Huyu mama shetani kbx mama wa kambo x mama jaman nawachukia sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
INAUMIZA sana
@user-lk6ms2py7k
8 ай бұрын
Hawa viumbe wanajiita mama w kambo nyoka sana
@linahmacha370
6 ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu utujalie wa mama wote maisha marefu tuwalee watoto wetu 😭😭😭
@STORYZALEO
8 ай бұрын
Daah uyu mtoto kaniliza
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole 😢
@Mdakuog
8 ай бұрын
Niacheni jamani nimeshindwa KUANGALIA Hadi mwisho
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
@mwanaSalim-re4pn
8 ай бұрын
Amecheza kialisia wallah uyu mma roho mbaya Yani we acha tu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭🙏
@user-bb1np6ln9l
8 ай бұрын
Pole Sana mdogo wng umeniliza from 🇧🇮
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Ina huzinisha
@user-zy6vl9rl9r
8 ай бұрын
Kwa kweli ss wanawake tunajisahau kweli tujuwe yatatufika😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭🙏
@aflahabdula4084
8 ай бұрын
Sio wamama wote jamani msituchukie nimelea mtoto wa mume wangu sijawahi kumgusa nimekaa nae kuliko wanangu niliowazaa na yeye ananipenda sana sana sana kulikoni baba ake ambae ni mume wangu na yote nimefanya kwanza na muhofu allah na lapili kwa nini nimuonee mtoto mdogo hana hatia mimi mtu yoyote mwenye kumtesa mtoto na mchukia mama angu ameleya mtoto wa mumewe walipoachana mtoto hajataka kuondoka nyumbani kalelewa na siye anaenda kwao kutembea na kurudi tumuogopeni sana MMUNGU wanawake wenzangu tusiwe na roho za kwa nini huyu mtoto huwezi kujuwa kesho yake atakuwa nani na hatujui mwisho wetu tuthamini hawa ni watoto wetu ndio nguvu kazi ya baadae👏🏻👏🏻
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Sio wote wenye moyo kama wako wengine roho zao ndo kama hivi mwenyezi mungu akubariki sana kwa malezi mazuri❤️
@safiababu9266
7 ай бұрын
Yah sio wote Na Mungu akulipe mmy na yeye mtoto Allah amjalie akujue wewe nani kwa maana wee hao pia huwa wengi wao wana mitihani but Alhamdulillah utapata kwa Mungu
@sophiamaiga5623
6 ай бұрын
Hata wewe ni marehemu mtaraiwa kumbuka kuomba mama yake afe
Walai mtoto wa mwenzio mchukulie kama mtoto wako. Juu mungu halali jameni
@mariamfungamali
2 ай бұрын
Siyo wote
@Maua-mj7pm
Ай бұрын
Jaman mm pia mama wa kambo niko na watoto 3 wa mume wangu lkn siez8 fanya watoto hivi mungu aninusuru na ili wallah wangu nawapenda sana
@latifabahati-rk5ev
Ай бұрын
Amin
@MicalOnzete
26 күн бұрын
Sio poa hvo Kwa sababu ni mbayw
@merryananias
8 ай бұрын
Jaman we mam kua na uruma haujaenda reba hatakama ni moveee sio ivoooo😢😢😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@mwanaSalim-re4pn
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣walai wewe
@user-oj7kd6jn7q
8 ай бұрын
True
@user-pl6et5uu6w
4 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@cathymwangi2490
