Makonda mungu akulindea maan unatenda kazi iliyotukuka
@BennihinnyHerman
Ай бұрын
Eti RC Makonda anadhalilisha, hivi kwa majibu ya Mkurugenzi huyo bwana atalipwa haki yake au atakufa kwa pressure tu!! Alafu mwanaume anapambania haki za wanyonge mnapiga kelele, Makonda anafanya kazi ngumu sana.
@victorcephas3618
Ай бұрын
Hii Dunia Kuna watu wanateswa sana
@user-xd9kw6nt8w
Ай бұрын
Watu wengi wanakufa kwa kusababishiwa na hao wa sirikalini ssa wengine wameona watafikiwa na wao wanaanza kuchonga kwenye midia ili jamaa aondolewe imekula kwao mbona wataanza kutapika walichokula cha watu😂😂😂😂
@RubenDelefa-eg8mm
Ай бұрын
Makonda Fanya Kaz baba mungu anakuona na sisi wanyonge tunakuombea
@JacoboNyolobi-rt6bw
Ай бұрын
Makonda x3 unakazi kubwa baba mbona nchi hii imefikia hali hii😢😢😢
@absalutcharles9119
Ай бұрын
daah makonda ndio anatuonyesha ujinga na uzembe ambao uko kwenye utumishi.Huyu jamaa Mungu amlinde sana ni kiongozi wa wananchi
Dah naona unavoteseka mkuu wa mkoa hii nchi hii dah naumia sana. Makonda mungu tu akubariki sina cha kusema.
@FarajaLusuka
Ай бұрын
Watu wanatakiwa kuwa na hofu ya Mungu jamani Mungu yupo ndiyo maana tunakufa tendeni Haki hata kidogo tu daaa
@hamudshabani7801
Ай бұрын
Kwa watumishi kama hawa alafu baadaye mseme makonda anawazalilisha duh! nchi hii kichwa cha mwenda wazimu
@liannsambu7264
Ай бұрын
Ata hivyo ni strong huyu kaka jaman uuuwiiii 😢😢😢😢😢 ndo walivyo watu wa serikali
@pancraskazimoto3028
Ай бұрын
Nimemsikiliza huyu kaka yangu nimetokwa na machozi walahi😭😭,mwenywezi MUNGU akulinde muheshimiwa mkuu wa mkowa kaka yetu MAKONDA,Msaidie muheahimiwa Rais wetu doctor SAMIA🙌🙏.
@theempire4058
Ай бұрын
Kuna wapumbavu wanakuja wanamshtaki, pumbavu zao kabisa, makonda piga kazi Mungu alikuleta kwa makusudi makubwa arusha, kwa staili hii hii nchi ina madudu ya kutosha wananchi wanaonewa sana
@liannsambu7264
Ай бұрын
Mie baba yangu mpka amefilisika bs ya hao wanaojiita serikali wazabuni wanateseka ,wanadhurumiwa wananyanyaswa baba amedai pesa za tangu enzi za serikali ya awamu ya 4 , wanalipana wao wanaingiza tenda zao wanalipa ila wale wa haki hawawalipi ,wakiwalipa wanalipa senti , alafu wanakopa 💯 wanalipa asilimia moja
@emanuelmhoja2411
Ай бұрын
Pole sana nayashuhudia huku niliko wengi wamekimbia dhabuni hizi yaani kukupa dhabuni lazima utoe.pesa na kulipwa lazima tena uwape pesa mahanith hawa
@omaryabeid5671
Ай бұрын
MH Makonda napenda utumishi wako sana kwa kweli Mungu akutangulie
@luckyregnald2489
Ай бұрын
mi naona hap hao walokua wakurugenz miak hiyo wote waletwe kujibu hay mashtak ikibid hat wao vitu vyao vitaifishwe ili alipwe ukiua kwa upanga ufe kwa upanga
@abdallaabdalla9772
Ай бұрын
Pole mkuu na majukumu mungu akusimamie
@IbrahimKibwana-wk1rc
Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu akuepushe na chuki husda pamoja na mambo maovu
@mwaminimsuya6992
18 күн бұрын
Sasa mkuu kaondoka vp huyu jamaa analipwa lini jamani😢😢 yani mpka makonda kashindwa kuvumilia kaondoka
Makonda fanya kazi mungu wa mbinguni atakulinda nao viongozi wa talgwu mbona keep kikokotoo hamuongei fanya kazi
@kassimmanaramalika8592
Ай бұрын
😮kumbe watu wanafanyiwa mambo mabaya ivi😢maskinii
@richardnganya2311
Ай бұрын
Ni mengi sana ni Kwa vile hayawekwi hadharani.
