Sikupendi na mungu anajua siku za mwisho kweli acha mungu afanye kazi yake wewe sio hakimu unakela
@Hassan_Mengi
Жыл бұрын
Kuwaonya hadharani ni halali maana hata wao ramli wanazopigia waumini wao kanisan huwa wanafanya wazi wazi. Big up sana mtumishi Paschal Mungu akujalie neema kubwa uendelee kutia mchanga vitumbua vya hawa wahuni wa mjini wanojiita watumishi.
@deborahngoliga
4 ай бұрын
mungu akubariki sana mwinjilisti wangu napenda sana mtu anayezungumza ukweli ili tupone sema babaaa, usiogope vitisho vya mtu yeyote mungu ni mwema, na uponyaji hauuzwii jaman watu tunapotea.
@ConscientKavusa
2 ай бұрын
Muinjilisti wa mahubiri mazuri ya kutengeneza njia ya ujio wa Kristu Yesu, songa mbele. Mungu wa kweli, akuwezeshe na kukushindania. Dunia imeharibika. Waganga wametaka wapitie Jina la Yesu Kristu ili wapate mali ya dunia. Mtumishi Paschal Cassian nakuunga mkono. Mungu atusamehe ku kupungukiwa.
@jameskija
Жыл бұрын
Amina sana tena uwaambie natamani Mungu ukuinue juuu kabisa ulihubili neno la kweli nasi kona kona nakuombea Mungu awe nawe akupiganie akulinde leo kesho hata milele
@thepresidenttobe5481
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Paschal. Usiogope tuko wengi tulio pamoja nawe. Tutakusapoti kwa kila jambo. Hao ni mawakala wa shetani tu wanaona shida siri zao kufichuliwa
@elishabsfcultivation9517
Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU upo sahihi kwa 100% nakupenda sanaa Katika Kristo Yesu, Mimi mwenyewe nimekuwa nikikilashi sana kupitia Facebook hayo mahubiri ya mwamposa, na wengine kama yeye! husiogope MUNGU Yu pamoja naweee! Nyimbo zako zinanibaliki sana nikisikilizaaa
@laodikiagiantsingers1027
Жыл бұрын
Mungu akutangulieee mtumishiii wa Mungu uendeleeeee kutufudishaa na akuepusheee na rohoo za husdaa
@happynesspaul7553
Жыл бұрын
Njia ambayo mungu ametumia ni kufikisha ujimbe Kwa njia ya uiambaji. Msitetee uovu
@carolineatieno2875
Жыл бұрын
Shetani imeingia ndani yao ndo maana wana chuki na wewe the truth must be told, if they dont need the truth then come to kenya we need it especially me i neee to kno God more and i love that song, yenye umesema,WAMBIENI WATU UKUELI i lov it so much, tell them the truth man of God and be blesed.
@marthachelagat2702
Жыл бұрын
Caroline Atieno tutoe wapi wachungaji kama huyu
@marymnemela2432
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu simamia kweli, niko pamoja na wewe barikiwa sana
@louisejeanne8306
Жыл бұрын
Songa mbele baba , Mungu mtetezi wako yupo atakupigania. Yesu alituambia tuwe tayari hata kufa 😢na tunayoambiwa gizani lazima tuyaseme nuruni 🙏🙏🙏 . Makamo wako mkuu ni yesu 💪💪💪
@rhodrickdemias947
Жыл бұрын
Amen Pascal cassian
@AlexKigamba-yy2kd
Жыл бұрын
😊
@TuaircachimoNantola-po7oo
Жыл бұрын
Amém
@Janethzabron-yl9mu
10 ай бұрын
amen amen mtumishi wa Mungu weka number ya sim nikupigiee ninashida unishauli kitu mtumishi wa Mungu
@johnchalahani6924
Жыл бұрын
Uko sawa Paschal. wanaopinga ni vipofu wa Neno la Mungu. Endelea kusema kweli ya Mungu
@alexseve7720
Жыл бұрын
Ubalikiwe sana Mtumishi hiyo Ndiyo kweli Watu wana takiwa Kujua..waziache Njia zao Mbaya..🙏🙏🙏🙏
@abinelsimon3963
Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi,Mungu wa mbinguni akubaliki,nena maana dunia ilipofika Ni pabaya watumishi hawapendi kuambiwa ukweli,Amani ya Bwana iwe pamoja nawe katika huduma yako!