2 ай бұрын
ak umeniliza 😭😭😭😭
@rukaka_jr4514
8 ай бұрын
Huyu mama mbona anareflect sura yake na tabia maana wenye sura mbaya usiombe akawa mama yako wa kambo 😂😂😂
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa yan
@user-yk7wh3or2r
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@HusseinNovatus
6 ай бұрын
Mm😂😂 nakmbuka mbali sana Kwan ata mm nimeyapitia mhhh jaman tuwe na roho za huruma
@user-ou9tf8zh2w
8 ай бұрын
Mtoto anakipaji kikubwa sana kiufupi wote walicheza vizuri sana
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Shukrani sana 🙏
@LevinaRichard
Ай бұрын
Mshenzi sana we mwanamke
@user-lt1xf9gz2n
8 ай бұрын
Jamani mama wa jambo muwalee vyema watoto wa wenzenu
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Kabisa 😭
@SemeniBaby-rj2he
6 ай бұрын
Eeee mwenyez mungu nakuomba uniweke niwalee watt wangu hadi wafikie umri wa kujitafutia 🙏🙏🙏🙏 😢😢😢😢 sisi binadam tumeumbwa kwa kutofautiana sanaa dah 😢😢😢
@JosureMutisya
Күн бұрын
Wamama jameni aiii
@Janeth-kv7pp
11 сағат бұрын
Mama wa kambo sio wote mimi mwenyew napenda mama wa kambo kuliko chochote
@NaftariMapunda
Сағат бұрын
Ila uyu mama ni noma anajua kuigiza
@user-su3np5vw4f
8 ай бұрын
Jamani wanatezwa mama wa kambo si mama
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
@Mdakuog
8 ай бұрын
Uyu mama katili
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
@ShabikiMedia-wc1fk
8 ай бұрын
😢 dah
@ubuyumediatz
8 ай бұрын
Imeniumiza sana
@user-do1ko3od3v
7 ай бұрын
😢😢😢😢jmni ndio mna niliapa mwanangu ata nife stki alelewe n mke mwenza kher mamangu kma pia hyuko hri mpita njia 😢😢😢 mungu t
@nemahk2361
8 ай бұрын
Najikuta Nalia😢😢😢😢😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Jikaze mtoto kaniliza Huyu 😭
@CalebWasike-g1e
7 күн бұрын
Jamani mungu asaidie uyu mtoto 🙏🙏🙏
@user-ko4tl9tj5t
8 ай бұрын
Nimelia sana Dah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole
@elizabethnzomo2517
8 ай бұрын
Hakuna mama wakambo mzuri hata siku moja mungu saindia watoto
@SilviaMassawe
Күн бұрын
Jaman mama wa kambo nawaogopa sana😢😢
@ubuyumediatz
8 ай бұрын
Mtoto aendi shinda baba hajui
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@MariamJames-qn5gx
Ай бұрын
Huyo mwanamke mpumbafu sana
@SHUNGURAPPER
8 ай бұрын
GOOD IDEA
@user-kl6rg4gw5g
4 күн бұрын
Sura libayaaa kufa hutaki na mtumbo ule nyooooo we utakua na mrho mbaya kwel😏😏
@user-gv9uk5bx3f
6 ай бұрын
Mungu tusaidie ambao mama xetu wametagulia mbele xa haki🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-iz4xn9rd8b
5 ай бұрын
Mungu nakuomba uwabariki yatima maan si Kwa mateso hayo
@user-nv4ox8co5w
4 ай бұрын
Mama kambo ni mbaya sana.
@rebeccamaunde4085
7 ай бұрын
Waaa waenga hawakukosea kusema mama wakambo si mama...i feel the pain
@JemimahKago-nb9bp
5 ай бұрын
Nimeyakataa haya maisha ya unyonge na pia mateso.Mungu nisaidie nisiwai tesa mtoto wa wenyewe au wetu.😂😂😂.