@andrewIzdory-sk4cu
Ай бұрын
Monduli Ina madeni mengi sana , why?
@siamuchunguzi
Ай бұрын
Tunaomba kwa ajili yako makonda baba, sebha akulinde milele baba
@imrannuhu2784
Ай бұрын
Nimelia sana sana 😢😢😢😢ila mungu yupo bro fanya kazi nakuongezea ulinzi wa mungu baba na maombi nakuombea sana unafanya kazi yamungu na sio serikali tunakuombea sana brother sisi wanyonge wewe ni temeo letu mpaka mwisho wa uongozi wako😢
@nurugavile3227
Ай бұрын
Duuuuu Hadi machozi yametoka mambo magumu sana
@st.alvincollege6184
Ай бұрын
Halafu kajinga kamoja eti kanamshtaki Makonda, kuku wakubwa nyie... Makonda piga Kazi kaka yangu,, saidia watu wanajitoa kwaajili ya nchi lakini majitu ni majizi sana
@liannsambu7264
Ай бұрын
Bora kuku tunakula nyamba kambwa kabisa
@rafoursamiol5244
Ай бұрын
😢😢😢Eeh Mungu Eeh Mungu mbona upo mbali baba
@daudimwalongo5803
Ай бұрын
Wakandarasi wa nchini ona wanavyoteseka
@barakamnazareti5745
Ай бұрын
Uyu jamaa daah mpaka anatia huruma wampatie hela zake makonda msaidie
@azizahassan6803
Ай бұрын
Hii haina muendelezo daa
@KenedyMbuya
14 күн бұрын
Binafs nimetokwa na machozii makonda makuombeea munguu akulinde akuepushe na mabaya yote ila nakuombea mungu utakuja kuwa Nelson mandela ahae hata kama hukai gerezani
@user-es6gv7nu4n
Ай бұрын
Hakika makonda huna baya chapa kazi maana wanyonge yan basi tu😢😢😢😢😢😢
@zakayomwamlima6796
Ай бұрын
Wewe utatufuta machozi wa tz siku moja ingawa nina wasiwasi kama uhai wako watauacha uendeleeee
@ChezamPilla
Ай бұрын
Makonda sijawahi kukuelewa ila Kwa sasa Mimi nakukubali sana umetumwa na mungu
@magrethmathayo2800
Ай бұрын
halafu makonda akiwazingua mnasema anazalilisha watu kwa namna hii acha watukanwe shenzi kabisa
@NeemaMbuji
Ай бұрын
Eeh Mungu mpe ujasili makonda kwa kibali ulichompa aisaidie tanzania yetu kiukweli inaumiza sana sio kidg duuuuu
@AlexKichaa
Ай бұрын
Nakubari makonda watetee wanyonge wanao zurumiwa haki zao
@janegodwin3107
Ай бұрын
Serikali tutapoteza watu makini kama Mr. Julius,Apewe haki yake jamani so sad.
@user-sc1gx5zi8i
Ай бұрын
Nashindwa sijui niandike nini mimi cjui nikupongezeje mh.. mungu akulinde one da nitakupigia kula ya kuwa rais mungu anipe uzima.❤
@JumaKobossa-gb2br
Ай бұрын
Pole kwa majukumu yako ila pambania haki za wanyonge mungu atakulipa na atakulindsa
@minaabuu5250
Ай бұрын
Hapna asee swala nizito mkuu wamkoa asee nilikuwa simpend makonda ila kwasasa nampenda mpka kucha duh ...hyu baba mpaka nimelia wallah
@epifaniamilinga2848
Ай бұрын
Makonda hapa,amedhibiti ulimi.kwa sababu.ya haki za.binadamu.