@johnsonchonja4032
Жыл бұрын
Ameeen, mungu akitie nguvu mtumishi wa mungu,maana huu ukweli unaousema lazima wakuchukie aseee sio kwa nondo hizi,,barikiwa sana🙏🙏🙏
@gib3888
Жыл бұрын
mtumishi wa mungu usiogope hivo n vitisho baridi kwanza nyimbo zako zime n pariki snaa mungu yupo pamoja nawewe 🙏🙏
@mfirimassawe9023
Жыл бұрын
Tupe Mandiko yasemayo kuwa mafuta yamesha nguvu au kupitwa na na wakat,mtumish unatafuta Kiki na watumishi wamungu ,utapotea kuwa makini ,huku si
@celiahaule9166
Жыл бұрын
Sema baba wanadamu tupone
@lolenvitus8467
Жыл бұрын
AMINA 🙏 baba, siku zote msema kweli huchukiwa na walio wakosaji,mungu akulinde mtumishi wa mungu.
@saidibaraka931
Жыл бұрын
Que Dieu vous bénisse, serviteur de Dieu, vous dites la vérité, c'est pourquoi ils se battent, mais ne vous inquiétez pas de leurs paroles. usijali na maneno yao mtumishi wa mungu Paschal Cassian cha msingi tu simama imara na injili ya bwana wetu yesu kristo ubarikiwe sana tu
@davidjackson448
Жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia mteule maana hii vita sio yako bali ni ya Mungu na wanao jiinua kukuvunja moyo Mungu atashughulika nao naamini.🙏🙏
@barakakasamia5036
Жыл бұрын
Natamani neema kama iyo iwe juyangu Mungu anitumie kama wewe na kuzidi ili ulimwengu ufaamu kuwa wapo watumishi was Mungu wa kweli
@makakasebele3661
Жыл бұрын
⁰0⁰0
@consolatamuga7471
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akutangulie akufunike kwa damu ya mwanae mpendwa Yesu Kristo adui asipate nafasi juu yako
@leahsanga3777
Жыл бұрын
Mungu akusaidie baba kaza mwendo endelea na kazi ya bwana hivyo ni vitisho tuu vyakutaka kuharibu kazi ya bwana endelea baba kaza mwendo wala usikate wala kugeuka nyuma na mungu akusaidie kwa jina la yesuuuuuuuuuuuuhuuuuuuuuu
@sakinarugudukajoshua4921
Жыл бұрын
Ubarikiwe Tena kwa kufanya kazi ya Mungu kwa ujasiri. Unapo mtumikiya Mungu kwa kweli na haki Unatangaza vita na shetani. Wajumbe wa shetani wote watakucukia kwa kweli iliyo ndani mwako. Acha Yesu Christo akutete na akuvike nguvu upate kushinda hila za shetani. Mungu akuinuwe kiroho na kimwili pia.
@magretchristopher5905
Жыл бұрын
MUNGU aendelee kuku tetea sana pastor ,,,Sema kweli watu wanapoteza uwezo wa kuomba wenyewe na kulishika neno ktk biblia,, ila wamesahau kua neno laMUNGU linaponya zaidi ya hayo mafuta na maji
@mossendoghwe317
Жыл бұрын
Uko sahihi kabisa, usiyumbishwe tena simamia msimamo wako anaeinuka kupngana na wewe atashindana na kusudi la Mungu na Mungu atashughulika nae!
@fasheamani5395
Жыл бұрын
Mbarikiwa na Paschal nawapenda Bure, mmoja anagonga kwa anjili na mwingine kwa nyimbo, endeleeni tu.