@user-iv4ne4lp7r
5 ай бұрын
Ntapambana na mwanang halelew na mama wa kambo
@LilianKisumbi
2 ай бұрын
Jaman mama wa jambo wanaume muwe mnachunguza maisha ya watoto wenu jamaniiii
@user-st3wo7qi2v
8 ай бұрын
Jaman 😢😢
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭
@LeilaAdija
9 күн бұрын
Pole Sana mdog ang umeniliza sana
@khadijayusuf7968
8 ай бұрын
Hadi nimelia jaman
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Pole 😭😭
@khadijayusuf7968
8 ай бұрын
@@MOVIEMPYA Asante musichelewe mwendelezo basi
@ChristinekitonyoKitonyo-kg4dh
8 ай бұрын
Mama una loo mbaya kama sura yako
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Amuonei hata huruma
@user-gm9ci6ee7m
2 ай бұрын
Aki si wote pole sana dogoo
@khadijaseif3614
Ай бұрын
😭😭😭😭😭 my mom mjalie maisha mema.amin
@dottokibiki8984
7 ай бұрын
Wanawake jamani!!!!!! Ajuaye ni Mungu
@ERICKNJERU
5 ай бұрын
Mama wa kambo bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
@habilimediatv
8 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭Aiseee aya mateso daah
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@ThomssKapep
5 ай бұрын
wanawake ni wauni sana hasa walio achika
@malandojames5151
7 ай бұрын
Mama wa kambo namchukia sana aise!!!
@user-uu2ij8bb3x
6 ай бұрын
Siyo vizuri anavyokuwa Kigeugeu
@user-hl6qt1tb4x
6 ай бұрын
Kumbuka wewe mam na unakizazi leo kwake kesh utakuwa kwa watoto wak maisha mafup😥
@selinanimbodza2931
8 ай бұрын
Waah uchungu wa mwana ajue ni mama 😭😭😭😭
@user-eb4up7ke6g
4 ай бұрын
hero kuwa na mama l love you mam so mush💯❣️💝💯💚💟
@FatumaHassan-vi5km
5 ай бұрын
Usimfanyie ivo mtt was mwenzio uyui wakwako watalelewa na nani tuwapende watoto jaman inauma sanaa
@user-qx3xs6zy3k
4 ай бұрын
Lait WA nawake wange lijua fadhila zakumlea mtoto ambae siwake wallah huwez Hata mnyooshea kidole Yarab tuwezeshe kuwa wa mama Bora tuweze takase nafus zetu natuwe na tuwe wakufanya vitu Kwa kumuogopa Allah kwali inauma😢😢
@AgnesSeveline-tl8ry
4 ай бұрын
Huyu mama ana roho mbaya jaman,dah!
@JudyJudy-ig4wl
5 ай бұрын
Jaman wa mama wengine daa😮
@AdamAdinani-ic6tm
5 ай бұрын
Mm nkibaini unamfanyia hvyo mwanangu nakuuwa
@IrankundaLiliane-ry9rd
11 күн бұрын
Eehh Mama wa kambo mmi yamenikuta kusema ukweli😢😢
@user-lh8mr7dz9g
4 ай бұрын
Kweli nimeishiwa la kusema😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mola uturumia sisi
@jacklinemuthoni1918
6 ай бұрын
🤔Aki nimachungu😢😢
@venerandakisaki94
6 ай бұрын
Siwezi kutesa mtoto wa mwanamke mwenzangu Mwenyezi Mungu nisaidie kwahili 😓😓
@ZakinaZephania-kx5ol
7 ай бұрын
Daah🥲🥲 hii sio movie haya watu wanaptia kabisa
@user-qd9xy8nw6v
8 ай бұрын
Ukiona ivi sio eti ni movie ndivyo alivyo roho mbaya
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@LovenessSifuni
5 ай бұрын
Wewe mama Mungu akusamehetu mana m
@AngoreAngore
4 ай бұрын
Kwa kweli mama wa kambo si mama
@halimabindshaban3105
7 ай бұрын
Hiki kipindi kinaliza jamani Mimi siwezi mtesa mtoto wa mtu,,ju huyajui ya kesho nani atakusaidia,,na huyo mtoto ni mda tu atakua mkubwa
@PatyEdo