@franklenard3186
21 күн бұрын
Duuu, MKURUGENZI huyo aondoke
@MarwaChacha-hs1tn
Ай бұрын
Makonda mungu akubaliki kila uendako
@franklenard3186
21 күн бұрын
Huyo Mkurugenzi wa Monduli hafai
@AziziFagia
Ай бұрын
Makonda makonda makonda Sina lakusema ila Mungu akulinde sana baba
@FadhilNtoga
Ай бұрын
Simba la masimba dangote anatamani kujinyonga😢😢😢😢
@marcondokeji8982
Ай бұрын
Kwa Nini watu Wana Roho mbaya na mioyo ya kuwaumiza wengine? RC MAKONDA, MUNGU akubariki na kukurinda
@marcondokeji8982
Ай бұрын
Sasa hapo utasikia vile vikundi RC anadhalilisha watu. Jamani
@petersilas4234
Ай бұрын
Watu waliokuwa wanaidai serikali na kufilisika ni wengi, na serikali ilishaanza kuyalipa. Tatizo la madeni linajulikana. Ingekuwa vyema kwa mkuu wa mkoa kusaidia yalipwe. Huyu mfanyakazi yawezekana aliyakuta na labda yalitokana na haohao wanasiasa kulazimisha miradi ikamilike. Kuna wengi wenye matatizo kama hayo ,ni kazi ya mkuu wa mkoa kusaidia kupata fedha za kulipa.
@user-hr2eo2on6w
25 күн бұрын
Makonda ndyo kiongozi wakweli
@JohnAmos-po8br
28 күн бұрын
Mheshiwa makonda msaidie huyo jamaa
@hurumajosephat6333
Ай бұрын
Halmashauri nyingi zinakabiliwa na maden na mapato yao ni kidogo kuna haja serikal kuu kuwasapot kwa ruzuku ili iwakwamua kwan halmashaur nying zimefel
@user-jc3uh2mp8f
Ай бұрын
Chapa kaz baba makondo tuangalie na ss wanyonge
@atuganileswedy4830
Ай бұрын
Mpaka machozi yamenitoka
@geraldlyimo2859
Ай бұрын
Jamani jamani na km hela ilishatoka kutoka viongozi wakala huyu halipwi
@jenyyusuph4973
Ай бұрын
Kwa hiyoo kweli haya matatizo Kwanzia Raisi Hadi kiongozi wa mwisho hawaoni hawasemi kitu umekua mzigo wa aliyeamua kujitolea kutumikia haki makonda? Jamani nyie watu hamuogopi kula haramu hata sasa Wala hamtetemeki? Kama hamuamini Mungu yupo je hakuna ndugu zenu mliyowapenda Mungu kawachukua wakati hampo tayari? na Ile haramu marehemu yupi ilimfanya asife kwa kua kalimbikiza haramu?
@ChezamPilla
Ай бұрын
Makonda hutadumu ww ni mti wenye matunda unapiga mawe
@franklenard3186
21 күн бұрын
Makonda , chapa kazi
@rabsonchisumo6640
22 күн бұрын
Mkurugenzi ni mjinga sana
@ofreyking5975
Ай бұрын
Huyu ndio kiongoz sasa sio wale walala oficn tu
@sayunikihunrwa4949
Ай бұрын
Makonda fanya tuu kazi kwakweli watu wananyanyaswa
@joshuamamuya1339
Ай бұрын
Pole sana
@DaudiHamisi-un2uu
Ай бұрын
Hahaha Makonda kashaanza kuzeeka
@AminaRamadhan-mg9lj
Ай бұрын
Mpkaa nmeliaaa jaman duuuuh 😢😢😢😢😢😢😢
@TheAndulile
Ай бұрын
System failure, tuna safari ndefu sana Mungu atusaidie . Tunapaswa kutubu haswaa na kuhakikisha kwamba tunafanya mabadiriko makubwa
@braggadachu1723
Ай бұрын
Duh nilikuwa ninasema nina matatizo kumbe kuna Watu Wana matatizo hivi
@sharifalengima5605
Ай бұрын
