Asante pr Mungu akubariki nakuzikiza kutoka Kenya nashukuru kwa maombi uliniombea mchichana wangu Cate wamerundiana Na bwana yake naomba uwaombee wapate mtoto na Michael abadirike Apache pombe.
@ClaudeBulambo-s7q
3 ай бұрын
MUNGU azidi kukuhinua viwango vingine,…Endelea kutuhimarisha Kiroho na mwili poa,Hongera sanaaaaaaa
@EliyaKagula
2 ай бұрын
Amina. Kwa neno LA uzima, ninahitaji MAOMBI yenu katika change moto ninayopitia Niko MPANDA.
@QWARIDAMassay
3 ай бұрын
Pastor Bwana akubariki, naomba niombee mm na mume wangu na watoto wangu imani na afya
@harerimanasosthene5941
3 ай бұрын
Mungu asifiwe, Asante sana Mchungaji kwa mchango wako wa kuwakosoa wazazi wasiokuwa na upendo. Sosthene from Rwanda🇷🇼
@MagdalenaGabriel-y5s
2 ай бұрын
Nami nahitaji yesu anitakase amina
@EmmanuelKavumbu
3 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu, mungu akutunze sana mchungaji
@DUKEKILIMU
3 ай бұрын
Mungu nisamehe naomba unisaidie
@EliyaKagula
2 ай бұрын
Mchungaji tunabarikiwa na mahubili amina
@josephinesanita4904
3 ай бұрын
Happy Sabbath dad my fellow lovers in Christ ❤❤❤❤❤❤
@Trizah-254-e
3 ай бұрын
Happy SABBATH, niombee Pastor Imani yang, afya pamoja na watoto wangu.
@MahubiriPrMmbaga
3 ай бұрын
Mungu akuponye
@CilvaniaMutembo
3 ай бұрын
Amen Amen
@JosephinaIlomo
3 ай бұрын
Asante sana mtumishi
@PHIBIANKIYAI
3 ай бұрын
I'm chepkemei from Kenya, need a pray from pastor.
@MahubiriPrMmbaga
3 ай бұрын
Am praying for you
@veronicanestory1662
3 ай бұрын
Ameni mchungaji, tuombeane na sie tuwe miongoni mwa wale watakatifu watakao nyakuliwa
@DanielMuruthi-kc7pi
3 ай бұрын
Amen
@Trizah-254-e
3 ай бұрын
AMINA
@JosephinaIlomo
3 ай бұрын
Asante
@MariamBusele
3 ай бұрын
Amina
@josephshikuku8775
3 ай бұрын
Joseph kutoka Kenya, nahitaji maombi yenu katika hali ninayopitia
@MahubiriPrMmbaga
3 ай бұрын
Mungu akutendee
@MagdalenaGabriel-y5s
2 ай бұрын
😂nimekumbuka mwanangu alikuwa akinikosea nikimchapa analia akimaliza anakuja kunikumbatia afu ananiambia nakupenda mama na mwambia nakupenda pia mwanangu alafu namshangaa alikuwa namiaka 3 mpaka miaka 5kila nikimwazibu anapokosea akimaliza hasira anazidisha mapenz nami namliwaza nilikuwa na injoi sema Nina uchungu ckonao jaribu kwasasa
Пікірлер: 28