferuzi7443
19 күн бұрын
Mshahara wa zambi mauti
@user-wh2mm1eq2x
20 күн бұрын
Uki ua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga
@dullayomwinyi3359
20 күн бұрын
Dawa ndo hiyo wamezoeya wafanye kazi waache janjajanja
@delsonandrea5223
20 күн бұрын
Uweni wote saf sana
@GodfreyOsward
20 күн бұрын
Waue wote Taifa mamlaka ya Raia haipo? . Nchi yetu imekamilika, mahakama siku ipi imefungwa au Rais hayuko ikulu. Ni kiwangu cha juu sana kukosea taifa kwa kutokufuta sheria. Ulinzi Mazuri ni wa sheria tu.
@mcback4384
20 күн бұрын
@@GodfreyOswardhata wewe ukiiba tutakuua
@HappyAgilityPuppy-lg8wg
20 күн бұрын
wandishi wa habari mbadilike mjifunze kutofautisha mwizi, don dongo, kibaka,jambazi nisawa na skauti ,mgambo, polisi ,mwanajeshi,
Пікірлер: 161