@aidanmpagama4030
Жыл бұрын
Ata Mimi et
@mestonisimzosha203
Жыл бұрын
Hata mimi eti
@abdulmilingita2114
Жыл бұрын
Ukweli unaumiza na ukiwa mtu wa kuongea kweli kwa dunia ya leo jibu ni kwamba utapigwa vita mno. Mungu akulinde sana PASCAL
@AbelyThedonny-ko4fw
Жыл бұрын
Kaza buki cassian kila hatua mungu yuko na wewe
@madamsanga
Жыл бұрын
Hujatujibu swali letu bado tatizo unapaniki sana broo
@madamsanga
Жыл бұрын
Wewe unahukumu na umeona ndonjia ya kutokea kimaisha
@magrethlubimbi4055
10 ай бұрын
Dada Muombe Mungu reheme na hekima za kiMungu za kuona vya rohon
@annambilinyi3722
Жыл бұрын
Ufalme wa Mungu,unatekwa na wenye nguvu kama wewe,Damu ya Yesu ikufunike!!Songa mbele usirudi nyuma mtumishi tupo pamoja,tunakuombea!
@geralddasius3625
Жыл бұрын
Kweli mtumishi wa Mungu wambie wapone maana wanaangamia kwa kukosa maarifa bwana akusaidie sana
@rebecashumbi3450
Жыл бұрын
Unatakiwa kuombewa sanasana tuko vitani vita ni kali sana tunaomba Yesu akulinde akufunike akukumbatie akufiche akuatamie ee Yesu mlinde yohana ni sauti ya mtu iliayo nyikani
@peninanganzu2883
Жыл бұрын
Mungu ni pamoja nawe Mimi niko mbali nakuona nakusikiya Jesus's hopefully is above you usiogope kusema ukweli wa Mungu tutakuombea Dunia imefika mwisho jibulangu ni Amen kumbuka poul Amen 🙏
@agnesnzala885
Жыл бұрын
I love so so so much Your songs especially the new song very very nice song O love ❤️😍💖❣️💕 it
@simiyukevin6239
Жыл бұрын
Hapo ndipo mtumishi injili lazima isonge mbele kwa ukweli Mungu akujalie neema Na tunakupenda sana 🙏🙏🙏
@solsimaniakanam7843
Жыл бұрын
Kilamumoja anavitavyake huyuamefikiya hapohakuna wakumuzuiya anapita atafikalevo yengine huyuanaaza yukomahali pangumu ambapo wezakewalipita wanaedambele pole utafikatu nimekujibu kiulimwengu Waroho badouko porini nyikani kamayohana hujamubatiza yesu hizomeseji hungezijibu ungeimbawimbotu ukifatananao utabakihapo kwamabishano nasikiyahuruma ya Mungu ukweli achananao usiwajibu kamawatakuhitaji kweli watakuitaofisini achakuwajibu diowanakulengeza hivyohiyo ombasana mutumishi
@stanslauschacha2833
Жыл бұрын
Mungu akupe wigo wa ulinzi
@nashonjonas9240
Жыл бұрын
Injili ilinza kwa mateso, itaisha kwa mateso tunaomba kwa wanao sema kweli tuko nyuma yako, sisi tunahila kilichondani ya manabii wauwongo, barikiwa baba
@stevendavid8054
Жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu,Mungu amekuponya kwa makusudi,sema kweli na Mungu atakubariki,nakupenda Sana,nakumbuka wakati unaumwa tulikuwa tunaongea kupitia sms
@josephkashana9846
Жыл бұрын
Asante mtumishi tunakupata sana mungu akulinde
@ryobanchagwa2499
Жыл бұрын
Nipo Musoma Baba Nakupenda pambana tunakuombea
@enockgeorge8336
Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa kuendelea kuisema kweli Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu
@ednaadam641
Жыл бұрын
Mwamposa ni mtu mstarabu sana huyu mtumishi sasa ingekua mwingine ungekua unaimbia gerezani mungu ambariki kwa kweli yaani bora ungekuwa na ujumbe ungemfuata mwenyewe maono yako kumuimba ndyo nini
@asminmakoha6889
Жыл бұрын
Mungu akupiganie wanadam hawapendi ukweli washindwe katika jina lamungu wanazaridi
@user-dq9bf5qy6n
Жыл бұрын
Utuzwe sana na bwana Mungu 🙏🙏 uko sahihi kabisa
@justermulengeki6970
Жыл бұрын
Imani ni Nini? Mungu tusaidie tuwaombee.
