How I wish this interview was subtitled in English. My heart yearns to know this Great Daughter of the ALMIGHTY. May GOD continue to enlarge your coasts beyond imaginable proportions in JESUS Mighty Name. Amen 🙏.
@siwemamsesa-ho6tx
Жыл бұрын
Nakupenda sana Dada yangu Bahati Bukuku, nyimbo zako zote ni nzuri, na una sauti nzuri Sana! Mungu akubariki sana! na akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele
@judythasiko8648
2 жыл бұрын
can't get tired listening to this women of God, woow... More love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
@bernadetteloloju3367
5 ай бұрын
Love you Bahati bukuku from Nairobi Kenya
@babajolene1494
Жыл бұрын
Amen 🙏 Neema ipo Asante Sanaa bahati bukuku
@phaniceakumu4255
2 жыл бұрын
Mafundisho mazuri mama Bahati may God bless you more and more kutoka Kenya
@jeanbaraka1008
9 ай бұрын
Higher IQ by GOD wisdom Mama BAHATI i love you so much, this is the best interview ever by advice and wisdom...
@WycliffeOsembo
14 күн бұрын
Tru
@WycliffeOsembo
14 күн бұрын
Tru
@robertligoha3481
Жыл бұрын
Nakupenda dada bahati kwa moyo wangu wote.
@spency2371
2 жыл бұрын
Hakika dada bahati umenena " urafiki una viwango" Exactly 👍✍🏿
@estareliya5818
2 жыл бұрын
Yani uko sawa
@jetitahkarimi
Жыл бұрын
Nakupenda sana dadangu natamani unishike mkono nitoe nyimbo zangu
@auroremunezero7840
2 жыл бұрын
Mungu wangu nampenda saaana Bahati bukuku asante saaana Liliane Mwasha
@persianalinakala9999
Жыл бұрын
You are my favorite, my sister Bukuku you are always my mentor woman of God. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@veronicawilsonmbwambo1054
2 жыл бұрын
Nakupenda bahati ulinifanya nipende Mungu Kwa wimbo wa Estar.
@mamakamwana362
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada bahati kwa mafundisho mazuri
@HenrySheriffkuria
6 ай бұрын
Much love for both of you..very mature women full of wisdom
@mildredalukudo7385
2 жыл бұрын
Dada mimi nakupenda bure vile ulivyo na kuombea maisha marefu 🙏🙏
@nursechunga4470
2 жыл бұрын
Asante Sana watumishi wa Mungu, dada Bahati ubarikiwe, mtu anayekupenda atakulinda🤚
@elvirafesto7gmil.com7
2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wapendwa nimefurahi hii hapa hela kaongeze libwata
@aoman5214
2 жыл бұрын
Sasa ninyi nyote mbona mnasauti nzur jmn nawapenda nyote 🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️
@leonidamville3126
2 жыл бұрын
Powerful wisdom
@issamaniriho5215
2 жыл бұрын
Asante sana watumishi was mungu maneno yenu inanigusa moyoni😭😭🇨🇩
@lilianmoyo316
2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada bahati natamani siku moja nikushike hata mkono unanitia moyo sana
Wow leta huyu mwanadada mara na mara tena. Mafunzo yake ni mazuri sana 😍🙏
@janethanthony8504
2 жыл бұрын
Nakupenda Mama yangu bahati bukuku❤️❤️❤️ na nakupenda mama yangu Lilian.. Mungu wa mbinguni awatunze.🙏🙏🙏
@nsengumuremyisylvester4950
2 жыл бұрын
amen
@AngelSteven-f2w
7 ай бұрын
Asante Dada bahati nimejifunza kitu hapo nashukuru sanaaa mungu akutunze🙏
@Lilian-su9jv
2 жыл бұрын
Mimi ni ni Lilian jebiwott from Eldoret Kenya nasikiliza wimbo zako sana hii Niko Saudi niobee mama najuwa baba nanny mwaitekeasante Kwa maombi zenu ndani ya Kristo.
