Hongera sana mdogo wangu Makonda. Ubarikiwe sana mtumishi wa wanyonge
@user-dt7ec3tr2v
Ай бұрын
Hongera sana👏👏👏👏👏 mtetezi wawanyonge mwenyezi mungu Akurinde pia Akuepushe nabaraa🤲🤲🤲🤲
@user-xk7vy4gb6g
Ай бұрын
Hongera sana Mh Makonda Mungu akulinde kwa kujali afya za wananchi ningekuwelo ningekuja wallah
@malupex6299
Ай бұрын
Hongera kiongoz kwa kujali afya za watanzania. Mungu aendelee kukutia nguvu na kukubariki kwa wema wako.
@silasdominic5309
Ай бұрын
Hongera sana Kiongozi, mwenyezi Mungu akubariki sawasawa na mapenzi yake.
@josephsighis8185
Ай бұрын
Wewe ni mwamba kabisa na mungu atakulinda Daima
@user-dt7ec3tr2v
Ай бұрын
Endlea kutenda wema na wewe utalipwa wema na Allah🤲🤲🤲🤲 wema unaotenda sio kwaajiri ya leo😢 ni kwaajili ya kecho utakapoulizwa ujibu
@gibsonsimburya5291
Ай бұрын
Ila makonda ni mwamba
@shabanramadhan7632
Ай бұрын
❤
@kaguripenina63
Ай бұрын
Siasa hiyo ili watu tusahau sio kweli et .
@abaskhatoon9425
Ай бұрын
Piga vita vape imezidi Arusha kwa wtt wa shule fungieni isingie kwani inauzwa hata vibandani watoto wetu wajukuu wataishia mda mfupi ni kitu kibaya sana.tunawaomba mjitaidi isingie huku Tanzania.
@mataypanga5262
Ай бұрын
Huduma gani na kwa muda gani au wizi tu, baada ya wiki nani atatibu😂
@MohammedAwadh-gq9si
Ай бұрын
Unaumia ukiwa wapi? Hata matibabu yangekuwa ya SAA 1 ni matibabu tu ,au unataka wakutibie huo ukimwi ! Huo hauponi kabisaaa labda ujiandae kufa tu
@mataypanga5262
Ай бұрын
@@MohammedAwadh-gq9siUkimwi utibu wa mamako
@mataypanga5262
Ай бұрын
@@MohammedAwadh-gq9siHalafu hayo matibabu ya siku mmoja,siku nyingine akutibu shetani?
@MohammedAwadh-gq9si
Ай бұрын
@@mataypanga5262 ikibidi ! Wewe hata utibiwe miaka ,ugonjwa wa akili unaendana na mwezi ,sasa utawezekanaje? Labda mwezi usiandame tena ndio utapona
@yugemasanza1008
Ай бұрын
Wewe usiye na shukurani so uwaache wenzako wakatibiwe ubaki na huo uzima wako maana wazima huwa wanajua kutamba sana kabla hayajawafika.
Пікірлер: 19