@annaclethankwabho2552
Жыл бұрын
Usiope mtumishi wewe toa ujumbe wa Mungu hata akina Paulo walifungwa ukifungwa atakuwa ameruhusu aliye kutuma neno la MUNGU wanalifanya kimazoea ....Mungu aendelee kukutunza
@pastorisraelhaki3426
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu cassia, Bwana wetu yesu kristo akutie nguvu na akulinde, kazi inayo ifanya ni ya kweli kabisa, ni pastor Israel Haki, nikifanya kazi ya Mungu namibia.
@kennywilliam2466
Жыл бұрын
Daah mwamba wa Bss 2008 Umeupiga mwingi sana madam LITA mungu akupe maisha marefu uwatoe wakina Pascal Wengine Amiina
@paskaliasuwi
Жыл бұрын
🙏🙏
@JosamaSamwel-zk7sf
7 ай бұрын
Mtumishi wa mungu hayupo awezaye kukunyamazisha,na huyo makam inaonekana na yeye ni mmoja wao, hata ingekuwa ni mim ungenitaja,kwa nini nikosee halafu nikionywa nianze kujifichia kwa viongoziii? Watubu tena watubu
@pelusiemanueli6926
Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa San mtumishi ubalikiwe
@geofleyfreenwelluka
Жыл бұрын
Hakuna mwanadam hapa dunian ambaye atasimama kushindana na wewe kwasababu mungu ndie amekupa ufunuo huo ili uwawonye namin kilaswali ambalo watakwambia najua mungu ndo atajibu kwaio wewe kaziyako nikusema hakuna wakkunyamazisha pasipokua nimungu katika jina lamungu mwenye nguvu iwe pamoja nawe amen
@chengeson
Жыл бұрын
Amen
@AnneCherotich-gj9eg
Жыл бұрын
Hata Yesu Mwenyewe enzi za kulihubiri neno lake Mungu aliyapitia yaya hsya mchungaji.Songa mbele na injili kwa kuwa hiyo injili uhubiriyo ni moto na inachoma hila potovu za muovu shetani ambaye ndiye pingamizi mkuu wa injili hii takatifu.Hamna maana yeyote katika usajili ws yeyote anayelikufuru neno la Mwenyezi Mungu katika huduma yake ila ni matapishi kwa yeye yule amuogopaye na kumhubiri Mungu wetu aliyehai amina.🤩🇰🇪
@user-pl3pc4wk9i
Ай бұрын
Wapi yesu alisema kuwa Yohana umekosea kuwaombea watu kwa kutumia dhana ya aina yeyote kaka tuwe makini usisapoti tuu chunguza kwa undani.karibu tuungane pamoja kulijua neno kwa la biblia kalibu sana
@rebecakikoti374
Жыл бұрын
Hakika Yesu akulinde sanaaaaaaaa kaka. Nakupenda bure. Hakuna atakaekunyamazisha ikiwa Mungu amekuinua.
Hallelujah hallelujah kaka yangu 🙏🙏🙏 hiyo ni Kweli!! Maana jina analolitumia ni la yesu christo unayemuamini, sasa nilazima ulitetee jina la christo lisiendelee kuhaibika kwenye mahuduma zao za mafuta na maji 😢. Kuliko watu walifuate neno ili wapone ki Roho na kimwili, matokeo yake wanafata mafuta na maji 😢
@jeanefelix70
Жыл бұрын
Neno la Mungu ni upanga, usiogope Mtumishi wa Bwana, Mungu yupo pamoja nawe.
@sajienswebe5557
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akusaidie Roho Mtakatifu huwa anajitukuza wewe simama wito wako Mungu kakuita kuponda watumishi WA Mungu hiyo sio vema hubiri neno watu wamfuate Mungu. Kutaja majina ya watu katika mahubiri Yako SI proper. Jitahidi kusimamia wito wako. Manabii wameitwa na Mungu na niwapakwa mafuta huo uinjilisti una mtumikia Mungu yupi. ROHO MTAKATIFU ni mwelevu sana. Nakushauri acha kuwapaka watumishi WA Mungu
@matendombilinyi476
Жыл бұрын
BWANA, Mungu wetu; uliye muumba wa vyote ktk njina la Yesu kristo. Mtumishi wako huyu tunamwombea kwako mtunze na umlinde. Nyosha njia yake na isafishwe kwa uweza wako Yesu Kristo! Ameeeeeeeen.