@nsengumuremyisylvester4950
2 жыл бұрын
kiukweli mama Bahati nyimbo zako zinanifulahisha sana.sauti yako basi kila akusikilizae lazima aipend🙏🙏mungu azid kukubaliki sana.
@lucyb2609
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada bahati
@paschalsamsagala9739
2 жыл бұрын
Mafundisho mazur saana dada yangu Nimekuelewa Ahsante Mungu akuzidishie
@miriamwilliam2168
Жыл бұрын
Mafundisho haya ni 🔥🔥🔥
@norahrigha8436
2 жыл бұрын
i love this woman of God... much love from Kenya
@esthermliga4875
2 жыл бұрын
Amen !! Watumishi wa Mungu!! Mnayonena ni kweli
@tumainimwakyaka2775
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sna&nyimbo za huyu dada Bahat Bukuku nikiwa&mawazo,uchungu majonz huwa napenda kuckiliza nyimbo zke
@sarahomary3615
Жыл бұрын
Kabisa yani nyimbo zake zinabariki mno mimi hizi interview narudia rudia maana nikiwa na mawazo tuu huaga nakuja kumsikiliza bahati bukuku moyo unarudi sawa
@mollyfrank9130
Жыл бұрын
Powerful women of God🙏🙏
@Jane-ie9ul
2 жыл бұрын
Bahati ameeleza kabisa jinsi Lilian yuko. She's a special child. Nilianza kuangalia hiki kipindi hivi karibuni na nina penda ninacho kiona na kusikia. I love this special show with a passion. Mungu aendelee kukuongezea hekima dada Mwasha.
@doreenngesa7988
2 жыл бұрын
Wau l love this your a woman of God
@josephinajosephu6859
2 жыл бұрын
Cjawah kukuchoka bahati❤️❤️❤️mungu amekuwekea karama ya ajabu🥂
@everlyneiminza5722
2 жыл бұрын
Dada bahati nimejua juzi juzi tu kumbe mdogo wangu ata kama ni mwaka mmoja nampitia bado ni mdogo wangu, ila nampenda adi basi nyimbo zake karibu zote nimeziloard kwanza wimbo unao nibamba zaidi ni ule (lazima usamehe) wapili ni (Mungu hana mshauri), duuu hizi nyimbo mbili aseee😌😌😌😌
@marysaituni4584
2 жыл бұрын
Much love from Mombasa Kenya ❤️ mamangu Bahati.. we love you very very much
@katanajohn9163
2 жыл бұрын
Mama nyimbo zako zimenbariki ba kunifundisha mungu akueke mahali ulipojichagulia😭😩 kutoka kenya
@saraphinalupondo1115
2 жыл бұрын
Amina wadada wamama wazur tunarabikiwa mno
@rosekadzokadzo1401
2 жыл бұрын
Limbwata.akaboresha....Gumzo tamu. Kweli lenye mafunzo.... Love you mtumish Bahati.. From Mombasa...Kenya
@sophielishindu1335
2 жыл бұрын
Nyimbo zako nisababu mimi kutafuta mungu hadi sasa.Barikiwa sana kutoka 254.
