Mama mmoja ameibuka na kumlilia Rais Magufuli wakati akihitimisha hotuba yake na kumlilia kuomba msaada akidai kuwa amenyimwa haki ya kisheria baada ya kupigwa na kusababishiwa ujauzito wake kutoka.
Rais Magufuli Magufuli amemsikiliza kisha kutoa maagizo.
Sherehe hizi za Mei Mosi zimefanyika katika Uwanja wa samora, mjini Iringa.
Негізгі бет Mama amlilia Magufuli kwenye sherehe za Mei Mosi, kisa kipigo kutoka kwa shemeji yake
Пікірлер: 98