@barnabasmboya7688
Жыл бұрын
Upo sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu. Nakuombea SONGA mbele USIOGOPE vitisho vya wanadamu. Siri za shetani ni lazima zifunuliwe na watu waje kwa Yesu.
@azizanyiranzeyimana7073
Жыл бұрын
Pascal ikwaumeitwa na Mungu basi simama kama Paulo kwa waroma walausiwaogope. Kwamaanawoga nimtego,natena ukweli unakata kamakisu kwayule asie mkweli basi simamakama Elia pazasauti. Mpaka Mungu mwenyewe atakaposema inatosha. 🙏 🙏 🙏
@edwardnathan6294
Жыл бұрын
Uko sahihi mtumishi
@marthakibona
Жыл бұрын
Kweli kabixa
@juliusjohnii7823
Жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏 Paschal umejaaa roho mtakatifu,wanaoshindana na roho mtakatifu wa Mungu aliye ndani yako Hao ni mashetani wanataka waendelee kutupoteza, wameshindwa tena wameshindwaaaa katika jina la Yesu, Amen 👏👏👏
@julianachristopher7424
Жыл бұрын
Endelea s
@juneserastochales7172
Жыл бұрын
Mtushi wa Mungu songa mbele,, kumbuka Mungu kukuacha hadi leo Nikuokoa dunia maana watumishi wengi wa leo wamekuwa wakifanyisha biashara kwenye dini,, ila wewe Nimungu kweli anakutumia barikiwe sana
@franckkonkwa2120
Жыл бұрын
Jambo mtumishi wa mungu siko mtazania ao siko muimbaji Ila Niko mushabiki Yako kutoka Burundi tafuta mawasuliano mazuri na watu wote
@eveeric173
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Baba tunahitaji watumishi wakweli tumechoshwa namawakala wa shetani usihongope Mungu alikutuma upoupande wako
@alvinbuchumi8689
Жыл бұрын
Waache Mungu Mwenyewe,hawaukumu,wewe waombee tumia hekima,hakuna mkamilifu,Chini ya just,simama na Mungu wako kwauaminifu ,tumepona kupitia mwamposa na tumeacha ulevi na uzinzi,mwache auze
@hajirithomas9146
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu , Mungu wa Mbinguni akubariki na kukutia nguvu na hakuna silaha yoyote italayofanikiwa juu Yako!!!
@bigabimagereka5768
Жыл бұрын
Amen ndugu Pascal, waambiye kweli ya Bibilia. Songa mbele na iinjili usiogope siku za mwisho kutatokeya na manabii wawongo.
@nevylysonkimori614
3 ай бұрын
Mungu akufunike mtumishi kwa kusema kweli, bibilia yasema usiogope wauwao mwili mwishowe hawana la kufanya Tena Bali muogope Mungu anaye uwezo wa kuua halafu ahukumu Tena kuenda jahanamu God bless true servant of God
@lazarolawa6747
Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu nskupa pongez kubwa sana kwa kuimba nyimbo zinazo tufungua macho narikiwe sana myumishi nakukubali🙏🙏🙏👏👏👏
@maulidyhozza6257
Жыл бұрын
Roho wa Mungu akutie nguvu
@manenoerick9957
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. Utapingwa kwa sababu ya kweli uliyoisema. Ila nondo ishawaingia. Kanisa la Leo tuache umazingaombwe kwenye Mazabahu ya Mungu.
@ruthjemson4386
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi Cassian nakuelewa sana
@KyalwahiMwengegilson-it8hn
Жыл бұрын
Asante sana mchungaji , giza na nuru havi changamani, Mungu akubariki
@emanuelcharles406
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana ....mtumishi Mungu akutetee na kukupingania na akufikishe salaama ktk safar yako
@ruthmwasomola2004
Жыл бұрын
Mtumishi endelea kusema kweli na mungu azidi kuwa na wewe daima kweli inapo semwa kwa wabaya lazima inajeluhi nyimbo zako zinabaliki sana
@Glove233
Жыл бұрын
Namkubali Sana huyu brother Mwenyezi mungu akutangulie 💓🙏
@sandrasanga9884
Жыл бұрын
Ubalikiwe kaka Mungu alikuokoa namaiti ili utuhubilie kweli mm binfsi nakushukulu sana kaka kupitia nyimbo zako ulinifanya nimwage mafta ya nwaposa pamoja na maji Mungu akutuze uwaokoe b awengine
@justineronard7747
Жыл бұрын
Ubarikiweeeee mnooo, chapa injili ya kweli ya Yesu Kristo, isiyo chakachuliwa.