@marymaimu216
2 жыл бұрын
🥰🥰🥰 Da Lily tuletee Christina Shusho
@MariamAlly-c4f
6 ай бұрын
Napenda sana saut yko dada bahati haswa ule wimbo wa waraka wa amani♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@pastorteddywaziri5754
2 жыл бұрын
Haya maongezi ya Leo Kuna watu wenye ufahamu mdogo watasema Bahati Bukuku hayuko rohoni ila Mimi nimekuelewa Sana hasa hapo kwenye kulindana na kuteteana kwa wanandoa
@mariamramadhani3860
2 жыл бұрын
Na sauti ya dada bahati kama mshikaji fulani hivi
@RaelAngela
5 ай бұрын
❤umenijenga mimi pia ni mtumishi wa mungu sipendwi na watu ni nini Huwa kinaendelea pale
@monicampokwa441
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa atakuwa kakuchoka.Nimependa
@miroyojackline9134
2 жыл бұрын
Nashukuru sana mafundisho mazuri nikiwa 🇰🇪
@marymagosha
4 ай бұрын
Kweli bahati mume anaekupenda lazima akutetee
@lissamudagale7008
2 жыл бұрын
I needed this .. aki am really blessed
@marykiwoi7821
2 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho muhimu na yakupendeza na karibuni sana Mombasa
@rahmatito7844
2 жыл бұрын
Nimeumizwa pia.. Nimepokea isee Nina stori kubwa juu ya maisha yngu
@marykitonyi2364
Жыл бұрын
Can't be tired of u guys.God bless you
@sharifahabsi5004
2 жыл бұрын
Mashaallah mafundisho mazuri
@emmanuelozil9996
2 жыл бұрын
Mama bahati nashukuru kwa mafundisho mazuri....kutoka kenya
@nembristaiko1882
2 жыл бұрын
Daaah dada unatuhamisha Lilian mwasha usiache hiki kipindi ni hot 🔥 aisee
@تةامممن
2 жыл бұрын
Mm kama ndugu yangu hawongeyi na wew hata mm siwongeyi na wew kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯🤲🤝🙏
@EmanAlali-nk1on
Жыл бұрын
Congratulations ak umenipigisha hatua nyengine dada mungu akubariki ungekuwa wa maana sana
@VeronicaBundala-nu3zi
5 ай бұрын
❤❤ powerful words ubarikiwe sana
@gracenziavake2957
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mamaangu nakupenda sana oh!🙏🙏🙏🇨🇩
@janechogoro6502
2 жыл бұрын
Umeongea kweli da Bahati ,tatizo wanaume wengi hawana kauli
@tusajigwejansa9080
Жыл бұрын
Ameen imenijenga sana iyo ya hasira uwa Mungu anakutaka iache....na iyo ya aduhi ni mtu wako wa karibu kweli
@vailetheanyambilile9749
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumushi wangu Mungu ulicho kisema ni kweli Adui warafiki yangu ni Adui yangu
@HapynesJosephat
5 ай бұрын
Nashukuru sana dadaangu mzuri nmejifunza kitu kutoka kwako
@theresiamartin3150
2 жыл бұрын
Dada bahati nakupenda sana
@aureliayuktankabebwa5066
2 жыл бұрын
Bahati Bukuku what you have said all about sis Lilian mwasha ,she deserve it🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@azizawalapupu8147
5 ай бұрын
U love her so much even it makes me comment before I see the show
@ev.amanimwandodavid3653
2 жыл бұрын
Nabarikiwa na mwandishi anapo nena kwa lunga!!!
@shegashega2421
2 жыл бұрын
Ndah nimebarikiwa Sana jaman
@purityluseka7977
Жыл бұрын
Bahati bukuku my favorite 🇰🇪🇰🇪
@jacksonnnonjela348
2 жыл бұрын
Barikiwa pastor Bahati Bukuku 🌹🌹
@joskyshams4758
Жыл бұрын
Best interview best conversation full of pure wisdom. Asanteni
@loyce39
Жыл бұрын
This s real life thanks dada
@سيدا-ص1ز
Жыл бұрын
Mubarikiwe sana watumishi wa mungu nimelewa sana mafudisho yenu
@tumainimbogo5412
2 жыл бұрын
Daaaah Dada Bahati💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
@xkingx8041
2 жыл бұрын
Sema kweli Dadaangu. Semaaaaa
@mercymwatha3439
2 жыл бұрын
Nakupeda sana bi bahati Kwa mawaitha yako mema huwa yananijenga sana,,Kutoka Kenya
@rosetasuleiman6799
2 жыл бұрын
Nice one, really a hard talk. Bravoo
@furahaclaudineofficial2318
2 жыл бұрын
Mungu tu akubariki dadayangu bahati bukuku nakupenda sana ila naamini tu sikumoja nitakuona ubarikiwe na Bwana.
