Mungu akueke mahali pema peponi machaprala mungu amekupenda zaudi ndio ukatangulia mbele za haki. mungu akueke pema palipo na wema Amin.
@baalawy100
4 жыл бұрын
mola amrehemu Maulid Machaprala ,kipenzi cha watu wengi.Amewacha pengo kubwa katika ulimwengu wa taarab
@saheelameir4313
5 жыл бұрын
Ya Allah turudishie zanzibar yetu ya maadili ya uislam
@jumaothman2092
5 жыл бұрын
Samahani mwenye wimbo wa yeye ameniwafiki machaprala ameimba nauhitaji
@SalimSalim-bb4gj
7 жыл бұрын
Nakumbuka zama zetu... mziki taratibu wa jioni huku ukinwa kahawa barazani
@lipymuscat4779
6 жыл бұрын
Salim Salim hehehee
@nuramoboy
6 ай бұрын
Allah amsamehe makosa yake na amlaze pema poponi Amin ( Aliwashinda wanaume na wanawake sauti yake haikutokea) Ya allah msamehe mja wako huyu na hata nyimbo zake zikisikilizwa usimuandikie madhambi . Amin
@mbarouk09
3 жыл бұрын
Ndio muimbaji wangu bora wa muda wote
@yussufbaga4726
8 жыл бұрын
Mohd Machapulara King of Voice! Hii ndio Zanzibar ya kale kabla uvamizi na uharibifu wa maadili.
@tipuhanif7753
8 жыл бұрын
ulikuwa wapi ilipo haribiwa
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
Nikweli madili saiv yameharibika
@khamisjuma7616
2 ай бұрын
aaaa iko wapi zanzibar yetu ukowapi utamaduni wetu ziko wapi silka zetu ziko wapi desturi zetu nalalia mazuri ya zanzibar tumeporwa mpaka utamaduni na umezikwa utambulisho wetu😊😊
@tatumakadara5793
8 ай бұрын
Nikikumbuka sauti nzito,za kina Machapralla,Seif Salim Asha Simai( Um kulthoum wa znz) Mungu awarahamu
@nassermaqbaly5231
4 жыл бұрын
Hakuna mtu hata mmoja ambaye alitaka kuondoka zanzibar wakati ilipokua zanzibar kweli tulikua tunaona tuko peponi kabla ya mauwaji ya kidhalim na kuifisidi nchi iliyokua inasifika dunia nzima kwa ustaarab na elimu wapi leo imebakia inanuka mavi kila kipembe na njaa na uchafu wa zina na ulevi kila corner na kaum luuti. ALLAH tunakuomba uturejeshee zanzibar yetu kama ilivokua Ameen.
@saheelameir4313
4 жыл бұрын
Amiin
@softena100
3 жыл бұрын
Amiin yaarab
@shamscookery5989
7 жыл бұрын
Natamani nirudi niwe mtoto Tena nikicheza nje ya studio zao stone town nikiskia tu sauti zao wakifanya mazoezi
@cholloriyamiy2249
4 жыл бұрын
Daaah Umenena kweli Broo.. Hua sibanduki pale Club yao kokoni Malindi (stone town.)
@masoudapology9230
6 жыл бұрын
Nazipenda sam hizi nyimbo jamani hadi nackia kuumwa najivunia kuwa Mzaznzibar ktk viziwa vya marashi ya karafuu.
@labardan56
4 жыл бұрын
Just great, oh, when corona times are over... I'd like to visit Zanzibar!
@khelefomar3867
8 жыл бұрын
mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi
Hii ndio Zanzibar ninayoijua mie wallahi, ila hii ya sasa ni siasa na ubadhilifu tuu
@nuramoboy
6 ай бұрын
8:22 Sheik Ali Allah amsameh nae makosa yake na amuweke pema peponi , Amin
@MrBorndrunk76
4 жыл бұрын
Allah akupe darja ya juu, ulikuwa legend, ila tu sisi tulishindwa kutambua hilo jambo
@abdallahsuleimani7416
3 жыл бұрын
Yaani hapa wakati huo ulikuwa hutamani hata ulaya maana Raha zote zilikuwa nyumbani zanzibarrrr
@nassermaqbaly5231
4 жыл бұрын
Hatokei tena mwimbaji mzuri kama machapralla sasa hakuna tena tarab bali kuna matusi tu na upumbavu wa kibara.
@johnkuma6867
9 ай бұрын
Zanzibar mwapendeza. Nilikupenda sana wakati wa likizo yangu na familia yangu. Nihame nisihame Makueni kenya?