@reginamalima9701
Жыл бұрын
Mungu akuongezee Iman kaka mimi na familia yangu tunakufwatilia sana asante hata sasa kuna roho umeziokoa barikiwa mno
@debolasinkala2220
Жыл бұрын
amen amen ukwel unauma apo umewagusa kaka onge ukwel wapone ao
@norfenvgeraldo9493
Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Paschal , neno linassema kemea , karipia, na mtu yoyote asikuzarau 🙌 keep going 💪
@jeniphanzeran8231
Жыл бұрын
Mnaopinga someni comment za watu ndo mtajua watanzania wengi wanahasira na manabii
@filibetamahundi2189
Жыл бұрын
Mwehu wewe nenda milembe
@rachaelluter4665
Жыл бұрын
Ni sawa kabisa nakubaliana na wewe tunatakiwa tujuwe tupo nyakati za mwisho tuzame kwenye maombi natuombe tujazwe Roho mtakatifu huyo ndo msaada watu wa kwanza. Ongera Kwa kazi ya Mungu ya kueneza injiri pasipo kuionea haya
@yohanamp-ec7im
11 ай бұрын
Hakika mungu anakutmia kwa viwango vya juu sana kaka paschal mwenye sikio na asikie hilooo tu nakuombea San mungu akupganie mala elfu
@joshuamwamala4795
Жыл бұрын
Hii ni sauti ya mtu aliyaye nyikani tutengeneze njia zetu Yesu analudi upes Mungu tusaidie.
@chengeson
Жыл бұрын
Amen
@josebambo1419
Жыл бұрын
Huo wimbo unaitwaje tafadhali
@brightergermanus2163
Жыл бұрын
@@chengeson NI KWELI KABISA MTUMISHI NENO LA MUNGU LINASEMA WAZI KWAMBA MUMEPEWA BURE. TOWENI BURE
@brightergermanus2163
Жыл бұрын
HUYO MAKAMU WA RAIS YUPO KATIKA HEKIMA YA KIDUNIA AMBAYO NI UPUMBAVU MBELE ZA MUNGU
@user-zd9hy1yd7c
Ай бұрын
@@josebambo1419mwamposa
@jumaomutimba7494
Жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huo mzuri, na uafikie pia watumishi wengine huku Kenya
@rabiministry2389
Жыл бұрын
Hizi huduma watumishi wote wa Mungu wangekuwa wanafanya kama wewe tungefika pabaya sana mtumishi. Ikiwa Mungu alimpa selemani hekima basi hekima niya muhimu sana. Injili siyo vita injili ni uweza wa Mungu uleteo wokovu.
@YOHANAJAPHET4821
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi WA mungu hii ndo injili Sasa
@dorcascasrlos
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, na akulinde Mana umekubali kuihubiri kweli katika nyakati hizi za mwisho👏👏
@brucemandara2708
Жыл бұрын
Hongera Paschal Mungu akutunze dhidi ya hao wanaopingana Na wewe Mungu akupiganie Na akutunze
@rizikibahati8364
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu wahambiye yote kabisa siku zote ukweli lazima usemwe ukweli unahuma wewe songa mbele Mungu yuko upande wako
@lidyafrancoyunus2743
Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi piga kelele usiache watu wanadanganywa hivihivi mwenye sikio na asikie neno roho anayaambia makanisa Mungu akuzingire kwa damu ya Yesu
@wiliamvicentewiliam4903
Жыл бұрын
Paschal Mungu wetu YESU Cristo akulinde sana ebu songa mbele na injili ya ukweli.
@judithbett420
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa usipowaambia watu ukweli utahukumiwa. Ni vizuri umesema ukweli na utakuwa Safi mbele ya Mungu. Mungu akuzingire na Malaika wake na akufunuke na damu ya yesu. Atakaye jaribu kukugusa moto ya yesu imuchoma kabisa katika Jina la yesu amen 🙏
@happey2878
Жыл бұрын
Dume la yesu toka Tanzania nakupenda sana waambie kweli wanafiki wamemzoea mungu.usiogope passical mungu yu pamoja nawe aliekuepusha ajali alikuwa na makusudi nawe.