@angelanaftael7965
2 жыл бұрын
Motivational speaker
@suzanboniphace4251
2 жыл бұрын
🙏🙏💕
@christinachazy8644
2 жыл бұрын
Nawapenda sana jamani Mwenyezi Mungu awatunze
@sherineinganga9752
2 жыл бұрын
I'm getting some knowledge from these talk here in Qatar
@festinathindwa3581
Жыл бұрын
Mafundisho nazuri dada zangu mungu awabariki🙏🏼
@hamidaalhabsi8568
2 жыл бұрын
Maashallah asanteni sana kwa haya maongezi mungu awabariki kila lakheli yaarabi ameen 🙏🙏🙏
@lucyemichael7814
2 жыл бұрын
I love you sister Lilian❤️ This is hard Talk❤️
@fortunataakyoo5547
2 жыл бұрын
Yeye Mwenyewe hana mume Sasa hizo sifa za mwanamume 😟😟 jamani tumwogope Mungu
@salmasalehe
2 жыл бұрын
Mbona hanae mume
@mildaayuma5700
2 жыл бұрын
Lakini alikuwa naye
@josephinemichael6191
2 жыл бұрын
Bahati bukuku you are so clever be blessed
@maureenmuhenje916
2 жыл бұрын
Nyimbo zako n nzuri sana na mafunzo nkiongezea sauti tamu mungu akuzidishie
@MareMa-kb3iy
Ай бұрын
Hongera dada Bukuku
@jeannemugwaneza9339
Жыл бұрын
Abarikiwe sana
@dorcasosano3626
Жыл бұрын
Huyu Dada kwani kila kitu a naongea kwa ndimi? Bahati is wise I love her
@millymilly7244
2 жыл бұрын
Napenda sauti ya bahati 🤩🤩
@nsengumuremyisylvester4950
2 жыл бұрын
sana saaanaaa!!!sauti yake ilinifanya awe muimbaji wa kwanza niliempenda sana.
@millymilly7244
2 жыл бұрын
@@nsengumuremyisylvester4950 umeona eeeh Yani dada sauti alibarikiwa na mungu aisee!!
@pelusiemanueli6926
2 жыл бұрын
Asante San
@irasohozatv
2 жыл бұрын
Mungu akubaliki Mama Bahati.
@tantineestherofficial865
2 жыл бұрын
Yes kweli kabisa
@ndiiyolazaro9124
2 жыл бұрын
Bahati Bukuku uko na very intelligent,
@NeemaMnyuda
3 ай бұрын
Big points my sister 🥰
@edwinshipz5183
2 жыл бұрын
You both r blessed ooh my God.
@uwimanacitegetse9926
2 жыл бұрын
Ndomana nakupenda unasema ukweli💕💕💕💕💕💕💕💕💕👏🏿👏🏿👏🏿👌🏿
@nurunuru7834
2 жыл бұрын
Dada nampenda huyuuu jamanii nampenda sana anaongeaga vitu daaa
@lenahmomanyi8893
2 жыл бұрын
Thanks Names good words 😍🥰🥰🥰🥰🥰
@nelimajoy5412
2 жыл бұрын
I love this woman
@ozanasylvester3663
2 жыл бұрын
Mungu hakika anao watu anaojivunia nanyi ni miongoni mwao
@janetawino1700
2 жыл бұрын
Hy,mama umetia moyo sana niko kwa majaribu
@MareMa-kb3iy
Ай бұрын
Nampenda huyu mama bahati Bukuku
@OwenMathew-qb8ep
6 ай бұрын
Dada Lilian Mwasha kipekee nakukubali alafu nakupenda kitu kingine ngoja niache mda huu ntakufata dm
Пікірлер: 309