@wahidaabeid5712
4 жыл бұрын
Mungu akurahamuni mlio fariki ameen na mungu ajaalie irudi iwe znz ya zamani ya rabb ameen
@albusaidkhelef6655
6 жыл бұрын
wakat huo Zanzibar ipo katoto kabisa ata ukienda hospital kupima kama ni ugonjwa ni ule ule mmoja lakin nenda leo ukapime utasema dokta anakuongopea maradhi lukuki.ZanZibar ya Machaprala wap tena
@suleimanimganga4212
3 жыл бұрын
Yes hii ndio taarabu
@zainabzainab2422
3 жыл бұрын
Shukran mzee machaprala
@abubakarkhamis3884
3 жыл бұрын
MashaAllah nice taarab
@MrBorndrunk76
6 жыл бұрын
Hizi ndio taarab sio leo fujo tu
@najjatharoub197
2 жыл бұрын
Mashallah sauti muruwa hapo nna miaka 6
@abuuthaurat1930
2 жыл бұрын
Mimi hapo 7
@mussavande-mcstar1890
Жыл бұрын
mie hata siijui Dunia
@johnjalisco3385
3 жыл бұрын
Old is gold for sure.
@seifhafidhsuleiman3643
3 ай бұрын
Allah kauli thabit
@Omarsi2000
3 жыл бұрын
Malkia wa Nyumbani Lyrics: Kassim Mohamed Music: Ali Salim Basalama Singer: Maulidi Mohamed Machaprala Ewe Malikia wangu ... Ulotulia enzini. Kulikoni pendo langu ... Ili niwe furahani. Katika maisha yangu ... Tuishi kwenye amani. Umetua moyo wangu ... nikiwa nje na ndani. Tabia za kutukuka ... Kwa daraja namba wani. Mola alivyokupika ... Kama wanja na uyuni. Uzidi kutakasika ... Tia hina mwilini. Kila kukipambazuka ... Eva utini machoni. Mola alivyokuumba ... Natoa shukurani. Si mnene ni mwembamba ... Kimo chako wastani. Umepata hukuomba ... Sifa na yako ayuni. Ndipo nami nikitamba ... Kama siwewe ni nani. Cheo Chako Malkia ... Wewe ni yangu ramani. Himaya hunipatia ... Hapa hapa duniani. Dira nakutumia ... Nikiwamo safarini. Nikitaka kupotea ... Hunileta karikani Moyo hauna akili ... Mwengine haonekani. Natoa yangu kauli ... Kama siwewe ni nani
@shekhansaid9543
3 жыл бұрын
Allaah amrehemu nguli huyu.
@binbadru1654
2 жыл бұрын
zanzibar ndio kwetu
@joewairimanson3380
5 жыл бұрын
wow what a wonderful song
@alimohd8427
2 жыл бұрын
Tizama hao wana wake humus walivyovaa utajua ni watu we nye he's him a zao,sio hawa Waterbeach uchi wa sasa,ndo maana Mungu analeta mabalaa tumefikia kumuasi
@nassramalik5666
5 жыл бұрын
Mmh nakumbuka haile wakati huo tunasoma hapo mmh Zama zimepita
Huyu mc nazani anafanya kazi airport znz apo alikua kijana kweli au lkn sina uhakika
@iddiiddi5585
6 жыл бұрын
Nakumbuka alikuwa Zanzibar Wharfage Corporation.
@abduillmakei7238
5 жыл бұрын
Jaman mm nampend cn machapral cjuw kwnn nimezaliw 92 naumia cn nikiskia nyimbo zk ila najuw km kz ya mung hain makosa
@abduillmakei7238
5 жыл бұрын
Kw wale ambao wanaziimba tn nyimbo za zamn wasiimbe tn maan hawazipatii wanaziharibu km kwl wanawez waimbe za kwao
@abduillmakei7238
5 жыл бұрын
Inaniuma cn nikiskia nyimbo zk ktk dunia hii hakun mt ambae nampend km c prof machap ila najuw km mung kakupenda zaid ila naamini km tutaona t peponi bado cjakat tamaa pumzk gwiji
@jumamahmoud9411
5 жыл бұрын
Wakati huo Nina miaka 11 nakumbuka enzi hizo kipindi cha burdani SAA. 8 STZ
@ahmeidyoung2410
4 жыл бұрын
Nice
@seifabdulwahid4579
2 жыл бұрын
D
@seifabdulwahid4579
2 жыл бұрын
Huo
@khelefomar3867
8 жыл бұрын
mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi
@hamadrajab8042
7 жыл бұрын
eddy roger. ya salaam ya salaam inanikumbusha mbali machozi yananitoka Zanzibar yetu
Пікірлер: 84