@martinakapugi1306
Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia mtumishi nabarikiwa sana kuna muda napona kupitia tuu nyimbo zako
@gloriaaugustino8031
Жыл бұрын
Yesu alisema falme haziwezi kufininiana Musa mwacha awe frmason angewakama fremason ? Mm nitasali Kwa Musa mwacha
@piuselias1729
Жыл бұрын
Mungu sio mungu✌
@gloriaaugustino8031
Жыл бұрын
@Jacline David ndio nishachagua
@magwalichite3474
Жыл бұрын
Uko sawa kabisa maana wanaoweza kusema ukweli ni wachache,wewe SEMA na tuko nyuma Yako kwa maombi.Mungu akutie nguvu wala usiogope.soma wafilipi 1:21,27
@faywaigui3412
Жыл бұрын
Waambiwe ukili bibilia inasema usipo mwambia mtu anatenda thambi ukose kimwambia mungu atakuuliza moyo wake ukisha mwambia akatae kubadilisha hautaulizwa moyo wake ,hio ni kazi ngumu mungu amekupa ya kuwalekebisha mungu akupiganie vita
@nevylysonkimori614
3 ай бұрын
Injili iende mbele mtumishi injili motomoto ya kuokoa na kuonya may God protect you izo ni vitisho mbele za mungu
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, hivyo ni vitisho vya shetani kukudhoofisha ili usiseme kile ambacho Mungu amekuagiza useme. Songa mbele Mtumishi wa Mungu, shetani fumba kinywa chako kwa Jina la YESU. AMEEN.
@frankdickson1480
Жыл бұрын
Kaka Usiogope sema kweli MUNGU atakua upande Wako Unanitia Moyo Sanaaaaa
@frankdickson1480
Жыл бұрын
Mimi naitwa Pastor Frank nipo dodoma mjini, Yesu Asidi kukupa Mafunuo
@marthamaganga5700
Жыл бұрын
MUNGU aturehemu tupate Kuona mambo ya rohoni.🙏
@victoriaeliud1218
Жыл бұрын
Amina a wewesongambele
@deborahrehema5819
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mungu yupo pamoja nawewe hata kama watainuka indeed it's the last hour Yeshua Messiah is coming back 🔙 tuishi katika kweli tukiwa na Ile Imani ya kweli ya Kristo hata kufa ....
@sadocklupasa5676
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu, neno la Mungu likikuchoma ujue unatakiwa kubadilika, ujumbe wameupata manabii wauongo waupokee ujumbe. Hawataki wanataka ujumbe umewafikia.
@furahadayson2664
Жыл бұрын
Nakupenda sanaaa mtumishi unaongea kweli
@margaretambani552
Жыл бұрын
Injili iendelee mbele usimupe shetani nafasi God always wil protect u 🙏
@monicamsile2284
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi,tena endelea kusema ukweli,kweli wewe Umetumwa na Mungu,wanaoigiza tunawaona,wanadhani kuwa hawataumbuka,iposiku yahukum itasema
@eliyamkwambe7810
Жыл бұрын
Huyo makamu pia anaushirika na hao wanaotajwa huyo makamu huenda no mshirika wa wanaopindisha neno continue to preach Ezekiel 3:16-20
@kolocollins
Жыл бұрын
Wewe ndo ungekuwa hata kiongozi wa gospel kule Tanzania.....na mungu akubariki🙏🙏
@johnmhagama855
Жыл бұрын
Mutumish wa mungu usiogope hiv vitisho 👏👏👏👏👏
@user-og7iw6bt4l
Жыл бұрын
Mungu ananguvu kuliko nguvu zao kwahio ndy maana hawana nguvu yakupambana na nguvu yamungu fanya kazi ya mungu wetu daima mtumixhi
@goodmtega6807
Жыл бұрын
Hajiamin momben mungu muweze kwenda sambamba watumishi jaman msifalakane wenyew njia nimoja,
@josetomasnyangu3021
Жыл бұрын
Asante Baba mwamposa amefika uku Mozambiqui na weng Sana wanakwenda kununua, mafuta..Mimi nimepona kwa sababu yakukufatiliya sana nikamjua kabisa uuyu tapli