Kila nikifatilia ziara za Mh. Mkuu wa Mkoa nazidi kujitia uadilifu lakini nawaza namna ya kulea wanangu kuwa waadilifu. Watu wengi wataitupia serikali matope lakini ikimbukwe majukum ya kazi hutotewa kwa kugawanywa changamoto inakuja kwa aliyepewa majukum kwenye team ametenda vipi na anatokea wapi jibu ni kuwa watendaji makazini ndio familia zetu sasa kila familia ijitafakari katika malezi ili kuijenga Tanzania
@barbarasara4033
Ай бұрын
Watu wa Chini halmashauri NI wasumbufu sana
@liannsambu7264
Ай бұрын
Ndo walivyo watu wadhurumaji , wazabuni wananyanyasika wanakopesha serikali na hawalipwi Kwa wakati , wengine ukawa ata MIAKA 10 unalipwa kitone kitoneeee ,
@raymondmunis3553
Ай бұрын
Sio peke yako mkuu kuna mzabuni anadai shule zaidi ya milioni 200 ndio tabia zao sasa hivi.Halmashauri sasa hivi kunaupigaji
@MamaSeka-rn3dw
Ай бұрын
daaaaaa aiseee mbona tunaumizana jamani
@mbwanamungia9921
Ай бұрын
Tatizo hilo lipo nchi nzima sielewi huyo mchengelwa anafanya kazi gani pale anamaliza mafuta ya serikali kuzurura tu
@Eliaelibarik
Ай бұрын
Aseee inauma sanaaaa
@shivobs4485
Ай бұрын
Aisee
@davidsamson8292
Ай бұрын
Uje NSSF Arusha nayo madudu mafao ya watu kulipwa ni changamoto
@user-su2nq1hd8g
Ай бұрын
Daah Mungu wangu
@gasperandrew3719
Ай бұрын
Duh! Hata cha kusema nimekosa
@twahakamugisha6213
Ай бұрын
Aaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏
@sayunikihunrwa4949
Ай бұрын
Ee Mungu wangu
@yhasintakalenyula970
Ай бұрын
Hadi machozi yamenitoka.
@mwanyongamama4407
Ай бұрын
Maombi Hali nzito Tusamehe Bwana
@WinfridaKavishe-sd8xx
Ай бұрын
Next
@mr.sundayjames4054
Ай бұрын
😢😢Aiseee
@mbwanamungia9921
Ай бұрын
Mchengelwa upo wapi? Miradi yako imetia watu umaskini mkubwa bora huyu kapata pa kusemea. Please iwekwe sheria serikali ikichelewa kulipa basi ilipe na riba ndio watafanya kazi kwa weledi
@HamidaSalimu-if4rs
Ай бұрын
Kweli inauma jamani msaidie
@saidmbarouk3553
Ай бұрын
❤❤❤
@EliaHiluka-uz3ty
Ай бұрын
Hii ndiyo Tanzania iliyojaa kila aina ya dhuluma
@user-ni1gx7tg4o
Ай бұрын
Makonda kaamua kupita kwenye nyayo za hayati magufuli
@user-hq5mo3dx7l
Ай бұрын
Hao ndio watumishi unaoambiwa unWadhalilisha
@YasiniMohammediBanza
Ай бұрын
Mmemuona mheshimiwa Diwan hapo mbele
@oswaldliberatus207
Ай бұрын
Nini hatima ya huyu 😢😢 Au kuna muendelezo ya video
@SimioniKimath
Ай бұрын
Da inatia uchungu sana
@user-fb6dh6sz2g
Ай бұрын
Haki ya mungu warahi
@afsaisaya9450
Ай бұрын
Hiyo kali mbona madeni yote hayo
@OBEDYSINGAILE
Ай бұрын
Sina cha kusema machozi tu yananitoka
@mkadammkadam
Ай бұрын
Dah!!! Kwa nini tunaumizana namna hii?
@liannsambu7264
Ай бұрын
Baba wewe funga Lia na MUNGU HAO WOTE WATAPUKUTIKA , NA ZAIDI DHURUMA ZAO ZOTE WATAABIKA
Пікірлер: 122