6 ай бұрын
Akika aiseee atari sanaa iyoo muv kam vp iyendeleeeee
@DenGospels
Ай бұрын
Kweli
@EVAKIMARIO-nq3he
8 ай бұрын
😭😭😭😭
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭😭🔥
@AlphonceNjegeremtack
13 сағат бұрын
Huyu mmama ata huruma hana
@clubindangamico-yj7pp
7 ай бұрын
Wamama kama hao watesi wawatoto hawastahili kusamehwa na mwenyezi Mungu kweli
@AmusedBassGuitar-bk7dm
7 күн бұрын
Sura mbaya roho mbaya kufa hafi
@user-cj4bh4zo4l
6 ай бұрын
Wamama kaa Hawa, tabia kaa sura zawo,ufuu evil woman😭😭😭🇺🇬
@user-kb2rm6sr3z
7 ай бұрын
Weee mwanamke mungu upo Wewe gurue ww Kasia takataka Pepo ww
@HusseinAdam-zn6iz
8 ай бұрын
We mam umeza kwli
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭 Yani huruma sana
@harrietajiambo229
8 ай бұрын
Huyu tasa
@user-hm6hy6rr1h
Ай бұрын
Uyu hajaenda leb wallah lazim mung atamlan jaman daaa machoz yananitok
Mama ana roho inayoenda na sura yake lakin ipo sko na yy atajifungua ataujua uchungu wa mtoto😢😢😢😢
@SharonTumbuk
6 ай бұрын
Waaah uchungu mno 😢😢
@shakiramshule342
8 ай бұрын
Ni muvi lakini yapo
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
😭😭
@GrolySilvano
10 күн бұрын
Watu kama hawa siku ya mwisho hukumu yao ni kunyongwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-mg9oq8dh8w
8 ай бұрын
Mwana Muke mubaya Saaana, mama mtesi
@ZainabPhilipo
8 күн бұрын
Pole xana,
@Aminahlamranl420-hw2ie
7 ай бұрын
Huy mam wa kambo sura yake kama roho yake mbaya
@danfordmgeni9459
6 ай бұрын
😭😭😭😭 mungu wakumbuke watoto wanaopitia mazingila magumu
@angeliquenamutigegwa
3 күн бұрын
Pole kijana itakuwa mkubwa uyasahu yote
@PriscilarKabibi
2 ай бұрын
Cpoa aki
@priscakimburi-sl9ml
7 ай бұрын
Waa maskin kumbe kweli mama wa kambo si mama 😭😭😭😭😭
@GasparMkude
6 ай бұрын
Mama waka nimtu mubaya sana😅😅😅
@user-bm1tg8vq3y
6 ай бұрын
Jamani mwanamke huyu au mwanaume
@SaidiKongo
6 ай бұрын
Mungu atanisaidia lakini huyu mam mungu atamlipia
@maryd1538
8 ай бұрын
Yaliza aki 😢😢😢❤❤
@MOVIEMPYA
8 ай бұрын
Yani acha tu 😭
@JacklineNassary
20 күн бұрын
Daaah mama wakambo sio mama kweli
@ZawadiMaro
6 ай бұрын
Inauzunisha sn jmn wapendwa😢😢😢😢
@ELIUDISIAME
10 күн бұрын
mungu amusahidiye mam
@chidzore
6 ай бұрын
Yankumbusha nlkotoka😢😢 anyway keep it up much love from German
@kinyuwajr.2602
7 ай бұрын
Huruma sana mama wa kambo hawana huruma eti baba yake akirudi anafanya kama anampenda kumbe hampendi pole sana hadi baba yake hata ajui hilo wala hafikirii chochote baba mpumbavu baba mjinga sana hana akili mpuuzi ningekua na baba kama yule ningeondoka nyumbani niende nikaseme wazazi wng wamekufa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢wakala 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂a 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢
@joycelongo1213
4 күн бұрын
Wewe mama wakambo acheni kuwa na roho mbaya ujui ya kesho kwanza sura yako mbaya unamtesa mtoto wa mwanamke mwenzio kweli ata uluma huna ujui ya kesho
@MaryPendo-gy4yr
6 ай бұрын
Uyu mama wa kambo si mtu ingekua mwanao hungenfanyia ivi
Пікірлер: 347