@igurusitv6553
Жыл бұрын
@Jacline David dada soma tena umuelewe
@johnshedrack2821
Жыл бұрын
O
@enockmwambepo
Жыл бұрын
Niwakati wa kusema ukweli na Kuimba ukweli Kuhusu kazi ya Mungu Hongera kaka Pascal
@ladikessy763
Жыл бұрын
Amina 🙏 barikiwa sana kaka songa mbele Iman ni njema Kwa Kila mmoja
@graceaugustino5372
Жыл бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu Kama Mungu amesema kupitia kunywa chako Mimi ni nani hata nipinge la hasha 🤐🙌👏🙏
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
Usiogope mtumishi wa Mungu Bwana alie kuita na awe nawe 😢🙏🙏
@ngainabusuna1419
Жыл бұрын
Usikate tamaa mtumishi we song a mbele sasa hiv watu hawataki ukwel
@ivomhagama9796
Жыл бұрын
Amen,huo ndio upendo wa Mungu kwa Kila mwenye pumzi,,,maana Moto wa milele Hauna mtu maarufuu 🙏🌹.
@littleheroe541
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu usiogope piga kaz injili yako naielewa sana
@naumimwaihojo8959
Жыл бұрын
Nakuombea sana Mungu azaidi kubariki kukuinua na kukutumia watumishi wengi sasa wanaangalia mafanikio yao si kuihubiri kweri endelea na Mungu yuko pamoja nawewe kama mikaya
@beatricemdoe7192
Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu mungu akubariki na akulinde unayosema ni sahihi kabisa taji lako mbinguni ni kubwa sana sana
@starfordbrown3924
Жыл бұрын
Amina mtumishi ongea ukweli sikuzote ukweli unauma nakuombea mungu akutie nguvu usitishiwe na wanadamu wewe mwangalie mungu tuu
@yustinmbilinyi671
Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi Mungu akusimamie kwenye kila ulitendalo kama paulo mtume wa Kristo aliipigania imani mpaka hata kukubari kufa ikiwezekana na ndio maana mtume Paulo alisema siionei haya injili kwasababu niuweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila atakae amini. Soma Warumi 1:16 ila ukitaka kumuelewa saw saw Pascal mtumishi wa Mungu soma kuanzia hiyo hiyo Warumi 1:15 mpaka mstar wa 32 utaelewa sana sana kwakua huyo Pascal mimi namfananisha na mtume Paulo isome historia ya Paulo alikuaje mwanzo na mwisho alikuaje alafu fuatilia na historia ya huyu mtumishi wa Mungu pascal utaona ufanano wao alafu cha ajabu unaweza ukakuta hata yeye Pascal hajui kwamba utendaji wake wa kazi ya Mungu anafanya kwa kipawa kama alichokuanacho mtume paulo
@godfreyapolnary5856
Жыл бұрын
Na Mimi ntakuja na hoja yangu mniambie umeandikiwa wapi mtumishi wa Mungu aitwe Baba maana Mimi toka nisamage biblia huwa naona mtumishi ,mtu wa Mungu,nabii wa bwana ,mtume ,mwinjilisti ,mwalimu,mchungaji ,na askofu Mara moja ndani ya biblia lakini ili Jina askofu ndo Lina maana kubwa kwa kanisa la Sasa na msingi wa kanisa wa Sasa unaonekana umejengwa juu ya Askofu badala ya kuwa Kama unavyoelekeza biblia kuwa umejengwa juu ya hao mitume na manabii wanaopigwa Vita leo kwa upande wa biblia baba NI Mungu pekee ukija kimwili baba NI yule aliye kuzaa kimwili labda Mimi ndo sielewi biblia mnisaidie.
@astonmassawe
Жыл бұрын
Amen mtumishi songa mbele baba...
@dorahnasimiyu101
5 ай бұрын
Sema ukweli mtumishi WA mungu napenda watumishi waukweli zonga mbele c lasima upendwe.❤Amen 🙏🙏
Пікірлер: 1,3 М.